Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake

  Рет қаралды 650,156

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

Күн бұрын

Пікірлер: 374
@selemanimasatu2421
@selemanimasatu2421 10 ай бұрын
Anayeangalia hizi clip za JPM mpaka leo tujuane kwa like.
@JofreyMsigwa-ok7hv
@JofreyMsigwa-ok7hv 7 ай бұрын
MAGU Wee 🙏🙏
@victorkamau5716
@victorkamau5716 6 ай бұрын
𝑵𝒌𝒐 𝒂𝒑𝒂 𝒇𝒓𝒐𝒎 𝒌𝒆𝒏𝒚𝒂
@amirlehao8945
@amirlehao8945 2 ай бұрын
Binafsi huwa hazinichoshi kabisa yaani naweza kuangalia na kuangalia tena
@SAKINDINSOROEmmanuel
@SAKINDINSOROEmmanuel 2 ай бұрын
Mimi kutoka 🇷🇼 nanglia naludiatena ​@@amirlehao8945
@MerlinaKubadesha
@MerlinaKubadesha 2 ай бұрын
Nampendaga sana babaangu huu🙏🙏🙏🙏
@abdallahsidudu3438
@abdallahsidudu3438 Жыл бұрын
Nawapenda wote mnaempenda maguful
@geraldmakalala6091
@geraldmakalala6091 8 ай бұрын
Kabisa
@Mainda-q5b
@Mainda-q5b 8 ай бұрын
Nami nakupenda pia
@halimamasai2234
@halimamasai2234 6 ай бұрын
Nami nakupenda pia ❤
@Mainda-q5b
@Mainda-q5b 6 ай бұрын
@@halimamasai2234 Asante kwa kunipenda
@MerlinaKubadesha
@MerlinaKubadesha 2 ай бұрын
Amina
@saidrashid5972
@saidrashid5972 Жыл бұрын
Kama kuna chuo cha Uongozi na utumishi bora basi Magufuli ni best institute of leadership
@MerlinaKubadesha
@MerlinaKubadesha 2 ай бұрын
Kabisa lakin so huyu wa sasa
@MerlinaKubadesha
@MerlinaKubadesha 2 ай бұрын
Kabisa lakin so huyu wa sasa
@gosbertireneus5558
@gosbertireneus5558 Ай бұрын
wa muda wote
@chubakamirindijean-pierre5261
@chubakamirindijean-pierre5261 Жыл бұрын
Kiongozi wa Afrika tofauti kabisa, ulikuwa mutu wa maana sana, hatutakusahau kamwe, kutoka Bukavu Congo ,drc 🇨🇩😭😭😭😭.
@MerlinaKubadesha
@MerlinaKubadesha 2 ай бұрын
Amina
@samwelmushi6162
@samwelmushi6162 Жыл бұрын
Chadema na ccm wote wale wale wanasiasa lkn huyu alikuwa kiongozi mwenye maono ya mbali jpm tutakumumbuka baba
@msafirimwambela8887
@msafirimwambela8887 Жыл бұрын
Mungu tupe rais Tena kama huyu,
@saimonjoseph4663
@saimonjoseph4663 Жыл бұрын
Hawez tokea
@RafaelDavid-b8o
@RafaelDavid-b8o 9 ай бұрын
Baada ya miaka mia 7
@Mainda-q5b
@Mainda-q5b 8 ай бұрын
Inshaallah
@Mainda-q5b
@Mainda-q5b 8 ай бұрын
​@@saimonjoseph4663kwa nini
@David-if6nk
@David-if6nk 8 ай бұрын
Labda makonda
@KuntukumuSadam
@KuntukumuSadam Жыл бұрын
Moja ya watu muhimu kuwahi kutokea 😢😢😢😢😢
@getrudecharles8689
@getrudecharles8689 Жыл бұрын
Hakika,
@allymwadi2815
@allymwadi2815 Жыл бұрын
Ulale salamaa mzee wetuuu
@funnymoments5393
@funnymoments5393 3 жыл бұрын
Alikua kiongozi asiye yumbishwa, hapendi mzaa kwenye issue serious, utadumu daima Shujaa wetu, umeacha alama 😭😭
@thomastarimo
@thomastarimo Жыл бұрын
Daa kaka nakukumbuka kwa ujasiri wako kaka
@denissiedisoni-lk7xm
@denissiedisoni-lk7xm Жыл бұрын
Kasimu majaliwa ange chukua mikoba yake hiv sasa tungekuwa mbali sana
@flightclubtanzania1638
@flightclubtanzania1638 3 жыл бұрын
Nenda kwa Aman Mwamba wetu
@machaggechacha3422
@machaggechacha3422 Жыл бұрын
Magufuli hakufa na ugonjwa wa moyo.!!! Acha uongo.!!!!! Kikwete na Samia na daktari wao wanahusika.
