Hongera sana mh. Lisu fanya kazi kwa uadirifu Mkubwa ili demokrasia ktk nchi yetu iimarike na tushuhudie mabadiliko ktk taifa letu
@NelsonNicholauskabwile12 күн бұрын
Asante sana Leo nimeamka na furaha
@JohnRich-q9v12 күн бұрын
Sawa la muda tu
@MikidadiSalim-xk9dc12 күн бұрын
Lamuda hiyo vp nyinyi ndio waganga wenyewe watu wasifurahie ushindi unalo hilo ndg fyuuuuuuu
@adelinelyaruu303611 күн бұрын
Watu watasubiri sana. Mungu anaenda kutenda. Msitoke kwenye staring kwa Yale mnayoeenda kufanya
@STEVENKAJUMBA12 күн бұрын
Najiskia furaha Sana kumwona lisu akicheza kwa bashasha na lisasi mwilini nabalikiwa Sana.
@jabiridrissa828012 күн бұрын
It is fantastic. Ni haki yao hawa jamaa kwa sabb kazi iliyofanyika ni kubwa kufikia hatua hii.
@JosephineKiminjo12 күн бұрын
❤❤❤❤❤lisu lisu Hakuna kwa Mungu linalo shindikana Big up sana
@onesmomasala-rg2wd11 күн бұрын
Hongera m/kiti wetu taifa mh lissu shujaa wetu pongezi nyingi kutoka kwangu
@hasinahasan94811 күн бұрын
Hongera chadema Allah atujaalie kila la heri in shaa Allah tunachukua nchi in shaa Allah kwa nguvu zake Allah in shaa Allah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@najimsuleiman369012 күн бұрын
Alhamdulillah Rabbilaalamina. Hakika Allah hujawahi kushindwa. Hongera zana Chadema,Hongera sana Lissu na Team ya Mabadiriko kwa ujumla💪💪💪
@ramadhanmahongole929312 күн бұрын
Amin🙏🙏🙏
@hamadimussa211912 күн бұрын
Hongera sana mh Tundu Lisu
@EmmanuelAngetile12 күн бұрын
Wajumbe mmetisha sana hongereni sana
@SilveryMasalu12 күн бұрын
Ifike mahali tukubaliane tu kwamba mtumishi wa Mungu God bless Lema ni NABII wa Mungu japo yeye amekuwa akiwakatalia watu.Leo hii mimi kwa vile namzidi umri namuomba akubaliane na sauti ya wengi kwamba ni ya Mungu
@1stladyafrica40212 күн бұрын
Sahihi
@SILASSAYON-rb4pp12 күн бұрын
Hongera mwenyekiti wa chadema karibu kwa kuijenga nchi yetu ya Tanzania
@maribaisack209712 күн бұрын
Lisu amefurahi kutoka moyoni, Hongera Sana mh , Mungu akutangulie kwenye Uongozi wako Mpya!!!
@YonahMwakalobo12 күн бұрын
Hongera mh TL! Unganisha makundi.
@tumpedaudi668112 күн бұрын
Lissu Heche Mahinyila 💪💪💪❤🔥
@GeorgeElias-p5o12 күн бұрын
HONGERA!Mkutano umefatiliwa zaidi duniani, kuliko ule ulioishia kujaza wasanii. Hela za kuwalipa wasanii wengi namna ile ni bora wangepewa yatima na Mungu angewabariki wao na Taifa kiujumla
@kilelamniko967812 күн бұрын
Kiukweli chadema imeonyesha ukomavu wa kisiasa sana, hongera sana Tundu Antipas Lisu na John Heche Hongera pia Mbowe Kwa kazi kubwa ulioifanya chadema
@victaboy727312 күн бұрын
Kweli
@abdulabdul637012 күн бұрын
Duniani?🤣😂
@antonyndinga889011 күн бұрын
Vijana karibuni Chadema, Nyumbani kumenoga
@tumpedaudi668112 күн бұрын
Lissuuuuuuuuuuuuu ❤❤❤❤❤
@tumainmkonyi845912 күн бұрын
Heche lisu mungu awatangulie
@bsmonline848212 күн бұрын
Lisu leo kachangamka kwakweli
@Dismasbccmiraclecenter-rv9qi12 күн бұрын
Ni yeyeeeeeee 🎉🎉🎉🎉🎉
@MariyimJumanin12 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤ mashaallah
@BlandinaLukole12 күн бұрын
Chaguo la Mungu
@cloudngoko.267912 күн бұрын
LEMA FIELD MASHOOO SHIKAMOO.
