FULL VIDEO: Makonda akiwataja wanaotuhumiwa kwa dawa za kulevya DSM

  Рет қаралды 237,520

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda leo February 2 2017 amewaita Waandishi wa habari na kuwaambia kuhusu uchunguzi aliofanya kwa wanaotumia na kufanya biashara ya dawa za kulevya kwenye jii la Dar es salaam.

Пікірлер: 168
@hassankayla4076
@hassankayla4076 8 жыл бұрын
Mungu akusimamie sana mkuu #PAULMAKONDA ahsante sana #MILARD kwa habar moto moto
@sifacycy_bby8827
@sifacycy_bby8827 8 жыл бұрын
Hapo sawa kabisa ziwieni haswaaaa maana wazazi wengi watoto wao wanaume wakiume wanaharibika sn kwaju yahizo dawa zakulevya! Asant san #Ayo tv Mungu azidi kubariki office yenu nabaraka tele and baraka kwa #Makonda anapeleka vzr
@victorsimba9152
@victorsimba9152 8 жыл бұрын
mkubwa zambi huna
@NormanEric
@NormanEric 8 жыл бұрын
kazi nzuri mheshimiwa Makonda. kwenye vita hii nakuunga mkono kwa asilimia Mia moja.. Big Up sana
@celitomclassic5085
@celitomclassic5085 8 жыл бұрын
kazi njema our RC..... wiki ijayo fyatua mashoga ukianza na Kaoge... wanachafua mji... please i beg for this....
@datiusnjungani2784
@datiusnjungani2784 8 жыл бұрын
Mungu akulinde ni kazi Ngumu sana kwa maana umo wapo wabunge madiwani mawazili viongozi wa kijeshi yahani ni kazi ya Mungu hii kwa kweli Mungu wetu akuepushe na mabaya yote But dah hii vita Ngumu sana
@nicksonimbuya3387
@nicksonimbuya3387 8 жыл бұрын
I appreciate you mkuu Paul makonda pambana tutafika na mungu atakulinda god be with you
@faridmobji
@faridmobji 8 жыл бұрын
safi kabisa Hizi ndo kazi na tusihurumiane katika hili yaani waaadhibiwe vikali
@afandehassan1
@afandehassan1 8 жыл бұрын
Mheshimiwa Paul Makonda la kwanza nakupongeza sana kwa kazi nzuri na hatari unayofanya la pili kuwa makini sana unapowataja hasa polisi wazembe wanaoshirikiana na hawa wafanya biashara za dawa za kulevya kwani akiwa bado mamlakani na umemtaja kwa mkutano na wandishi wa habari huoni wanaweza kuharibu uchunguzi ambayo bado hujakamilisha?
@ahmadsjuma7012
@ahmadsjuma7012 8 жыл бұрын
viongozi kama nyinyi ndio tunaowataka, hao watu wakubwa wanawaumiza hawa wanyonge ni bora sheria ichukue mkondo wake. kazi njema mkuu.
@EsterPaul-uc7ny
@EsterPaul-uc7ny 8 ай бұрын
Mungu akusimamiee mheshimiwaa makee kazi hyooo sioo rahis mpaka uweee namoyoo , mheshimiwaa nashidaa sana naombaa unisaidiee hataaa helaa yamtaji nipooo chuoni ninamaishaa mangumu Sanaa
@tracyjustice1600
@tracyjustice1600 8 жыл бұрын
safi sana Mh. Makonda mungu akulinde
@kadijahkadijah2799
@kadijahkadijah2799 8 жыл бұрын
shukran.miladiayoo
@xaverythozo6961
@xaverythozo6961 8 жыл бұрын
nice, kazi nzuri mungu akupe nguvu usichoke uzidi kupambana iwe mfano mzuri kwa mikoa mingine
@mercymtweve55
@mercymtweve55 8 жыл бұрын
Hongera Sana Kwa kazi nzuri,Mungu Akutangulie na akufanyie wepesi.
@christinamushi4810
@christinamushi4810 8 жыл бұрын
mungu akusimamie kwa kazi nzur
@mwanahella9650
@mwanahella9650 8 жыл бұрын
Allah atakusimamia japokua vita uloingia ndani yake baba uwiii😷😷mkondo wake ni mrefu sana, InShaAllah Mungu atakusimamia ktk hili taifa linateketea
@shaibuhamisi8715
@shaibuhamisi8715 8 жыл бұрын
shukrani sana millard Ayo
@halimaaminiamini1965
@halimaaminiamini1965 8 жыл бұрын
Hongera sana mkuu wetu!! kwan madawa yametuharibia kizazi chetu Mungu akusimamie kwahili kwan ni vita kali mnooo!!!