@husseinbakari123
@husseinbakari123 Жыл бұрын
Really
@doricemitanto7481
@doricemitanto7481 Жыл бұрын
KABISA .😭
@malcomg1004
@malcomg1004 7 ай бұрын
Hakika
@judicalosika7642
@judicalosika7642 Ай бұрын
😳
@dr.djshigongo4927
@dr.djshigongo4927 Жыл бұрын
Mtu aliwatukana hadi hao mabeberu na kugomea masharti yao mengi lakini leo mtu anasema alikopa sanaaa, najiuliza sana Inawezekanaje mtu umtukane na ugomee masharti yake hadharani halafu akukopeshe sanaaa?daaaah haya bhana ndo keshaondoka hawezi kujibu karma itamjibia....R.I.P Mzee baba🥺
@lubangompyalimi8922
@lubangompyalimi8922 Жыл бұрын
Maaduwi zake wa ndani ndio wanajitahidi kuchafua jina lake hasa kwa mbinu mbalimbali , et alikopa saana. hasa baadhi ya waadishi wa habari.walibanwa na jpm .sasa wanalipiza kwa kuchafua jina lake. Ukweli utabaki kuwa JPM was an excellent leader .
@faza4023
@faza4023 Жыл бұрын
Usiwaze..hawawezi kumchafua, chuma
@nawandafamito500
@nawandafamito500 Жыл бұрын
Hawatoweza maana mungu ni moto ni moto ulao hata wawe wawe wengi vp ukweli utazidi kua na nguvu
@charlesjohn5792
@charlesjohn5792 Жыл бұрын
Ni huzuni kwakweli
@newadibalozi8773
@newadibalozi8773 Жыл бұрын
umeongea hoja kubwa sana na mm nilijiuliza kama ww hivo hivo
@husseinnkuna6401
@husseinnkuna6401 Жыл бұрын
Pumzika kwa amani baba utakumbukwa daima 😭
@scorasticaclement6308
@scorasticaclement6308 2 ай бұрын
Chuma Hiki R.I.P JPM Watching July 2024
@geofreyj.1986
@geofreyj.1986 2 ай бұрын
Scorastica nakupenda kama unavyompenda JPM ❤❤❤😊
@faza4023
@faza4023 Жыл бұрын
Eh MUNGU Baba asante ulitupa Raisi huyu🙏🏾🙏🏾🙏🏾 tumejifunza mengi..narudia tena ASANTE SANA MUNGU MUUMBAJI. Tusije tukasahau kukushukuru,hatukutegemea kama kuna mtu kama huyu.
@yohanaamon5182
@yohanaamon5182 Жыл бұрын
Kweli Mungu Asante kwa kutupa JPM. Ni maombi yangu umuweke katika ufalme wako. Maana aliyoyatenda yaliwapa tumaini masikini wa roho na mwili na wenye njaa. Amen.
@ferdinandshisanya7216
@ferdinandshisanya7216 Жыл бұрын
It's only Magufuli spirits that can liberate Africa. Continue Rip a True liberator🇰🇪🇰🇪
@rashdiyange7758
@rashdiyange7758 Жыл бұрын
chuma kama chuma mtu bad uyooo kuna kama ww mzeee
@shijamakoye6013
@shijamakoye6013 3 жыл бұрын
Man of the people
@simonjongoja
@simonjongoja Жыл бұрын
Kizur hakidumu 1 of the fdssertrsg people...
