FULL VIDEO: Makonda akiwataja wanaotuhumiwa kwa dawa za kulevya DSM

  Рет қаралды 236,020

Millard Ayo

Millard Ayo

7 жыл бұрын

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda leo February 2 2017 amewaita Waandishi wa habari na kuwaambia kuhusu uchunguzi aliofanya kwa wanaotumia na kufanya biashara ya dawa za kulevya kwenye jii la Dar es salaam.

Пікірлер: 167
@celitomclassic5085
@celitomclassic5085 7 жыл бұрын
kazi njema our RC..... wiki ijayo fyatua mashoga ukianza na Kaoge... wanachafua mji... please i beg for this....
@sifacycy_bby8827
@sifacycy_bby8827 7 жыл бұрын
Hapo sawa kabisa ziwieni haswaaaa maana wazazi wengi watoto wao wanaume wakiume wanaharibika sn kwaju yahizo dawa zakulevya! Asant san #Ayo tv Mungu azidi kubariki office yenu nabaraka tele and baraka kwa #Makonda anapeleka vzr
@victorsimba9152
@victorsimba9152 7 жыл бұрын
mkubwa zambi huna
@hassankayla4076
@hassankayla4076 7 жыл бұрын
Mungu akusimamie sana mkuu #PAULMAKONDA ahsante sana #MILARD kwa habar moto moto
@datiusnjungani2784
@datiusnjungani2784 7 жыл бұрын
Mungu akulinde ni kazi Ngumu sana kwa maana umo wapo wabunge madiwani mawazili viongozi wa kijeshi yahani ni kazi ya Mungu hii kwa kweli Mungu wetu akuepushe na mabaya yote But dah hii vita Ngumu sana
@nicksonimbuya3387
@nicksonimbuya3387 7 жыл бұрын
I appreciate you mkuu Paul makonda pambana tutafika na mungu atakulinda god be with you
@NormanEric
@NormanEric 7 жыл бұрын
kazi nzuri mheshimiwa Makonda. kwenye vita hii nakuunga mkono kwa asilimia Mia moja.. Big Up sana
@ahmadsjuma7012
@ahmadsjuma7012 7 жыл бұрын
viongozi kama nyinyi ndio tunaowataka, hao watu wakubwa wanawaumiza hawa wanyonge ni bora sheria ichukue mkondo wake. kazi njema mkuu.
@innocentchristian4774
@innocentchristian4774 7 жыл бұрын
Kwa Hili Nakupa 100% Bt Bado ya Mashoga
@aishahussein8741
@aishahussein8741 7 жыл бұрын
innocent christian kwel mashoga alisemaga lkn wap bado wanajitangaza ila awafatilii
@petermwantole9433
@petermwantole9433 7 жыл бұрын
Una kazi ngumu na ya hatari , lakini Mungu atakusimamia...
@mamatuishi-mamatuondoke8822
@mamatuishi-mamatuondoke8822 7 жыл бұрын
Kazi hiyo makonda zuri tena sna -utakomboa wengi lakin-----------
@faridmobji
@faridmobji 7 жыл бұрын
safi kabisa Hizi ndo kazi na tusihurumiane katika hili yaani waaadhibiwe vikali
@ahmed-shakirmwamba4992
@ahmed-shakirmwamba4992 7 жыл бұрын
Tatizo hili litaisha kama mtafuata au mtamuiga Rais Duterte wa Philippines.
@EsterPaul-uc7ny
@EsterPaul-uc7ny Ай бұрын
Mungu akusimamiee mheshimiwaa makee kazi hyooo sioo rahis mpaka uweee namoyoo , mheshimiwaa nashidaa sana naombaa unisaidiee hataaa helaa yamtaji nipooo chuoni ninamaishaa mangumu Sanaa
@kadijahkadijah2799
@kadijahkadijah2799 7 жыл бұрын
shukran.miladiayoo
@mwanahella9650
@mwanahella9650 7 жыл бұрын
Allah atakusimamia japokua vita uloingia ndani yake baba uwiii😷😷mkondo wake ni mrefu sana, InShaAllah Mungu atakusimamia ktk hili taifa linateketea
@tracyjustice1600
@tracyjustice1600 7 жыл бұрын
safi sana Mh. Makonda mungu akulinde
@xaverythozo6961
@xaverythozo6961 7 жыл бұрын
nice, kazi nzuri mungu akupe nguvu usichoke uzidi kupambana iwe mfano mzuri kwa mikoa mingine
@frankkahimba1248
@frankkahimba1248 7 жыл бұрын
Nampa big up sana huyu mkali (Mheshimiwa P Makonda). Natamani aje kuwa rais wa nchi hii tena ni baada tu mheshimiwa Magufuli kumaliza muda wake.