@hamadimussa211912 күн бұрын
Amefurahi sana mwana Mapinduzi Tundu Lisu lkn tumefurah pia
@kashindisimon526512 күн бұрын
Ni Yeyeeeeee❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@GraceDeo-g1n12 күн бұрын
Mungu ahsantee
@PreciousAminiel12 күн бұрын
Bora mbowe angemsikiliza lema angestaafu kwa heshima tu
@peternyamasiriri545012 күн бұрын
Hongera Sana chadema kwa kuonyeaha demokrasia
@RodensJeremiah12 күн бұрын
Niliomba sana mungu amlete uyu mwamba
@نوفل-س5ر11 күн бұрын
Team lisu njoo hapa tushangirie pamoja
@tumainmkonyi845912 күн бұрын
Amina Amina lisu tunakupenda
@Manhajisalafy4212 күн бұрын
Wapi sugu
@VillaTemu-k4p12 күн бұрын
Hongeraaa sana
@hamisially-c4x12 күн бұрын
Sasa tunaenda kuiona CHADEMA mpya
@sonilyemily52312 күн бұрын
Hiii sas ndio democrasia ya kwel na ccm wajifunze hapo kama uchaguz wa nchi hii ungekua unafanyika hivi kwa uwaz, uhuru na haki ccm haingekuwepo madarakan leo lakin kumekua na uchaguz wa gizan ili muovu afanye maovu gizan ili yasionekane hadharan matokeo yake tuna viongoz wasiowajibika kwa wananch wao, wasiojali hata uhai wa mtu, wanaopigania maslah yao binafsi, rushwa na mambo mengine mengi
@stella8824411 күн бұрын
Kuanzia Leo mimi ni timu Lema🥰🥰🥰
@magrethsengati256412 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤ raha sana 😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅
@husseinkonz519212 күн бұрын
Mwisho wa machawa na wala rushwa ndio huu
@hancygadiel81012 күн бұрын
Hongera kamanda
@DamianLucas-k2d12 күн бұрын
Lisu lema ni wamhimu sana kwenye ufalme wako
@bahatimaige775412 күн бұрын
Yaan leooo ni rahaaa
@edsonpetro375412 күн бұрын
Mungu nimwema sana
@RwegoshoraPatt-os2ik12 күн бұрын
Msigwa kakosa uhondo
@vicentjosephat650112 күн бұрын
Hongera sanaaaaaa lissu
@AbdulyMajaliwa-v4r12 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 raha sana
@MikaelMelita12 күн бұрын
Mamba ameshimba✌️✌️✌️✌️🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@emanuelmwakamisa251112 күн бұрын
Daaaaa chama kipo salama
@sagengejagadi252012 күн бұрын
Nabubujikwa na machozi ya furaha
@JuhudiNzowa12 күн бұрын
Lisu mi nakuelewaga sana ktk upambanaji wako hongelen sana
@justusmukurasi438312 күн бұрын
Mh MBOWE tunakuthamini na tutakuheshimu. Kubaliana na matokeo haya. Inough is enough. Let's start a new beginning brother. IT IS TIME FOR NEW BLOOD. Remain party advisor please. NIELEWE BRO
@KelvneJeremia12 күн бұрын
Asante sana lisu
@ZachariaIsack-e5g12 күн бұрын
Imara sana
@ptheboss227212 күн бұрын
Ongera ongera ongera
@JosephineKiminjo12 күн бұрын
Wanaume hehe Hongereni sana
@malkavoice257012 күн бұрын
Uraisi pia unamfaa sana huyu Giant
@dicksoncyprian951112 күн бұрын
SHIKAMOOM LEMA
@khadijasongoro967412 күн бұрын
Ngoja ashindwe urais October anakimbilia Belgium hakuna kitu hapo siyo mwenzenu huyo wa Tanzania hamtumii akili
@PeterJonathan-c8k12 күн бұрын
Lisu, heche, lyenda lema nawakubali
@justusmukurasi438312 күн бұрын
Wenje na team yako kubali matokeo chama kiendelee mbele🎉
@PauloLaizer-c7f12 күн бұрын
Wajumbe karibuni ngorongoro ngo,mbe 5 ni wazi
@dicksoncyprian951112 күн бұрын
LEMA UNAFAA KUWA RAISI WA NCHI
@ramadhanmahongole929312 күн бұрын
Wajumbe wakiamua hakishindikani kitu
@rosetreffert417912 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉
@AlexFanuel-i1p12 күн бұрын
Umekubali walikuambia watu walikuambia hutopata kura mzee watu walishajua java yako
@hasinahasan94811 күн бұрын
CCM KWISHA FITNA YAO
@nicodemuskecho3912 күн бұрын
Hong era Trump wa Tanzania 😊
@MwitaMarwa-s6u12 күн бұрын
kama namuona Master wangu wa judo akifanya kazi yake
@Mwigaa9512 күн бұрын
Kwaiyo wale ma bodyguard Bado wana endelea na ulinzi kwa mbowe au ndio basi tena kibarua kigumu kwa upande wao kwa sasa
@salama111312 күн бұрын
Ila lisu anakera😂😂😂😂
@MosesNdabilla11 күн бұрын
Kamugulusele ameshinda jaman
@HassanMaijo12 күн бұрын
Nataka kadi
@KEFRINEENOS12 күн бұрын
MUNGU ibariki Tanzania mbariki Tundu lisu na Heche na lema na wotewalio Fanya kazi kwa haki pamoja na watumishi wa wako
@samsonwilson376212 күн бұрын
LEMA AWE KATIBU
@johnsonrwekemba12 күн бұрын
Mgombea uraisi huyo
@marymremi105112 күн бұрын
vita ya ninyi kwa ninyi ndiyo imeanza tim mbowe na tim lisu hakitakuwa rahisi sana mzee
@josephmarole515912 күн бұрын
Kaa Kwa kutlia vita ya nn Teena,Sasa vita unaend ccm
@Jumasalummwandu12 күн бұрын
Hongera lisu
@samsonwilson376212 күн бұрын
Nguruwe yeriko na paka ntobi
@zebedayokatamaduni967612 күн бұрын
Ndugu usiwatukane ndiyo demokrasia, chama ni kimoja wajenge chama ❤❤🎉🎉
@laizerstudio12 күн бұрын
wapi papaa yericko mutoto ya nguruwe
@patrickmfundiri866912 күн бұрын
Tupate ushindani wa kweli hili tuamshe waliolala wananchi wapate maendeleo ya nchi yao