@Abneruwezaeliyaad2
@Abneruwezaeliyaad2 Жыл бұрын
Sifa heshma na utukufu tunakurejeshea MUNGU BABA kwa kutupa kiumbe wko aliye na roho kma yako....asante MUNGU uliyemkuu....emeeeeeeen
@saidndimbo2738
@saidndimbo2738 Жыл бұрын
A true leader of Africa, Rest in peace
@theonekulwa
@theonekulwa 7 ай бұрын
GOOD
@faizatmfaume9051
@faizatmfaume9051 Жыл бұрын
Jaman siyo siri nimekumbuka hotuba za mwisho wa mwezi hasa za magufuli mungu azid kumpa pumziko la milele
@testarguy8609
@testarguy8609 Жыл бұрын
Hatuwezi kupata tena kama mjomba magu ,R.I.P 😭
@geraldmakalala6091
@geraldmakalala6091 Жыл бұрын
Itakuwa ngumu sana
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu Жыл бұрын
Tumempata mwabukusi
@Joseph-lu4yj
@Joseph-lu4yj 2 ай бұрын
Jpm alikuwa akihutubia taifa lina tulia kwanza mpaka vindege vinaacha kupiga kelele
@judicalosika7642
@judicalosika7642 Ай бұрын
✔️✔️✔️✔️✔️
@MeshackLukanda
@MeshackLukanda 10 күн бұрын
watu wa hivyoo wapo lkn wachache Sanaa maana huwa wanatumiwa na Mungu
@Stanley.kapumbira
@Stanley.kapumbira Жыл бұрын
Baba yetu jaman 😭😭😭nchi ishakua yakisenge sana hii jaman
@shaffihsiraji3141
@shaffihsiraji3141 8 ай бұрын
Kabisa
@mwingadulle7400
@mwingadulle7400 7 ай бұрын
Mnoooo
@Paulkessy-j8n
@Paulkessy-j8n 12 күн бұрын
Tena imekua nchi ya kiuni sana
@omaryramadhani290
@omaryramadhani290 Жыл бұрын
Dah hatutapata rais mwenyemachungu na tanzania kama magufuli haitaweza tokea
@christophermontelo2518
@christophermontelo2518 Жыл бұрын
Una uhakika gani?
@tajiriadamu41
@tajiriadamu41 Жыл бұрын
You still alive my president kutoka South Africa 🙏🏿
@ericklibaba1198
@ericklibaba1198 2 ай бұрын
2024 July 28 Sunday 🙏
@oscarkasalile3966
@oscarkasalile3966 Жыл бұрын
Hakika mzee uniombee ipo siku nitagombea urais kwenye Taifa letu na watanzania wakiniamini basi baba nakuahidi sintakuangusha katika falsafa zako. Sintaleta urafiki kwenye kazi za wananchi. Kwa msimamo nitakaowaonyesha sio litakia Taifa hili mema. Badala kujali maslahi ya watanzania wao wanaangalia matumbo yao.
@faza4023
@faza4023 Жыл бұрын
Ufanikiwe ufanikiwe sanaa kuibeba nchi yetu
@eriminahmshai
@eriminahmshai Жыл бұрын
Baba wawanyonge alinuwa watu walio finyiliwa Africa Africa line sisi tutakuwa na umoja tuwache kudhumiwa na watu weupe lini masomo tunayo ila tunaishi kaa sokwe hadi lini tutatumia elimu yetu kujiendeleza sisi wenyewe jamani nauzuka sana kuona walio soma badala yakutetea inchi zawo ndio wananyanyasa inchi na wanainchi kuwafaidisha watu weupe na family zao hadi huko wafrica ndio tunawalisha tuwaeka maisha mazuri sisi kwetu tunakufa maskini wafrica tusimame na inchi zetu
@kulwamathias7680
@kulwamathias7680 3 ай бұрын
nakupenda sana raisi wangu nitazaa mtoto na nitamuita magufuli pia nitamtengeneza kuwa magufuli
@charlesmihayo1275
@charlesmihayo1275 Жыл бұрын
Mzee pumzika kwa amani ulikuwa unatenda bila kubahatisha uongoze na huko uliko bajba
@sulle1870
@sulle1870 2 ай бұрын
Nyerere na Magufuli ni mtu mmojaa watanzania❤❤❤
@FelidaMligo
@FelidaMligo 9 күн бұрын
Sitivi ngollo
@samidohsam-fj1lo
@samidohsam-fj1lo Жыл бұрын
He was a man a man with mercy wisdom
@lukandaomary6347
@lukandaomary6347 Жыл бұрын
Magufuli chuma chetu,,,dah
@leahsamson9354
@leahsamson9354 Жыл бұрын
WALIOMCHUKIA MAGUFULI WOOOTE MAFISADI , LEO HII WANASHANGILIA MUNGU ANAWAONA
@adelaudarutagwela5070
@adelaudarutagwela5070 Жыл бұрын
Jembe utabaki kuwa jembe JPM
@jacobdapash1720
@jacobdapash1720 Жыл бұрын
MBONA WATU WAZURI HUWA HAWAKAI NAZI
@n.o.m4385
@n.o.m4385 3 ай бұрын
Hawatakosea tena kumpitisha rais kama huyu
@punchlinetz
@punchlinetz Жыл бұрын
Taarifa za habari siku hizi hazina mvuto 😎. Enzi hizi taarifa za habari watu walikuwa wanalipia kama mpira...
