SAKATA la RC CHALAMILA KUMJIBU MAMA MJAMZITO LAVURUGA BUNGE - MBUNGE AMTIKISA NAIBU WAZIRI....

  Рет қаралды 64,087

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

SAKATA la RC CHALAMILA KUMJIBU MAMA MJAMZITO LAVURUGA BUNGE - MBUNGE AMTIKISA NAIBU WAZIRI....
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 334
@globaltv_online
@globaltv_online 7 күн бұрын
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
@rosemneney3244
@rosemneney3244 7 күн бұрын
Acha ujinga wewe mtu achangie million.halafu akose hela ya wembe simbilis
@FranckDaniel-cc5rg
@FranckDaniel-cc5rg 7 күн бұрын
Huyu chalamila hafai kua kiongoz
@fortunatafelician5625
@fortunatafelician5625 7 күн бұрын
Tufahamu kuwa maandalizi kwa mama mjamzito anatakiwa kuandaa mwenyewe tangu mimba Ina mwezi Moja ..Maua Yako Chalamila🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@anselmoonolius
@anselmoonolius 7 күн бұрын
Mipango sio matumizi na wengne ndo nyie mnabebesha mimba na mnakimbia majukumu, wakat huo huo Kuna pesa nying tu za kununa pikpik na, na beskel nch nzima kwaajili ya watu wachache, watu maarufu wanalipwa ili tu kushiriki kwenye mikutano, magoli yananunuliwa, hongo makanisan Kama zote, v8 every year na CAG anasoma ufisadi wa kutisha mno kila Mara alaf xaxa Kuna wewe unaona ni sawa kauli ya chalamila tukisema unaakili mithiri ya mfugo tutakua tunakusingzia?
@RaphaelKapesa-x6g
@RaphaelKapesa-x6g 7 күн бұрын
Ko unaona nisawa???
@KashinjeJBulugu
@KashinjeJBulugu 6 күн бұрын
Huyu fortunate ni malaya,
@colletatesha5265
@colletatesha5265 6 күн бұрын
Daaaa
@josiacharles2778
@josiacharles2778 6 күн бұрын
Ujinga umekujaa na unafiki juu, Kuna watu wengine wanaishi kwenye mazingira ambayo siyo rafiki ata kidogo, siyo wanawake wote wanaenda kujifungua wako kwenye mausiano na aliempa mimba, maandalizi nivema, ila wengine wapo wanaitaji msaada
@bagaileshabani3179
@bagaileshabani3179 7 күн бұрын
Kweli hili ni binge la vichaa
@Hussenskinyangaa
@Hussenskinyangaa 6 күн бұрын
Huyu naibu waziri anajibu nini 😅😅😅😅😅iko siku yenu itafika
@geekilimba8362
@geekilimba8362 7 күн бұрын
Kama haufanyi kazi hospitali huwezi mwelewa chalamila , huwezi kuhurumia wote wasilipe hospitali itaishiwa
@WachunyaTebeka
@WachunyaTebeka 7 күн бұрын
Mbona unazungumza upumbavu.
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md 7 күн бұрын
Swala sio kuhulumia swala ni majibu yaliyotolewa na chalamila
@rosenyato8729
@rosenyato8729 7 күн бұрын
Kwa nini ajieleze dunia isikie. Hata kama lakini huwezi kumjibu mhitaji hivyo siyo lugja ya staha.
@martinnkuba6683
@martinnkuba6683 7 күн бұрын
Kuna watu ni zero kabisa
@leokamil6284
@leokamil6284 7 күн бұрын
​@@martinnkuba6683ndio maana tunatawaliwa milele ki uonevu na manyanyaso
@KazimiliKwiyega
@KazimiliKwiyega 7 күн бұрын
Huyu waziri anajua wanaojifungua kuwa hawezi hata kununua panando
@nasibujuma9218
@nasibujuma9218 6 күн бұрын
Ndiyo maana akasema kuna maafisa ustawi hospitalini so wananchi wafuate utaratibu uliowekwa watapata huduma stahiki
@PolycapySilayo-g9w
@PolycapySilayo-g9w 6 күн бұрын
Haya mazuzu yanatoa hela kuchangia yanga na simba ,hawapo tayari kuboresha huduma za afya.
