MTIFUANO wa MAKONDA vs DIWANI MCHUNGAJI ULIOCHUKUA DK 47 -NI MTITI! WANANCHI WAMPIGA SPANA HADHARANI

  Рет қаралды 350,545

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

MTIFUANO wa MAKONDA vs DIWANI MCHUNGAJI ULIOCHUKUA DK 47 -NI MTITI! WANANCHI WAMPIGA SPANA HADHARANI
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 756
@globaltv_online
@globaltv_online 4 ай бұрын
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@GervasiMwacha
@GervasiMwacha 3 ай бұрын
Kipofu lkn jicho moja tuu.
@GervasiMwacha
@GervasiMwacha 3 ай бұрын
Nitakuja kukuona mkuu nami Nina mizigo yangu mingi tuu.
@gwakisamwambalaswa365
@gwakisamwambalaswa365 2 ай бұрын
000q4
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt 2 ай бұрын
Allah ajaalie kila mwenye shida na apate ufumbuzi
@elingayasaria2169
@elingayasaria2169 Ай бұрын
Ni
@AbdilahiMriri
@AbdilahiMriri 4 ай бұрын
Uko vizuri mhe mkuu wa Mkoa Arusha Mungu akubariki akupe Mabega makubwa uzidi kutubeba aamina yarabi aamina .
@RestutaLeo-xq7rf
@RestutaLeo-xq7rf 4 ай бұрын
Aliemsikia mama kasema diwani yko hapa nimemuona wakati mama ni kipofu na mheshimiwa hamuon gonga like twende.
@victaboy7273
@victaboy7273 4 ай бұрын
Nimeiskia hiyo😂😂😂
@sophsoph4740
@sophsoph4740 4 ай бұрын
Itakuwa wanae wamemwambia 😂😂😂yupo
@HawaSwaleheh
@HawaSwaleheh 4 ай бұрын
Nimecheka kwa huruma😂😂😂😂😂😂😂❤❤
@Niika870
@Niika870 4 ай бұрын
Diwan nimemuona Yuko hapa, ila mkuu wa mkoa ckuoni 😂😂
@veronicankhwazi7954
@veronicankhwazi7954 4 ай бұрын
😂😂😂
@norahfrank
@norahfrank 3 ай бұрын
Makonda ana hekima ya mfalme Suleman.duh Mungu Ambariki sana
@RichardFrank-it4wv
@RichardFrank-it4wv 3 ай бұрын
Hekima anazo lakini za sulemani hakuna wakuzifananisha nae na hatatokea hata maandiko yanasema ivyo🎉
@ezralameck4150
@ezralameck4150 2 ай бұрын
Kumbuka huyu alikua mtekaji sjawah ona akitubu hzo n siasa2 Moyo uleule2😢
@stevenalex-kv2kq
@stevenalex-kv2kq Ай бұрын
V​@@ezralameck4150 ona hii bweha
@salomemushi8653
@salomemushi8653 4 күн бұрын
Kabisaa na angegombea ningepiga kura
@KisigeraKisigera
@KisigeraKisigera 3 ай бұрын
Hongera sana mheshimiwa makonda unapenda haki itendeke MUNGU akubaliki sana
@verynicemonyo8671
@verynicemonyo8671 3 ай бұрын
Diwali yuko vizuri sana
@husseinkarim7663
@husseinkarim7663 4 ай бұрын
Mchungaji afyata mkia mbele ya Makonda, hongera makonda, hawa watendaji ndio chanzo cha migogoro.