@newadibalozi8773
@newadibalozi8773 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂 umetisha
@ndiiyolazaro1125
@ndiiyolazaro1125 8 ай бұрын
Nakukumbuka sana RAIS wangu wa Kila siku 🕊️🕊️ 2024
@kingwatabata4230
@kingwatabata4230 Жыл бұрын
Tanzania wajanja wengi Rais kama uyu hawezi pendwa hataaaaaaa🙌
@magrethcolestine2880
@magrethcolestine2880 Жыл бұрын
Pumuzika kwa amani
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 Жыл бұрын
King wa tabata kwako wahalifu na wezi ndo wajanja...haya bhanaaa!!
@charlesjohn5792
@charlesjohn5792 Жыл бұрын
Kweli KABISA
@mwananjesafari2547
@mwananjesafari2547 Жыл бұрын
Tumchague Majaliwa ni Magufuli mwengine
@charlesjohn5792
@charlesjohn5792 Жыл бұрын
Never
@JojiKiwelo-s2u
@JojiKiwelo-s2u 2 ай бұрын
Unavoangalia clip za magufur hujutii bando lako yan unaenjoy kama yupo hai
@lukindombuleti8174
@lukindombuleti8174 Жыл бұрын
Huyu ndio raisi ww cc masikini na watu wa hali ya chini,tangulia mzee ila ipo siku utarudi tanzani
@kelvinbernard5453
@kelvinbernard5453 Жыл бұрын
Yoooooo inuma inaumaaaa, r.I.p magu
@ezekielmabwai482
@ezekielmabwai482 Жыл бұрын
Angefanya mazuri upande wa pili wa shilingi, ningemwelewa. Kwa nini alikufa ghafla pamoja na kufanya maajabu kwenye utawala wake. Aliwajeruhi sana CCM WENYEWE. Watafiti tujuzeni, alikufa natural death kweli?
@maryamjumah
@maryamjumah Жыл бұрын
Uchaguzi ujao naomba mungu apokee dua yangu tuongozwe na majaaliwa
@Mobmob2013
@Mobmob2013 Жыл бұрын
Hujui unachoomba Marry Tuombe Mungu Kwa bidii yeye ndiye anayejua nchi hii na anayetujua. Kumbuka yeye ndo alituambia Jpm yupo ikulu anaendelea kuchapa kazi
@jnote9283
@jnote9283 Жыл бұрын
Hujui kitu
@n_onlinetv91
@n_onlinetv91 Жыл бұрын
Kabisaaa dua yangu pia nikuona tunabahatika tunampata majaliwa
@faustinamahenge2250
@faustinamahenge2250 11 ай бұрын
Amina tuko pamoja ajiuzuru uwaziri mkuu sasa ili achukue fomu ya kugombea urais
@judicalosika7642
@judicalosika7642 Ай бұрын
​@@Mobmob2013Ibrahim T hatufai!!
@davismakundi1700
@davismakundi1700 Жыл бұрын
Eee mwenyez mungu mlaze mahali pema peponi bb yetu huyu
@Mainda-q5b
@Mainda-q5b 8 ай бұрын
Ukimsikiliza Magu leo, ndio utajua kwa nini aliitwa jembe
@mudymudy6410
@mudymudy6410 Жыл бұрын
Mwamba huyoo
@godfreyndole4706
@godfreyndole4706 Жыл бұрын
Tutakukumbu sanaa😭
@chidodoozkid1122
@chidodoozkid1122 Жыл бұрын
Maraa paap mwamba akufa alikua anawatega😎😎😎
@malcomg1004
@malcomg1004 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@nyamwekomatoke9951
@nyamwekomatoke9951 Жыл бұрын
Pumzka kwa Amani Jembe la Tanzania na Africa
@ANTHONY.V.I.Ptanzania
@ANTHONY.V.I.Ptanzania 2 ай бұрын
Dah nashindwa kuyazuia machozi yangu😢😢😢😢
@jameschengwali1051
@jameschengwali1051 Жыл бұрын
Hii ilikua nyundo kamili ya kuharibu mafisadi
@hamisimzungu6823
@hamisimzungu6823 Жыл бұрын
Mr president cku Hz wanafiki wanakukumbuk pia TUISHI Tu hvyo hvyo coz tushazaliw Tz tyr nchi aiend bila unafik Sasa hv
@msafiriomary893
@msafiriomary893 Жыл бұрын
Marazi ya moyo waaaapiiiii weweeeeeeee
@swaggzhighlights527
@swaggzhighlights527 Жыл бұрын
kam siyo Marazi y moyo ni nini ss kak ?