@DavidChacha-c5z
@DavidChacha-c5z 7 күн бұрын
Nashangaa sana mambo ya kuchangia harusi yanapotumika kama utetezi wa kutomhudumia mja mzito na kuhalalisha kauli ya kinyanyasaji ya mkuu wa mkoa. Labda kama wana ushahidi kwamba huyu aliyefikwa na tatizo la uzazi jana yake alikuwa ametoa pesa kuchagia harusi.Hivi unaweza kuwa na uwezo wa kuchangia T-sh milioni moja halafu ushindwe kumhudumia mke wako anayejifungua? kwa garama isiyozidi laki? Sio kwamba mhanga alikuwa masikini tena pengine hata mume hana? Kweli nimeamini hii serekali si ya wananchi.
@leokamil6284
@leokamil6284 7 күн бұрын
Huyo Molell hafai ni mtu wa kujipendekeza ila hana lolote atolewe.Sio ya wananchi ni ya manufaa kwao ila wananchi hawajitambui ndio maana hawajikwamui kwa hili kundi
@NdageKitahama
@NdageKitahama 5 күн бұрын
Nikweli kabisa majibu alioitoa waziri hayana mashiko unavyotoa majibu uwe na uhakika kweli huyo mama ana mume na anaweza kuwa na mume lakini mwaume Wake akawa Hana kipato kilichotakiwa ni kimhudumia mama mjamzito Kwanza sio kutoa kauli ambazo hazina msingi kumbukeni mishahara mikubwa mnayolipwa ni Kodi za watanzania akiwemo huyo mama alafu kinachoshangaza ni kuwa kuna kauli Huwa zinatolewa kuwa mama mjamzito kujifungua ni bule kumbe Huwa ni maneno tu utekelezaji hakuna inasikitisha sana nchi hii imekuwa ya walichonacho Kama huna pesa unakufa unajiona Kama mama mjamzito kaambiwa hivyo bac Tena hakuna huruma Tena maana mjamzito ni watu wawili inatakiwa wote waokolewe unavyomchelewesha kumpatia huduma unahatarisha maisha ya mama na mtoto alioko tumboni mungu tunususu na ukatili huu
@rithaurassa
@rithaurassa 7 күн бұрын
Hayo siyo majibu kwakweli kwa mtu mzima anayeyaelewa maisha achukuliwe hatua kwa kwaeli.
@mtotowamanka
@mtotowamanka 7 күн бұрын
600b msamaha hakuna k2 kama hicho ela za goli la mama zipelekwe kwa akina mama wanaotakiwa kujifungua😢
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 7 күн бұрын
Safi sana kwa michango mizuri kutoka kwa wabunge na Waziri wetu. DJ ongeza sauti please! 😂😂😂😂😂
@judyngowi391
@judyngowi391 7 күн бұрын
Huyu naibu waziri ni kiazi
@Mohamed-j5w6w
@Mohamed-j5w6w 7 күн бұрын
Km huyu anafaa kuwa waziri ata mm naweza kuwa waziri
@ROBERTMGOGOSI
@ROBERTMGOGOSI 7 күн бұрын
Kwanza wewe unatakiwa kuwa Raisi mwamba😂😂 Maana huyo fala mimu mwwnyewe hata sielewagi anavyoviongeaga kumamaye zake😎
@jamaliddiin9357
@jamaliddiin9357 7 күн бұрын
Tena waziri mkuu sio waziri ,hawa jamaa sijui wanajibu wakiwa wamelewa au vip?
@GeorginaAnatory-u1z
@GeorginaAnatory-u1z 7 күн бұрын
unamuogopa mkuu wa mkoa ili asikuchukie au msipalanganyika kwa sababu uchaguzi unakaribia msimuogogope mkuu wa mkoa akitumbuliwa kuna watu wengi sana ambao wanaweza kuteuliwa na mama na wakafanya vizuri
@RamadhaniAhamadiKirua
@RamadhaniAhamadiKirua 7 күн бұрын
Kwanza wamechelewa wakati ukila chakula ukiona uchafu kwenye chakula hicho nikuuondosha haraka sana hiyo kauri yake sio kauri ya kiongozi wakuongoza watu nikauri ya kihuni alipaswa kuondoka haraka tu
@WachunyaTebeka
@WachunyaTebeka 7 күн бұрын
HUYO WAZIRI AFAI KABISA ANATOA MAJIBU RAISI SANA.
@mathiaszakaria7052
@mathiaszakaria7052 7 күн бұрын
Waziri anajibu kimasiala sana
@shabanizuberi4503
@shabanizuberi4503 7 күн бұрын
Sasa hao wabunge wote ni ccm,,lazima wamlinde mwenzao maana wanaona kauri walioiongea ni sahihi hata kama mama mjamzito anatakiwa aandae vifaa wakati wa mimba cyo Kila mwanamke anauwezo wa kufanya hvyoo..fahamu maisha yanatofautiana ila kwa vile hao viongozi hawaoni shida zetu ndyo maana wanaongea kauri rahisi namna hyo..
@SalimAbdallah-mi1wc
@SalimAbdallah-mi1wc 7 күн бұрын
Dawa Ni kufuta tu vikoba sijui Kausha damu Hela nyingi za hivo Hazina Baraka zawarudisha Sana nyuma wanawake
@rahma6189
@rahma6189 7 күн бұрын
Huyu waziri hio nafasi sio yake hayo ni majibu gani nyie kodizetu ngapi mnafanyia mikutano isiokua na msingi alafu unaongeautopoplo hujisikizi unachoongea
@leokamil6284
@leokamil6284 7 күн бұрын
Sijui kwa nini bado anabebwa huyo ni hovyo kabisa
@ephrahimkivuyo4275
@ephrahimkivuyo4275 7 күн бұрын
Pumbafu sana Masai 😅
@justinekigomboa
@justinekigomboa 7 күн бұрын
😂
@othumanomari1589
@othumanomari1589 7 күн бұрын
Siorai wa tz huyo ☝️
@jonathanmlinda2580
@jonathanmlinda2580 7 күн бұрын
Kwakweli mi binafsi ninamuelewa sana N/waziri Mollel, tukiamua kufungua ubongo tutamuelewa. Nchi zetu ni nchi zenye uchumi mdogo sana, serikali imefanikiwa kutenga 200B wakati dawa pekeyake mahitaji ni 227B, kwakifupi kuna mda mjamzito atahitajika kuchangia kdg na serikali itajitahidi kwa upande wake
@WilfredMfuru
@WilfredMfuru 7 күн бұрын
We ndio ujamuelewa majibu ya ccm kw mwenye shida ndio hayo siku zote
@NdageKitahama
@NdageKitahama 5 күн бұрын
Na wewe akili yako pumba mpaka mama anafikia kwenda kujifungu bila vifaa ujue Hali yake ni mbaya sana hakuna mwanamke anaetaka kwenda kujifungua bila vifaa mpaka huyo mama mjamzito anakwenda hosp kujifungua bila vifaa jua alikuwa na Hali ngumu kipesa
@japhetdaudmaneno8440
@japhetdaudmaneno8440 7 күн бұрын
Tokea hapoo,zama zilee, watanzania hawakosi majibu, CCM imeshachoka, mabadiriko yanatakiwa
@MashakaMagesa
@MashakaMagesa 7 күн бұрын
CCM Ina Watu wengi wazuri sema bado hawajapata nafasi mfano Mh Majaliwa, Mh Makonda
@japhetdaudmaneno8440
@japhetdaudmaneno8440 7 күн бұрын
@MashakaMagesa Inao wengi wazuri tena sana tu kama, JPM alivyoonyesha kwa muda mfupi, lakini tatizo, "General in System 'yao ndo haitaki
@barrynzeyimana6270
@barrynzeyimana6270 7 күн бұрын
MTU kivyake ndo anachoka sio chama. Mbowe anaweza kuchoka lakini haina maana Chadema imechoka
@japhetdaudmaneno8440
@japhetdaudmaneno8440 7 күн бұрын
@barrynzeyimana6270 Mimi sina chama, Mimi ni Mtanzania 🇹🇿 na wala sifungamani na upande wowote, je,ni sahihi wazee wale wale,wanajirudia mule,mule 74 anaingia wa 80 na wakati Taifa lina vijana wa kutosha,je Taifa linajengwa hivyo?
@denisipaulo7785
@denisipaulo7785 7 күн бұрын
Hao ndo ccm wanateteana kama kwamba wataishi milele
@SylvesterMakenzie
@SylvesterMakenzie 7 күн бұрын
Huyu mchaga sijuwi moleli sijawahi kuamini kama ana taaluma ya udaktari maana yuko kama mgonjwa
@petrokowero1709
@petrokowero1709 7 күн бұрын
Acha maswala ya ukabila, huyu siyo mchaga ni mmasai!
@RosemaryMalya
@RosemaryMalya 7 күн бұрын
Mgonjwa Tena wa ICU
@Mimi-wf7mb
@Mimi-wf7mb 7 күн бұрын
Acha ushamba na ukabila. Mollel ni majina ya waarusha siyo wachaga
@florencekombe5503
@florencekombe5503 7 күн бұрын
Marekebisho Ni mmasai
@CristinLyanga
@CristinLyanga 7 күн бұрын
Ila pia sekta hii ya afya sijawahi kumuelewa.
@juliusmlula1658
@juliusmlula1658 7 күн бұрын
Huyu waziri ni mbwa hajajibu swali na wengine wamekaa kimya kweli bunge la mchongo
@justinekigomboa
@justinekigomboa 7 күн бұрын
😂
@FrankKwanama-lo6fj
@FrankKwanama-lo6fj 7 күн бұрын
Hayo majibu ya waziri hayana meno!
@justinekigomboa
@justinekigomboa 7 күн бұрын
Nichangie harusi million then mke wangu aende hospital za serikali? Pumba kabisa 🤔
@stellahlinusi8215
@stellahlinusi8215 7 күн бұрын
mbona wapo unashaangaa nn yapo ayo Kuna watu awajari kabisa​@@justinekigomboa
@khadijayusuph2634
@khadijayusuph2634 7 күн бұрын
Kwani Mama samia ye anasemaje😊😊
@samsonkihwele6544
@samsonkihwele6544 7 күн бұрын
SIASA ZITAWAUWA ...HAYA ARVS ZINAADIMIKA MTAANI
@LeahMuhaje
@LeahMuhaje 7 күн бұрын
Na ALu na exemption zinafutwa watajua hawajui
@valentinemtei3588
@valentinemtei3588 7 күн бұрын
Asante doctor kwa majibu kinzani,
@rahmarafaeli1308
@rahmarafaeli1308 6 күн бұрын
Sio kila anae beba mbimba anao uwezo wa kununua vifaa kwani ukimsaidia kuna nn usio maisha yako ww ukafananisha na wengine sisi ni watanzania sio 🇰🇪
@JacklinyChacha
@JacklinyChacha 7 күн бұрын
Huyo hafai Yani hafai hata kidg je angekuwa ni mama yake kajibiwa hvy angefurahi tunahitaji majibu
@RizwanAbdallah
@RizwanAbdallah 5 күн бұрын
Wenzangu chalamila mnamuelewa kweli
@ViolethMazengo-nd8cy
@ViolethMazengo-nd8cy 2 күн бұрын
Huyu amezunguka mbuyu
@humphreylaban6871
@humphreylaban6871 7 күн бұрын
Wanapokuwa kwenye magari meusi ya serikali, maofisi yenye viyoyozi, posho za mamilioni wanasahau kwamba kuna binadamu wanaohangaika kwa mambo mengi katika nchi hii... Hata kuchunga kauli wanashindwa
@MashakaMagesa
@MashakaMagesa 7 күн бұрын
Ni bora Serikali ikaondoa ile sera ya mama mjamzito na mtoto kutibiwa bule Serikali itoe kauli kwamba Matibabu ni pesa popote pale vitu vya bule havipo watu wajue wajipange kama alivyosema Jpm hakuna chakula cha bule katika utawala wake
@esromkanubo815
@esromkanubo815 7 күн бұрын
Umejibu vizuri naibu waziri
@liberatusjames5835
@liberatusjames5835 7 күн бұрын
Majibu yasiyo na kichwa Wala miguu
@justinekigomboa
@justinekigomboa 7 күн бұрын
Msomi huyo😅
@alexandermalima610
@alexandermalima610 7 күн бұрын
Hebu fikiria majibu kama yamekidhi haja ya swali,
@revocatuskato9474
@revocatuskato9474 7 күн бұрын
tatizo la bunge la chama kimoja ,lengo lao ni kuteteana ,kulindana ilimladi wabaki madarakani,huyu mkuu wa mkoa alitakiwa kuwa ametenguliwa,vinginevyo watu wataamini kuwa hiyo ndiyo sera ya serikali.
@meckgodfrey7334
@meckgodfrey7334 7 күн бұрын
Kwenye magoli ya mpira mama amesha toa shingapi mpk saiv nauliza tu
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 7 күн бұрын
Dr Mollel amekwepa kujibu kumhusu Chalamilla
@FaithPeter-v3t
@FaithPeter-v3t 4 күн бұрын
Wewe ni mpuuzi kabisa takataka
@kayombogregory8241
@kayombogregory8241 7 күн бұрын
Huyu waziri arudi kulima. Maana akirudi hospitali atasababisha maisha ya watu yapotee. Halafu bunge linamchekea, hivi sijawahi kuona bunge la ajabu kama hili.hatari sana!!!
@RoseKimath
@RoseKimath 7 күн бұрын
Hekima ni kitu kikubwa sana ktk maisha ya mwanadamu
@GeorgeManyama
@GeorgeManyama 7 күн бұрын
wengine tulihamia chadema kwasababu hizhiz Yani mkuu wamkoa unamjibu hivyo mgonjwa
@richardnganya2311
@richardnganya2311 7 күн бұрын
Yeye ndiye mwenye mamlaka utamfanya nini ??
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 7 күн бұрын
​@@richardnganya2311mwenye mamlaka ni mungu pekee
@NyorokaNyenge
@NyorokaNyenge 7 күн бұрын
Mimi nilihamia ccm kwa sababu chadema kila siku wanapanga maandamano hawakuwa na mpango wa sera kwamba wakiingia madarakani watafanya nini.
@SalmaOmary-b8v
@SalmaOmary-b8v 7 күн бұрын
Wamfukuze kazi 😢😢😢
@rejobu9723
@rejobu9723 7 күн бұрын
Mmh! 😢😢
@evanckanyika5812
@evanckanyika5812 7 күн бұрын
Mbona waziri anajibu swali ambalo hajaulizwa
@leodegarfoyanshaw7111
@leodegarfoyanshaw7111 7 күн бұрын
Mh. Waziri hujajibu swali. Kama kituo hamina vifaa huyo Nurse ahudumie kushika damu bila gloves? Unanua kabisa vifaa huwa havitoshelezi ndo maana wajawazito wanalimishwa kujinunulia mapema kuepusha maambukizi kwa wazalishaji.Kuzaa so Jambo ladharura Dr.
