UJENZI WA SGR MWANZA - ISAKA, ZEGE HALILALI, KAZI INAENDELEA

  Рет қаралды 18,146

TRC RELI TV

TRC RELI TV

2 жыл бұрын

Пікірлер: 21
@sabbob574
@sabbob574 2 жыл бұрын
Asante for bringing this. Kweli kazi inaendelea. Hongera TRC
@jacobomgaka8360
@jacobomgaka8360 2 жыл бұрын
Furaha yangu ni kuona njozi zikitimizwa Mungu ibariki Tanzania
@bakarirajabu3783
@bakarirajabu3783 2 жыл бұрын
Hongera Sana mama na serekali yako ama kweli kazi iendelee
@NDEWARA
@NDEWARA 2 жыл бұрын
Big up TRC. Big up Raisi wetu mpendwa Mama Samia. KAZI IENDELEEE
@mimiraia2531
@mimiraia2531 2 жыл бұрын
Magufuli alisaini mkataba wa RELI hii huko Chato Akiwa na waziri wa mambo ya nje wa China. Huyo mama anatoka wapi hapo?!
@NDEWARA
@NDEWARA 2 жыл бұрын
Pole sana Mimi raia. Jambo usilolijua litakusumbua sana. Anayejenga hiyo reli sass ni Magufuli?
@brianm3160
@brianm3160 2 жыл бұрын
@@NDEWARA Roho inamuuma mama anapiga kazi💪
@mudighurayra
@mudighurayra 2 жыл бұрын
@@NDEWARA hahaha anajenga uko uko aliko
@kiliantereba6502
@kiliantereba6502 2 жыл бұрын
Safi speed ni nzuri na msimuliaji yuko vizuri kiswahili chake, muendelee hivyohivyo
@mkude
@mkude 2 жыл бұрын
Hongera mama Samia suluhu na hongereni TRC kwa usimamizi mzuri.
@michaelpaulo5639
@michaelpaulo5639 2 жыл бұрын
Hongera ajira ipo
@shijankwabi4843
@shijankwabi4843 Жыл бұрын
Helloo
@kiliantereba6502
@kiliantereba6502 2 жыл бұрын
Kwa hiyo ben mwanantala mlimfukuza? Mbona slikuwa anatangaza reli vizuri sana
@jumamnumbwa9483
@jumamnumbwa9483 2 жыл бұрын
Anafaa kwenye siasa huyu ana kipaji
@kamalofanuel8120
@kamalofanuel8120 2 жыл бұрын
Nimeanza kumpenda Samia wacha tuone
@mudighurayra
@mudighurayra 2 жыл бұрын
Na utazid kumpenda maana uyo mama ana msimamo sana tna Sana mtamuelewa 2
@hajiiddi1085
@hajiiddi1085 2 жыл бұрын
Weka video tuonekisha sauti iwe kama background!
@ramadhanhussein3464
@ramadhanhussein3464 2 жыл бұрын
Hivi mradi ukiisha hizo nyumba watakaa akina nani, maana mkandarasi na wafanyakazi watakuwa washamaliza nakuondoka?
@richshayo4924
@richshayo4924 2 жыл бұрын
Wanaweza kaa watumishi, wafanyakazi, mafundi, askari. Fire, watu wa kutoa huduma mbalibali kwa ajili ya services inahitaji watumishi wa Aina mbalimbali
@vfacilitator8398
@vfacilitator8398 2 жыл бұрын
Ni kweli. Mara nyingine serikali inatoa kambi kama hizo kwa taasisi za serikali, kama vile Chuo cha Waalimu, Chuo cha Wauguzi, Kitivo Kishiriki cha Chuo Kikuu, au hata nyumba za watumishi wa serikali wa Wilaya.
@manish-fp1fb
@manish-fp1fb 2 жыл бұрын
Ujinga ni pale unazungumzia kipande cha 5 alafu unaonyesha na video za kipande cha 2.
NYOMI LA STESHENI YA SGR DODOMA NI HIVI 🔥🔥🔥🔥🔥
10:13
RELI NA MATUKIO, SGR MWANZA - ISAKA KM ZAIDI YA KM 21 ZATANDIKWA
27:42
Mom's Unique Approach to Teaching Kids Hygiene #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 31 МЛН
DAD LEFT HIS OLD SOCKS ON THE COUCH…😱😂
00:24
JULI_PROETO
Рет қаралды 15 МЛН
Happy 4th of July 😂
00:12
Alyssa's Ways
Рет қаралды 70 МЛН
Cheki maendeleo ya ujenzi wa Stendi ya kisasa Nyegezi Mwanza
4:20
BMG ONLINE TV
Рет қаралды 9 М.
Ulipofikia ujenzi wa meli ya kisasa ya MV Mwanza Hapa Kazi tu
3:17
Daily News Digital
Рет қаралды 16 М.
Mom's Unique Approach to Teaching Kids Hygiene #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 31 МЛН