@sphrb1063
@sphrb1063 8 жыл бұрын
mwenyezi mungu akupiganie ktk kazi yako
@salimmalaatu3663
@salimmalaatu3663 8 жыл бұрын
saf sanaaa mweshimiwa Muumba akuongezee nguvu akupe ujasiri Paul Makonda
@innocentchristian4774
@innocentchristian4774 8 жыл бұрын
Kwa Hili Nakupa 100% Bt Bado ya Mashoga
@aishahussein8741
@aishahussein8741 8 жыл бұрын
innocent christian kwel mashoga alisemaga lkn wap bado wanajitangaza ila awafatilii
@delphinacharles1304
@delphinacharles1304 8 жыл бұрын
Mungu akutangulie katika kutimiza wajibu wako
@bnxbxn1085
@bnxbxn1085 8 жыл бұрын
MUNGU akutie nguvu katika kazi uzofanya
@josephmasome494
@josephmasome494 8 жыл бұрын
Mungu kufanyie wepesi katika majukumu yako mh Makonda
@nyash2542
@nyash2542 8 жыл бұрын
254 huwezi kuwataja watuhumiwa kabla hujawapata na ushahidi kazi nzuri ila umeivujisha mapema rahisi kwao kupata mbinu yakujitetea..
@petermwantole9433
@petermwantole9433 8 жыл бұрын
Una kazi ngumu na ya hatari , lakini Mungu atakusimamia...
@mamatuishi-mamatuondoke8822
@mamatuishi-mamatuondoke8822 8 жыл бұрын
Kazi hiyo makonda zuri tena sna -utakomboa wengi lakin-----------
@giztony2009
@giztony2009 2 ай бұрын
Alisingizia watu kwa manufaa yke nasikia alikuwa anawaendea watu na kuwaambia usiponipa hela fulani, gari au nyumba nakuweka kwenye list ya madawa ya kulevya! Huyu hafai hata kuigwa
@ibramagige7750
@ibramagige7750 8 жыл бұрын
safi sana mkuu mungu akulinde
@GEORFILM_Tz
@GEORFILM_Tz 8 жыл бұрын
safi sana makonda wetu
@frankkahimba1248
@frankkahimba1248 8 жыл бұрын
Nampa big up sana huyu mkali (Mheshimiwa P Makonda). Natamani aje kuwa rais wa nchi hii tena ni baada tu mheshimiwa Magufuli kumaliza muda wake.
@mbwanamkenda8560
@mbwanamkenda8560 8 жыл бұрын
mungu akupiganie katika hili
@musitemusite4316
@musitemusite4316 4 жыл бұрын
M ungu akulinde sana
@anodnjenje9084
@anodnjenje9084 8 жыл бұрын
Good job kamata wote...
@saddammiheso6270
@saddammiheso6270 8 жыл бұрын
nice work
@raphaelluhemeja6836
@raphaelluhemeja6836 8 жыл бұрын
Mungu akulinde na akuongezee
@sphrb1063
@sphrb1063 8 жыл бұрын
barikiwa bro Millard asante sn
@ahmed-shakirmwamba4992
@ahmed-shakirmwamba4992 8 жыл бұрын
Tatizo hili litaisha kama mtafuata au mtamuiga Rais Duterte wa Philippines.
@shd12m55
@shd12m55 8 жыл бұрын
Brother uko juu salut sana broo
@ankotemba7369
@ankotemba7369 8 жыл бұрын
I love you broo...uko vizuriiii
@richardpaul6709
@richardpaul6709 8 жыл бұрын
Nahic 2tafika 2 mungu amlinde 2 mh poul makonda
@markakhereokhale8788
@markakhereokhale8788 8 жыл бұрын
kaka unajituma sana kufanya kazi mungu atakusaidia damu ya yesu inenayo mema ikufunike Kila unapo kwenda amen
@dianaahdarlingkenya7616
@dianaahdarlingkenya7616 8 жыл бұрын
great Job
@dastonamichaels1854
@dastonamichaels1854 8 жыл бұрын
Dianaah Darling بةAyako yh
@emanuelmbondo4598
@emanuelmbondo4598 3 жыл бұрын
Kitambo sana.
