SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
@khamissalim92762 жыл бұрын
Mzee bembe hoyee sanaa
@khamissalim92762 жыл бұрын
Mama jj mm kwenye chano chetu hicho jiwe la kusagia, kata na mtungiwe samahani lkn mtufafanulie tupate faida zaidi Allah awazidishie inshallah
@maryamtanzania97432 жыл бұрын
Mashaalah kipindi kizuri hata mimi sipendi kupika nimesimama bas ndo huko kuiga tu
@FatimahAl-f1d Жыл бұрын
Mashaallah kipindi kitamu 😊 sn
@ronniebertin3563 Жыл бұрын
Unanikumbusha lupyanacomedy live bila chenga
@yusufabdalla55262 жыл бұрын
Hapo mwisho amenifanya mzee nicheke zaidi... Ati jamaa anacheeeeka kweli hahaha
@djgabbychitanda14342 жыл бұрын
Kipindi kitamu sana hiki, hongera sana mama jj
@sabihahamadi22872 жыл бұрын
Jamani nimechelewa kukiona kipindi changu pwenda mungu awabariki
@khamissalim92762 жыл бұрын
Mama jj hichi kipindi umegonga ndipo hizi mila zetu tumeziacha kwa kweli Allah akujalie ili hii jamii irudie asili yetu
@chunanachu25292 жыл бұрын
Sheikh arudi tena tafadhali
@khadijaomary1677 Жыл бұрын
Mzee akifrahi mim hoi mbav zang 😂😂😂, arudiwe jmn
@mwanasiti3109 Жыл бұрын
naomba namba mimi
@aairraahseif56482 жыл бұрын
Mnatufanya tufurahi nyie 😅😅😅😅mashaallah!!!
@rahmakassim88522 жыл бұрын
Jaman mzee weweee waniacha hoi
@mozasaid38692 жыл бұрын
Mzee Mbembe umeongea mke sio wa kwenda sokoni wala kufua, mke kazi yake moja tu! Lkn leo wanawake wamejitwisha mambo sio yao!
@SamidahNamas10 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤️❤️❤️❤️nawapenda. Munatufunzamengi
@salmasulleysh7101 Жыл бұрын
Ala kuuumbee kwaiyo nazi ukiivunja maji nusu wanywa nusu wakunia nazi asante babu apo nimejifunza kitu
@lailahassan8792 жыл бұрын
Mama JJ ujue mie wanichanganya kipindi kilichopita mlisema mke zake kazi leo mzee mbembe anasema mke pambo umuwekee hata mfanya kazi hapo wasemaje
@faridamohamed35612 жыл бұрын
sheikh kaongea point mke sio house girl
@graecmasha32062 жыл бұрын
Hamjambo Niko Kenya napenda kipindi sana.
@hosnakamees54542 жыл бұрын
Maashallah ❤❤❤❤
@jumaiddy-jm5wo8 ай бұрын
Huyu ndiio mambo ya koko?
@aairraahseif56482 жыл бұрын
Habari za leo panaaa!! 🤭🤭🤭🤭Uwe ghali kuupata uafadhali Allahu Aqbarrrr😂😂😂😂😂mna mambo nyiee ❤️❤️❤️❤️❤️
@ArusiJumamaashallaatuekeeshehe2 жыл бұрын
Mmi mumewangu apendi.anasema etiniuchawi
@nailaty2 жыл бұрын
We mzee kiboko🤣🤣🤣
@mwanatz59802 жыл бұрын
Mambo mazito 😍🔥
@ekrammay84712 жыл бұрын
Katika ukunaji nazi kinamama wanaojielewa lazima wakikalie upande sheikh m bembe hukumalizi maana yake km utakikalia km umepanda farasi wakati wa mkuno kuna vabrate inatoka kwenye kile kinoleo kwahiyo umpa hamasa mkunaji kutokana na maumbile walioumbwa nayo na kumfanya mkunaji kuanza kusinzia kwa raha azipatazo
@Swaumdodoma Жыл бұрын
Weeeee usinambie😅😅😅😅😅
@frorenceetoile30162 жыл бұрын
Mutwambie maana yake sasa ya izo shanga jmn
@suleimanhamissmidini8062 жыл бұрын
Kipindi kizuri jamani itabidi mutoe maana tupate tuelewe vizuri japo waswahili wasema asiye juwa maama usimpe maana
@ukhtyrayyan78842 жыл бұрын
Yapo hata saivi hsa zanzibar mana ndo utamaduni wetu lazma vifanywe
@machetebogota42182 жыл бұрын
Wanajitahd kidg lkn c km waNa ndo maana unaambiwa watu pwani yaani wazaramo watu wa tanga wamakonde na wandengereko maana huwez kuta mtu anatoka pemba anajua mambo. Usiombe dada ukaibiwa mume na mndengereko au mmakonde sie wanaume tunajua