@NiahOrado
@NiahOrado 2 ай бұрын
Nimerudi tena 8/8/2024😩
@jailosjoel
@jailosjoel Ай бұрын
Raisi wangu daima
@boazjohn558
@boazjohn558 Жыл бұрын
Mbona mimi naangalia hapa lakini machozi yananitoka kunakitu namic eee
@georgemtipa6424
@georgemtipa6424 Жыл бұрын
Hakuna zaid yako na hata kuja kutokea kamwe
@onionpeeling5822
@onionpeeling5822 6 ай бұрын
AISEE - R.I.P KIONGOZI- aliyafinya Majizi. Watanzania wajanja janja sana ! Huyu mwamba ulikua hutoboi kwa ujinga ujinga
@thomaskubini8116
@thomaskubini8116 Жыл бұрын
Hatatokea raise kama wewe baba lala salama raise wa wanyonge nilkupenda sana
@MerlinaKubadesha
@MerlinaKubadesha 2 ай бұрын
One day i wish the blessings us aTanzania again i wish must get a leader like magufuli i u understand like here if u not understand u understand the last war
@kibetphilemon6477
@kibetphilemon6477 28 күн бұрын
Tanzania makonda atakua kama magufuli
@idarusitv6994
@idarusitv6994 Ай бұрын
Rais km Hawa ndo tunao wataka
@dbarrik4108
@dbarrik4108 8 ай бұрын
Its now time for Africana as continent to be magulified for the better tomorrow of its people
@shabanimungazija7272
@shabanimungazija7272 Жыл бұрын
Sasa ivi baba unga tu sh elfu na mia tano
@VenanceEphraim-hr2cc
@VenanceEphraim-hr2cc 8 ай бұрын
l'Afrique à perdu un homme en tout cas 😢😢😢
@stephanokigosi656
@stephanokigosi656 Жыл бұрын
Rest in power Ngosha
@kingrichboe
@kingrichboe Ай бұрын
2024 RIP raisi wetu
@casmirymusic
@casmirymusic Жыл бұрын
R.i.p baba
@maulidibrahim9665
@maulidibrahim9665 7 ай бұрын
Mutu ya watu lala salama kwamaana toka uondoke nchi ipo gizani
@zenajsalehe5341
@zenajsalehe5341 8 ай бұрын
Magufuli baba tunakukumbuka ,😢mungu akuremu kabisa tuliishi kwakujiamini sana aaa😭we gonna miss you magu
@masahomwita8171
@masahomwita8171 Жыл бұрын
Jembe
@sylverjosiasy8536
@sylverjosiasy8536 Жыл бұрын
Jembe, MAGUFULI alikua jembe mnoo
@johanesbagenzi2486
@johanesbagenzi2486 Жыл бұрын
Mungu akupe uzima wa milele.
@pilisonje8944
@pilisonje8944 Жыл бұрын
Jembe
@AbdulBushir
@AbdulBushir 16 күн бұрын
Sitaacha kuangalia clips za hayati mzee Maguful kamwe,, na kamwe sitaweza kumfuatila huyu msichana wenu
@gosbertireneus5558
@gosbertireneus5558 Ай бұрын
utamaduni wetu huwa hatuthamini thamani ya tonge lililomkononi ila likidondoka ndo tunatambua kuwa tuna njaa ...Pumzika salama shujaa wetu
@ramdanmbara8500
@ramdanmbara8500 Жыл бұрын
Umesahau Uamuzi wa kuanzisha Nyerere Hydro Power(Stieglers Gorge) na kuhamishia Makao Makuu Dodoma
@izackimrema1369
@izackimrema1369 Жыл бұрын
Ivi saiv Tanzania kunara hisi ama kutawahi tokea kuwa narahis kama huyu
@jeremiamuro7670
@jeremiamuro7670 Жыл бұрын
Huyu Raisi alikuwa kweli Raisi ndio alifanya nikapenda kufatilia siasa maana kulikuwa na hari. Yakusikiliza hotuba zake,Mungu akupokea kwakweli
@maryamjumah
@maryamjumah Жыл бұрын
Huyu ndo rais wetu bado anatuongoza kupitia hotuba zake
@malcomg1004
@malcomg1004 29 күн бұрын
Kama umesikia barakora badala ya barakao usiwe na shaka twende pamoja na hiki chuma JPM
@kiazikitamu3985
@kiazikitamu3985 Жыл бұрын
Mambo ya kiukoo na mimi ni mtoto wa fulani untachable yamerudi watu wanajigamba CCM ni za baba zao.