@MrishoKalele-ui9gw
@MrishoKalele-ui9gw 3 ай бұрын
Makonda anafanya kazi nzuri mpka unataamani yeye ndio awe rais aseh
@emmanuelkurwa3096
@emmanuelkurwa3096 3 ай бұрын
Kabisa alafu anasolve matatizo kwa haki
@ALLYMTAWATAWA
@ALLYMTAWATAWA 3 ай бұрын
Kwani Raisi Alie kuwepo si ndio matunda ya Rais Samia. Tunampenda Rais Samia. Mpole msikivu
@RozanaRobert-n3b
@RozanaRobert-n3b 3 ай бұрын
Kabisa ❤❤❤
@naimatemba8061
@naimatemba8061 3 ай бұрын
Haiwezekani tumtoe mama aingie makonda jamani
@tumahai157
@tumahai157 2 ай бұрын
Wala usikonde, siku Moja Huyu Makonda atakuwa Rais wa Taifa hili
@mussamwalutambi
@mussamwalutambi 4 ай бұрын
🎉mungu akulinde Sana makonda nikifumba macho mungu ajaniambia wew ni waziri mkuu ujae mungu akulinde na maadui wenye roho mbaya
@sesiliasalleko2013
@sesiliasalleko2013 3 ай бұрын
Andrew
@nadhifaally6133
@nadhifaally6133 3 ай бұрын
Maestro Makonda ❤️🙌 hakika wewe ni baba wa Taifa👏
@DamarijohnsonAcyoo
@DamarijohnsonAcyoo 3 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu makonda
@MariaMsitafa
@MariaMsitafa 3 ай бұрын
Aaminaa
@kenethakida2403
@kenethakida2403 3 ай бұрын
Makonda anafanya kazi nzur sana, ila hata Huyu Diwani(Mchungaji) amejitahidi sana kwa nafasi yake. Naomba mkuu wa Mkoa amsaidie diwani kutatua hapo alipofikia ili kumpunguzia uhasama na uaduni katika mazingira yake.
@vincej9275
@vincej9275 3 ай бұрын
Makonda ni kama King Solomon kwenye Bibilia. Very wise and just leader.
@henribwema2778
@henribwema2778 3 ай бұрын
Makonda, Makonda,Makonda, I love you from DRCONGO, Come to be our president.
@MsAggie5
@MsAggie5 3 ай бұрын
😂😂
@elijahmediaservices
@elijahmediaservices 3 ай бұрын
Shindwa
@FrankMwakangata
@FrankMwakangata 3 ай бұрын
Nalipoti kutoka Lubumbashi kongo Mungu muweke Pool Makonda uishi miaka mingi
@JackKazembe-fe9uh
@JackKazembe-fe9uh 3 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu na uzima,nakuombea kwa mungu ujekuwa Rais
@bibyansimplis3791
@bibyansimplis3791 3 ай бұрын
Big up my son, may the lord increases you. Keep up one day utakuwa rais I wa hii nchi. Kumbe tuna Magufuli wengi!!!! Binafsi niliwaza tutampata wapi Magufuli type. Aksante Yesu yupo Makonda.
@AbdalahAlly-pw4dt
@AbdalahAlly-pw4dt 3 ай бұрын
Munguakubariki mkuuwamkowa
@raphaelmshaula6368
@raphaelmshaula6368 3 ай бұрын
Mungu akufunike kwa damu ya Yesu kazi nzur sana unayoifanya kupitia selikali ya mama Samia mbarikwe kwa kuwatetea wanyonge.
@StevensonyStephan
@StevensonyStephan 3 ай бұрын
Huyu mh makonda ni magufuli mtupu God bless him
@aloycemtavangu7663
@aloycemtavangu7663 20 күн бұрын
Makonda,Mungu akujalie maisha marefu. Amen
@winfredmgindo3268
@winfredmgindo3268 3 ай бұрын
I never thought that wise men are still existing! Makonda is among the wise men! I enjoy the knowledge and skills he uses to solve the problems. Determined men are alive! The kind of Sokonne!
@jacklineminja2022
@jacklineminja2022 3 ай бұрын
I agree with you Makonda is the best leader! ❤
@hymtv8504
@hymtv8504 2 ай бұрын
Mungu wa Mbinguni akuzidishie afya njema ya mwili, roho na Akili uendelee kutetea haki za Wanyonge Mh. Mkuu wa Mkoa Makonda. nakukubali sana
@johngowa2997
@johngowa2997 3 ай бұрын
Maona uongozi wa juu ndani ya Mheshimiwa Makonda, ni rais wa moyo wangu.
