No video

AL- KASUSI INAVYOWATESA WANAUME DAR, ASIMULIA INAVYOTENGENEZWA

  Рет қаралды 32,642

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

AL- KASUSI INAVYOWATESA WANAUME DAR, ASIMULIA INAVYOTENGENEZWA
Baada ya kushika hatamu na kuzungumziwa sana katika mitandao mbali mbali ya kijamiii nchini kinywaji chenye asili ya pwani maarufu kama Ali kasusi ambacho kila mtu anakizungumzia kwa namna yake Global radio ikazungumza na mtengenezaji wa kinywaji hicho ambae amefunguka mambo mengi watu wasiyioyajua kuhusu kinywaji hicho
GLOBAL TV ONLINE (+255 784 888982)
HABARI MPYA DAILY:
www.youtube.co....
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
www.youtube.co....
GLOBAL RADIO TV:
www.youtube.co....
EXCLUSIVE INTERVIEW:
www.youtube.co...

Пікірлер: 71
@myself4128
@myself4128 4 жыл бұрын
Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu, Taifa linawaza ngono tuuuu.....kila kitu ni nguvu za kiume,kuongeza uume,kupunguza uke,limbwata yaani ushirikina na ngono tuuu na inasikitisha kuwa mambo ya maana watu hawana tena umuhimu nayo,zinaa tuu
@kandorozilinde3892
@kandorozilinde3892 4 жыл бұрын
Namuona gabi mtanzania mzee wa mpo africa
@emmanuelbui662
@emmanuelbui662 4 жыл бұрын
Energy og hiyo acha kabisa
@peterkimbenju6916
@peterkimbenju6916 4 жыл бұрын
As eeeeeeeeee AL kasusi kuna siku ilintesa sana
@gwakisaezekiel2576
@gwakisaezekiel2576 4 жыл бұрын
ilikutesaje niambie rafiki
@hijarajab5449
@hijarajab5449 4 жыл бұрын
@@gwakisaezekiel2576 ikipikwa kali inakua km eneji hulali mm nimewahi kutokulala kabisa
@nusalim3389
@nusalim3389 4 жыл бұрын
Ama alkasus nahisi wanachanganya jina Kama kiarabu Kuna miti shamba unaitwa arqa sus au araqsus unafahamika nguvu yake ya kutibu na umetajwa kwny vitab hadithi Kama zile Sana makki na qisti Hindi nahisi Hawa wameupa jina mchanganyiko huu kutokana na jina la mti fulani .haitakuwa sahihi sana
@ahmadiluonyo7120
@ahmadiluonyo7120 4 жыл бұрын
Haya shehe wangu
@ahmadiluonyo7120
@ahmadiluonyo7120 4 жыл бұрын
Haya baba
@josephmgeni208
@josephmgeni208 3 жыл бұрын
Hii nimeielewa kwamba ukinywa mwili unachangamka hari ambayo inapelekea viungo vyote kua active ndio maana watu walipokunywa wakasema inaongeza nguvu za kiume sababu waliinuka upya
@emmamoke218
@emmamoke218 2 жыл бұрын
Unatafsiri vizuri kabisa. Ina leta énergie.
@balozichalamila4034
@balozichalamila4034 4 жыл бұрын
Mtangazaji ana kithethe duuh hii mpya
@TeamKRX
@TeamKRX 4 жыл бұрын
Sim naomba yake
@koshihadiraabdalla5673
@koshihadiraabdalla5673 4 жыл бұрын
Huyu Kaka hataki kusema ukweli lakini alqasusi ni dawa nzuri mwili mzima inafanya kazi papo kwa hapo asikosoe wenzake ni kweli pia upande wa nguvu za kiume mwenziwe kaeleza alichokijua na yeye aeleze ayajuayo so kukosoa mnanini watanzania kitafuta umaarufu na vipaji vya watu elimu ni bahari isiyo na mwisho
@muskeko7187
@muskeko7187 4 жыл бұрын
Hakosolewii mtu unaelezea uhalisia soko limevamiwa hata km mtu hajui hatak kujifunza ajue yeye hukologatu hatimaye wengine huona haifai na ikiwa ina refresh mwil ndo mana huona kunautofauti nyumban na km ingekua kwa ajil ya nguvu za kiume ingekua na affect kwa wanawake na watoto
@huseingulam982
@huseingulam982 Ай бұрын
Ak kasusi Simon drugs
@surealfredkabasa4518
@surealfredkabasa4518 4 жыл бұрын
Ndio nin sasa?
@hajiiddi1085
@hajiiddi1085 3 жыл бұрын