@ignassilili8162
@ignassilili8162 7 жыл бұрын
sjawahi kukupa pongezi kwa hiliiiiii mungu akusimamieee mkuuu makondaaaa
@afandehassan1
@afandehassan1 7 жыл бұрын
Mheshimiwa Paul Makonda la kwanza nakupongeza sana kwa kazi nzuri na hatari unayofanya la pili kuwa makini sana unapowataja hasa polisi wazembe wanaoshirikiana na hawa wafanya biashara za dawa za kulevya kwani akiwa bado mamlakani na umemtaja kwa mkutano na wandishi wa habari huoni wanaweza kuharibu uchunguzi ambayo bado hujakamilisha?
@halimaaminiamini1965
@halimaaminiamini1965 7 жыл бұрын
Hongera sana mkuu wetu!! kwan madawa yametuharibia kizazi chetu Mungu akusimamie kwahili kwan ni vita kali mnooo!!!
@BinoAmos
@BinoAmos 7 күн бұрын
Ddah bora kuuza mandazi na so siasa angalia Kenya chanzo siasa kumbuka Libya mzee Gaddafi kapotea chanzo siasa yani ndomaana saa zinginne mzee wawatu dah yote aty aonekane anafanya kazi ati Mungu akakuulize madawa yakulevya kakosa maswali Dah siasa bora kula nakujisaidia oumzika kwa aman Mzee Yusuf
@shaibuhamisi8715
@shaibuhamisi8715 7 жыл бұрын
shukrani sana millard Ayo
@delphinacharles1304
@delphinacharles1304 7 жыл бұрын
Mungu akutangulie katika kutimiza wajibu wako
@emanuelmbondo4598
@emanuelmbondo4598 2 жыл бұрын
Kitambo sana.
@mohamedintumbitumbimbamba6105
@mohamedintumbitumbimbamba6105 7 жыл бұрын
Kila la kheri Paul Makonda kiongozi kijana mchapakazi. Tupo pamoja katika kupambana na dawa za kulevya. Wito wangu kwako kuwa, hiyo ni vita kubwa jipange kwa umakini na kusanya ushahidi na vielelezo vya kutosha kutokomeza tatizo hilo.
@anodnjenje9084
@anodnjenje9084 7 жыл бұрын
Good job kamata wote...
@ibramagige7750
@ibramagige7750 7 жыл бұрын
safi sana mkuu mungu akulinde
@richardpaul6709
@richardpaul6709 7 жыл бұрын
Nahic 2tafika 2 mungu amlinde 2 mh poul makonda
@markakhereokhale8788
@markakhereokhale8788 7 жыл бұрын
kaka unajituma sana kufanya kazi mungu atakusaidia damu ya yesu inenayo mema ikufunike Kila unapo kwenda amen
@salimmalaatu3663
@salimmalaatu3663 7 жыл бұрын
saf sanaaa mweshimiwa Muumba akuongezee nguvu akupe ujasiri Paul Makonda
@raphaelluhemeja6836
@raphaelluhemeja6836 7 жыл бұрын
Mungu akulinde na akuongezee
@planetmediatv7590
@planetmediatv7590 7 жыл бұрын
safi sana makonda wetu
@josephmasome494
@josephmasome494 7 жыл бұрын
Mungu kufanyie wepesi katika majukumu yako mh Makonda
@mercymtweve55
@mercymtweve55 7 жыл бұрын
Hongera Sana Kwa kazi nzuri,Mungu Akutangulie na akufanyie wepesi.
@christinamushi4810
@christinamushi4810 7 жыл бұрын
mungu akusimamie kwa kazi nzur
@selemanimasatu2421
@selemanimasatu2421 7 жыл бұрын
Tatizo maadui ni wengi sana ila wanaopambana nao ni wachache tu. Simetime hata wengine wenye dhamana ya kupambana na maadui nao wamegeuka kuwa wasaliti tena, but jeshi la Mungu ni zaidi ya majeshi yaliyopo dunia na wala halina mshindani, go ahead Bwana mkubwa hakika sifa zako zitajulikana Mbinguni na wala si dunia pekee. Usichoke kutenda mema nasi tutazidi kukuombea dua ili Mungu azidi kuwa upande wako na kukulinda na mabaya yote.
