JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO chat.whatsapp.com/FeLe2DcIFAg...
@GeraldElias-s7j9 күн бұрын
MAGUFULIFICATION OF AFRICA 🌍
@BridgeterPilla9 күн бұрын
Tanesco tuwashieni umeme Mbagala tuangalie mkutano mkuu huu wa kidunia maana ni historia kubwa Nchini kwetu
@SimonJoseph-j8q8 күн бұрын
pongezi kwa mama Samia Suluhu Hasani na watanzaia wote
@bene28aprilКүн бұрын
CDF amesema mpaka amochoka, jamaaa hao hapo,duuu
@emanuelmotta98028 күн бұрын
Nilidhani angeongea kwa Kiswahili
@NICOLAUSMUGE9 күн бұрын
Jamani traore simwoni
@ObadiahLickson8 күн бұрын
Uongo wa isaya mmeuona? alithibitisha kuwa traore anakija tz huyu jamaa Kuna wakati anathibitishaga vitu kama aliona
@LutenganoCharles-d7t8 күн бұрын
Where is Troure
@fredrickjoseph29079 күн бұрын
Tuachie tusikie live
@ObadiahLickson8 күн бұрын
Mnaongea maswala ya umeme wakati umeme hakuna tz bhn
@ponsianomnyaru91408 күн бұрын
Mwamba alikuwa magufuli tu nyinyi mnaiga na hamuwez kitu shida tuu ovyoo
@KS-iw7qv8 күн бұрын
Tatizo la Hayati Magufuli alikuwa Hataki International Communications... Nchi ilikuwa imetengwa kimataifa..... Ila Ni mzalendo na mpambanaji hatokei tena...
@MACHAGGECHACHA8 күн бұрын
@@KS-iw7qvShida yako ni ipi? Katengwa kimataifa. Una ushahidi gani. Kuna faida gani kimaendeleo Tz baada ya huyo mwarabu kuwa raisi? Wizi uvivu na utumishi wa kuwafaa wa mabeberu na wanaojidai wawaekezaji. Wizi mtupu.!!! Tz sasa hivi inatafunwa na mataifa ya nje. Amka.!!
@AllyMshindo9 күн бұрын
Sasa lini kiswahili kitapewa nafasi ya kutumiwa ?? Je sehemu gani yapaswa kutumiwa na wapi hakipaswi kutumiwa ?? Sasa je lugha ya TAIFA letu ipi sasa ?? Mkutano uko TANZANIA Waandaaji mkutano TANZANIA Vipi kitumike kingereza??
@visionstudios68049 күн бұрын
Sababu wageni wametoka mataifa yanayotumia lugha tofauti tofauti
@MACHAGGECHACHA8 күн бұрын
@@visionstudios6804hiyo siyo sababu kwani unapofanyika Mkutano urusi au uchina na watu wa mataifa mengine wanahudhuria mbona hawabadilishi lugha yao.? Watu weusi bado ni watumwa wa mabeberu . Upumbavu.!!
@MrA24G8 күн бұрын
Huwo ni mkutano wa kimataifa acha ushamba wewe Allymshindo
@gervasemartin9 күн бұрын
MNAWEKA GROUP LA WHATSAPP ALAFU DOESN'T EXIST
@MACHAGGECHACHA8 күн бұрын
Aibu.!!! Kwa nini asiongee Kiswahili? Kingereza chako cha wasi wasi matamshi ni ya kibantu na sio ya mabeberu.