#PART1

  Рет қаралды 492,827

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

#PART1: SIMULIZI ya KIJANA YASSIN ALIYESINGIZIWA KUMBAKA BOSS WAKE na KUFUNGWA JELA MIAKA 30....
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 159
@globaltv_online
@globaltv_online Жыл бұрын
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
@Sesy717
@Sesy717 Жыл бұрын
O
@Sesy717
@Sesy717 Жыл бұрын
😅
@SecretariatMihake
@SecretariatMihake 10 ай бұрын
@YohanaKitundu-dg5hs
@YohanaKitundu-dg5hs 9 ай бұрын
Mal
@SafiSafi-s5c
@SafiSafi-s5c Ай бұрын
Hayo ni Marshall ya samara wa bongo
@Dullachaka-i2i
@Dullachaka-i2i Жыл бұрын
Duuuuuh pole sana mwanangu mombe mungu usikate tamaa kumuomba mungu kila siku muombe mungu
@WigiberthiMutahaba
@WigiberthiMutahaba 10 ай бұрын
Pol xan kaka ang hao walio kufanyia hv watapew adhab na mwenyenz mung pole xan dady❤,,
@jacksonjamesndyabawe471
@jacksonjamesndyabawe471 Жыл бұрын
Watu Wana roho mbaya sana.. Wote walio shughurika kuwakandamiza watu kuanzia leo.. Naomba mungu andaa adhabu juu yao
@SenetaKilaka-o1c
@SenetaKilaka-o1c Жыл бұрын
Pole sana na izi kazi selikali muwe nazo makini sana mana wengi wapo jela kwa kesi zakusingiziwa
@farajasallah2338
@farajasallah2338 Жыл бұрын
Watoto wetu wa kiume wanapitia sana, Mungu awasaidie, nimeumia sana
@maimunahemedi6491
@maimunahemedi6491 Жыл бұрын
Assalam aleikum, dua aliyoomba itamlipua siku moja, kwa sababu kamfanya mwenyezi mungu kuwa shahidi wa uongo wake
@MohamedAly-zp3zh
@MohamedAly-zp3zh Жыл бұрын
Duniani watu wana mazonge Allah atufanyie wepesi, nimeshaona interview moja ya huyu jamaa kafanya Mbengo TV imeruka Julai, 2021 anajitambulisha kwa mtangazaji kuwa ni mzaliwa wa Bagamoyo Mapinga na alikua akiishi na huyo mama kinondoni... kwenye hii amezaliwa Kilwa na anaishi Chamazi inatia ukakasi kidogo kama mtu anataka kusadia lakini maelezo yako tofauti inatia shaka.
@JumanneRashid-kr2nv
@JumanneRashid-kr2nv Жыл бұрын
Sio haki ata mungu apendi mtu mzima Ivo unabakwa vp mungu akulaani sana
@Anoldi-yj7mf
@Anoldi-yj7mf 9 ай бұрын
Muombe mungu sana maana hakuna kisicho na mwisho amini Mungu yupo majaribu nimtaji
@Tosana202
@Tosana202 Жыл бұрын
Najuta mimi kusikiliza huu mkasa😭😭😭😭roho inaniuma jaman me watoto wangu wakiume tupu daah😭😭😭pole sanaa home boy Mungu ni mwema
@KiZoMidundo
@KiZoMidundo Жыл бұрын
Inasiktsha
@priscamagambo5320
@priscamagambo5320 10 ай бұрын
Yani mpaka nashindwa niandike Nini,Ila Mungu ni hakimu wa haki,pole sana
@AishaOmary-fl8qo
@AishaOmary-fl8qo 10 ай бұрын
Mwenye kusubiri yupo na mungu Allah akufungulie rizki zako kaka
@Aishanasma
@Aishanasma 4 ай бұрын
Pole sana kaka hiyo ndio dunia muombe mungu sana endelee kukulida ❤🎉
@Modesta-j4f
@Modesta-j4f 2 ай бұрын
Pole sana my brother
@Hot_rod-lies
@Hot_rod-lies 4 ай бұрын
Poli kaka siwengia pelika hospitali huyo mke waboss akatezamwea kama amibakwa jamania mungu msaidia wanawake musiwea naroho mbaya
@VeronicaMarsel
@VeronicaMarsel Жыл бұрын
Pole Sana chaliingu mungu atalipa
@AwzaMstafa
@AwzaMstafa 9 ай бұрын
Pole sana mdogo wangu
@BarcoKazige
@BarcoKazige 11 ай бұрын
Pole sana kk 'ngumu ile natokeya congo gm
@SaidinaYateri-j2z
@SaidinaYateri-j2z Жыл бұрын
Mungu amlaani huyo. Afanyae dhambi bia kumuogopa mungu
@ElinuruMdali
@ElinuruMdali Жыл бұрын
Duuuh hyo mama mungu anamuona ipo cku2 mungu atakulipa
@Shimboy-hl4eg
@Shimboy-hl4eg Жыл бұрын
Pole bhana hizo changamoto za maisha tu.
