Рет қаралды 2,338,360
Prof Jay Alivyo- Rap Mbele ya JPM
Mbunge wa jimbo la Mikumi kwa tiketi ya Chadema, Joseph Haule 'Profesa Jay' , amefungukia Rais Magufuli, kuhusiana na kero zinazowakabili wananchi wake wa jimbo la Mikumi ikiwa ni pamoja na uhaba wa maji pamoja na ubovu wa barabara.
Profesa Jay ameyasema hayo katika ziara ya Rais Magufuli aliyoianza leo mkoani Morogoro, ambapo baada ya kusikiliza kero hizo Rais alimuomba ashushe mistari kidogo kwakuwa mbunge huyo ni mkongwe katika tasnia ya muziki nchini.
Fuatilia Video hii kisha uone kiundani kilichozungumzwa.lnstal GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .