#VictoriaNazah#Hulinganishwi#MusicVideo.Channel Administered by Huru Digital Instagram: / hurudigital
Пікірлер: 171
@user-ew4qf9ud4v3 ай бұрын
Dada hongera sana unaimba nyimbo za utukufu kwa Mungu sio nyimbo za mipasho tafadhari usibadirike dada hata kama wapambe wako ni wachache kwa kuwa unaimba kweli ya Mungu subiri ujira wa Mungu wanadamu hatuna mbingu wala hesabu yako hutoitoa kwetu .
@YonaMhumba-ry2bc9 күн бұрын
Sauti yako inanguvu za Mungu najua hujaipata kiurahisi....skufahamu ila najua umepitia tanuru la Moto.......Mungu akulipe maumivu yako ameeni
@petermeto593917 күн бұрын
Mungu wetu wa mbinguni azidi kukuneemesha dada Victoria ! Nyimbo zimejaa upako na jumbe zinazomtukuza Mungu! Hongera sana ! Nimebarikiwa sana !
@MathewLazaro13 күн бұрын
Ewe dada, mwimbaji, nyenyekea sana mbele za Mungu, kila kuitwapo leo
@floranyefwe346415 күн бұрын
Nakufuatilia mnooo nakupenda snaaa natamani nikuone siku mojaaa nyimbo zako huwa zinaponya majeraha mengi snaaa
@dorcasjuma1701Күн бұрын
Daaa nimeupenda huu wimbo umenibariki sana
@enosbupamba25262 ай бұрын
Asante sana nmebarikiwa mno kama umenigusa
@leahswedy48953 ай бұрын
Nimeutafuta sana huu wimbo ...be blessed exceedingly ... nice song ❤❤❤
@MondoSagasu2 ай бұрын
Dada yangu unaimba vizuri sana dada yangu
@user-sd4yi1ek8e5 ай бұрын
nimeurudia mala nyingiii sana yatosha kusema hufananishwiiii Mungu nimebarikiwa na huu wimbo ww bint Mungu akuinue viwango vyajuu zaidiii
@victorianazah5 ай бұрын
Ameeen
@YonaMhumba-ry2bc3 ай бұрын
Mmmmmh Mungu akupe neema ustawi zaidi
@christophermteulle-ko3yb5 ай бұрын
God bless you so much my sister in Christ, huu wimbo hunibariki Sana, kila ninapo usikiliza mm hunibariki Sana. Mungu wa mbinguni akubariki.
@victorianazah5 ай бұрын
Ameeen
@JenniferShadrack Жыл бұрын
Mungu akubaluk San akuinue uwe viwango vya juu wimbo mzuri San umenipa Farah san
@victorianazah11 ай бұрын
Ameeen
@mariaphaustine1229 Жыл бұрын
Mungu ni Mungu hakika atabaki kuwa Mungu 😭😭
@victorianazah Жыл бұрын
Ameen
@stephanjohn17562 ай бұрын
Unafika mbali saana
@user-nj2se9dv1w2 ай бұрын
kwali Mungu hulinganishwi
@Meer-ru9ie29 күн бұрын
Ameni mungu azidi kukuinua❤❤
@DieudonneKangangu-mh8mn4 ай бұрын
Bwana aendlelee kukuinuwa Kati yote.Nimebarikiwa
@user-ru6yk8kh5g2 ай бұрын
Dada mungu akuinua juu sana Kati ka unduma hii
@DeboraMwanja-fr6mu23 күн бұрын
Mungu akubariki dada kwa wimbaji
@judybarasa-qj2ko6 ай бұрын
Hallelujah hallelujah atabaki kuwa mungu tu
@victorianazah5 ай бұрын
Ameen
@user-ur1bs3vk2pАй бұрын
amen. Utukufu niwakobaba
@zephaniapaul95924 ай бұрын
uko vizuri sana sister Mungu hawezi kukutupa
@estermalembwamalembwa19363 ай бұрын
Unaimba vizuri mungu akubariki
@user-mo4tr5kk8y8 ай бұрын
Nyimbo ambayo ni faraja ya maisha yangu kila nikipitia magumu🙏🙏🙏 mungu akubariki dada
@victorianazah6 ай бұрын
Ameen
@lilianwilliam39267 ай бұрын
Hakika utabaki kuwa MUNGU tu MUNGU akuinue na kukupaka mafuta zaida
@user-ku5hr5nt4q5 ай бұрын
POWERFUL. BLESSSS YOU
@graciaoscar72794 ай бұрын
i love the second verse..... be blessed mke wa schoolmate wangu
@Caroline-mc5ro2 ай бұрын
Pete ya ndoa iko wapi?
@medatonny632 Жыл бұрын
Kila nikisiliza huu wimbo najikuta nalia😭😭
@victorianazah Жыл бұрын
Haleluyaa
@floranyefwe346415 күн бұрын
Naomba nikuone siku moja unapatikana wapi dada angu @@victorianazah
@MariamDaudi-wo1bf3 ай бұрын
Dada barikiwa sana
@patrickwameyo38828 ай бұрын
I blamed my KZbin for taking long to capture this nice song.Imagine updated I yr ago.