@VincentOdunga
@VincentOdunga Ай бұрын
Watanzania sidhani kama itatokea tena mate rais aliyenaroho na utu kama. Ya magufuli sidhani
@vincentauxerbius7554
@vincentauxerbius7554 Жыл бұрын
Hii nchi ilikua bado inamuhitaj sana rais huyu ila hatuwez kupinga lililopangwa na mungu r.i.p jpm
@edmundphilemon3054
@edmundphilemon3054 Жыл бұрын
Pumzika Kwa amani JPM one day tutampata mtu kawewe
@FridaNgoye
@FridaNgoye 5 ай бұрын
Mwanga wa milele umeangazia ree bwana apumzike kwa amani nimekukumbuka sana rais wa ss wanyonge
@hawamjungu3396
@hawamjungu3396 Жыл бұрын
Mzee mzee jpm kwakweli ulisema tutakukumbuka na kweli tunakukumbuka sana
@mastaplan
@mastaplan 2 ай бұрын
2024 huyu Rais alikuwa na maamuzi magumu Kweli Kweli.
@Paulkessy-j8n
@Paulkessy-j8n 12 күн бұрын
Mimi ni chadema full lakini kwa uyu mzee awamu yake ya pili nilijikuta nimempa kura tena bila iana kabisaaa
@IsmailyMwimi
@IsmailyMwimi 2 ай бұрын
Uyu alikuwa masta ndo hvoo hayupo tena tumebaki na madeni
@michaelangelbert8352
@michaelangelbert8352 Жыл бұрын
Had leo nkimwangalia Rais Maguful naumia mno. Ataish moyon mwangu had leo
@bedastusmichael7811
@bedastusmichael7811 5 ай бұрын
Akuna kupinda pinda ni mwendo wakunyoosha vilivyopinda
@eliudjamess4231
@eliudjamess4231 Жыл бұрын
Leo hii tunaungua bila huyu mwamba
@msukumamnywamaziwa2785
@msukumamnywamaziwa2785 3 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤pongenzi mwambA mangufuri
@JohnMgerwa
@JohnMgerwa 12 күн бұрын
Mungu akulaze mahal pema baba wengi tunakukumbuka umetuachia ukiwa
@R10_Rajab
@R10_Rajab Жыл бұрын
Hakuna tena Hutuba zenye hamu ya kuzisikiliza ,hutuba zilizojaa Hisia za Ukweli kutoka moyoni,,,,ALLAH AKUWEKE SEHEMU UNAYOSTAHILI MAGU
@mr.qareembrown4473
@mr.qareembrown4473 Жыл бұрын
Sijui kuhusu wengn lkn mm i will always cherish what u have done and i will always try to do my best be like u
LIVE: MAGUFULI AMKATAZA MKURUGENZI KUONGEA KIINGEREZA "NITAKIFUNGA"
23:26
TOP 10: KAULI za JPM ZILIZOTIKISA, TAZAMA UNIAMBIE IPI ILIKUKOSHA ZAIDI!
11:53
Global TV Online
Рет қаралды 1,5 МЛН
Bike Vs Tricycle Fast Challenge
00:43
Russo
Рет қаралды 104 МЛН
Man Mocks Wife's Exercise Routine, Faces Embarrassment at Work #shorts
00:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 6 МЛН
Magufuli akiwafungukia watanzania kuhusu uzazi wa mpango
8:58
Anayedaiwa kuchukuliwa na Polisi kwa mahojiano akutwa ameuawa Zanzibar
6:55
Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Terminal One JNIA Mei 13,2016
17:24
MAGUFULI AANIKA MADUDU KUHUSU CORONA - "FENESI, MBUZI NAO WANA CORONA"
35:46
BABA WA TAIFA ALIILILIA TANZANIA KABLA YAKUKATA ROHO.
21:57
Wasafi Media
Рет қаралды 1,8 МЛН
Bike Vs Tricycle Fast Challenge
00:43
Russo
Рет қаралды 104 МЛН