VIBE LA LISSU, LEMA NA HECHE BAADA YA KUMGARAGAZA MBOWE UENYEKITI CHADEMA

  Рет қаралды 22,587

Uhondo TV

Uhondo TV

Күн бұрын

Пікірлер: 96
@EliudKahigi
@EliudKahigi 12 күн бұрын
Hongera sana mh. Lisu fanya kazi kwa uadirifu Mkubwa ili demokrasia ktk nchi yetu iimarike na tushuhudie mabadiliko ktk taifa letu
@NelsonNicholauskabwile
@NelsonNicholauskabwile 12 күн бұрын
Asante sana Leo nimeamka na furaha
@JohnRich-q9v
@JohnRich-q9v 12 күн бұрын
Sawa la muda tu
@MikidadiSalim-xk9dc
@MikidadiSalim-xk9dc 12 күн бұрын
Lamuda hiyo vp nyinyi ndio waganga wenyewe watu wasifurahie ushindi unalo hilo ndg fyuuuuuuu
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 11 күн бұрын
​Watu watasubiri sana. Mungu anaenda kutenda. Msitoke kwenye staring kwa Yale mnayoeenda kufanya
@STEVENKAJUMBA
@STEVENKAJUMBA 12 күн бұрын
Najiskia furaha Sana kumwona lisu akicheza kwa bashasha na lisasi mwilini nabalikiwa Sana.
@jabiridrissa8280
@jabiridrissa8280 12 күн бұрын
It is fantastic. Ni haki yao hawa jamaa kwa sabb kazi iliyofanyika ni kubwa kufikia hatua hii.
@JosephineKiminjo
@JosephineKiminjo 12 күн бұрын
❤❤❤❤❤lisu lisu Hakuna kwa Mungu linalo shindikana Big up sana
@onesmomasala-rg2wd
@onesmomasala-rg2wd 11 күн бұрын
Hongera m/kiti wetu taifa mh lissu shujaa wetu pongezi nyingi kutoka kwangu
@hasinahasan948
@hasinahasan948 11 күн бұрын
Hongera chadema Allah atujaalie kila la heri in shaa Allah tunachukua nchi in shaa Allah kwa nguvu zake Allah in shaa Allah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@najimsuleiman3690
@najimsuleiman3690 12 күн бұрын
Alhamdulillah Rabbilaalamina. Hakika Allah hujawahi kushindwa. Hongera zana Chadema,Hongera sana Lissu na Team ya Mabadiriko kwa ujumla💪💪💪
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 12 күн бұрын
Amin🙏🙏🙏
@hamadimussa2119
@hamadimussa2119 12 күн бұрын
Hongera sana mh Tundu Lisu
@EmmanuelAngetile
@EmmanuelAngetile 12 күн бұрын
Wajumbe mmetisha sana hongereni sana
@SilveryMasalu
@SilveryMasalu 12 күн бұрын
Ifike mahali tukubaliane tu kwamba mtumishi wa Mungu God bless Lema ni NABII wa Mungu japo yeye amekuwa akiwakatalia watu.Leo hii mimi kwa vile namzidi umri namuomba akubaliane na sauti ya wengi kwamba ni ya Mungu
@1stladyafrica402
@1stladyafrica402 12 күн бұрын
Sahihi
@SILASSAYON-rb4pp
@SILASSAYON-rb4pp 12 күн бұрын
Hongera mwenyekiti wa chadema karibu kwa kuijenga nchi yetu ya Tanzania
@maribaisack2097
@maribaisack2097 12 күн бұрын
Lisu amefurahi kutoka moyoni, Hongera Sana mh , Mungu akutangulie kwenye Uongozi wako Mpya!!!
@YonahMwakalobo
@YonahMwakalobo 12 күн бұрын
Hongera mh TL! Unganisha makundi.
@tumpedaudi6681
@tumpedaudi6681 12 күн бұрын
Lissu Heche Mahinyila 💪💪💪❤🔥
@GeorgeElias-p5o
@GeorgeElias-p5o 12 күн бұрын
HONGERA!Mkutano umefatiliwa zaidi duniani, kuliko ule ulioishia kujaza wasanii. Hela za kuwalipa wasanii wengi namna ile ni bora wangepewa yatima na Mungu angewabariki wao na Taifa kiujumla
@kilelamniko9678
@kilelamniko9678 12 күн бұрын
Kiukweli chadema imeonyesha ukomavu wa kisiasa sana, hongera sana Tundu Antipas Lisu na John Heche Hongera pia Mbowe Kwa kazi kubwa ulioifanya chadema
@victaboy7273
@victaboy7273 12 күн бұрын
Kweli
@abdulabdul6370
@abdulabdul6370 12 күн бұрын
Duniani?🤣😂
@antonyndinga8890
@antonyndinga8890 11 күн бұрын
Vijana karibuni Chadema, Nyumbani kumenoga
@tumpedaudi6681
@tumpedaudi6681 12 күн бұрын
Lissuuuuuuuuuuuuu ❤❤❤❤❤
@tumainmkonyi8459
@tumainmkonyi8459 12 күн бұрын
Heche lisu mungu awatangulie
@bsmonline8482
@bsmonline8482 12 күн бұрын
Lisu leo kachangamka kwakweli
@Dismasbccmiraclecenter-rv9qi
@Dismasbccmiraclecenter-rv9qi 12 күн бұрын
Ni yeyeeeeeee 🎉🎉🎉🎉🎉
@MariyimJumanin
@MariyimJumanin 12 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤ mashaallah
@BlandinaLukole
@BlandinaLukole 12 күн бұрын
Chaguo la Mungu
@cloudngoko.2679
@cloudngoko.2679 12 күн бұрын
LEMA FIELD MASHOOO SHIKAMOO.
@hamadimussa2119
@hamadimussa2119 12 күн бұрын
Amefurahi sana mwana Mapinduzi Tundu Lisu lkn tumefurah pia
@kashindisimon5265
@kashindisimon5265 12 күн бұрын
Ni Yeyeeeeee❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@GraceDeo-g1n
@GraceDeo-g1n 12 күн бұрын
Mungu ahsantee
@PreciousAminiel
@PreciousAminiel 12 күн бұрын
Bora mbowe angemsikiliza lema angestaafu kwa heshima tu
@peternyamasiriri5450
@peternyamasiriri5450 12 күн бұрын
Hongera Sana chadema kwa kuonyeaha demokrasia
@RodensJeremiah
@RodensJeremiah 12 күн бұрын
Niliomba sana mungu amlete uyu mwamba
@نوفل-س5ر
@نوفل-س5ر 11 күн бұрын
Team lisu njoo hapa tushangirie pamoja
@tumainmkonyi8459
@tumainmkonyi8459 12 күн бұрын
Amina Amina lisu tunakupenda
@Manhajisalafy42
@Manhajisalafy42 12 күн бұрын
Wapi sugu
@VillaTemu-k4p
@VillaTemu-k4p 12 күн бұрын
Hongeraaa sana
@hamisially-c4x
@hamisially-c4x 12 күн бұрын
Sasa tunaenda kuiona CHADEMA mpya
@sonilyemily523
@sonilyemily523 12 күн бұрын
Hiii sas ndio democrasia ya kwel na ccm wajifunze hapo kama uchaguz wa nchi hii ungekua unafanyika hivi kwa uwaz, uhuru na haki ccm haingekuwepo madarakan leo lakin kumekua na uchaguz wa gizan ili muovu afanye maovu gizan ili yasionekane hadharan matokeo yake tuna viongoz wasiowajibika kwa wananch wao, wasiojali hata uhai wa mtu, wanaopigania maslah yao binafsi, rushwa na mambo mengine mengi
@stella88244
@stella88244 11 күн бұрын
Kuanzia Leo mimi ni timu Lema🥰🥰🥰
@magrethsengati2564
@magrethsengati2564 12 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤ raha sana 😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 12 күн бұрын
Mwisho wa machawa na wala rushwa ndio huu
@hancygadiel810
@hancygadiel810 12 күн бұрын
Hongera kamanda
@DamianLucas-k2d
@DamianLucas-k2d 12 күн бұрын
Lisu lema ni wamhimu sana kwenye ufalme wako
@bahatimaige7754
@bahatimaige7754 12 күн бұрын
Yaan leooo ni rahaaa
@edsonpetro3754
@edsonpetro3754 12 күн бұрын
Mungu nimwema sana
@RwegoshoraPatt-os2ik
@RwegoshoraPatt-os2ik 12 күн бұрын
Msigwa kakosa uhondo
@vicentjosephat6501
@vicentjosephat6501 12 күн бұрын
Hongera sanaaaaaa lissu
@AbdulyMajaliwa-v4r
@AbdulyMajaliwa-v4r 12 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 raha sana
@MikaelMelita
@MikaelMelita 12 күн бұрын
Mamba ameshimba✌️✌️✌️✌️🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@emanuelmwakamisa2511
@emanuelmwakamisa2511 12 күн бұрын
Daaaaa chama kipo salama
@sagengejagadi2520
@sagengejagadi2520 12 күн бұрын
Nabubujikwa na machozi ya furaha
@JuhudiNzowa
@JuhudiNzowa 12 күн бұрын
Lisu mi nakuelewaga sana ktk upambanaji wako hongelen sana
@justusmukurasi4383
@justusmukurasi4383 12 күн бұрын
Mh MBOWE tunakuthamini na tutakuheshimu. Kubaliana na matokeo haya. Inough is enough. Let's start a new beginning brother. IT IS TIME FOR NEW BLOOD. Remain party advisor please. NIELEWE BRO
@KelvneJeremia
@KelvneJeremia 12 күн бұрын
Asante sana lisu
@ZachariaIsack-e5g
@ZachariaIsack-e5g 12 күн бұрын
Imara sana
@ptheboss2272
@ptheboss2272 12 күн бұрын
Ongera ongera ongera
@JosephineKiminjo
@JosephineKiminjo 12 күн бұрын
Wanaume hehe Hongereni sana
@malkavoice2570
@malkavoice2570 12 күн бұрын
Uraisi pia unamfaa sana huyu Giant
@dicksoncyprian9511
@dicksoncyprian9511 12 күн бұрын
SHIKAMOOM LEMA
@khadijasongoro9674
@khadijasongoro9674 12 күн бұрын
Ngoja ashindwe urais October anakimbilia Belgium hakuna kitu hapo siyo mwenzenu huyo wa Tanzania hamtumii akili
@PeterJonathan-c8k
@PeterJonathan-c8k 12 күн бұрын
Lisu, heche, lyenda lema nawakubali
@justusmukurasi4383
@justusmukurasi4383 12 күн бұрын
Wenje na team yako kubali matokeo chama kiendelee mbele🎉
@PauloLaizer-c7f
@PauloLaizer-c7f 12 күн бұрын
Wajumbe karibuni ngorongoro ngo,mbe 5 ni wazi
@dicksoncyprian9511
@dicksoncyprian9511 12 күн бұрын
LEMA UNAFAA KUWA RAISI WA NCHI
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 12 күн бұрын
Wajumbe wakiamua hakishindikani kitu
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 12 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉
@AlexFanuel-i1p
@AlexFanuel-i1p 12 күн бұрын
Umekubali walikuambia watu walikuambia hutopata kura mzee watu walishajua java yako
@hasinahasan948
@hasinahasan948 11 күн бұрын
CCM KWISHA FITNA YAO
@nicodemuskecho39
@nicodemuskecho39 12 күн бұрын
Hong era Trump wa Tanzania 😊
@MwitaMarwa-s6u
@MwitaMarwa-s6u 12 күн бұрын
kama namuona Master wangu wa judo akifanya kazi yake
@Mwigaa95
@Mwigaa95 12 күн бұрын
Kwaiyo wale ma bodyguard Bado wana endelea na ulinzi kwa mbowe au ndio basi tena kibarua kigumu kwa upande wao kwa sasa
@salama1113
@salama1113 12 күн бұрын
Ila lisu anakera😂😂😂😂
@MosesNdabilla
@MosesNdabilla 11 күн бұрын
Kamugulusele ameshinda jaman
@HassanMaijo
@HassanMaijo 12 күн бұрын
Nataka kadi
@KEFRINEENOS
@KEFRINEENOS 12 күн бұрын
MUNGU ibariki Tanzania mbariki Tundu lisu na Heche na lema na wotewalio Fanya kazi kwa haki pamoja na watumishi wa wako
@samsonwilson3762
@samsonwilson3762 12 күн бұрын
LEMA AWE KATIBU
@johnsonrwekemba
@johnsonrwekemba 12 күн бұрын
Mgombea uraisi huyo
@marymremi1051
@marymremi1051 12 күн бұрын
vita ya ninyi kwa ninyi ndiyo imeanza tim mbowe na tim lisu hakitakuwa rahisi sana mzee
@josephmarole5159
@josephmarole5159 12 күн бұрын
Kaa Kwa kutlia vita ya nn Teena,Sasa vita unaend ccm
@Jumasalummwandu
@Jumasalummwandu 12 күн бұрын
Hongera lisu
@samsonwilson3762
@samsonwilson3762 12 күн бұрын
Nguruwe yeriko na paka ntobi
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 12 күн бұрын
Ndugu usiwatukane ndiyo demokrasia, chama ni kimoja wajenge chama ❤❤🎉🎉
@laizerstudio
@laizerstudio 12 күн бұрын
wapi papaa yericko mutoto ya nguruwe
@patrickmfundiri8669
@patrickmfundiri8669 12 күн бұрын
Tupate ushindani wa kweli hili tuamshe waliolala wananchi wapate maendeleo ya nchi yao
@zezearoma
@zezearoma 12 күн бұрын
Muingie Gym sasa
@TitoRufizi
@TitoRufizi 12 күн бұрын
Ccccm wanatamani kujinyonga
@RwegoshoraPatt-os2ik
@RwegoshoraPatt-os2ik 12 күн бұрын
Sugu umekumbatia nyuki
@MhadisaRonjino
@MhadisaRonjino 12 күн бұрын
😂😂
@isayamwashibanda5819
@isayamwashibanda5819 12 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉
"Sina chuki hata moja na Lissu, hata nikikutana naye nitamkumbatia"
20:30
Сестра обхитрила!
00:17
Victoria Portfolio
Рет қаралды 958 М.