@ignassilili8162
@ignassilili8162 8 жыл бұрын
sjawahi kukupa pongezi kwa hiliiiiii mungu akusimamieee mkuuu makondaaaa
@joycemichaellovelove2221
@joycemichaellovelove2221 8 жыл бұрын
kaz njema Mh.kila la kher Munch akutunze akuepushie na kukusimamia
@adamkanyamala9358
@adamkanyamala9358 8 жыл бұрын
safi sana mh p makonda
@ramlak_dramafans8807
@ramlak_dramafans8807 8 жыл бұрын
nikikusikiliza unanipa matumaini mheshimiwa adi wema sepetu na petiman 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭wanatumia ivovitu
@manasemwakagali9358
@manasemwakagali9358 8 жыл бұрын
kazi ngumu hii, Mungu amsimamie kwakweli
@BinoAmos
@BinoAmos 7 ай бұрын
Ddah bora kuuza mandazi na so siasa angalia Kenya chanzo siasa kumbuka Libya mzee Gaddafi kapotea chanzo siasa yani ndomaana saa zinginne mzee wawatu dah yote aty aonekane anafanya kazi ati Mungu akakuulize madawa yakulevya kakosa maswali Dah siasa bora kula nakujisaidia oumzika kwa aman Mzee Yusuf
@kitengeambari2646
@kitengeambari2646 8 жыл бұрын
mungu amlinde makonda na ulinzi aongezewe
@imagepower3641
@imagepower3641 8 жыл бұрын
safi sana uko sawa
@frankanjelo1825
@frankanjelo1825 8 жыл бұрын
mungu akuongoze Paul makonda
@sizaanselim1642
@sizaanselim1642 8 жыл бұрын
Mh. paul makonda haupo peke yako ila Mungu aliyejuu yupo pamoja na ww kwani ulichofanya ni jambo la busara la kuokoa vijana wetu. unahitaji to be motivated. what you do today it will bring change tomorrow.
@mamarama6360
@mamarama6360 8 жыл бұрын
mungu atakusaidia na kukulinda fanya kaz mkuu
@perfectbarschapter7051
@perfectbarschapter7051 8 жыл бұрын
mungu akutangulie big bro
@esterelisante3294
@esterelisante3294 8 жыл бұрын
mungu akusimamie katika utendajiwako wakanzi akuwekee ulinzi wa kutosha
@mohamedintumbitumbimbamba6105
@mohamedintumbitumbimbamba6105 8 жыл бұрын
Kila la kheri Paul Makonda kiongozi kijana mchapakazi. Tupo pamoja katika kupambana na dawa za kulevya. Wito wangu kwako kuwa, hiyo ni vita kubwa jipange kwa umakini na kusanya ushahidi na vielelezo vya kutosha kutokomeza tatizo hilo.
@andreagrado9590
@andreagrado9590 8 жыл бұрын
mungu akusimamie bro
@selemanimasatu2421
@selemanimasatu2421 8 жыл бұрын
Tatizo maadui ni wengi sana ila wanaopambana nao ni wachache tu. Simetime hata wengine wenye dhamana ya kupambana na maadui nao wamegeuka kuwa wasaliti tena, but jeshi la Mungu ni zaidi ya majeshi yaliyopo dunia na wala halina mshindani, go ahead Bwana mkubwa hakika sifa zako zitajulikana Mbinguni na wala si dunia pekee. Usichoke kutenda mema nasi tutazidi kukuombea dua ili Mungu azidi kuwa upande wako na kukulinda na mabaya yote.
@andrewasagwile7162
@andrewasagwile7162 8 жыл бұрын
mfano wa kuigwa inatakiwa kiongozi kuwa jasiri namna hiyo hongera Mh RC
@charlesmagere9020
@charlesmagere9020 8 жыл бұрын
watu wajinga kweli yaan mtu anasema hamna kitu na huku mtu anapambana na wauza unga hii siyo kazi ndgo.....acheni ujinga
@BhaiMwadidu
@BhaiMwadidu 8 жыл бұрын
na hawa walio unlike wafanyiwe uchunguziii,mpk kielewekee.