@victorianazah6 ай бұрын
Amen
@stephanjohn17562 ай бұрын
Unaimba kwel, ndani yako kunauzima, powerful song
@matendombilinyi476 Жыл бұрын
Hakika hulinganishi utabaki kuwa MUNGU.
@user-li6ec8im1k6 ай бұрын
Mungu akubariki sana kwa wimbo huu 6:49
@fearful2545 ай бұрын
Asante dada kwa ujumbe nzuri
@SamwelMarwa-hz6odАй бұрын
Unalikiwe sana dada
@MadamEsther69884 ай бұрын
So powerful my sister be blessed
@ElishaChristopher-ds6hl3 ай бұрын
Ubarikiwe kwa wimbo huu uli beba ujumbe mkubwa sana wa MUNGU
@fridaymwakisu8953 Жыл бұрын
Kyala nkota ndaga dada wa Mimi
@victorianazah Жыл бұрын
Haleluyaa
@estherwayuambaluka56869 ай бұрын
U will remain t b God.Amen Amen
@user-kv4cn9iy5d2 ай бұрын
Amen 🙏🙌
@user-sr4rh3ne6d2 ай бұрын
Dada V. Bwana akuzidishe,akuonue na akubariki kwa vyote sauti na mashairi yananitoa machozi kwa mapito na nilipo leo hongera
@TulinagweAndulile-hp6ctАй бұрын
Amina mtumishi
@AdelineFredrickАй бұрын
Aminaa
@christinabpendelelo25616 ай бұрын
❤❤❤❤ amen
@siwemamsesa520 Жыл бұрын
Naupenda sana huu wimbo! Una ujumbe mzuri sana! Mungu akubariki sana Dada yangu; na aendelee kukuinua kwa viwango vya juu zaidi
@victorianazah Жыл бұрын
Ameen ameen
@MariaEnock3 ай бұрын
Barikiwa sana dada victoria nabarikiwa sana na nyimbo zako Mungu akuinue zaidi
@CrausSanga-re5bz9 ай бұрын
Kweli haringanishwi na hafananishwi mungu wetu: barikiwa sana mtumish kwa ujumbe mzur
@user-yl8ix1uv1z8 ай бұрын
Nakupenda dadangu since sayuni bendi mwenyezi Mungu aendelee kukupandisha kihuduma
@danieleduarte65262 ай бұрын
Aleluia
@japhethombui15762 жыл бұрын
Nakufuatilia dadangu, Kuna Mahali unatoka na Kuna Mahali unaenda, Mungu halinganishwi na Chochote
@victorianazah2 жыл бұрын
Ameeen
@judithmwakilasa42907 күн бұрын
❤😍
@edithakayombo12169 ай бұрын
Kwakweli dada unaimba,Mungu azidi kukupa kibali
@victorianazah6 ай бұрын
Ameen
@komandowainjiliyayesu Жыл бұрын
Songs mbele sana
@victorianazah Жыл бұрын
Ameeen
@abigaeluwezo55466 ай бұрын
Amen
@puritydaudi97522 жыл бұрын
Kweli Mungu halinganishwi na chochote🙌 Neema tele dada🙏😍🇰🇪
@victorianazah2 жыл бұрын
Ameen
@lyndambzigha-a5847 Жыл бұрын
Thank you very much for the English translation of this song. It increases my love for song to 95%.
@victorianazah Жыл бұрын
Ameen
@dinalesmwakolo2131 Жыл бұрын
Yaan nilikuwa natafutaga jina lako mpk nimelipata Aiseee ww dada unaimbaaaa🙌🏻una sauti ya kusisimua mpk rahaaaa,Mungu azidi kukutumia vyema NAKUPENDA❤️😍
@victorianazah Жыл бұрын
Ahsante Sana ubarikiwe
@happyjulius4567 Жыл бұрын
Hakika unanibaliki sana huu wimbo
@josephmwalasub9001 Жыл бұрын
😭😭kila ninapousikiliza wimbo hu huwa unanissmua mno najikuta nalia hakika mungu hafananishwi na Chochote mungu akubariki dada
@victorianazah Жыл бұрын
Ameeen
@notkeliromani1100 Жыл бұрын
Amen Amen
@victorianazah Жыл бұрын
Ameen ameen
@laziziimoni12278 ай бұрын
Una sauti mzuri dada umenibariki sana
@MeshackMgao11 ай бұрын
Good voice 🎤 good message ❤️❤️Mungu akubariki sana.
