Kasimu majaliwa ange chukua mikoba yake hiv sasa tungekuwa mbali sana
@flightclubtanzania16383 жыл бұрын
Nenda kwa Aman Mwamba wetu
@machaggechacha3422 Жыл бұрын
Magufuli hakufa na ugonjwa wa moyo.!!! Acha uongo.!!!!! Kikwete na Samia na daktari wao wanahusika.
@husseinbakari123 Жыл бұрын
Really
@doricemitanto7481 Жыл бұрын
KABISA .😭
@malcomg10047 ай бұрын
Hakika
@judicalosika7642Ай бұрын
😳
@dr.djshigongo4927 Жыл бұрын
Mtu aliwatukana hadi hao mabeberu na kugomea masharti yao mengi lakini leo mtu anasema alikopa sanaaa, najiuliza sana Inawezekanaje mtu umtukane na ugomee masharti yake hadharani halafu akukopeshe sanaaa?daaaah haya bhana ndo keshaondoka hawezi kujibu karma itamjibia....R.I.P Mzee baba🥺
@lubangompyalimi8922 Жыл бұрын
Maaduwi zake wa ndani ndio wanajitahidi kuchafua jina lake hasa kwa mbinu mbalimbali , et alikopa saana. hasa baadhi ya waadishi wa habari.walibanwa na jpm .sasa wanalipiza kwa kuchafua jina lake. Ukweli utabaki kuwa JPM was an excellent leader .
@faza4023 Жыл бұрын
Usiwaze..hawawezi kumchafua, chuma
@nawandafamito500 Жыл бұрын
Hawatoweza maana mungu ni moto ni moto ulao hata wawe wawe wengi vp ukweli utazidi kua na nguvu
@charlesjohn5792 Жыл бұрын
Ni huzuni kwakweli
@newadibalozi8773 Жыл бұрын
umeongea hoja kubwa sana na mm nilijiuliza kama ww hivo hivo
@husseinnkuna6401 Жыл бұрын
Pumzika kwa amani baba utakumbukwa daima 😭
@scorasticaclement63082 ай бұрын
Chuma Hiki R.I.P JPM Watching July 2024
@geofreyj.19862 ай бұрын
Scorastica nakupenda kama unavyompenda JPM ❤❤❤😊
@faza4023 Жыл бұрын
Eh MUNGU Baba asante ulitupa Raisi huyu🙏🏾🙏🏾🙏🏾 tumejifunza mengi..narudia tena ASANTE SANA MUNGU MUUMBAJI. Tusije tukasahau kukushukuru,hatukutegemea kama kuna mtu kama huyu.
@yohanaamon5182 Жыл бұрын
Kweli Mungu Asante kwa kutupa JPM. Ni maombi yangu umuweke katika ufalme wako. Maana aliyoyatenda yaliwapa tumaini masikini wa roho na mwili na wenye njaa. Amen.
@ferdinandshisanya7216 Жыл бұрын
It's only Magufuli spirits that can liberate Africa. Continue Rip a True liberator🇰🇪🇰🇪
@rashdiyange7758 Жыл бұрын
chuma kama chuma mtu bad uyooo kuna kama ww mzeee
@shijamakoye60133 жыл бұрын
Man of the people
@simonjongoja Жыл бұрын
Kizur hakidumu 1 of the fdssertrsg people...
@Abneruwezaeliyaad2 Жыл бұрын
Sifa heshma na utukufu tunakurejeshea MUNGU BABA kwa kutupa kiumbe wko aliye na roho kma yako....asante MUNGU uliyemkuu....emeeeeeeen
@saidndimbo2738 Жыл бұрын
A true leader of Africa, Rest in peace
@theonekulwa7 ай бұрын
GOOD
@faizatmfaume9051 Жыл бұрын
Jaman siyo siri nimekumbuka hotuba za mwisho wa mwezi hasa za magufuli mungu azid kumpa pumziko la milele
@testarguy8609 Жыл бұрын
Hatuwezi kupata tena kama mjomba magu ,R.I.P 😭
@geraldmakalala6091 Жыл бұрын
Itakuwa ngumu sana
@MACHOYATAI-jk6fu Жыл бұрын
Tumempata mwabukusi
@Joseph-lu4yj2 ай бұрын
Jpm alikuwa akihutubia taifa lina tulia kwanza mpaka vindege vinaacha kupiga kelele
@judicalosika7642Ай бұрын
✔️✔️✔️✔️✔️
@MeshackLukanda10 күн бұрын
watu wa hivyoo wapo lkn wachache Sanaa maana huwa wanatumiwa na Mungu
@Stanley.kapumbira Жыл бұрын
Baba yetu jaman 😭😭😭nchi ishakua yakisenge sana hii jaman
@shaffihsiraji31418 ай бұрын
Kabisa
@mwingadulle74007 ай бұрын
Mnoooo
@Paulkessy-j8n12 күн бұрын
Tena imekua nchi ya kiuni sana
@omaryramadhani290 Жыл бұрын
Dah hatutapata rais mwenyemachungu na tanzania kama magufuli haitaweza tokea
@christophermontelo2518 Жыл бұрын
Una uhakika gani?