@stevenmamba2464
@stevenmamba2464 7 жыл бұрын
Huyu hana lolote anawadhalilisha wasanii nakuwachafulia majina yao kujitafutia umaarufu. Kama mnaushahidi Polisi na upelelezi wameshindwaje kwenda kuwahoji bila camera na TV ? Wasanii wetu leo wanawika Afrika nzima badala ya kuwalinda na kuwasappoti ndo kwanza tunawachafulia majina.
@saddammiheso6270
@saddammiheso6270 7 жыл бұрын
nice work
@ankotemba7369
@ankotemba7369 7 жыл бұрын
I love you broo...uko vizuriiii
@nyash2542
@nyash2542 7 жыл бұрын
254 huwezi kuwataja watuhumiwa kabla hujawapata na ushahidi kazi nzuri ila umeivujisha mapema rahisi kwao kupata mbinu yakujitetea..
@sphrb1063
@sphrb1063 7 жыл бұрын
mwenyezi mungu akupiganie ktk kazi yako
@kitengeambari2646
@kitengeambari2646 7 жыл бұрын
mungu amlinde makonda na ulinzi aongezewe
@topesafi9742
@topesafi9742 7 жыл бұрын
na hawa walio unlike wafanyiwe uchunguziii,mpk kielewekee.
@bettylozie9038
@bettylozie9038 7 жыл бұрын
adili eliakimu 😂😂😂😂😂😂 itabidi tena kwa haraka saana
@sitibora4942
@sitibora4942 7 жыл бұрын
adili eliakimu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@frankanjelo1825
@frankanjelo1825 7 жыл бұрын
mungu akuongoze Paul makonda
@anaquinones7383
@anaquinones7383 7 жыл бұрын
kama kweli utafanyaivyo basi mungu akupenguvu maana nchi imealibika ususani dar rekebisa nikweli usiwe msemaji 2 tuone Na vitendo ukifanya tupo tunaekuweka ktk swala zetu tunakuombeya kwa mungu makonde Fanya kz usitizame MTU mualibifu ukamu acha 2 mungu awenawe. akulinde
@neemahassan8786
@neemahassan8786 7 жыл бұрын
mungu akusaidie
@godsonchacha9445
@godsonchacha9445 7 жыл бұрын
Kazi nzuri
@mbwanamkenda8560
@mbwanamkenda8560 7 жыл бұрын
mungu akupiganie katika hili
@manstego2983
@manstego2983 7 жыл бұрын
wanyongwe hao jamani! ndio dawa yao pekee.
@bnxbxn1085
@bnxbxn1085 7 жыл бұрын
MUNGU akutie nguvu katika kazi uzofanya
@manasemwakagali9358
@manasemwakagali9358 7 жыл бұрын
kazi ngumu hii, Mungu amsimamie kwakweli
@sphrb1063
@sphrb1063 7 жыл бұрын
barikiwa bro Millard asante sn
@ritchiexanti9587
@ritchiexanti9587 7 жыл бұрын
Hii vita so ya mtu mmoja.. Maana hizi business huwa zina network.. So kama unatupamba tu Paul Makonda halaf hufatilii hili swala kwanza yatakutokea puani and then DSM itabak bandar na shamba la madawa hayo.... Na vijana wataangamia
@sizaanselim1642
@sizaanselim1642 7 жыл бұрын
Mh. paul makonda haupo peke yako ila Mungu aliyejuu yupo pamoja na ww kwani ulichofanya ni jambo la busara la kuokoa vijana wetu. unahitaji to be motivated. what you do today it will bring change tomorrow.
@perfectbarschapter7051
@perfectbarschapter7051 7 жыл бұрын
mungu akutangulie big bro
@joycemichaellovelove2221
@joycemichaellovelove2221 7 жыл бұрын
kaz njema Mh.kila la kher Munch akutunze akuepushie na kukusimamia
@shd12m55
@shd12m55 7 жыл бұрын
Brother uko juu salut sana broo
@elymollel
@elymollel 7 жыл бұрын
good job.
@sylvestermsafiri4372
@sylvestermsafiri4372 7 жыл бұрын
mhm! Kazi kweli kweli.
