KIMEUMANA! DEREVA MWANAMKE AMCHOMA MTUMISHI KWA RC MTAKA, MAGARI 200 YAKWAMA NJOMBE...

  Рет қаралды 36,655

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Пікірлер: 82
@globaltv_online
@globaltv_online 11 ай бұрын
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
@charlesmakelele4268
@charlesmakelele4268 11 ай бұрын
Anthony mtaka no bonge la kiongozi,,hajawahi niangusha Kila unapomuweka anafanya vizuri...hongeraa sn mheshimiwa,,,nakuona ktk nafasi ya ukatibu mkuu tamisemi.
@sarahkwamboka8190
@sarahkwamboka8190 11 ай бұрын
Yaani nchini kwetu viongozi wangekuwa wa hivi, ingekuwa raha kweli. Wanakalia mabungeni na kubuni mbinu za kuibia watoza ushuru na kujijazia mifuko yao. Mara nyingi viongozi wa Tz husikiliza sana wanaokandamizwa.
@kelvinulungi230
@kelvinulungi230 11 ай бұрын
Safi Sana mkuu mkoa, pomoja na mama huyo vituo vingi sana
@firmakisika5073
@firmakisika5073 11 ай бұрын
Hongera sana RC Njombe maelekezo yanayoleta matumaini kwa wafanyibiashara
@MagrethMallya-we8ui
@MagrethMallya-we8ui 11 ай бұрын
Hapa tutamkumbuka sana mwenda zake, enzi yake huu upuuzi haukiwepo labisa yani.
@nazarethjoseph8862
@nazarethjoseph8862 11 ай бұрын
Good job
@timboxlee919
@timboxlee919 11 ай бұрын
Hapo ni wizi tu,hakuna cha mfumo hapo, RIP JPM
@monicambossa4937
@monicambossa4937 11 ай бұрын
Safi sana Mama naomba namba yako niongeze ulinz
@alphoncejuma9652
@alphoncejuma9652 11 ай бұрын
Hongera sana ww ni kiongozi siyo bora mtawala
@MrA24G
@MrA24G 11 ай бұрын
Rafiki yngu mtaka ni no nonsense.Ifike mahali tuwe serious.
@abdallahmdiliko8088
@abdallahmdiliko8088 11 ай бұрын
Mama HUYU ameongea KWa UCHUNGU sanaa.. viongozi wetu wasaidieni HAWA wafanya biashara hakuna faida kuuubwaaaa SANAAAAA wanayoipata kisa wakiona Lori limejaza.. roshwa ni kubwa sana barabarani.. VIONGOZI WETU KIUKWELI MUNAJITAHIDI SANA KUWASAIDIA WANANCHI WENU.. HONGERA MKUU WA MKOA.. 🤝
@nashonmwinuka1758
@nashonmwinuka1758 11 ай бұрын
Huyo anaitwa ma Aron nimfanyabiashara sio dereva bhana mwandixhi
@batilda4920
@batilda4920 11 ай бұрын
Rushwa imezidi Sana duu!
@josephatemmanuel458
@josephatemmanuel458 11 ай бұрын
Uko sawa kiongozi Inafika mahara tubadilike tufanye kazi ili maeneeleo
@JosephJon-wk6il
@JosephJon-wk6il 11 ай бұрын
Mama nikweli kwabisa haowatu nimajambazibkilasehem maliyasili nishida kailuki kazianayo
@BakariIssa-nx3yf
@BakariIssa-nx3yf 11 ай бұрын
Inchi ya vibaka mama mwizi baba mwizi watoto wezi
@mlewamlewa976
@mlewamlewa976 11 ай бұрын
Point kabisa dad yangu wamezid hao yote huo nimchongo wa kupiga cm
@mwitawakimara3649
@mwitawakimara3649 11 ай бұрын
Mama shikamooo nimekuelewa good job
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 11 ай бұрын
Duuu kweli tanzania M,mungu anatuona
@fidelisjeremias3145
@fidelisjeremias3145 11 ай бұрын
Rushwaaa imezidiiii yaani bila uongozii kuwa makini watanzania wanatesekaa
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 11 ай бұрын
Na kuandamana hatuwezi
@user-dt9uv3hj6n
@user-dt9uv3hj6n 11 ай бұрын
HONGERA SANA MKUU WATUMISHIWENGI HAWANA UPENDO NA SERIKALI YAO NA HAPOLAWAMAZOTE ZINAMWANGUKIA RAIS HAPOTATIZO KUNARUSHWA INASUMBUA MKUU NAKUOMBASIKUNYINGINE FANYAUKAGUZI WA KUSHITUKIZA .
@onescaniaonescania8227
@onescaniaonescania8227 11 ай бұрын
Hii ichi imekosaa uzalendoo na uwajibikaji ,magufulii fufukaa , mwenzako kashindwa
@user-jo3cs3yu3o
@user-jo3cs3yu3o 11 ай бұрын
Naomba number hizo za kujifunza kingereza
@silasdominic5309
@silasdominic5309 11 ай бұрын
Hongera mkuu wa mkoa
@anosiata8242
@anosiata8242 11 ай бұрын
Rushwa ni shida kweli. Kweli
@franciskaristo822
@franciskaristo822 11 ай бұрын
Mama Aron umeongea point🙏🙏🙏
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 11 ай бұрын
Hii😢
@katambimfalimbega3808
@katambimfalimbega3808 11 ай бұрын
Heko mh maelezo mazuli shida baazi ya hao watumishi vibuli Sana
@juliusmwandusa1528
@juliusmwandusa1528 11 ай бұрын
Uongozi ni tunu hongera Sana kiongozi
@iddimngazija1957
@iddimngazija1957 11 ай бұрын
Nlisha wahi kuipita Check point ya nyigo ilikua ni ucku na ndo mara ya kwanza kupita njia ile ila kiuhalisia ile check point imejificha na kibao hakina hata kiakisi mwanga kwa ucku ni ngumu kukiona
@user-rs4vz2vt9z
@user-rs4vz2vt9z 11 ай бұрын
Shida ni unae muomba,yani unamshitaki paka kwa panya.
@mamachris6811
@mamachris6811 11 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@husseinmaula4965
@husseinmaula4965 11 ай бұрын
Mkuu upo sahihi
@MatronaThomas-wz5si
@MatronaThomas-wz5si 11 ай бұрын
Msaidieni Rais wetu jamani
@fidelisjeremias3145
@fidelisjeremias3145 11 ай бұрын
Hiyoo ndioooo Tanzania yetuu😅😅😅😅
@mdmahammad3278
@mdmahammad3278 11 ай бұрын
Hawana wajibu wakazi makukumia muda hawajuwi ndio maana tunahitaji katiba mpya Wana nch
@josephlorri431
@josephlorri431 11 ай бұрын
Idara za serikali zimekuwa ovyo sana..kuna watu wamekuja kukagua huduma yangu, lakini ghafla wameniandikia fine ya ajabu..tena wametengeneza control number wakati kipindi wanaondoka walisema ni 'supportive supervision". Nitalipa annual contribution, fine silipi. Walikuwa wanatengeneza mazingira ya rushwa siku tunafanya majumuisho ya taarifa.
@clevermgedzi4708
@clevermgedzi4708 11 ай бұрын
Angekuwa amefanya mtu wa kawaida angekuwa amefungwa na kesi ya hujumu uchumi
@khadi-z4o
@khadi-z4o 11 ай бұрын
UJINGA MTUPU VIONGOZI WA TZ.... WANAFANYA KUSUDI ILI WALE RUSHWA
@mohddelo
@mohddelo 11 ай бұрын
Safi mkuu
@jumanassoro1552
@jumanassoro1552 11 ай бұрын
Mfumo rushwa ndio unaofanya kazi
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 11 ай бұрын
KWELI KABISA KUNA SIKU NILITESEKA SANA UNAGONGA MIHURI MPAKA UNACHOKA
@user-zb5qz6fk1v
@user-zb5qz6fk1v 11 ай бұрын
Ccm hao na bado mtakoma maana hamtaki madabiliko mtateseka sana
@abdallahnkrumah6237
@abdallahnkrumah6237 11 ай бұрын
Hapo inawezekana Mifumo ikawa ZIMWI Jingine la kutafuna Wananchi kabla ya Mifumu kulikuwa na Zimwi la njoo kesho.
@mwanamwendy9265
@mwanamwendy9265 11 ай бұрын
Hilo la vituo kweli ni changamoto sana, usumbufu ni mwingi mno
@nappekiliakiliasalimu346
@nappekiliakiliasalimu346 11 ай бұрын
nikweli vituo vingi sana wanasumbua
@abdallahmdiliko8088
@abdallahmdiliko8088 11 ай бұрын
INASEMEKANA Kuna RUSHWA KUBWA SANA KWA WATU WA MALIASILI.
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 11 ай бұрын
Hakika
@ismailmwakabelele2393
@ismailmwakabelele2393 11 ай бұрын
Kila Kona uendapo, Tunaambiwa Mfumo. SISi mitandao sio mizuri,halafu Mfumo sio mzuri,hivi kwanini Tusiweke Manual,halafu kwenye Mfumo,mtandao upo down,umene umekatika hivi vyote tunacheleweshana. Jamani,tutumie njia ileile ya zamani,halafu wao watakopi kile walichokiandika Manual ili tusicheleweshane ati Mfumo. Zamani tulicheza Kwa kuandika mbona kazi hazikusimama?
