Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda leo February 2 2017 amewaita Waandishi wa habari na kuwaambia kuhusu uchunguzi aliofanya kwa wanaotumia na kufanya biashara ya dawa za kulevya kwenye jii la Dar es salaam.
Пікірлер: 168
@hassankayla40768 жыл бұрын
Mungu akusimamie sana mkuu #PAULMAKONDA ahsante sana #MILARD kwa habar moto moto
@sifacycy_bby88278 жыл бұрын
Hapo sawa kabisa ziwieni haswaaaa maana wazazi wengi watoto wao wanaume wakiume wanaharibika sn kwaju yahizo dawa zakulevya! Asant san #Ayo tv Mungu azidi kubariki office yenu nabaraka tele and baraka kwa #Makonda anapeleka vzr
@victorsimba91528 жыл бұрын
mkubwa zambi huna
@NormanEric8 жыл бұрын
kazi nzuri mheshimiwa Makonda. kwenye vita hii nakuunga mkono kwa asilimia Mia moja.. Big Up sana
@celitomclassic50858 жыл бұрын
kazi njema our RC..... wiki ijayo fyatua mashoga ukianza na Kaoge... wanachafua mji... please i beg for this....
@datiusnjungani27848 жыл бұрын
Mungu akulinde ni kazi Ngumu sana kwa maana umo wapo wabunge madiwani mawazili viongozi wa kijeshi yahani ni kazi ya Mungu hii kwa kweli Mungu wetu akuepushe na mabaya yote But dah hii vita Ngumu sana
@nicksonimbuya33878 жыл бұрын
I appreciate you mkuu Paul makonda pambana tutafika na mungu atakulinda god be with you
@faridmobji8 жыл бұрын
safi kabisa Hizi ndo kazi na tusihurumiane katika hili yaani waaadhibiwe vikali
@afandehassan18 жыл бұрын
Mheshimiwa Paul Makonda la kwanza nakupongeza sana kwa kazi nzuri na hatari unayofanya la pili kuwa makini sana unapowataja hasa polisi wazembe wanaoshirikiana na hawa wafanya biashara za dawa za kulevya kwani akiwa bado mamlakani na umemtaja kwa mkutano na wandishi wa habari huoni wanaweza kuharibu uchunguzi ambayo bado hujakamilisha?
@ahmadsjuma70128 жыл бұрын
viongozi kama nyinyi ndio tunaowataka, hao watu wakubwa wanawaumiza hawa wanyonge ni bora sheria ichukue mkondo wake. kazi njema mkuu.
@EsterPaul-uc7ny8 ай бұрын
Mungu akusimamiee mheshimiwaa makee kazi hyooo sioo rahis mpaka uweee namoyoo , mheshimiwaa nashidaa sana naombaa unisaidiee hataaa helaa yamtaji nipooo chuoni ninamaishaa mangumu Sanaa
@tracyjustice16008 жыл бұрын
safi sana Mh. Makonda mungu akulinde
@kadijahkadijah27998 жыл бұрын
shukran.miladiayoo
@xaverythozo69618 жыл бұрын
nice, kazi nzuri mungu akupe nguvu usichoke uzidi kupambana iwe mfano mzuri kwa mikoa mingine
@mercymtweve558 жыл бұрын
Hongera Sana Kwa kazi nzuri,Mungu Akutangulie na akufanyie wepesi.
@christinamushi48108 жыл бұрын
mungu akusimamie kwa kazi nzur
@mwanahella96508 жыл бұрын
Allah atakusimamia japokua vita uloingia ndani yake baba uwiii😷😷mkondo wake ni mrefu sana, InShaAllah Mungu atakusimamia ktk hili taifa linateketea
@shaibuhamisi87158 жыл бұрын
shukrani sana millard Ayo
@halimaaminiamini19658 жыл бұрын
Hongera sana mkuu wetu!! kwan madawa yametuharibia kizazi chetu Mungu akusimamie kwahili kwan ni vita kali mnooo!!!