@KsmTv-yl5fy
@KsmTv-yl5fy Жыл бұрын
Pole sana Kaa ,
@magrethmbangama1199
@magrethmbangama1199 Жыл бұрын
Huyo mama ana dhambi kubwa sana,na wote wanaoshiriki dhambi hz mmelaaniw nyie na vizazi vyenu,maana mwenye pesa ananunua haki ila Mungu yupo hakimu wa haki.
@tumainimalulu7708
@tumainimalulu7708 10 ай бұрын
Hii ni tabia ya wanawake sis hangi kwa hili. Ila natamani kuja kumfundisha adabu mwanamke mmoja.
@RashidThabite
@RashidThabite 9 ай бұрын
Umetoa radhi nzito sana mama
@magrethmbangama1199
@magrethmbangama1199 9 ай бұрын
@@RashidThabite inaumiza sana ndugu yangu vaa kiatu cha huyu ndugu ndo utajua aliumia kiasi gani,alikuwa kesha potea tayari
@ManyemaSixberth
@ManyemaSixberth Ай бұрын
Dunia yaleo sinzuri wengi uishi kwa kufanya utaka watu wafanyekazi wakiona wanadaiwa pesa nyingi usingizia jambo wakuangamize ila Yesu Krist mwinua wanyonge hakika tutashinda kwakishindo kwadamu yake
@FALESWALWA
@FALESWALWA 11 ай бұрын
Pole Sana kijana!
@allandavid870
@allandavid870 Жыл бұрын
Global mnahitaji kuji evaluate story zenu, most of the time mnaleta story zenye kutia shaka sana kama hii. Maelezo anayotoa anajichanganya sana
@globaltv_online
@globaltv_online Жыл бұрын
Inatia shaka kwa maelezo yapi? Isitoshe hujasikiliza part two, unafikia conclusion story inatia shaka kwa kigezo kipi?
@aisharamadhani1948
@aisharamadhani1948 Жыл бұрын
Siku hizi kuna story za kutungwa ili kupata watazamaji au wafatiliaji wa vipindi vyao so chakuambiwa changanya na zako
@omanoman2044
@omanoman2044 4 ай бұрын
Siyo kujichanga tuy hatanhajielew anacho eleza wamakonde wengi ndo wako jiv hawajui kuongea vizur
@B-horbir
@B-horbir Жыл бұрын
B-horbir from DRC Congo but muzaliwa wa dar , Tanzania,mimi naona yule mwanamuke hakutakakumulipa kijana pesa aliona afanye mpango iliashie
@AlainMapesa
@AlainMapesa Жыл бұрын
Hello, uko Drc sehemu gani please
@utaani1
@utaani1 Жыл бұрын
Ndio hata mimi nadhani ni hivyo hakutaka amlipe akaona apange uwongo huo
@annafredinandmatandiko8438
@annafredinandmatandiko8438 Жыл бұрын
Yes
@RidhaaHamisi
@RidhaaHamisi 10 ай бұрын
Pole sana mwenyenzim atamlahani huyo mama
@sam-l3z9i
@sam-l3z9i Жыл бұрын
Pole sana kijana
@GloryKavishe-b8c
@GloryKavishe-b8c Жыл бұрын
Pole sana
@SalimOmary-r5g
@SalimOmary-r5g Жыл бұрын
Da! Pole
@sayeedbinazan
@sayeedbinazan 10 ай бұрын
Ila yote tisa, Vitimbi vya wanawake ni vikubwa sana. Anaweza Akakusingizia kitu na dunia nzima ikaamini.Mungu Awaongoze Ndugu zetu hawa.
@BARIKIELMICHAEL-fc7oh
@BARIKIELMICHAEL-fc7oh 9 ай бұрын
Pole sana kaka
@SamirySaidy-z2f
@SamirySaidy-z2f 17 күн бұрын
Nikweli sa❤
@JovithPaulo
@JovithPaulo Жыл бұрын
Pole
@PAUlWEKESA-de6tb
@PAUlWEKESA-de6tb Жыл бұрын
Pole sana brother yangu
@herberthatibu8439
@herberthatibu8439 Жыл бұрын
Hii story inatia mashaka sana, kwanza polisi siyo rahisi kukuweka ndani wakati mlalamikaji hayupo, eti unapelekwa kituoni na watu wengine mlalamikaji atakuja kesho.