@rukiyasaburi1979
@rukiyasaburi1979 4 ай бұрын
Huyu jamaa nzuri sana mwenzi mungu mmuweke
@DorcassMichael
@DorcassMichael Ай бұрын
Baba makonda mungu akupe maisha malefu kwa hak kwa wanyonge balikiwa sana baba
@MaryLee-sh4nd
@MaryLee-sh4nd 3 ай бұрын
Mungu wambinguni akulinde nimeamua kuhama chadema. maana ccm inanifurahisha Mama hongera kwa kumuona makonda anafaa Tena anaweza
@FeysaliAhmedy
@FeysaliAhmedy 7 күн бұрын
Mama tulete Tanga makonda
@NdelimbijohnSwai-k5s
@NdelimbijohnSwai-k5s 5 күн бұрын
Mungu wa mbinguni akubariki sana sana mkuu wa mkoa Makonda kwani Mungu ndiye amekuweka uwatetee wanyonge damu ya Yesu inayonena mema ikulinde dhidi ya maadui zako wote ❤
@felisterandrew8418
@felisterandrew8418 3 ай бұрын
Goodleaship ;_____makonda❤❤❤❤❤
@IsackKisioki
@IsackKisioki 2 ай бұрын
Hongera sana baba kwa kuwatetea wananch wanyonge mkoani Arusha. Mungu akupiganie na kukutetea katika kipindi hichi Cha uongozi wako.
@HawaSwaleheh
@HawaSwaleheh 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂 nimecheka kwa huruma et mkuu wa mkoa hata wewe sikuoni mara oooh diwan yuko hapa nimeiona 😢😢😢😢
@Oman-p8x
@Oman-p8x 3 ай бұрын
😂😂
@Mainda-q5b
@Mainda-q5b 3 ай бұрын
Makonda Mungu akuweke duniani daima.
@mjukuuhotelitv7736
@mjukuuhotelitv7736 3 ай бұрын
Huyo mama ni kipofu na Amemuona Diwani😅😅😅
@justicemollel4928
@justicemollel4928 3 ай бұрын
Lakini hakumwona makonda
@justicemollel4928
@justicemollel4928 3 ай бұрын
😊😅😅
@oscarcharles9624
@oscarcharles9624 3 ай бұрын
diwani yupo hapa nimemuona😂 ila mm ni kipofu
@JescaMwagama-oc9yt
@JescaMwagama-oc9yt 3 ай бұрын
hahahahaha mama amemuona diwan yuko hapa
@glight-cb7xk
@glight-cb7xk 12 күн бұрын
Jicho moja ...sio yote
@doyenraj
@doyenraj 3 ай бұрын
Makonda ...ana kitu flani ..kma magnetic trap ..kwa watu ..kuangalia vdeo zake tu ni Sanaa ..yaani mtu anavutiwa na vdeo ..Kama movie au written script ..inavutia ....like jinsi anavyo conduct series of sublevel mpka kufanya maamuzi inclusive idara zote 💪
@AishaSaid-xw5ke
@AishaSaid-xw5ke 2 ай бұрын
Napata tu raha nikimsikiliza makonda anafanya kazi haswaa maua yako chukuwa🎉🎉🎉❤
@PiusShimbi
@PiusShimbi 20 күн бұрын
😂😂😂😂😂 mama kamuona diwani 2 lakin makonda hamuoni. Mama apewe like zake apa kwa kua kipofu lakin bado anauwezo wa kumuona mchungaj wake au diwani wake 2.