@sphrb10638 жыл бұрын
mwenyezi mungu akupiganie ktk kazi yako
@salimmalaatu36638 жыл бұрын
saf sanaaa mweshimiwa Muumba akuongezee nguvu akupe ujasiri Paul Makonda
@innocentchristian47748 жыл бұрын
Kwa Hili Nakupa 100% Bt Bado ya Mashoga
@aishahussein87418 жыл бұрын
innocent christian kwel mashoga alisemaga lkn wap bado wanajitangaza ila awafatilii
@delphinacharles13048 жыл бұрын
Mungu akutangulie katika kutimiza wajibu wako
@bnxbxn10858 жыл бұрын
MUNGU akutie nguvu katika kazi uzofanya
@josephmasome4948 жыл бұрын
Mungu kufanyie wepesi katika majukumu yako mh Makonda
@nyash25428 жыл бұрын
254 huwezi kuwataja watuhumiwa kabla hujawapata na ushahidi kazi nzuri ila umeivujisha mapema rahisi kwao kupata mbinu yakujitetea..
@petermwantole94338 жыл бұрын
Una kazi ngumu na ya hatari , lakini Mungu atakusimamia...
@mamatuishi-mamatuondoke88228 жыл бұрын
Kazi hiyo makonda zuri tena sna -utakomboa wengi lakin-----------
@giztony20092 ай бұрын
Alisingizia watu kwa manufaa yke nasikia alikuwa anawaendea watu na kuwaambia usiponipa hela fulani, gari au nyumba nakuweka kwenye list ya madawa ya kulevya! Huyu hafai hata kuigwa
@ibramagige77508 жыл бұрын
safi sana mkuu mungu akulinde
@GEORFILM_Tz8 жыл бұрын
safi sana makonda wetu
@frankkahimba12488 жыл бұрын
Nampa big up sana huyu mkali (Mheshimiwa P Makonda). Natamani aje kuwa rais wa nchi hii tena ni baada tu mheshimiwa Magufuli kumaliza muda wake.
@mbwanamkenda85608 жыл бұрын
mungu akupiganie katika hili
@musitemusite43164 жыл бұрын
M ungu akulinde sana
@anodnjenje90848 жыл бұрын
Good job kamata wote...
@saddammiheso62708 жыл бұрын
nice work
@raphaelluhemeja68368 жыл бұрын
Mungu akulinde na akuongezee
@sphrb10638 жыл бұрын
barikiwa bro Millard asante sn
@ahmed-shakirmwamba49928 жыл бұрын
Tatizo hili litaisha kama mtafuata au mtamuiga Rais Duterte wa Philippines.
@shd12m558 жыл бұрын
Brother uko juu salut sana broo
@ankotemba73698 жыл бұрын
I love you broo...uko vizuriiii
@richardpaul67098 жыл бұрын
Nahic 2tafika 2 mungu amlinde 2 mh poul makonda
@markakhereokhale87888 жыл бұрын
kaka unajituma sana kufanya kazi mungu atakusaidia damu ya yesu inenayo mema ikufunike Kila unapo kwenda amen
@dianaahdarlingkenya76168 жыл бұрын
great Job
@dastonamichaels18548 жыл бұрын
Dianaah Darling بةAyako yh
@emanuelmbondo45983 жыл бұрын
Kitambo sana.
@ignassilili81628 жыл бұрын
sjawahi kukupa pongezi kwa hiliiiiii mungu akusimamieee mkuuu makondaaaa
@joycemichaellovelove22218 жыл бұрын
kaz njema Mh.kila la kher Munch akutunze akuepushie na kukusimamia
@adamkanyamala93588 жыл бұрын
safi sana mh p makonda
@ramlak_dramafans88078 жыл бұрын
nikikusikiliza unanipa matumaini mheshimiwa adi wema sepetu na petiman 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭wanatumia ivovitu
@manasemwakagali93588 жыл бұрын
kazi ngumu hii, Mungu amsimamie kwakweli
@BinoAmos7 ай бұрын
Ddah bora kuuza mandazi na so siasa angalia Kenya chanzo siasa kumbuka Libya mzee Gaddafi kapotea chanzo siasa yani ndomaana saa zinginne mzee wawatu dah yote aty aonekane anafanya kazi ati Mungu akakuulize madawa yakulevya kakosa maswali Dah siasa bora kula nakujisaidia oumzika kwa aman Mzee Yusuf
@kitengeambari26468 жыл бұрын
mungu amlinde makonda na ulinzi aongezewe
@imagepower36418 жыл бұрын
safi sana uko sawa
@frankanjelo18258 жыл бұрын
mungu akuongoze Paul makonda
@sizaanselim16428 жыл бұрын
Mh. paul makonda haupo peke yako ila Mungu aliyejuu yupo pamoja na ww kwani ulichofanya ni jambo la busara la kuokoa vijana wetu. unahitaji to be motivated. what you do today it will bring change tomorrow.