@victorianazah6 ай бұрын
Ameeen
@eliachalamila2259 Жыл бұрын
nakufuatilia sana shemeji, hakika MUNGU aliye juu akuinue ktk uimbaji na uinjilisti. ufike mbali mno, big up na mpe salamu mdogo wangu Nazareth, mwambie kaka yako anakupa hai
@victorianazah Жыл бұрын
Ameen
@dorkasjohn688 Жыл бұрын
Be blessed my dear frnd
@victorianazah Жыл бұрын
Ameen
@jumachango Жыл бұрын
Wimbo mzuri sana wakubariki sichoki kuusikiliza mara Kwa mara Barikiwa sana Dadangu
@victorianazah Жыл бұрын
Ameeen ameen
@user-gn8gl2ek2p6 ай бұрын
Am always blessed when I heard this song 🙏
@SadaShabani Жыл бұрын
Kila nikisikiliza huu wimbo nabalikiwa sana naamini ipo siku,shida taabu, dhiki zitaiaha
@victorianazah Жыл бұрын
Ameen
@carolynekanaiza2 жыл бұрын
Nakupenda sana dada nimekusikiza kutoka kitambo ukiimba na Emmanuel mgogo.keep going dada mungu akuzidishie dada.nice song nice voice.
@victorianazah2 жыл бұрын
Ameen ameen
@mussamwaliyawa32012 жыл бұрын
Hakika mungu we ndye mganga mkuu ,,barikiwa Sana Victoria kazi nzur
@victorianazah2 жыл бұрын
Ameen
@godfreysanziki14612 жыл бұрын
Kazi nzuri my dada, sifa zote na utukufu arudishiwe yeye kwa kazi na matendo yake mana ni kweli halinganishwi.
@victorianazah2 жыл бұрын
Ameen
@madeleinebonnefete2576 Жыл бұрын
Ubarikiwe dada , na Mungu akupe nguvu za kuendelea kumtumikia
@victorianazah Жыл бұрын
Ameen ameen
@fridahshake37882 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭
@linetkimaniofficial3192 жыл бұрын
Am here from TikTok it's a blessing to hear this God bless you so much
@victorianazah2 жыл бұрын
Ameen
@miriamwanjiru79422 жыл бұрын
Me too,haki nilitafuta hii song niliona TikTok may God bless you it's very powerful
@reenmakamu22782 жыл бұрын
Ujumbe wa kwangu huu Baba. Asante kwa Neena na rehema zako Mungu. Hakika haulinganishwi kamwe. Vyote vya kibinadamu havidumu wala kuwa hai Milele..ila wewe no mwanzo Leo na hats Milele. More grace sister 💗💗
@victorianazah2 жыл бұрын
Ameeen
@paulinemwangi89862 жыл бұрын
Very nice song....🙏🏾💚 much love from kenya
@victorianazah2 жыл бұрын
Ameen
@yusufusikazwe1726 Жыл бұрын
Ubarikiwe Sana kwa wimbo huu, umenigusa!!
@victorianazah Жыл бұрын
Ameen
@victoriashao7478 Жыл бұрын
Hongera Sana wajina ujumbe mzur
@victorianazah Жыл бұрын
Ameen
@user-xh2uc1rh1d7 ай бұрын
Powerful ❤
@roseimbuka86427 ай бұрын
❤ lovely song
@fridaymwakisu8953 Жыл бұрын
Amina mtumishi wa MUNGU ubarikiwe sana
@victorianazah Жыл бұрын
Ameen
@user-xd7xb7wk4m5 ай бұрын
Hakika huu wimbo umenibariki sana nikweli MUNGU halinganishwi barikiwa Dada vickitoria
@victorianazah5 ай бұрын
ameen
@anethmapunda7734 Жыл бұрын
Wimbo unaonitia moyo sana
@victorianazah Жыл бұрын
Ameen
@ngenohkben34505 ай бұрын
I'm blessed ❤ May God bless you Shalom 🙏🙏🏼🙏🏼
@victorianazah5 ай бұрын
Ameeen
@naomikalinga3042 Жыл бұрын
Barikiwa kazi nyimbo nziri
@victorianazah Жыл бұрын
Ameen
@wilsonmmasa5371 Жыл бұрын
Spiritual song, congratulations sister Victoria, Mungu akutunze
@victorianazah Жыл бұрын
Ameen
@agriculturefarm767 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@devothamwakanosya29902 жыл бұрын
Nimebalikiwa sanasana 🥰🥰, MUNGU azidikuku weka.
@victorianazah2 жыл бұрын
Ameen
@elizabethabednego16392 жыл бұрын
Nimebarikiwa na huu wimbo
@victorianazah2 жыл бұрын
Ameen
@obertmwakifwange66802 жыл бұрын
BLESSING MPAKA USHANGAE
@victorianazah2 жыл бұрын
Ameen
@catherinembodze9522 жыл бұрын
Amen amen be blessed to me this song
@victorianazah2 жыл бұрын
Ameeen
@faithmolly92712 жыл бұрын
From TikTok May God bless you am blessed 🙏🙏🙏🙏 and I must download it oooh More Grace