Рет қаралды 15,356
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya kikazi mkoani Mwanza kwa siku tatu kuanzia june 13 hadi 15 2021, atakakugua na kuzindua miradi inayotekelezwa na Serikali ukiwemo ujenzi wa daraja la JPM, uwekekaji wa jiwe la msingi mradi wa SGR na kuzindua mtambo wa kuchenjua dhahabu pamoja na kuzungumza na Wananchi