Ommy yuko vizuri Allah amjaalie afya njema Global tv mpo juu
@johariabdalla33195 жыл бұрын
Mwinjaku husikikanwiii,usikae mbali na spikaa,hilo nimeliona,ila kipindi kikali sana sana,na kimeanza kwa kishindo,na interview za Ommy zinakuwa tamu sanaa..maana anajielewa,big up kwa global
@salmaothman1535 жыл бұрын
Rockstar 😘😘😘😘mwijaku ulipo nipo 😀😀😀😀😀
@fungafungatv4485 жыл бұрын
Mwijakuuuuuuu unanifurahisha sana
@naybakari34905 жыл бұрын
Big up sana kaka angu ommy
@sammahababoy57945 жыл бұрын
Anajuaa sanaa blood
@jackgeorge13095 жыл бұрын
Ommy dimpoz 💥💥💥🤙
@officialmamuu_kdt48225 жыл бұрын
Yaan ommy anajielewa mnoo
@asiazuberi97225 жыл бұрын
Penda sana ommy 😗😗
@stevewanga9575 жыл бұрын
Nowadayz Global naona wamekuja kivyengine... Video zao ziko poa sana..
@hadiyyahadiyya51745 жыл бұрын
Mashaallah Allah akujaaliye afya
@mbodzebemasika74775 жыл бұрын
mwijaku ni mtangazaji kumbe
@abdulmajidy54965 жыл бұрын
Mwijaku anaongea sanaaaa
@alfamkama79505 жыл бұрын
huyo Dada maswali yake siyaelewi kabisa yaan wasanii wa rockstar ni watu makini kwaiyo ulizeni maswali makini kama ya mwijaku
@stevewanga9575 жыл бұрын
Mwajika mpeni mtu time ya kujibu Maswali....
@kagoggoalfred27305 жыл бұрын
usicheze Na laana ya mama.mama ni mama waheshimiwe no matter what .shigongo get professional presenters .that's is stories not interview
@abdulmajidy54965 жыл бұрын
Mwijaku badilika
@africantiger66465 жыл бұрын
ommy dimpoz angekufa2 hana faida anaemuloga aendelee kumloga
@maryamm77655 жыл бұрын
😆😆😆😆🤗🤗🤗🔥🔥
@chiconinde81355 жыл бұрын
Mwijaku, mtu anaongea we unaingizia mada. Interview kama mpo kijiweni kaka!!! you have to change, hata namna unavyoongea pia siyo kiprofessional kabisa.
@hamismalimungu99595 жыл бұрын
Mwijaku unamkatsha mtu Kuongea
@anjelinakasembe8455 жыл бұрын
Jamani Ommy kaka nilikutafuta sana kama mtanzania mwenyezangu nikaandika sana kwenye KZbin nikiomba no yako niliishi köln naköln na Desedorf ni 25 Minuten lakini Sasa naishi München nanimasaa 5 nilisikitika sana kutokuja kukuona mimi na Mume wangu Nikita Tz ntakutafuta tule Lunch kiuzuri sio kama nataka chochote nawatu wasianze kufikiria chochote I am to See you Gesund🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@alimussa26555 жыл бұрын
😃😃😃
@dienovernakshy90265 жыл бұрын
Anjelina Kasembe hahahah
@dienovernakshy90265 жыл бұрын
Nlikuwa na shida na ww madam +255785854453
@waukweelinikkon65555 жыл бұрын
Karibu na bremen Anjelina kasembe,ndugu yako mwingine nipo huku mweeh
@agrotako80405 жыл бұрын
I don’t like this guy mwijaku Fala saaana mpumbavu ivi