@josephlorri431
@josephlorri431 11 ай бұрын
Huyu RC nimemwelewa, natamani wote wangekuwa hvo
@saadyusuph6554
@saadyusuph6554 11 ай бұрын
Rc uko vizuri Sana we ni mzalendo
@edwinekahatano8472
@edwinekahatano8472 11 ай бұрын
Kwakweli
@daslamonline4665
@daslamonline4665 11 ай бұрын
Mfumo wa upigaji
@josephkulija293
@josephkulija293 11 ай бұрын
Mfumo unarejea baada ya kusikia Mkuu wa Mkoa anakuja? Nakukubali sana Mkuu wa Mkoa ktk utendaji wako Mungu akubariki sana
@barakabusima
@barakabusima 11 ай бұрын
Shida iliyokuwepo ni ya kuvuta subra....😂
@bushirihamisi3819
@bushirihamisi3819 11 ай бұрын
Shida ya watumishi wa maliasli ni kero kubwa sana rushwa ndio kipaumbele chai akuna lolote hapo
@mahengedaktari-ek8go
@mahengedaktari-ek8go 11 ай бұрын
Wahuni hao
@FredymaswiMwita-oj6gv
@FredymaswiMwita-oj6gv 11 ай бұрын
Wanaofanya hayo Kwa kutaka mazingira ya rushwa rushwa
@bimumaulid1171
@bimumaulid1171 11 ай бұрын
SIJAONA WATU WAZEMBE KM SERIKALINI
@godfreyissa6231
@godfreyissa6231 11 ай бұрын
Hiii mifumoo mpaka hospital
@shafiismaily9223
@shafiismaily9223 11 ай бұрын
Tukubaliane nani anaemuuliza dereva maswala ya mbao!!?😅
@jellyyatta7597
@jellyyatta7597 11 ай бұрын
Mkinga huyo
@isayarevelian9698
@isayarevelian9698 11 ай бұрын
Kitu o chá waja iringa hakina alama kifutwe
@user-mz4ry1sl8l
@user-mz4ry1sl8l 11 ай бұрын
Hyu mkuu wa mkoa hajawai kuwa fala fala na chawa wa mtu,anakupga za uso papo papo hna masihara!😂
@saidmabanga388
@saidmabanga388 11 ай бұрын
😀😀😀😀
@saidmabanga388
@saidmabanga388 11 ай бұрын
Uyuuu jamaa namkumbkq tangu yupoo dodomq ni mtuu wa misimamo sanaa
@williamgeorge-hd2tn
@williamgeorge-hd2tn 11 ай бұрын
Sema nilichogundua huyu mother anaeongea ana pesa amini kwambaa😂😂😂
@saidmabanga388
@saidmabanga388 11 ай бұрын
C umeona shngoo ilivo nona
@JK-uq1tv
@JK-uq1tv 11 ай бұрын
😂😂😂😂
@bulunjamalimikulwa4876
@bulunjamalimikulwa4876 11 ай бұрын
Tutamshauri mama aturudishie Mtaka mkoa wa simiyu, mchapakazi huyu. Kongole kwake
@deograsiamgeni5716
@deograsiamgeni5716 11 ай бұрын
Pole saa hii zamu ya Njombe
@salymkitumbika8644
@salymkitumbika8644 11 ай бұрын
Na sisi wa Dodoma hatujamfaidi alituonjesha2 akahamishwa ni KIONGOZI bora sana
@ibrahimhodabaksh3939
@ibrahimhodabaksh3939 11 ай бұрын
VITUO VYANINI UPIGAJI TU
@liannsambu7264
@liannsambu7264 11 ай бұрын
Hilo ni swali niliuliza kwa waziri wa kilimo na naibu waziri wake miez michache ilopita kwenye mkutano wa Exporters , Pesa nying za serikali wanatumia Bilions of money kutengeneza mifumo lakini ni mibovu haifai ,hata kukata leseni tu kunamuda unazungushwa weeee shida tupu unajiuliza , hizo mifumo ipo hata ya kawaida tu ya oesa ndogo haisumbui ila ya serikali weee inazingua hiyo wakati ndiyo inayotumia mabilion ya walipakodi , NAONA WAPIGAJI WANASINGIZIA MIFUMO WAO WALE RUSHWA ,
@user-uo8xw9kr4b
@user-uo8xw9kr4b 11 ай бұрын
Sio watu wanaisitisha maksud ili wapate kitu mm ilinitokea nikaambiwa mfumo niliposimama imar mfumo ulifunguka mda huohuo.
@demicratia4071
@demicratia4071 11 ай бұрын
@ Abdala hawasaidiwi ni haki yao hao hakuna msaada walarushwa si watimuliwe tuu wanaombaomba pesa iwapo wenzao wako seriously kikazi zao Walipwe wiki moja kukwamishwa hapo ndio vitu vya kijinga jinga vinawakwamisha kuondoka
@mtegamelkior5193
@mtegamelkior5193 11 ай бұрын
Rc Mtaka ni moja ya majembe ya kutengemewa. Njb itabadilika kuwa ya maendeleo zaidi, mchumi mzuri huyo.
@user-kx5dt5ih2i
@user-kx5dt5ih2i 11 ай бұрын
Takukuru chunguzeni ukweri
@Jal210
@Jal210 11 ай бұрын
Rais bure umemwondoa mchengerwa
Vioja Mahakamani | Makokha Kujigongesha Kwa gari Ili Alipwe
23:58
KBC Channel 1 TV Shows
Рет қаралды 10 М.
How did Turkey change Somalia's fate?
23:42
TVNET X
Рет қаралды 270 М.
Dr. Chris Mauki: Mke mwenye busara humpa mumewe haya manne (4)
6:44