@tajiriadamu41 Жыл бұрын
You still alive my president kutoka South Africa 🙏🏿
@ericklibaba11982 ай бұрын
2024 July 28 Sunday 🙏
@oscarkasalile3966 Жыл бұрын
Hakika mzee uniombee ipo siku nitagombea urais kwenye Taifa letu na watanzania wakiniamini basi baba nakuahidi sintakuangusha katika falsafa zako. Sintaleta urafiki kwenye kazi za wananchi. Kwa msimamo nitakaowaonyesha sio litakia Taifa hili mema. Badala kujali maslahi ya watanzania wao wanaangalia matumbo yao.
@faza4023 Жыл бұрын
Ufanikiwe ufanikiwe sanaa kuibeba nchi yetu
@eriminahmshai Жыл бұрын
Baba wawanyonge alinuwa watu walio finyiliwa Africa Africa line sisi tutakuwa na umoja tuwache kudhumiwa na watu weupe lini masomo tunayo ila tunaishi kaa sokwe hadi lini tutatumia elimu yetu kujiendeleza sisi wenyewe jamani nauzuka sana kuona walio soma badala yakutetea inchi zawo ndio wananyanyasa inchi na wanainchi kuwafaidisha watu weupe na family zao hadi huko wafrica ndio tunawalisha tuwaeka maisha mazuri sisi kwetu tunakufa maskini wafrica tusimame na inchi zetu
@kulwamathias76803 ай бұрын
nakupenda sana raisi wangu nitazaa mtoto na nitamuita magufuli pia nitamtengeneza kuwa magufuli
@charlesmihayo1275 Жыл бұрын
Mzee pumzika kwa amani ulikuwa unatenda bila kubahatisha uongoze na huko uliko bajba
@sulle18702 ай бұрын
Nyerere na Magufuli ni mtu mmojaa watanzania❤❤❤
@FelidaMligo9 күн бұрын
Sitivi ngollo
@samidohsam-fj1lo Жыл бұрын
He was a man a man with mercy wisdom
@lukandaomary6347 Жыл бұрын
Magufuli chuma chetu,,,dah
@leahsamson9354 Жыл бұрын
WALIOMCHUKIA MAGUFULI WOOOTE MAFISADI , LEO HII WANASHANGILIA MUNGU ANAWAONA
@adelaudarutagwela5070 Жыл бұрын
Jembe utabaki kuwa jembe JPM
@jacobdapash1720 Жыл бұрын
MBONA WATU WAZURI HUWA HAWAKAI NAZI
@n.o.m43853 ай бұрын
Hawatakosea tena kumpitisha rais kama huyu
@punchlinetz Жыл бұрын
Taarifa za habari siku hizi hazina mvuto 😎. Enzi hizi taarifa za habari watu walikuwa wanalipia kama mpira...
@newadibalozi8773 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂 umetisha
@ndiiyolazaro11258 ай бұрын
Nakukumbuka sana RAIS wangu wa Kila siku 🕊️🕊️ 2024
@kingwatabata4230 Жыл бұрын
Tanzania wajanja wengi Rais kama uyu hawezi pendwa hataaaaaaa🙌
@magrethcolestine2880 Жыл бұрын
Pumuzika kwa amani
@mamboshepea8888 Жыл бұрын
King wa tabata kwako wahalifu na wezi ndo wajanja...haya bhanaaa!!