Hehehehe huyu jamaa anawadanganyeni!! Mimi ni mpishi, mimi hicho kinywaji pia natengeneza naita 5 Star***** chai!! Ni nzuri saana kwa imuni sistumi ya mwili wako! Pia inasafisha damu,cells pia brain!ni nzuri saana kwa mtoto kwani atakuwa na akili nyingi saana! Mtoto wangu kasimama na kuanza kutembea na sasa anaongea, Yuko na mwaka1 miezi nane!
@nageryt
@nageryt 2 жыл бұрын
Wapatikana wapi
@hajiiddi1085
@hajiiddi1085 2 жыл бұрын
@@nageryt mimi niko Vienna!!
@nageryt
@nageryt 2 жыл бұрын
Number zako
@hajiiddi1085
@hajiiddi1085 2 жыл бұрын
Lilian kwani wewe unaishi Vienna?
@nageryt
@nageryt 2 жыл бұрын
@@hajiiddi1085 nipe numba ama email
@nusalim3389
@nusalim3389 4 жыл бұрын
Kuna ankasus na alkasus mwanzo twafahamu ankasus ndio ilikuwa famous ni duni isio na kahawa Yani viunngo na dawa vinakuwa Kama buni na kahawa yake yafanana na hii Ila ni na ni decaffeinated ama alkasus naona wanatumia na maziwa kitu ambacho Kama ni dawa huwez ongeza na maziwa hususan Hawa maziwa ya Sasa
@idrisaseif7464
@idrisaseif7464 4 жыл бұрын
dah
@siriyangu4724
@siriyangu4724 4 жыл бұрын
Nikweli unaokowa vjana mara nyigi maboss wanajiangalia wao tu
@salumothman7548
@salumothman7548 4 жыл бұрын
Al kasusi nijuavyo mimi tangu enzi tuna itumia kama dawa ya kifua tena kipande kidogo unatafuna sasa hivi habari za nguvu za kiume zimetoka wapi tena bora mus keko umesema ukweli iyo ni dawa ya kifua bika ya kuchanganya na kitu kingine
@kuyeywamdaki8071
@kuyeywamdaki8071 4 жыл бұрын
Ongeera
@khamissaid9586
@khamissaid9586 4 жыл бұрын
Al kasusi achana nayo, mara ya mwanzo nliinywa kule zanzibar yaan dah aiseee hatar
@finalovesaid6317
@finalovesaid6317 4 жыл бұрын
Hahahaha nakumbuka zanzibar watu warikuwa wananiambia uza al kasusi bwana
@mamukassim4075
@mamukassim4075 3 жыл бұрын
Mume Wang ukinywa iyo sikutaki
@fatemaligalawa4151
@fatemaligalawa4151 4 жыл бұрын
Uku Oman ipo mingi
@najat.n2390
@najat.n2390 4 жыл бұрын
Nambiye my mkiarabu inaitwaje???mim niko saudia
@fatemaligalawa4151
@fatemaligalawa4151 4 жыл бұрын
@@najat.n2390 ngoja niwahulize nitakujibu
@najat.n2390
@najat.n2390 4 жыл бұрын
@@fatemaligalawa4151 sawa my love 💋shukran
@ummutaswaufi3980
@ummutaswaufi3980 4 жыл бұрын
@@najat.n2390 wanaita nusu coffee
@najat.n2390
@najat.n2390 4 жыл бұрын
Nescafee??????
@mohammedmussa7378
@mohammedmussa7378 4 жыл бұрын
Uongo mtupu haitibu chochote muogope mwenyezi mungu we
@muskeko7187
@muskeko7187 4 жыл бұрын
Km kwl unaelimu yake unahaki ya kusema ivyo
@fatemaligalawa4151
@fatemaligalawa4151 4 жыл бұрын
Hata Dodoma
@muhammadmahmoud1068
@muhammadmahmoud1068 4 жыл бұрын
Kw English inaitwaje na cc tuweze kuipata huku tulipo+974🇶🇦🇶🇦🇶🇦
@nusalim3389
@nusalim3389 4 жыл бұрын
English unaitwa liqorice kwa kiarabu ni عرق السوس Ila sidhan Kama ni hii alkasus jina la mtaani unless wawe wanachukua poda ya hio arqasus (liqorice)Kisha ndio wanaifanyia chai take hapo tutaelewana kiufupi bado Sina hoja sahihi kwsbb sijawah kuitumia najisikia tu
@muhammadmahmoud1068
@muhammadmahmoud1068 4 жыл бұрын
@@nusalim3389 🙏
@allyngoda761
@allyngoda761 4 жыл бұрын
Huyo jamaa anaweledi wa hali ya juu,ni mwerevu sana kukwepa maswali ,lakini amefafanua vizuri Sana.Kwakifupi hiyo Al kasusi ni Kama Energy Drinks UTAMU WA PIPI NI MATE YAKO Bye.
@hawraymuncw9893
@hawraymuncw9893 4 жыл бұрын
Huo mti kwa kiarabu unaitwaje?
@mosozifamily7633
@mosozifamily7633 4 жыл бұрын
Tunaomba namba yako mtaalam
@muskeko7187
@muskeko7187 4 жыл бұрын
0712618888
@wahidashabaz5982