@mamarama63608 жыл бұрын
mungu atakusaidia na kukulinda fanya kaz mkuu
@perfectbarschapter70518 жыл бұрын
mungu akutangulie big bro
@esterelisante32948 жыл бұрын
mungu akusimamie katika utendajiwako wakanzi akuwekee ulinzi wa kutosha
@mohamedintumbitumbimbamba61058 жыл бұрын
Kila la kheri Paul Makonda kiongozi kijana mchapakazi. Tupo pamoja katika kupambana na dawa za kulevya. Wito wangu kwako kuwa, hiyo ni vita kubwa jipange kwa umakini na kusanya ushahidi na vielelezo vya kutosha kutokomeza tatizo hilo.
@andreagrado95908 жыл бұрын
mungu akusimamie bro
@selemanimasatu24218 жыл бұрын
Tatizo maadui ni wengi sana ila wanaopambana nao ni wachache tu. Simetime hata wengine wenye dhamana ya kupambana na maadui nao wamegeuka kuwa wasaliti tena, but jeshi la Mungu ni zaidi ya majeshi yaliyopo dunia na wala halina mshindani, go ahead Bwana mkubwa hakika sifa zako zitajulikana Mbinguni na wala si dunia pekee. Usichoke kutenda mema nasi tutazidi kukuombea dua ili Mungu azidi kuwa upande wako na kukulinda na mabaya yote.
@andrewasagwile71628 жыл бұрын
mfano wa kuigwa inatakiwa kiongozi kuwa jasiri namna hiyo hongera Mh RC
@charlesmagere90208 жыл бұрын
watu wajinga kweli yaan mtu anasema hamna kitu na huku mtu anapambana na wauza unga hii siyo kazi ndgo.....acheni ujinga
@BhaiMwadidu8 жыл бұрын
na hawa walio unlike wafanyiwe uchunguziii,mpk kielewekee.
@bettylozie90388 жыл бұрын
adili eliakimu 😂😂😂😂😂😂 itabidi tena kwa haraka saana
@sitibora49428 жыл бұрын
adili eliakimu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@sylvestermsafiri43728 жыл бұрын
mhm! Kazi kweli kweli.
@godsonchacha94458 жыл бұрын
Kazi nzuri
@mtalikodymediamix35728 жыл бұрын
Safii sana! Komaa nao.
@elymollel8 жыл бұрын
good job.
@rashidt.sindano33518 жыл бұрын
big up
@mohamedkatunka69438 жыл бұрын
Watanzania wenzangu wooote,mnaopenda na kupigania haki.Tafadhali ombeni Dua nyingi kwa muumba ziwa kings na baraka kwa mh.RC Makonda. Ni kazi ya hatari sana.
@Eng24608 жыл бұрын
good
@stanslauslekule98708 жыл бұрын
nikazi pouwa but why usinge washika kwanza na kuthibitisha nikweli no wahusika ndio use me jwa pablic je ukikuta hawausiki utawasafishiaje jina napita tu
@lizaali39638 жыл бұрын
mungu akutangulie
@merryjosephat7138 жыл бұрын
anyone watching this in March 2017?
@mariammarco15548 жыл бұрын
kazi nzuri ila unatakiwa uwe makini naamini hat Mungu atakufanyia wepesi. .
@wilbertseme54558 жыл бұрын
mungu husimama na watu wenye ujasiri na ushujaavkam ulio nao makonda
@abubakariyusufu93208 жыл бұрын
jipange na omba sana mungu maana chifupa tulimpoteza kimazabe mazabe2.
@gloryhulwe52108 жыл бұрын
yesu akufunike sana.watakao kusagia meno wasifanikiwe kwa jina la yesu
@halimanyauba60048 жыл бұрын
Mungu akusimamie mkuu
@otarueventsplanner13538 жыл бұрын
#Makonda Juu #ZABURI 45 ndio msaada wako
@manstego29838 жыл бұрын
wanyongwe hao jamani! ndio dawa yao pekee.