@bettylozie9038
@bettylozie9038 8 жыл бұрын
adili eliakimu 😂😂😂😂😂😂 itabidi tena kwa haraka saana
@sitibora4942
@sitibora4942 8 жыл бұрын
adili eliakimu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@sylvestermsafiri4372
@sylvestermsafiri4372 8 жыл бұрын
mhm! Kazi kweli kweli.
@godsonchacha9445
@godsonchacha9445 8 жыл бұрын
Kazi nzuri
@mtalikodymediamix3572
@mtalikodymediamix3572 8 жыл бұрын
Safii sana! Komaa nao.
@elymollel
@elymollel 8 жыл бұрын
good job.
@rashidt.sindano3351
@rashidt.sindano3351 8 жыл бұрын
big up
@mohamedkatunka6943
@mohamedkatunka6943 8 жыл бұрын
Watanzania wenzangu wooote,mnaopenda na kupigania haki.Tafadhali ombeni Dua nyingi kwa muumba ziwa kings na baraka kwa mh.RC Makonda. Ni kazi ya hatari sana.
@Eng2460
@Eng2460 8 жыл бұрын
good
@stanslauslekule9870
@stanslauslekule9870 8 жыл бұрын
nikazi pouwa but why usinge washika kwanza na kuthibitisha nikweli no wahusika ndio use me jwa pablic je ukikuta hawausiki utawasafishiaje jina napita tu
@lizaali3963
@lizaali3963 8 жыл бұрын
mungu akutangulie
@merryjosephat713
@merryjosephat713 8 жыл бұрын
anyone watching this in March 2017?
@mariammarco1554
@mariammarco1554 8 жыл бұрын
kazi nzuri ila unatakiwa uwe makini naamini hat Mungu atakufanyia wepesi. .
@wilbertseme5455
@wilbertseme5455 8 жыл бұрын
mungu husimama na watu wenye ujasiri na ushujaavkam ulio nao makonda
@abubakariyusufu9320
@abubakariyusufu9320 8 жыл бұрын
jipange na omba sana mungu maana chifupa tulimpoteza kimazabe mazabe2.
@gloryhulwe5210
@gloryhulwe5210 8 жыл бұрын
yesu akufunike sana.watakao kusagia meno wasifanikiwe kwa jina la yesu
@halimanyauba6004
@halimanyauba6004 8 жыл бұрын
Mungu akusimamie mkuu
@otarueventsplanner1353
@otarueventsplanner1353 8 жыл бұрын
#Makonda Juu #ZABURI 45 ndio msaada wako
@manstego2983
@manstego2983 8 жыл бұрын
wanyongwe hao jamani! ndio dawa yao pekee.
@anaquinones7383
@anaquinones7383 8 жыл бұрын
kama kweli utafanyaivyo basi mungu akupenguvu maana nchi imealibika ususani dar rekebisa nikweli usiwe msemaji 2 tuone Na vitendo ukifanya tupo tunaekuweka ktk swala zetu tunakuombeya kwa mungu makonde Fanya kz usitizame MTU mualibifu ukamu acha 2 mungu awenawe. akulinde
@richardmzena4697
@richardmzena4697 8 жыл бұрын
Ni balaaaaahhhh!!!!!
@gulwetv8801
@gulwetv8801 8 жыл бұрын
wajina ukimaliza hilo deal na mashoga
@agnesrobert4883
@agnesrobert4883 8 жыл бұрын
pambana kijana mh makonda maana kazi iliyoko mbele yako ni kubwa sana lkn naamn Mungu atakusimamia ipasavyo.