@wahidashabaz5982 4 жыл бұрын
Utoe namba kaka
@muskeko7187
@muskeko7187 4 жыл бұрын
0712618888
@wahidashabaz5982
@wahidashabaz5982 4 жыл бұрын
@@muskeko7187 oky
@hayrounmahiza6618
@hayrounmahiza6618 4 жыл бұрын
@@muskeko7187 upo keko sehem gan
@muskeko7187
@muskeko7187 4 жыл бұрын
@@hayrounmahiza6618 keko furniture
@livingstoned3890
@livingstoned3890 4 жыл бұрын
Kuna wale wengine wanawekaga Viagra ndo unafanya hivyo, Ila kwa hii yako ni og
@thomassiruri6256
@thomassiruri6256 4 жыл бұрын
Mikoani inafika vp hiyo kitu
@muskeko7187
@muskeko7187 4 жыл бұрын
Unatumiwa unga na kupewa maelekezo
@justinehermanshimbe1291
@justinehermanshimbe1291 4 жыл бұрын
Mus Keko npo dar nahitaji unga niutume mkoani
@maryammaram2612
@maryammaram2612 4 жыл бұрын
Kumbe mpk pumu inatibu aah lazma niitafute
@mohammedmussa7378
@mohammedmussa7378 4 жыл бұрын
Ungo mtupu haitibu pumu hiyo
@mohammedmussa7378
@mohammedmussa7378 4 жыл бұрын
Yuko mtu Pemba juzi nimezungumza naye pumu inasumbua paka kaenda kupiga sindano
@muskeko7187
@muskeko7187 4 жыл бұрын
@@mohammedmussa7378 al kasusi mti unatibu pumu na namtibu bure mgonjwa wako na akipona tunakubaliana ndo unatoa malipo sindano inatuliza haitibu usimkatishe mtu moyo kwa kitu cha kumsaidia elimu pana call 0712618888
@mohammedmussa7378
@mohammedmussa7378 4 жыл бұрын
@@muskeko7187 kuna mtu Yuko Pemba anasumbuliwa na pumu Sana inamfanya asipate raha ikimuanza
@habibswaleh1767
@habibswaleh1767 4 жыл бұрын
@@muskeko7187 je, alkasusi inasaidia katika mzunguko wa damu mwilini ? Na je, humsaidia mtu aliyeathirika na udhoofu wa uume ? Naomba maswali mawili unijbu 1 baada ya 1 shukran.
@applestru_cape2219
@applestru_cape2219 4 жыл бұрын
Hivi wanaume wa dar mnashida gani ? 😁mmeshahama kule kwenye bando la karanga.nazi. tende nk. Mnakwama wapi?🤓🤓🤓
@thomassiruri6256
@thomassiruri6256 4 жыл бұрын
Mikoani inafika vp hiyo kitu
@maryammaram2612
@maryammaram2612 4 жыл бұрын
Chips kuku tatizoo wanashindana na madada kula chips wakimaliza wanakimbilia al kasus😄😄😄
@applestru_cape2219
@applestru_cape2219 4 жыл бұрын
@@maryammaram2612 Mungu wangu jamani poleni sana .Wasichana wa Dar, pamoja na Wanaume zenu🐱🐱🐱
@maryammaram2612
@maryammaram2612 4 жыл бұрын
@@applestru_cape2219 😂😂😂 watajijua wenyewe wache wawaongezee kipato wenzao kwa kunywa al kasusi kwa wingi
@applestru_cape2219
@applestru_cape2219 4 жыл бұрын
@@maryammaram2612 🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
BINTI ALIYE -TREND KUOLEWA NA BABU MZUNGU- " ANAJUA MAPENZI"
17:21
Global TV Online
Рет қаралды 467 М.
Doing This Instead Of Studying.. 😳
00:12
Jojo Sim
Рет қаралды 37 МЛН
My Cheetos🍕PIZZA #cooking #shorts
00:43
BANKII
Рет қаралды 27 МЛН
КАКУЮ ДВЕРЬ ВЫБРАТЬ? 😂 #Shorts
00:45
НУБАСТЕР
Рет қаралды 3,3 МЛН
Мы сделали гигантские сухарики!  #большаяеда
00:44
BI MSAFWARI | Katika ndoa, ni vitu gani huchukiza wanaume?
18:00
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 122 М.
MREMBO AMESOMA MASTERS MAREKANI ILA ANAUZA MAKANDE MWANZA
18:47
Millard Ayo
Рет қаралды 595 М.
MAJIBU YA MTENGENEZAJI: Anayepaswa kunywa Al-Kasusi na utaratibu wa dozi
4:02
SHOW: Wema Sepetu amsaidia kutunga wimbo Diamond Platnumz!
41:22
The mboni show
Рет қаралды 129 М.
Mkasi - S02E01 with Dida Wa G
26:13
MkasiTV
Рет қаралды 312 М.
FULL VIDEO: Makonda akiwataja wanaotuhumiwa kwa dawa za kulevya DSM
10:49
Doing This Instead Of Studying.. 😳
00:12
Jojo Sim
Рет қаралды 37 МЛН