@charlesjohn5792 Жыл бұрын
Kweli KABISA
@mwananjesafari2547 Жыл бұрын
Tumchague Majaliwa ni Magufuli mwengine
@charlesjohn5792 Жыл бұрын
Never
@JojiKiwelo-s2u2 ай бұрын
Unavoangalia clip za magufur hujutii bando lako yan unaenjoy kama yupo hai
@lukindombuleti8174 Жыл бұрын
Huyu ndio raisi ww cc masikini na watu wa hali ya chini,tangulia mzee ila ipo siku utarudi tanzani
@kelvinbernard5453 Жыл бұрын
Yoooooo inuma inaumaaaa, r.I.p magu
@ezekielmabwai482 Жыл бұрын
Angefanya mazuri upande wa pili wa shilingi, ningemwelewa. Kwa nini alikufa ghafla pamoja na kufanya maajabu kwenye utawala wake. Aliwajeruhi sana CCM WENYEWE. Watafiti tujuzeni, alikufa natural death kweli?
@maryamjumah Жыл бұрын
Uchaguzi ujao naomba mungu apokee dua yangu tuongozwe na majaaliwa
@Mobmob2013 Жыл бұрын
Hujui unachoomba Marry Tuombe Mungu Kwa bidii yeye ndiye anayejua nchi hii na anayetujua. Kumbuka yeye ndo alituambia Jpm yupo ikulu anaendelea kuchapa kazi
@jnote9283 Жыл бұрын
Hujui kitu
@n_onlinetv91 Жыл бұрын
Kabisaaa dua yangu pia nikuona tunabahatika tunampata majaliwa
@faustinamahenge225011 ай бұрын
Amina tuko pamoja ajiuzuru uwaziri mkuu sasa ili achukue fomu ya kugombea urais
@judicalosika7642Ай бұрын
@@Mobmob2013Ibrahim T hatufai!!
@davismakundi1700 Жыл бұрын
Eee mwenyez mungu mlaze mahali pema peponi bb yetu huyu
@Mainda-q5b8 ай бұрын
Ukimsikiliza Magu leo, ndio utajua kwa nini aliitwa jembe
@mudymudy6410 Жыл бұрын
Mwamba huyoo
@godfreyndole4706 Жыл бұрын
Tutakukumbu sanaa😭
@chidodoozkid1122 Жыл бұрын
Maraa paap mwamba akufa alikua anawatega😎😎😎
@malcomg10047 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@nyamwekomatoke9951 Жыл бұрын
Pumzka kwa Amani Jembe la Tanzania na Africa
@ANTHONY.V.I.Ptanzania2 ай бұрын
Dah nashindwa kuyazuia machozi yangu😢😢😢😢
@jameschengwali1051 Жыл бұрын
Hii ilikua nyundo kamili ya kuharibu mafisadi
@hamisimzungu6823 Жыл бұрын
Mr president cku Hz wanafiki wanakukumbuk pia TUISHI Tu hvyo hvyo coz tushazaliw Tz tyr nchi aiend bila unafik Sasa hv
@msafiriomary893 Жыл бұрын
Marazi ya moyo waaaapiiiii weweeeeeeee
@swaggzhighlights527 Жыл бұрын
kam siyo Marazi y moyo ni nini ss kak ?
@NiahOrado2 ай бұрын
Nimerudi tena 8/8/2024😩
@jailosjoelАй бұрын
Raisi wangu daima
@boazjohn558 Жыл бұрын
Mbona mimi naangalia hapa lakini machozi yananitoka kunakitu namic eee
@georgemtipa6424 Жыл бұрын
Hakuna zaid yako na hata kuja kutokea kamwe
@onionpeeling58226 ай бұрын
AISEE - R.I.P KIONGOZI- aliyafinya Majizi. Watanzania wajanja janja sana ! Huyu mwamba ulikua hutoboi kwa ujinga ujinga
@thomaskubini8116 Жыл бұрын
Hatatokea raise kama wewe baba lala salama raise wa wanyonge nilkupenda sana
@MerlinaKubadesha2 ай бұрын
One day i wish the blessings us aTanzania again i wish must get a leader like magufuli i u understand like here if u not understand u understand the last war
@kibetphilemon647728 күн бұрын
Tanzania makonda atakua kama magufuli
@idarusitv6994Ай бұрын
Rais km Hawa ndo tunao wataka
@dbarrik41088 ай бұрын
Its now time for Africana as continent to be magulified for the better tomorrow of its people
@shabanimungazija7272 Жыл бұрын
Sasa ivi baba unga tu sh elfu na mia tano
@VenanceEphraim-hr2cc8 ай бұрын
l'Afrique à perdu un homme en tout cas 😢😢😢
@stephanokigosi656 Жыл бұрын
Rest in power Ngosha
@kingrichboeАй бұрын
2024 RIP raisi wetu
@casmirymusic Жыл бұрын
R.i.p baba
@maulidibrahim96657 ай бұрын
Mutu ya watu lala salama kwamaana toka uondoke nchi ipo gizani
@zenajsalehe53418 ай бұрын
Magufuli baba tunakukumbuka ,😢mungu akuremu kabisa tuliishi kwakujiamini sana aaa😭we gonna miss you magu
@masahomwita8171 Жыл бұрын
Jembe
@sylverjosiasy8536 Жыл бұрын
Jembe, MAGUFULI alikua jembe mnoo
@johanesbagenzi2486 Жыл бұрын
Mungu akupe uzima wa milele.
