JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO chat.whatsapp.com/FeLe2DcIFAg...
@williamshinini789610 күн бұрын
Huyu Lema ni nabii nimeamini, ana hofu ya Mungu, ni mtu jasiri anayesimamia daima kile anachokiamini. Mungu akupe kibali kufikia malengo yako. God is all we need
@valentinemagige18409 күн бұрын
@@williamshinini7896 Unahakika? Unajua namna ya kutambua nabii wa kweli na wauongo kibiblia?
@EvaFuraha10 күн бұрын
Be blessed Lema.
@BensonMpete10 күн бұрын
Nabii lema 🎉🎉🎉🎉
@valentinemagige18409 күн бұрын
Manabii wapo wakweli na wauongo.
@tumpemsyani-io7pv10 күн бұрын
Nabii Lema
@ThomasKaungo10 күн бұрын
Lema mungu akubariki sana
@vicentbunzal734210 күн бұрын
Lema atapata nafasi nzuri zaidi ya huo ukatibu mkuu,lema ni mkweli wala hana tamaa kama walivyo wana ccm.
@JosephIsanzu-g1r10 күн бұрын
Nabii lema!wew n Noma
@VicentLooken10 күн бұрын
Mnyika yuko vzr sana
@gasperswai696310 күн бұрын
Bro safi saaaana! Kaka upo smart saana
@uswegemwakalobo622010 күн бұрын
Safi sana Lema
@saidikilangi36488 күн бұрын
❤
@jdanny49710 күн бұрын
Tamaaa
@robertphilip38510 күн бұрын
Lema nimwelewa sana kua katibu kwenye taasisi lazima uwe mtu msomi wa hali ya juu
@gabrielmchau876410 күн бұрын
Safi
@VicentLooken10 күн бұрын
Hawezi vibe la mnyika lema mnyika katulia kiume
@MwakaHappy8 күн бұрын
Huwezi ukasimama na lema ukabaki salama lema anamisimamo lakini pia ana hofu ya mungu rema siyo mnafiki
@NuruLutembeja-h1r9 күн бұрын
Kwa wanao amino chadema imeheshimika agonge like kama zote.
@RosemaryKidiro-wz3ux10 күн бұрын
Tuna wategemea jmn uku uraiani sisi atumuelewi uyu 😢
@komuhsengo979610 күн бұрын
Alikataa ukatibu😂
@wilisonmikate165210 күн бұрын
Alie sikia lema akisema mlisho tujuane.
@denismbulule17779 күн бұрын
Huyu si alisema kuwa hana nia wala hana uhitaji wa cheo chochote CHADEMA
@gwakisakaswaga524910 күн бұрын
Binafsi naona bado shida ndani yenu. Kwa picha ilivyokuwa sikutarajia TAL amzidi FAM kwa kura chache kiasi cha kura 31. What happened ??.
@richardnganya231110 күн бұрын
Shilingi 970 siyo sawa na 1000
@masoudali263110 күн бұрын
Jamaa alidhani atapata ukatibu mkuu.
@Godbless-o6c10 күн бұрын
Alikuambia?? ACHA umaamuma
@richardnganya231110 күн бұрын
Alidhani mkiwa naye au ili mradi nawe umetoa maoni
@PhilbertCelestin7 күн бұрын
Alikwambia???
@bongo3910 күн бұрын
Tahayuriii umekosa
@valentinemagige18409 күн бұрын
Huyu shule yake ndogo, ukatibu mkuu unahitaji shule na busara.
@kirungekirunge592010 күн бұрын
Kwangu Mimi naona kwenye uchaguzi huru na wa haki kati ya samia na John mnyika mnyika anaiibuka mshindi na hana uwezo wa kuipaisha nchi kuwa na uchumi mkubwa kuliko samia na CCM ya wanyonge na masikini ndio ufahari lakini wao ni matajiri tafakarini
@japhetmayige341010 күн бұрын
Hana uwezo au ana uwezo?
@mbikamtanganaki10 күн бұрын
Kutoka ujambazini hadi unabii
@geraldleger579310 күн бұрын
Weka MANENO maziri jamani !
@AnnoyedFlowerPot-mr2ps10 күн бұрын
Mhaini wewe na kundi lako mmemgeuka bosi wenu kibabe