@maidaphdmaidaclassicphd8690
@maidaphdmaidaclassicphd8690 8 жыл бұрын
yap
@emanuelmnkai7605
@emanuelmnkai7605 8 жыл бұрын
that's good, vijana wanaharibika kwa ajili ya drug, uchunguzi makini ufanyike ili wahusika halisi biashara hiyo wapatikane na wachukuliwe hatua
@josephcharles6703
@josephcharles6703 8 жыл бұрын
Kazi kweli kweli
@janemwesh2140
@janemwesh2140 8 жыл бұрын
Hakuna mtu atasema mtu hivyo tu..lazima amefanya uchunguzi kamili..Tanzanian people must be proud of him..huku kwetu kenya ukisema mtu hivyo kesho unauliwa..noma
@richardtagara7623
@richardtagara7623 8 жыл бұрын
#**big up mkuu nikweri unakazi nzili*
@johnsamo9028
@johnsamo9028 8 жыл бұрын
pambana kamanda, Mungu yu pamoja nawe
@johngambos
@johngambos 8 жыл бұрын
safi nakupa 100%
@ritchiexanti9587
@ritchiexanti9587 8 жыл бұрын
Hii vita so ya mtu mmoja.. Maana hizi business huwa zina network.. So kama unatupamba tu Paul Makonda halaf hufatilii hili swala kwanza yatakutokea puani and then DSM itabak bandar na shamba la madawa hayo.... Na vijana wataangamia
@vonkale8565
@vonkale8565 8 жыл бұрын
huyu kila siku maneno tuu nampa 109% vitendo 0%
@dibya20
@dibya20 8 жыл бұрын
Von Kale na ww ni muuzaji nini kipi zero asichokifanya
@rukiahussein9737
@rukiahussein9737 8 жыл бұрын
Von Kale 😂😂😂😂😉😉😂😂😉
@mara-cb3gx
@mara-cb3gx 8 жыл бұрын
Von Kale mbona anajitahid jamani
@kfastak
@kfastak 8 жыл бұрын
mara م namaneno sindio watanzania wanahitaji
@mara-cb3gx
@mara-cb3gx 8 жыл бұрын
kelven kombo maneno ki2 simple eti
@khadijashabani5509
@khadijashabani5509 2 жыл бұрын
Umeondoka wamerudi na pia wamekukumbuka
@azahally9216
@azahally9216 8 жыл бұрын
safi mkuu
@allikombo8379
@allikombo8379 3 жыл бұрын
Mambo
@zahramunir8596
@zahramunir8596 8 жыл бұрын
Mhh..hawa ni wauwaji wasiachiwe..
@ramlak_dramafans8807
@ramlak_dramafans8807 8 жыл бұрын
nita kulindaje? mheshimiwa wangu
@rosemarybenjamin5866
@rosemarybenjamin5866 8 жыл бұрын
Mzee ukimu ona sepenga tu😂😂😇😇
@stevenmamba2464
@stevenmamba2464 8 жыл бұрын
Huyu hana lolote anawadhalilisha wasanii nakuwachafulia majina yao kujitafutia umaarufu. Kama mnaushahidi Polisi na upelelezi wameshindwaje kwenda kuwahoji bila camera na TV ? Wasanii wetu leo wanawika Afrika nzima badala ya kuwalinda na kuwasappoti ndo kwanza tunawachafulia majina.
@ombenithomas2180
@ombenithomas2180 8 жыл бұрын
mungu awe na wewe mkuu
@mokhimji
@mokhimji 2 жыл бұрын
Leo ni Tarehe 17/04/2022 na nacheka sana hahahahaha
@khalidally9012
@khalidally9012 8 жыл бұрын
Ndo walewale hao unaunlike jambo kama hil
@monicamabula7420
@monicamabula7420 8 жыл бұрын
mwaka huu tuta eshimiana
@damydee5278
@damydee5278 8 жыл бұрын
Tumepata kiongozi mwenye ujasiri sana mpaka nafurahi
@mayleo1440
@mayleo1440 8 жыл бұрын
Shisha iliishia wapi ? Zipo kibao kama zimeruhusiwa tu.
@msaniimpyaBMW
@msaniimpyaBMW 8 жыл бұрын
#Uadilifu
@anethkimasa4122
@anethkimasa4122 8 жыл бұрын
eti jamani #Bange ni madawa ya kulevya mbona kasahau
@rosemarybenjamin5866
@rosemarybenjamin5866 8 жыл бұрын
kiukwel kaz IPO apo mbk policy !! Ila mm naomba kila stag tuzione zisi yeyuke yeyuke kam za skopion
Askofu Gwajima aongea baada ya kutajwa na Paul Makonda
8:45
Millard Ayo
Рет қаралды 260 М.
1% vs 100% #beatbox #tiktok
01:10
BeatboxJCOP
Рет қаралды 67 МЛН
MAKONDA AAMURU OCD BUGURUNI APANGIWE KAZI NYINGINE, WANANCHI WASHANGILIA
11:59
RC MAKONDA ATAJA ORODHA YA MASHOGA
9:07
Global TV Online
Рет қаралды 40 М.
BUNGENI: MBOWE VS MAJALIWA KUHUSU SHAMBULIO LA LISSU
12:23
Millard Ayo
Рет қаралды 323 М.