@pilisonje8944 Жыл бұрын
Jembe
@AbdulBushir16 күн бұрын
Sitaacha kuangalia clips za hayati mzee Maguful kamwe,, na kamwe sitaweza kumfuatila huyu msichana wenu
@gosbertireneus5558Ай бұрын
utamaduni wetu huwa hatuthamini thamani ya tonge lililomkononi ila likidondoka ndo tunatambua kuwa tuna njaa ...Pumzika salama shujaa wetu
@ramdanmbara8500 Жыл бұрын
Umesahau Uamuzi wa kuanzisha Nyerere Hydro Power(Stieglers Gorge) na kuhamishia Makao Makuu Dodoma
@izackimrema1369 Жыл бұрын
Ivi saiv Tanzania kunara hisi ama kutawahi tokea kuwa narahis kama huyu
@jeremiamuro7670 Жыл бұрын
Huyu Raisi alikuwa kweli Raisi ndio alifanya nikapenda kufatilia siasa maana kulikuwa na hari. Yakusikiliza hotuba zake,Mungu akupokea kwakweli
@maryamjumah Жыл бұрын
Huyu ndo rais wetu bado anatuongoza kupitia hotuba zake
@malcomg100429 күн бұрын
Kama umesikia barakora badala ya barakao usiwe na shaka twende pamoja na hiki chuma JPM
@kiazikitamu3985 Жыл бұрын
Mambo ya kiukoo na mimi ni mtoto wa fulani untachable yamerudi watu wanajigamba CCM ni za baba zao.
@VincentOdungaАй бұрын
Watanzania sidhani kama itatokea tena mate rais aliyenaroho na utu kama. Ya magufuli sidhani
@vincentauxerbius7554 Жыл бұрын
Hii nchi ilikua bado inamuhitaj sana rais huyu ila hatuwez kupinga lililopangwa na mungu r.i.p jpm
@edmundphilemon3054 Жыл бұрын
Pumzika Kwa amani JPM one day tutampata mtu kawewe
@FridaNgoye5 ай бұрын
Mwanga wa milele umeangazia ree bwana apumzike kwa amani nimekukumbuka sana rais wa ss wanyonge
@hawamjungu3396 Жыл бұрын
Mzee mzee jpm kwakweli ulisema tutakukumbuka na kweli tunakukumbuka sana
@mastaplan2 ай бұрын
2024 huyu Rais alikuwa na maamuzi magumu Kweli Kweli.
@Paulkessy-j8n12 күн бұрын
Mimi ni chadema full lakini kwa uyu mzee awamu yake ya pili nilijikuta nimempa kura tena bila iana kabisaaa
@IsmailyMwimi2 ай бұрын
Uyu alikuwa masta ndo hvoo hayupo tena tumebaki na madeni
@michaelangelbert8352 Жыл бұрын
Had leo nkimwangalia Rais Maguful naumia mno. Ataish moyon mwangu had leo
@bedastusmichael78115 ай бұрын
Akuna kupinda pinda ni mwendo wakunyoosha vilivyopinda
@eliudjamess4231 Жыл бұрын
Leo hii tunaungua bila huyu mwamba
@msukumamnywamaziwa27853 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤pongenzi mwambA mangufuri
@JohnMgerwa12 күн бұрын
Mungu akulaze mahal pema baba wengi tunakukumbuka umetuachia ukiwa
@R10_Rajab Жыл бұрын
Hakuna tena Hutuba zenye hamu ya kuzisikiliza ,hutuba zilizojaa Hisia za Ukweli kutoka moyoni,,,,ALLAH AKUWEKE SEHEMU UNAYOSTAHILI MAGU
@mr.qareembrown4473 Жыл бұрын
Sijui kuhusu wengn lkn mm i will always cherish what u have done and i will always try to do my best be like u