@mt.georgeuvambe7515
@mt.georgeuvambe7515 3 ай бұрын
Mh, Makonda Mungu Akuifazi Kabisaaa
@jamesmartin7026
@jamesmartin7026 4 ай бұрын
Makonda wewe wapige spana tu mpaka ziwaingie 😂
@norahfrank
@norahfrank 3 ай бұрын
Kweli Makonda. Mungu Ambariki na ampe ulinzi wa Mbinguni.ona wenyeviti wanavyoliza wananchi wanyonge wa Tanzania. Jamani Makonda njoo Moshi uone wamama ,wajane wanavyopokonywa haki zao. Ee Mungu Nchi hii Mungu aingilie kati tu .uonevu ni mkubwa mno
@GraceMbise-d4y
@GraceMbise-d4y 2 ай бұрын
Mungu azidi kukutunza na akulinde thidi ya maadui
@AbdulrahmaniRomani
@AbdulrahmaniRomani 2 ай бұрын
Muheshimiwa makonda Mimi nakukubar Tangu miaka hio ukiwa katka mbegani chuo cha uvuvi Bagamoyo na hata ulipokua mkuu wa mkoa wa Dare'salaam.shukrani sani
@benikillahjoseph3505
@benikillahjoseph3505 3 ай бұрын
Mama haoni ila mchungaji kamuona this is tanzania 😂😂😂
@evodyMwalyego
@evodyMwalyego 4 ай бұрын
Wananchiii wenzangu kila mtu kwa Imani yake tumuombee Sana pooll Makonda huyu ni mfano wa Musa ameletwa na mungu kuwakomboa Wana wa
@kwzjkwz3532
@kwzjkwz3532 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Diwani kakaaaaaza mwisho kawa mdebwedo dadeki tujitahidi kuwa na problem solving skills inasaidiaa
@jeremiahngoka4980
@jeremiahngoka4980 4 ай бұрын
Mama hamuoni Makonda ila kamuona diwani mzulumati
@sophsoph4740
@sophsoph4740 4 ай бұрын
😂😂😂makonda haonekani ila diwani wa serikale hanaonekana
@AllyMzee-z5c
@AllyMzee-z5c 3 ай бұрын
Hiyo ndio Arusha bwana kazi kweli kweli
@chandekaamiri3153
@chandekaamiri3153 3 ай бұрын
Mama Rais mtizame sana makonda ni mtu tunaomba uibuie watu kama hawa Mungu akitunze kiti chako cha enzi
@RichardLyamuya
@RichardLyamuya 3 ай бұрын
Sio wavamizi hata kidogo waliuziwa na mihuri wanayo huyo Diwali ni mbabaishaji tu.Mheshimiwa Makonda tunaomba uwape adhabu .
@GabrielbarakaThoua-fh8ow
@GabrielbarakaThoua-fh8ow 3 ай бұрын
Makonda angekuwa Kenya,angekufa.Mungu amlinde na amzidishie busara
@NehaliaMachela
@NehaliaMachela 2 ай бұрын
Mungu abariki kazi yako Mkuu
@AnnaalexPeterpaulo
@AnnaalexPeterpaulo Ай бұрын
Hongera sana baba kwa kazi nzuri nakuombea uje uwe rais ajae
@esthermwikali5403
@esthermwikali5403 3 ай бұрын
Makonda mimi ni mkenya lakini akuna kama yy mungu akulinde akufunike na ndamu ya yesu
@OkoaAfrika
@OkoaAfrika 4 ай бұрын
Kuanzia leo nitaanza kukufatilia🎉🎉🎉🎉
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 3 ай бұрын
Afisa ardhi mpuuzi kumbe Hivi huwa wanasomea upumbavu huko shule Vitu vingine ni vya kutumia akili ya kawaida tu kujiuliza km anavifanya makonda
@jboytz5715
@jboytz5715 Ай бұрын
Yani wew nimagu mtupu mungu akubarki sana
@solomondanny-1507
@solomondanny-1507 3 ай бұрын
Diwani yupo humble na anajitambua.
@vumiliailomo5949
@vumiliailomo5949 3 ай бұрын
Hongera sana Mh.Makonda Kazi yako ni njema sana,Mungu akubariki mnoo
@mrishoathumani-wx7gq
@mrishoathumani-wx7gq Ай бұрын
Hongera mheshimiwa mkuu wa mkoa wa Arusha.Mheshimiwa Makonda
@VenjiStone-fc1sx
@VenjiStone-fc1sx 3 ай бұрын
Huyo hapo nimeshamuonaaa,,, 😅😅😅
@isaiahisaac7240
@isaiahisaac7240 3 ай бұрын
Mh.P.Makonda Unazaid ya saikorojia ..Afsa Ardh alikuwaa ana confidance ila had umemtoa kwenye Reli. R.I.P Raisi Magufuri.. Wewe ni Tunda lake Tunakuombea Ufike mbali Had uwe RAISI WA TANZANIA .
