Jamani magufuli wewe mh mungu tunaomba mrudishe jamani huyu mtu
@hamadsaburi35693 ай бұрын
Mzalendo WA kweli
@ericakimande15894 жыл бұрын
Tunakukubali sana mkuu
@halimadamasi27705 ай бұрын
Daaah jembe limeenda😢mungu jaman
@Robert-p7c1k Жыл бұрын
Duh RIP baba
@estermathias83544 жыл бұрын
Nenepa tu baba laoooo
@agnessmwendwa75424 жыл бұрын
Afu kunawatu wanaota uraisi atausikia kwenye group magu ndio Habari ya mjini
@ramadhanimbulu67164 жыл бұрын
Naomba nipite jamani mbona mko barabarani siye wengine tupite wapi?
@mustaphersamson6174 Жыл бұрын
HAHAHAHAHAHA, MKUU NLIKUPENDA NA NTAENDELEA KUKUPENDA, ZAIDI, MWENYEZI MUNGU AKULAZE MAHALI PEMA PEPONI, AMINA.
@khalidballeth59574 жыл бұрын
Mh rais mbona waitara alikuwa mbunge huko pwani wakti kwao ni Tarime😀 Mwache Kulwa awatumikie wananchi wake😀
@Weplanetitsolutions Жыл бұрын
Alimaanisha kwamba biteko ni familia moja na damu moja na pia ni ndg so hawawezi wote wakawa viongozi katika category moja
@elishadalton1866 Жыл бұрын
Mzee yuko reaa sanaa yaani vijana wapo wengii nafasi wapewe wale wale kasema hapanaaa
@esromkanubho47384 жыл бұрын
Unanyima watu haki kama anauwezo wakuongoza mwachie nafasi afanyekazi
@tonyi68073 ай бұрын
sikiliza elewa elimika....
@mussaisaac Жыл бұрын
Huyu mzee kama yuko hai
@noelamilambo95954 жыл бұрын
sijaelewa ujue
@romancatholic1 Жыл бұрын
Mwamba
@henrytimothy3048 Жыл бұрын
Huyu lazima ni jamaa ako
@luismusisi91584 жыл бұрын
Wambie hao machadema hayana hata mipangilio
@agnessmwendwa75424 жыл бұрын
Machagadema yatajibeba
@petercosmas99024 жыл бұрын
simpo logic
@eventelias35664 жыл бұрын
Haina mashiko
@solemba5954 жыл бұрын
Sasa lkn Mh. wakiwa na sifa ni Bora wote wapewe nafasi.
@clintonkado61044 жыл бұрын
Hujaelewa logic hapo,mapacha huzaliwa sehemu moja Sasa inakuwaje huyu agombee bukombe mwingine busanda ambayo ni majimbo tofauti na yapo wilaya tofauti Sasa mapacha Hawa walkzaliwajeeew?
@solemba5954 жыл бұрын
@@clintonkado6104 Tanzania ni moja, kila mwananchi anahaki yakugombania uongozi sehemu yoyote(kwakuzingatia sheria ya nchi), haitawezekana kila mgombea akagombee Jimbo alilozaliwa, kama hivyo wabunge wote wa Dar warudi mikoani kwao, kumbuka vigezo masharti ya kugombea sio lazima ugombee sehemu ulio zaliwa. Nukta ya msingi ni kwamba kila mwenye uwezo/kipaww apewe nafasi ya kugombea Ili tupate Viongozi wazuri wanaoweza kutengeneza sera zitakazopelekea maendeleo ya Taifa letu.
@christophermalongo15774 жыл бұрын
@@solemba595 IQ yako ndongo
@solemba5954 жыл бұрын
@@christophermalongo1577 how ? Au ndio akili za kuambiwa?
@solemba5954 жыл бұрын
@@christophermalongo1577 how ? Au ndio akili za kuambiwa?