@RamadhaniAhamadiKirua
@RamadhaniAhamadiKirua 7 күн бұрын
Lakini sawa hawezi kuhudumia bila groves niseme TU kuwa haiwezekani hizo pea kuisha kabisa kwenye hospital yoyote huyo nesi alikuwa tu anataka kumkomoa huyo mama lakini za hakiba ziko hiyo nimichezo Yao hao sisi tunajua tana wanakuangalia umekujaje na rugha zisizo nasitaha Mimi siku Moja mwaka Jana TU nilimpereka mke wangu usiku kujifungua nilipifika pale hospitalini sikushuka kwenye gari nikaacha wamama wakampereka Sasa wakagonga bila kufunguliwa nikaenda nikagonga mim kwanguvu sana akatoka wewe kaanza kufoka pale nakuongea vitu visivyoeleweka hapa sikunyamaza nikamuambia nakupa dakika mbili ukichelewa huyu mama akijifungulia hapa nakuweka ndani na kazi huna pokea mtu kwanza mambo mengine yafuate akaanza kuwauliza kwani huyu Ninani anafanyakazi wapi akaambiwa huyu yuko serikali acha amhudumie harakaharaka sasa tukifanyakazi kwa mtindo huu hiyo itakuwa nikazi kweli yaani kwakweli wanakela sana harafu kiongozi unaambiwa unakuja kutoa majibu ya hovyo hai kuzaa ninusu ya kifo mtu yuko kwenye hatari pale yakupoteza uhai wake
@producermikmer
@producermikmer 6 күн бұрын
episod ya ngap hii
@ViolethMazengo-nd8cy
@ViolethMazengo-nd8cy 2 күн бұрын
Waziri hakuna alichojibu apo ni kuzunguka mbuyu tu
@johnmworia1062
@johnmworia1062 7 күн бұрын
Mweshimiwa Rais. Mama yetu. Hata sisi wananchi ambao ni wapiga kura tulisikitika sana kwa matamshi ya kiongozi wa mkoa kutoa kauli za hivyo. Anakuwa kama hakuzaliwa na mwanamke! Daa. Hafai kabisa kuongoza mwananchi.Amelewa madaraka kabisa yani.
@HusseinMiraji-p2j
@HusseinMiraji-p2j 7 күн бұрын
Hakuna majibu ya maana hapo😊😂
@dicksonulotu7427
@dicksonulotu7427 2 күн бұрын
Chalamila na huyu naibu waziri wapigwe chini
@fordia1
@fordia1 6 күн бұрын
Malibu ya hovyo...tumbuà Hao Rais
@thobiasLoti
@thobiasLoti 7 күн бұрын
Hili bongo lala kapataje hii nafasi ya naibu waziri😂
@laiserkuyan6075
@laiserkuyan6075 6 күн бұрын
Samia Amuchukulie Atua uyo mkupavu Avai kua Kwa serikali
@IreneWendrin
@IreneWendrin 7 күн бұрын
Mie sijaelewa alichojibu uyo mtu jmn tunaelekea wapi na Hali hii😢😢😢
@paulombay6884
@paulombay6884 6 күн бұрын
Kwa hyo chalamila yupo sawa ,dude hilo
@HenrymodestKipesha
@HenrymodestKipesha 7 күн бұрын
habari hiram sana during.
@allytv1714
@allytv1714 7 күн бұрын
Huyu waziri vp yaan unauluzwa kuhusu kauli unajibu kingine kbc acha kutuaminisha ujinga ww
@arafaomari1832
@arafaomari1832 7 күн бұрын
Mie sielewi 😢😢😢
@athumanhassani805
@athumanhassani805 7 күн бұрын
Wewe dada hivi inazani huyu charamila yupo tasawa uzani ataukimuangalia tuu😅
@MariamWiliam-z8k
@MariamWiliam-z8k 6 күн бұрын
Nanyie kungun mnaomtetea uyo far hakuna mtu anapenda shida mbwa nyie maisha niagum jaman natunatifautiana sana
@DanielFrank-j1n
@DanielFrank-j1n Күн бұрын
Waziri nayeye ni kama charamila
@AmaniMathod
@AmaniMathod 7 күн бұрын
CHALAMILA MADARAKA YAME MLEVYA KAMA NIKWELI
@annasitaziakamtewe
@annasitaziakamtewe 6 күн бұрын
Bunge la ovyo sana,mbona mnalipia magoli mnashindwa kuhudumia akina mama wajawazito.