@elizabethkikoti7265
@elizabethkikoti7265 3 ай бұрын
Huyu kaka mwanasheria makonda mfikirie anasaidia sana wanachi anafafanua miktaba bila upendeleo tofauti na wanasheria wengine
@edwinlyimo5611
@edwinlyimo5611 3 ай бұрын
Mungu akupe nguvu uzidi kuwatetea wanyonge,hakika umeshaacha alama hapa Duniani,kwa jinsi unavyotenda kazi kwa haki mm sikudai kitu,Mungu akuzidishie uwe baraka kwa watanzania wote
@DevidMalangisa
@DevidMalangisa 3 ай бұрын
Pole sana mama pole sana sana inauma sana pole sana, Mungu ni mwema sana
@omaryngatimwa8220
@omaryngatimwa8220 3 ай бұрын
Huyu Diwan atafika mbali sana
@fruitfulchildrenshome9411
@fruitfulchildrenshome9411 3 ай бұрын
Mungu akutunze zaidi kaka. Wewe ni kiongozi tena kiongozi na nusu.
@Danielgimonge
@Danielgimonge 9 күн бұрын
,😂😂😂😂 ety Yuko apa huyo Diwan nimeisha muona 😂😂😂 na mala ya kwanza kasema hawez kuona yye n kipofu 😂😂
@abelmoturi52
@abelmoturi52 2 ай бұрын
Mungu akumbariki mwenye kiti kwa mamuzi yako ya hekima
@ChrismasiaNjovu
@ChrismasiaNjovu 14 күн бұрын
Makonda wewe ni mtu wa mungu ubarikiwe sana
@GraceMbise-d4y
@GraceMbise-d4y 2 ай бұрын
Thank you my Lord for give us good leader wich are intelligent and with full wisdom
@IssaOmary-s3x
@IssaOmary-s3x 28 күн бұрын
Waa kuwa raisi kaka makonda Mungu akubariki
@hermanmarunda8094
@hermanmarunda8094 3 ай бұрын
Makonda ni kichwa sanaa. Mungu azidi kumjaza hekima na maarifa.
@PaulKerore
@PaulKerore Ай бұрын
You're the best brother missing you
@estherkibajiro3480
@estherkibajiro3480 3 ай бұрын
Mungu akuifadhi makonda umechukua moyo wa Magufuli jaman ❤❤
@RuthKilasa
@RuthKilasa 2 ай бұрын
Mungu amlinde makondau
@MegaAlexison
@MegaAlexison 4 ай бұрын
Huyu mama Kanisani haingiyi tena kWa diwani
@geraldkiondo871
@geraldkiondo871 3 ай бұрын
Ata kama ni Mimi siendi tena
@LeoniaLyimo
@LeoniaLyimo 3 ай бұрын
Watu wengine bwana .we ni mtu wa mungu mambo ya serekali wapi na wapi ona Sasa umetetea kondoo wengine ukawaache wengine hawana mchungaji. Dhambi hizo .Diwani mrudie mungu wako huko ulikoenda rushwa njenje.😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mchungaji.😅😅😅😅😅
@BenedictorYona
@BenedictorYona 3 ай бұрын
Nomaaaaa sanaaa
@mussaelias3535
@mussaelias3535 4 ай бұрын
Makonda mungu anasababu na wewe kwakweli wasaidie
@RuthMsuya-df2ys
@RuthMsuya-df2ys 3 ай бұрын
Mungu akubariki sana mwanangu endelea kuwatetea wanyonge
@rajabumaharisi4483
@rajabumaharisi4483 3 ай бұрын
Mungu akubariki mh shimiwa makonda kwahilo dhulma kubwa sana wametendewa wanach wako
@ChrismasiaNjovu
@ChrismasiaNjovu 14 күн бұрын
Mungu mbaliki makonda
@RehemaKuta
@RehemaKuta 2 ай бұрын
Baba kazi unayo mungu akupiganie
@rahellubandila1928
@rahellubandila1928 3 ай бұрын
Huyo diwani aache uchungaji ni mwongo Mungu hafanyi kazi na waongo
@ChrismasiaNjovu
@ChrismasiaNjovu 14 күн бұрын
Kweri kabisa aondolewe uchungaji na uo udiwani apokonywe usimuache kwasababu ajitambui
@Ahmedikiringamoyo
@Ahmedikiringamoyo 3 ай бұрын
Makonda hongerasana munguakusimamie kilasekunde Makonda yanimakondaww badokuamuislamutu uingiepeponi munguakubarikisana
@basharahamtzhalisi6871
@basharahamtzhalisi6871 3 ай бұрын
Safi ndugu yangu, umewaza kama mimi.