@imagepower3641
@imagepower3641 7 жыл бұрын
safi sana uko sawa
@lizaali3963
@lizaali3963 7 жыл бұрын
mungu akutangulie
@emanuelmnkai7605
@emanuelmnkai7605 7 жыл бұрын
that's good, vijana wanaharibika kwa ajili ya drug, uchunguzi makini ufanyike ili wahusika halisi biashara hiyo wapatikane na wachukuliwe hatua
@esterelisante3294
@esterelisante3294 7 жыл бұрын
mungu akusimamie katika utendajiwako wakanzi akuwekee ulinzi wa kutosha
@ramlak_dramafans8807
@ramlak_dramafans8807 7 жыл бұрын
nikikusikiliza unanipa matumaini mheshimiwa adi wema sepetu na petiman 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭wanatumia ivovitu
@dianaahdarlingkenya7616
@dianaahdarlingkenya7616 7 жыл бұрын
great Job
@dastonamichaels1854
@dastonamichaels1854 7 жыл бұрын
Dianaah Darling بةAyako yh
@adamkanyamala9358
@adamkanyamala9358 7 жыл бұрын
safi sana mh p makonda
@mamarama6360
@mamarama6360 7 жыл бұрын
mungu atakusaidia na kukulinda fanya kaz mkuu
@musitemusite4316
@musitemusite4316 3 жыл бұрын
M ungu akulinde sana
@janemwesh2140
@janemwesh2140 7 жыл бұрын
Hakuna mtu atasema mtu hivyo tu..lazima amefanya uchunguzi kamili..Tanzanian people must be proud of him..huku kwetu kenya ukisema mtu hivyo kesho unauliwa..noma
@andrewasagwile7162
@andrewasagwile7162 7 жыл бұрын
mfano wa kuigwa inatakiwa kiongozi kuwa jasiri namna hiyo hongera Mh RC
@charlesmagere9020
@charlesmagere9020 7 жыл бұрын
watu wajinga kweli yaan mtu anasema hamna kitu na huku mtu anapambana na wauza unga hii siyo kazi ndgo.....acheni ujinga
@otarueventsplanner1353
@otarueventsplanner1353 7 жыл бұрын
#Makonda Juu #ZABURI 45 ndio msaada wako
@marimalasmi1805
@marimalasmi1805 7 жыл бұрын
hahaha na sepenga ww mkaka sio bure una bifu na miss tz
@mariammarco1554
@mariammarco1554 7 жыл бұрын
kazi nzuri ila unatakiwa uwe makini naamini hat Mungu atakufanyia wepesi. .
@wilbertseme5455
@wilbertseme5455 7 жыл бұрын
mungu husimama na watu wenye ujasiri na ushujaavkam ulio nao makonda
@josephcharles6703
@josephcharles6703 7 жыл бұрын
Kazi kweli kweli
@maidaphdmaidaclassicphd8690
@maidaphdmaidaclassicphd8690 7 жыл бұрын
yap
@mtalikodymediamix3572
@mtalikodymediamix3572 7 жыл бұрын
Safii sana! Komaa nao.
@andreagrado9590
@andreagrado9590 7 жыл бұрын
mungu akusimamie bro
@ombenithomas2180
@ombenithomas2180 7 жыл бұрын
mungu awe na wewe mkuu
@johnsamo9028
@johnsamo9028 7 жыл бұрын
pambana kamanda, Mungu yu pamoja nawe
@gloryhulwe5210
@gloryhulwe5210 7 жыл бұрын
yesu akufunike sana.watakao kusagia meno wasifanikiwe kwa jina la yesu
@gulwetv8801
@gulwetv8801 7 жыл бұрын
wajina ukimaliza hilo deal na mashoga
@mokhimji
@mokhimji 2 жыл бұрын
Leo ni Tarehe 17/04/2022 na nacheka sana hahahahaha
@richardtagara7623
@richardtagara7623 7 жыл бұрын
#**big up mkuu nikweri unakazi nzili*
@richardmzena4697
@richardmzena4697 7 жыл бұрын
Ni balaaaaahhhh!!!!!
@merryjosephat713
@merryjosephat713 7 жыл бұрын
anyone watching this in March 2017?
@agnesrobert4883
@agnesrobert4883 7 жыл бұрын
pambana kijana mh makonda maana kazi iliyoko mbele yako ni kubwa sana lkn naamn Mungu atakusimamia ipasavyo.
@monicamabula7420
@monicamabula7420 7 жыл бұрын
mwaka huu tuta eshimiana
@rashidt.sindano3351
@rashidt.sindano3351 7 жыл бұрын
big up
@mohamedkatunka6943
@mohamedkatunka6943 7 жыл бұрын
Watanzania wenzangu wooote,mnaopenda na kupigania haki.Tafadhali ombeni Dua nyingi kwa muumba ziwa kings na baraka kwa mh.RC Makonda. Ni kazi ya hatari sana.
@samirageorge528
@samirageorge528 7 жыл бұрын
mmmmh
@yunajailosy3504
@yunajailosy3504 7 жыл бұрын
mmmmmmh
@abubakarikisuju80
@abubakarikisuju80 2 жыл бұрын
Ulikuwa unafanya kazi kwa sifa na kujipendekeza kwa maguful"akini magufuli alikuwa hakupendi.
@rosemarybenjamin5866
@rosemarybenjamin5866 7 жыл бұрын
kiukwel kaz IPO apo mbk policy !! Ila mm naomba kila stag tuzione zisi yeyuke yeyuke kam za skopion
@johngambos
@johngambos 7 жыл бұрын
safi nakupa 100%
@Eng2460
@Eng2460 7 жыл бұрын
good
@stanslauslekule9870
@stanslauslekule9870 7 жыл бұрын
nikazi pouwa but why usinge washika kwanza na kuthibitisha nikweli no wahusika ndio use me jwa pablic je ukikuta hawausiki utawasafishiaje jina napita tu
@zahramunir8596
@zahramunir8596 7 жыл бұрын
Mhh..hawa ni wauwaji wasiachiwe..
@khalidally9012
@khalidally9012 7 жыл бұрын
Ndo walewale hao unaunlike jambo kama hil
@halimanyauba6004
@halimanyauba6004 7 жыл бұрын
Mungu akusimamie mkuu
@issamohamedissa8894
@issamohamedissa8894 7 жыл бұрын
dah hatareee sanaaaa...swala la NGADA NI HATAREEE ....KILA LA KHERI BUT ALLAH ATAKUPIGANIA NA KUKULINDA....WANAFANYA KUFURU ZA PESA KUMBE BEHIND THE SCENE WANAUZA NGADA
@ramlak_dramafans8807
@ramlak_dramafans8807 7 жыл бұрын
nita kulindaje? mheshimiwa wangu
@damydee5278
@damydee5278 7 жыл бұрын
Tumepata kiongozi mwenye ujasiri sana mpaka nafurahi
@samwelnyankena9873
@samwelnyankena9873 7 жыл бұрын
Hahahaha axeee ni shidaaaa
@deucstin9718
@deucstin9718 7 жыл бұрын
nakukubali sana wewe
Makonda Ataja Majina Mengine 65 ya Watuhumiwa wa Kuuza ‘Unga
10:39
Global TV Online
Рет қаралды 12 М.
"Unapotangaza mtu aje Polisi saa 5, wewe ni nani?" - MBOWE
12:00
Millard Ayo
Рет қаралды 691 М.
Heartwarming: Stranger Saves Puppy from Hot Car #shorts
00:22
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 20 МЛН
OMG🤪 #tiktok #shorts #potapova_blog
00:50
Potapova_blog
Рет қаралды 18 МЛН
Was ist im Eis versteckt? 🧊 Coole Winter-Gadgets von Amazon
00:37
SMOL German
Рет қаралды 35 МЛН
THE POLICE TAKES ME! feat @PANDAGIRLOFFICIAL #shorts
00:31
PANDA BOI
Рет қаралды 24 МЛН
Ruge Mutahaba: Kama Makonda Hakutaka Nije Hapa Kwanini TEF Mliniita?
7:41
Azam TV - JPM azungumzia sakata la elimu ya Makonda
2:52
Azam TV
Рет қаралды 49 М.
Raila, Kalonzo present as President Ruto signs IEBC Bill into law
40:07
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 145 М.
POLISI DSM YAWANASA WAUZAJI WA DAWA ZA KULEVYA DSM
9:55
Millard Ayo
Рет қаралды 124 М.
Yusuph Manji baada ya kutajwa na Makonda sakata la dawa za kulevya
13:52
Tid alivyotoa ushuhuda wa matumizi ya madawa ya kulevya mbele ya Makonda
6:21
MAKONDA AAMURU OCD BUGURUNI APANGIWE KAZI NYINGINE, WANANCHI WASHANGILIA
11:59
Heartwarming: Stranger Saves Puppy from Hot Car #shorts
00:22
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 20 МЛН