@njanjimlwale
@njanjimlwale 6 күн бұрын
Uko sahihi sana ndugu, katika ujinga unaoganywa ni pamoja na huu wa kuchangia goli halafu mama mzazi anaachwa
@rubenimajura
@rubenimajura 7 күн бұрын
Huyu wazir kasoma kwli jamn 😮😮😮😮😮😮
@MashakaMagesa
@MashakaMagesa 7 күн бұрын
Hajasomea udaktari ana udakitari wa kupewa
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 7 күн бұрын
Ni daktari 😂😂
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 7 күн бұрын
@ 🙏 😂😂😂
@samsonkihwele6544
@samsonkihwele6544 7 күн бұрын
@@MashakaMagesa medical doctor huyo
@DaireenDaireen
@DaireenDaireen 7 күн бұрын
Yeye mama yake akiwa mjamzito alijibiwa hivyo mpka akazaliwa,😏😏😏
@esterpaschal6080
@esterpaschal6080 7 күн бұрын
Makubwa 😢
@mtalemwadenis1500
@mtalemwadenis1500 6 күн бұрын
Huyo charamila anadhalau Sana Ana maneno ya shombo, alisha wambia vijana eti wanauza Uduvi wataolewa, si hilo yapo mengi
@dominiquemushy895
@dominiquemushy895 7 күн бұрын
Huyu cjui Nani alimpa udokta au unaibu waziri Mbona kuna wasomi wazuri na wanajua Kujibu maswali viz’ ajajibu vzr
@donaldbenedict5761
@donaldbenedict5761 6 күн бұрын
Haya sio majibu sahihi kwa hiyo mama mjamzito huyo angekufa we waziri unachukulia sawa kweli maski wa Tanzania hawathaminiki
@MusaJuma-y6s
@MusaJuma-y6s 6 күн бұрын
Hayo ndio majibu
@nyandamisana3630
@nyandamisana3630 5 күн бұрын
Kikao cha ccm
@wilisonmikate1652
@wilisonmikate1652 7 күн бұрын
Sio wote wanao changia milion kwenye harusi
@DaireenDaireen
@DaireenDaireen 7 күн бұрын
Huyo chalamla hatumtakiiii Sisi wananchi ajiudhuru tu😏😏😏
@GuidoLadislaus
@GuidoLadislaus 7 күн бұрын
Huyu waziri anapindisha majibu hii serikali ya ccm hii haina huruma kabisa
@geekilimba8362
@geekilimba8362 7 күн бұрын
Ikitolewa huruma kwa kila MTU dawa zitanunuliwa na nini?
@GuidoLadislaus
@GuidoLadislaus 7 күн бұрын
@geekilimba8362 wewe umeshiba ndio maana huoni shida za wananchi zilivyo
@modestwenceslaus9
@modestwenceslaus9 7 күн бұрын
Hivi kwanini maelezo ya Watu hawa yanafanana mfano maelezo ya Wasira,Chalamila na Mollel ni nini tatizo???
@MaulidHimidi
@MaulidHimidi 6 күн бұрын
Msitie siasa kila kwenye kila tukuo
@JaphetAndondile
@JaphetAndondile 7 күн бұрын
Hakuona kauli nzuri yakutumia kweli mwenye xhibe hamujui mwenye njaa
@RichardbituroMakole
@RichardbituroMakole 7 күн бұрын
Kupanga nikuchaguwa.😂😂😂😂😂😂mtakoma tz
@ramamgenzi2017
@ramamgenzi2017 7 күн бұрын
Bado mnamchekea chalamila uyo wakufukuzwa kabisa kwanza anapunguza kula za ccm kiongozi gani ana kaba
@NyorokaNyenge
@NyorokaNyenge 7 күн бұрын
Mimi naona waziri yuko vizuri.tutafute hela.mama akienda kliniki kwa mara ya kwanza wakiwa na mme wake.wanaambiwa kabisa kuanza kuandaaa vitu na pesa za dharula. Wakati.kabla na baada ya kujifungua.acheni kulalamikia serikali tu.tujiangalie kwanza sisi tumeifanyia nini nchi.