@anaquinones73838 жыл бұрын
kama kweli utafanyaivyo basi mungu akupenguvu maana nchi imealibika ususani dar rekebisa nikweli usiwe msemaji 2 tuone Na vitendo ukifanya tupo tunaekuweka ktk swala zetu tunakuombeya kwa mungu makonde Fanya kz usitizame MTU mualibifu ukamu acha 2 mungu awenawe. akulinde
@richardmzena46978 жыл бұрын
Ni balaaaaahhhh!!!!!
@gulwetv88018 жыл бұрын
wajina ukimaliza hilo deal na mashoga
@agnesrobert48838 жыл бұрын
pambana kijana mh makonda maana kazi iliyoko mbele yako ni kubwa sana lkn naamn Mungu atakusimamia ipasavyo.
@maidaphdmaidaclassicphd86908 жыл бұрын
yap
@emanuelmnkai76058 жыл бұрын
that's good, vijana wanaharibika kwa ajili ya drug, uchunguzi makini ufanyike ili wahusika halisi biashara hiyo wapatikane na wachukuliwe hatua
@josephcharles67038 жыл бұрын
Kazi kweli kweli
@janemwesh21408 жыл бұрын
Hakuna mtu atasema mtu hivyo tu..lazima amefanya uchunguzi kamili..Tanzanian people must be proud of him..huku kwetu kenya ukisema mtu hivyo kesho unauliwa..noma
@richardtagara76238 жыл бұрын
#**big up mkuu nikweri unakazi nzili*
@johnsamo90288 жыл бұрын
pambana kamanda, Mungu yu pamoja nawe
@johngambos8 жыл бұрын
safi nakupa 100%
@ritchiexanti95878 жыл бұрын
Hii vita so ya mtu mmoja.. Maana hizi business huwa zina network.. So kama unatupamba tu Paul Makonda halaf hufatilii hili swala kwanza yatakutokea puani and then DSM itabak bandar na shamba la madawa hayo.... Na vijana wataangamia
@vonkale85658 жыл бұрын
huyu kila siku maneno tuu nampa 109% vitendo 0%
@dibya208 жыл бұрын
Von Kale na ww ni muuzaji nini kipi zero asichokifanya
@rukiahussein97378 жыл бұрын
Von Kale 😂😂😂😂😉😉😂😂😉
@mara-cb3gx8 жыл бұрын
Von Kale mbona anajitahid jamani
@kfastak8 жыл бұрын
mara م namaneno sindio watanzania wanahitaji
@mara-cb3gx8 жыл бұрын
kelven kombo maneno ki2 simple eti
@khadijashabani55092 жыл бұрын
Umeondoka wamerudi na pia wamekukumbuka
@azahally92168 жыл бұрын
safi mkuu
@allikombo83793 жыл бұрын
Mambo
@zahramunir85968 жыл бұрын
Mhh..hawa ni wauwaji wasiachiwe..
@ramlak_dramafans88078 жыл бұрын
nita kulindaje? mheshimiwa wangu
@rosemarybenjamin58668 жыл бұрын
Mzee ukimu ona sepenga tu😂😂😇😇
@stevenmamba24648 жыл бұрын
Huyu hana lolote anawadhalilisha wasanii nakuwachafulia majina yao kujitafutia umaarufu. Kama mnaushahidi Polisi na upelelezi wameshindwaje kwenda kuwahoji bila camera na TV ? Wasanii wetu leo wanawika Afrika nzima badala ya kuwalinda na kuwasappoti ndo kwanza tunawachafulia majina.
@ombenithomas21808 жыл бұрын
mungu awe na wewe mkuu
@mokhimji2 жыл бұрын
Leo ni Tarehe 17/04/2022 na nacheka sana hahahahaha
@khalidally90128 жыл бұрын
Ndo walewale hao unaunlike jambo kama hil
@monicamabula74208 жыл бұрын
mwaka huu tuta eshimiana
@damydee52788 жыл бұрын
Tumepata kiongozi mwenye ujasiri sana mpaka nafurahi
@mayleo14408 жыл бұрын
Shisha iliishia wapi ? Zipo kibao kama zimeruhusiwa tu.
@msaniimpyaBMW8 жыл бұрын
#Uadilifu
@anethkimasa41228 жыл бұрын
eti jamani #Bange ni madawa ya kulevya mbona kasahau
@rosemarybenjamin58668 жыл бұрын
kiukwel kaz IPO apo mbk policy !! Ila mm naomba kila stag tuzione zisi yeyuke yeyuke kam za skopion