@stephenkalidush5446
@stephenkalidush5446 Ай бұрын
uislam hauingizi mtu pepon, ila imani ya mtu kwa Mungu muumba ,ukisema uislam unasema dini na ni kiwango kidogo sana cha uelewa
@basharahamtzhalisi6871
@basharahamtzhalisi6871 Ай бұрын
@@stephenkalidush5446 Ni kweli ulichosema kwamba Dini ni Uislamu tu. Kwani hayo mengine ni makundi tu ya kibiashara hayana uhusiano wowote na Dini ila ni picha tu ya usoni kwa ajili ya kuwalaghai wasiopenda mahusiano mazuri na MUNGU MUUMBA. AKILI KICHWANI MWAKO KUJUA NANI ANA UELEWA MDOGO KATI YAKO NA SISI WAISLAMU.
@stephenkalidush5446
@stephenkalidush5446 Ай бұрын
@@basharahamtzhalisi6871 uislam si kitu ni taasisi ya watu tu, God is not religious Mungu ni ibaada ktk roho na kwel, kusema dini ni ukisefu wa ufahamu
@basharahamtzhalisi6871
@basharahamtzhalisi6871 Ай бұрын
@@stephenkalidush5446 Ukafiri wako umekuondolea maarifa na fikra njema za kumjua MUNGU WA HAKI HUABUDIWA KUPITIA DINI.
@JoshuaKakobin
@JoshuaKakobin Ай бұрын
Jaman makonda nikiongoz mungu yuko pamoja nae
@derrickazenze820
@derrickazenze820 3 ай бұрын
God has remembered Tanzania.i can see onother magufuli coming up Tanzania don't lose this mighty leader
@tagomshana4032
@tagomshana4032 Ай бұрын
Yaani makonda wewe umeshuka mzimamzima kutoka mbinguni umetumwa na mungu ubarikiwe baba
@AnnaalexPeterpaulo
@AnnaalexPeterpaulo Ай бұрын
Iko sawa
@SalutaryJohn
@SalutaryJohn 3 ай бұрын
Mama hamwoni mkuu wa mkoa,,😂 lakini anamwona diwani ....amazing.
@JacquelineMahumbe
@JacquelineMahumbe 3 ай бұрын
Hatarii sanaaaa
@emmanuelsitta8649
@emmanuelsitta8649 Ай бұрын
Mungu akulipe
@omarhamid3932
@omarhamid3932 3 ай бұрын
Yani Makonda ni Magufuri mtupu Mungu amrinde, ampe maisha maisha marefu.
@Zamb90
@Zamb90 4 ай бұрын
Napenda uwezo wa makonda kuelewa na kutatua matatizo
@leahkabura4271
@leahkabura4271 4 ай бұрын
Me pia
@N.T.KDigitalCreation
@N.T.KDigitalCreation Ай бұрын
Kazi ya Makonda ni nzuri,je anafanya kwa sababu amerudi anataka sifa ama vinginevyo,au anatafuta kiki.