@bcozhenry2698
@bcozhenry2698 7 күн бұрын
Huyu anajibu ni "waziri" au "wa ziro?"
@Voiceofpeopleotz
@Voiceofpeopleotz 7 күн бұрын
Kama chalamila ammekuwa mkuu wa mkoa sasa ata mimi sinaweza kuwa .kuu wa mkoa ase.
@JosephMtui-vw9dn
@JosephMtui-vw9dn 7 күн бұрын
Jibu swali
@devisshirima6780
@devisshirima6780 7 күн бұрын
Watawala na watawaliwa !!
@dicksonulotu7427
@dicksonulotu7427 2 күн бұрын
Majibu ya kipuuzi kabisa
@PaschalCharlesLunemhya
@PaschalCharlesLunemhya 7 күн бұрын
Umeulizwa kauli ya serikali unajibu tofauti hii nchi basi tu
@esthermwaibasa4778
@esthermwaibasa4778 7 күн бұрын
Nchi zetu jamani kweli tunawatreat tunawaongoza kama wanyama????kauli gani ya kumwambia mgonjwa??? Nashindwa kuelewa kwanini Mama Samia alimrudisha kwenye uongozi,Chalamila hafai na hana sifa ya uongozi kabisa,uongozi ni dhamana toa kauli zinazofaa kwa wananchi,hafai hafai hafai 😞😞😞😞
@ORESTESNgongi
@ORESTESNgongi 7 күн бұрын
Akuna uduma bule Kwa wajawazito izo ni siasa za Tanzania
@omarmwalimu92
@omarmwalimu92 7 күн бұрын
Akili iliyotengeneza tatizo haiwezi kutatuwa tatizo,spika anacheka ,wanawake wengine wanacheka hawaguswi na hawajui matatizo ya wanaowalipia mishahara,huku mjomba wazir anasema kipande kimekatwa,ni majanga sana
@MohdSalum-y5i
@MohdSalum-y5i 7 күн бұрын
Chalamila anavuta bangi mbichi😂
@AhmedAli-x8w9e
@AhmedAli-x8w9e 7 күн бұрын
Chalamila hafai kibisa kaekwa tu kama kivuli
@matikughati5864
@matikughati5864 7 күн бұрын
Hao ndiyo mawaziri tulionao
@ngelelanangale6798
@ngelelanangale6798 6 күн бұрын
Ameanza kujibu swali hilo kwa kujaribu kuumsafisha Rc Chalamila. ( ANAMLINDA)
@EvaristDaniel-p7m
@EvaristDaniel-p7m 7 күн бұрын
Yaani watumbuliwe wote
@frankmichael411
@frankmichael411 7 күн бұрын
Ambae hajawahi kufanya kosa awe wakwanza kumpiga jiwe RC
@emanuelpiniel5277
@emanuelpiniel5277 7 күн бұрын
Lakini pia ni pesa ngapi za mlipa Kodi zikiliwa na watumishi serikalini wasio waaminifu?
@HijaSaid-t6c
@HijaSaid-t6c 6 күн бұрын
Hao kizazi chao ni cha ,,,,,,, hawana jipya zaidi ya dhulma
@alexmaula7308
@alexmaula7308 7 күн бұрын
maswali magumu majibu rahisi !!!!
@MzeenickTajir
@MzeenickTajir 7 күн бұрын
Waziri sisi pia tuna elimu kuliko nyinyi fuata kiapo Cha dr
Air Sigma Girl #sigma
0:32
Jin and Hattie
Рет қаралды 45 МЛН
요즘유행 찍는법
0:34
오마이비키 OMV
Рет қаралды 12 МЛН
Жездуха 41-серия
36:26
Million Show
Рет қаралды 5 МЛН
🔴 Al Jazeera English | Live
Al Jazeera English
Рет қаралды 7 М.
Зачем Путин сменил главу «Роскосмоса»?
25:32
BBC News - Русская служба
Рет қаралды 6 М.
Air Sigma Girl #sigma
0:32
Jin and Hattie
Рет қаралды 45 МЛН