@likimaro6
@likimaro6 Жыл бұрын
Polisi ya nchi gani unazungumzia? Ulisikiliza ripoti ya Tume ya Haki Jinai majuzi?
@abdallahmwanga5792
@abdallahmwanga5792 Жыл бұрын
Hayaja kukuta ndugu yangu,ipo siku utajionea mwenyewe... Huyo dogo namjuwa na amepata shida sana kutokana na kifungo hicho,nimemshuhudia huyo dogo akiwa jela...
@AdrianNtarambe
@AdrianNtarambe 9 ай бұрын
Aisee
@MasharubuMoshi-h9p
@MasharubuMoshi-h9p 11 ай бұрын
Pole san kaka
@zawadimapumba7557
@zawadimapumba7557 Жыл бұрын
Enyi matajili msiwatese wafanyakazi wenu maliulizonazo ni uwezo mungu😂inaumiza sana
@SandaliKubuli
@SandaliKubuli 11 ай бұрын
Daaah pore sana dogo uyo mama ata azibiwa tu na mungu apa apa duniani
@rubenimajura
@rubenimajura Жыл бұрын
Pole kaka
@JohnEmmanuel-u9p
@JohnEmmanuel-u9p Жыл бұрын
Polle kaka lla mungu hajaribiw jibu atapata
@tumainimalulu7708
@tumainimalulu7708 10 ай бұрын
Hivi MUNGU yupo? Kwanini wanyonge na wasio na fedha hudhulumiwa haki zao bila kumwaibisha adhulumuye haki. Mtu anaswali na anasali na anashika kitabu cha Mungu anaapa uongo na Mungu yupo kimya. Hapana kuna kitu natafuta nifanye utafiti kuhusu dini hizi tulizoletewa na wageni.
@BraysonKileo
@BraysonKileo 10 ай бұрын
Daah MUNGU atamwonekanaye
@abdiazizmohamed444
@abdiazizmohamed444 9 ай бұрын
Kwenye interview ingine anasema hapakua na godoto
@abdiazizmohamed444
@abdiazizmohamed444 9 ай бұрын
Yamini ni muongo Kwenye interview ingine amesema vingine hapa anasema vingine
@JosephMdachi-l3h
@JosephMdachi-l3h Жыл бұрын
Pore sana
@ondb.tv593
@ondb.tv593 Жыл бұрын
Mungu atakulipia hapa hapa duniani.
@hashimmziray7416
@hashimmziray7416 Жыл бұрын
pole saaana dogo .
@JaphethMwanandenje
@JaphethMwanandenje 15 күн бұрын
Huyo mama nizaid yashetan
@SamuMoney
@SamuMoney Ай бұрын
Huyo mama atalipwa na mungu
@Nyaburyaofficial217
@Nyaburyaofficial217 Жыл бұрын
Polle sana Kijana
@Ibrahim21784
@Ibrahim21784 Жыл бұрын
eh 🇰🇪 Kenya watu wana soma bakaaa from 4 na hakuna kazi
@PaskaliJohn-z3p
@PaskaliJohn-z3p Жыл бұрын
pole sàn
@JeanIradukunda-qw6eb
@JeanIradukunda-qw6eb 8 ай бұрын
Pore sana kaka yangu
@ESTERMKALI
@ESTERMKALI 8 ай бұрын
3:11
@Hot_rod-lies
@Hot_rod-lies 4 ай бұрын
Huyo mama sio muslamu wa kweli kama amishika kurania kitabu chakuslamu wallahe huyo mama mungu atamuadhibu huyo mtoto kasema kweli hajambakka
@KomboMaarif
@KomboMaarif Жыл бұрын
Pole sana uyo mam ana matitz
@kachabisnea8815
@kachabisnea8815 Жыл бұрын
Yaani hapa ndio unapojua kabisa hizi dini zililetwa kwa ajili ya watu kupiga hela tu mtu anahapia hadi na msahafu kwa mambo ya uongo tena bila kuogopa
@rajabungatanda630
@rajabungatanda630 Жыл бұрын
Swala la mtu kuogopa ni jambo jengine na ukweli wa dini ni kitu kingine Kushika msahafu na kuapia kwa jambo la uongo uo ni uamuzi wa mtu Lkn mungu ameahidi kumlipa yule atayeapia uongo "Kwahiyo uyo mama asubiri kitachomkuta "Lkn pia jiulize kama unashangaa uyu mama kushika msahafu ndomana unahisi dini zimeletwa Jiulize kwani vituo vya polisi vimewekwa kwaajili gani ? Jee wahalifu awajui kama vituo vya polisi na mahakama Vipo kwaajili ya wahalifu? Kwanini watu wanafanya uhalifu bila woga wakati wanajua ukifanya uhalifu unakamatwa ? Kwahiyo uyo mama anajua kama mungu yupo lkn ni mhalifu wa kiimani anamcheza shere mungu Inshaallwah kama kweli amefanya hivo atalipwa tu
@UswegeRichard
@UswegeRichard Жыл бұрын
Dah huyu jamaa nilimsikiliza kwenye radio free afrika kipindii cha sintosahau😢😢 dah huyu jamaa kapitia maisha magumu saana❤❤sema mwanangu usikate TAMAAA MUNGU ANAENDELEA KUKU PIGANIA
@Hot_rod-lies
@Hot_rod-lies 4 ай бұрын
Mm natokia kenya hakee huyo kaka aminitowa machozia bat mungu yuko naww kaka
@BlaiseBl
@BlaiseBl 2 ай бұрын
Daaaah walaaniwe kabisa😢
@sungwizi3390
@sungwizi3390 Жыл бұрын
Dhuluma Kubwaaaaa hii mshitakie Mungu atakulipa. Police wamekula pesa sheria wamchukuwe yule Mama akapimwe nawe upimwe. Wamsoka yote hayo
@josephatpius5594
@josephatpius5594 Жыл бұрын
Uyo mama in Katie sana kamwalibia maisha kijana
@JOHNBNBC2
@JOHNBNBC2 Жыл бұрын
Pel❤
@JohnKapwaga
@JohnKapwaga Жыл бұрын
Hahaha jaman hugo mama balaa pole sana mwanaume mwenzangu MUNGU ni mwema hata akina YUSUF walitiwa gerezn na ikawa Waziristan,
@SalimOmary-r5g
@SalimOmary-r5g Жыл бұрын
Da; hatar
@Teddygeorge-ub7su
@Teddygeorge-ub7su Жыл бұрын
Pesa inawafikisha watu pababaya huyu mama mungu amlaani ingewezekana hii Kes ingeanza upya afu imgeukie Yani mungu amlaani Saba mara sabini!!!!!!!
@frankjulius12
@frankjulius12 Жыл бұрын
Part 2 ikowap
@JhosefuChale
@JhosefuChale Жыл бұрын
Mabos wengi wakion hawan Hela ya kumlipa mfanyakaz Wana msingizia mabay
@VeronicaMilinga
@VeronicaMilinga 8 ай бұрын
Yanga usajil 19:02
@frankndiga6122
@frankndiga6122 Жыл бұрын
Hiyocm nitaipataje nijulishe
@OscarOuma-ho6hl
@OscarOuma-ho6hl Жыл бұрын
Wangepima na kuwa na uhakika kutoka kwa daktari
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 Жыл бұрын
Kumbukeni WANAWAKE LEO WZNATAKA KEDI NAPESA
@juliuskibaso1976
@juliuskibaso1976 Жыл бұрын
pole sn
@ramadhanmzagira7831
@ramadhanmzagira7831 Жыл бұрын
kamakweli basi makosa yalianza kituo chapolis inatakiwa alie bakwa awepo ili akapimwe kama kafanikisha jambo ilo nasio aende peke yake anaenda na polic wakike
@JuliusBudodi
@JuliusBudodi Жыл бұрын
Bv
@aboually2472
@aboually2472 10 ай бұрын
Maturubai hyo
@SamuMoney
@SamuMoney Ай бұрын
Jaman mtu mzima anabakwa kwa njia gan mwongo huyo pepo
@safnosmosha
@safnosmosha Жыл бұрын
So sad
@AtanasMasuka
@AtanasMasuka 10 ай бұрын
Walioko jela wengi wao hawana makosa?
@sinyoritamoha1629
@sinyoritamoha1629 Жыл бұрын
Wamatumbi Wapole sana, hawawezi kufanya ujinga, huyo mama yatamkuta makubwa. Nimejiskia vibaya mno, Ila hao wanaoita mchumba nimecheka😂
@EginoMilinga
@EginoMilinga Жыл бұрын
Mambo vp pole
@TumainBosco
@TumainBosco Жыл бұрын
Like
@SalimaBukomwana
@SalimaBukomwana Жыл бұрын
Mungu.atasimama.nao Inshalla.watoto.wote
@josphatokongi3361
@josphatokongi3361 Жыл бұрын
God have plan to him
@jacksonjamesndyabawe471
@jacksonjamesndyabawe471 Жыл бұрын
Wewe dada au mama uliye mkandamiza huyu jamaa.. Rana yako hitakuwa mbaya sana kwasababu, huyu jamaa imesha kuwa doha kwake
@SellahMohamed-it7dg
@SellahMohamed-it7dg Жыл бұрын
Pore Mwanang San
@DamianiNgongi
@DamianiNgongi 19 күн бұрын
Rombayatu utamwajilimfanyakazi bilakujuautamlipann.
@AredFered
@AredFered Жыл бұрын
Dah wafanyakaz kaz tunayo
@YusuphIbrahim-j8h
@YusuphIbrahim-j8h Жыл бұрын
Mh inauma
@JumaLichombo-ev9zi
@JumaLichombo-ev9zi Жыл бұрын
Duuh hyo mam ni hatar pole mwamba
@TumainBosco
@TumainBosco Жыл бұрын
Iike
@MOHAMMEDABDI-lb7yp
@MOHAMMEDABDI-lb7yp Жыл бұрын
Siku kumi na9 ya nini jamani wakati sheria ni kuka police ni maa saa 24 tu
@JuliusBudodi
@JuliusBudodi Жыл бұрын
.
@JamesKisabo
@JamesKisabo 11 ай бұрын
Hata mm lazima nibake kwahali hyo
@cosmasibundala
@cosmasibundala 10 ай бұрын
Mambo vp
@NtahoZuberi
@NtahoZuberi 9 ай бұрын
Mbona uhujasema kama hajakulipa miezi yotehiyo
@KideliMalanda
@KideliMalanda 4 ай бұрын
Selikari haina tatizo tatizo lipo kwa baadhi ya viongoz jameeeeen
@AbdiSekarani
@AbdiSekarani 8 ай бұрын
😊😊😊😊😊😊❤😅😊
@WarwinuKaremeri
@WarwinuKaremeri 9 ай бұрын
Huyo mama ni shetani
@SalehSalum-ri1jn
@SalehSalum-ri1jn 10 ай бұрын
Loho inauma
@ferguslyagoda4049
@ferguslyagoda4049 Жыл бұрын
Hii ni kiki?
@hamisibaharia-bl9og
@hamisibaharia-bl9og Жыл бұрын
Malipo dunian apa apa mwanang kaza loo2
@SoudyRajabu
@SoudyRajabu Жыл бұрын
Adi ufanyi ivo shida nini, kwa mtoto wa watu
@hashimmziray7416
@hashimmziray7416 Жыл бұрын
ha ha ha eti Mama yako umemuacha kijijini
@peaceisrael8158
@peaceisrael8158 Жыл бұрын
Same Yasin kule Mbengo tv kasema mzaliwa wa Bagamoyo, huku mzaliwa wa Kilwa same story same person?
@fatumajumanne198
@fatumajumanne198 Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@alasigoodluck9608
@alasigoodluck9608 Жыл бұрын
😂😂😂😂 hii ni Tanzania broh
@sinyoritamoha1629
@sinyoritamoha1629 Жыл бұрын
😢
@MutuaDominic-t6t
@MutuaDominic-t6t Жыл бұрын
Sipowa
Enceinte et en Bazard: Les Chroniques du Nettoyage ! 🚽✨
00:21
Two More French
Рет қаралды 42 МЛН
How Strong Is Tape?
00:24
Stokes Twins
Рет қаралды 96 МЛН
Une nouvelle voiture pour Noël 🥹
00:28
Nicocapone
Рет қаралды 9 МЛН
HISTORIA Ya IDD AMIN, Darasa La 4 Aliyetikisa Wazungu/NYERERE Akimtia Adabu
26:09
WAMEYATIMBA NDARO NA STEVE MWEUSI
14:56
Ndaro Tz
Рет қаралды 2,2 МЛН
PENGARUH DAJJ4L MELALUI MEDIA - USTAZ AUNI MOHAMED
1:47:13
ISLAM DI HATI
Рет қаралды 11 М.
Enceinte et en Bazard: Les Chroniques du Nettoyage ! 🚽✨
00:21
Two More French
Рет қаралды 42 МЛН