@norahmogiti6849
@norahmogiti6849 3 ай бұрын
Kutoka Kenya,maajabu vile Makonda ana Hekima ya Hali ya juu kama Suleiman,jameni duniani Kunaweza patikana mwanamume kamili kama huyu,Mungu amubariki na amulinde sana
@SadallahedwardBataza
@SadallahedwardBataza 3 ай бұрын
Mtendaji alietolewa ameonewa alikua anawatetea wananche bro makonda pls naomba arudishwe kazini by sadala rindi
@GodrivaBileha-m3q
@GodrivaBileha-m3q 2 ай бұрын
Kama Makonda ni mgonjwa tunamwombea kwa Mungu aweze kupona haraka.Mungu atamponya.
@lucaslukas5273
@lucaslukas5273 3 ай бұрын
utuna kwomba mwshimiwa makonda uje uko kioga oligeruno maana kunashida sana
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt 2 ай бұрын
Mashallah ❤❤❤allah akulinde kamanda
@IlungaIlunga-eg2wp
@IlungaIlunga-eg2wp Ай бұрын
Mungu halali
@samiahjmlimanzilla9354
@samiahjmlimanzilla9354 3 ай бұрын
😂mother unazingua umesema huoni sasaivi unajibu diwani yupo hapa umemuona
@maswamills3161
@maswamills3161 3 ай бұрын
MUNGU mlinde Makonda,mtie nguvu,Kivuli chako kiende pamoja naye.Amen.
@JoshuaMasai-jr4xd
@JoshuaMasai-jr4xd 2 ай бұрын
Mweshimiwa mkuu wa mkowa ipoh sku mungu atakulipa baba hakika mungu uyu apigane na aduyi zako akuepuaheshe nabaya ilikusudi uwasaidie wananchi wanyonge unachokifanya mkuu siyo kwafaida yako unayofanya nikwaajili ya wananchi maskini baba yetu hayat dkt joni pombe magufuli ndio fyraa yake mungu akubariki sana tena sana
@charlesmnuo3292
@charlesmnuo3292 4 ай бұрын
Mungu yuko na makonda
@shamimumussa9508
@shamimumussa9508 2 ай бұрын
Mheshimiwa Jicho la Mungu lisikuache popote utakapokuwa barikiwa Brother.
@fatumajuma8197
@fatumajuma8197 2 ай бұрын
Yaani mama kipofu hamuoni mheshimiwa ila kamuona mchungaji..😅😅
@iskiji1240
@iskiji1240 3 ай бұрын
Hao watu 9 wenye documents wameuziwa kimakosa hilo eneo. Kisheria ilitakiwa wamdai aliyewauzia. Ushauri wa diwani ni mzuri, hao 9 watafutiwe eneo lingine. Hivi kwa mfano mwenye eneo asingeipa serikali si angewatoa hapo kwa amri ya mahakama. Busara tuu imetumika wao kufidiwa na serikali. Ukisema wajenge hapo wakati eneo ni dogo utakosa sehemu ya kujenga ofisi za serikali hapo baadae . Kuamua hizi kesi inahitaji busara sana maana unaweza amua huyo mama ajenge hapo lakini baadae kesi ikaenda mahakamani na huyo mama akashindwa na kuamuliwa abomoe. Atakua amepata hasara zaidi.
@JamesMajaliwa-c6q
@JamesMajaliwa-c6q 9 күн бұрын
Mheshimiwa MAKONDA tunakuomba ukimaliza Arusha tunakuomba na mbeya
АЗАРТНИК 4 |СЕЗОН 3 Серия
30:50
Inter Production
Рет қаралды 1 МЛН
Nastya and balloon challenge
00:23
Nastya
Рет қаралды 62 МЛН
Worst flight ever
00:55
Adam W
Рет қаралды 24 МЛН
Sugu aanza mikutano, amtaka Dk Tulia wakutane 2025 jimboni
7:50
Mwananchi Digital
Рет қаралды 36 М.
АЗАРТНИК 4 |СЕЗОН 3 Серия
30:50
Inter Production
Рет қаралды 1 МЛН