Jamani Mimi Mungu akiniinua wachawi sitawaacha salama naapa Kwa jina la yesu.hivi vya kutengenezewa vinatuuma sana,ndiyo tutakufa lakini siyo kwa jinsi hii,hapana MUNGU nakuomba Mimi nifanye mpiganaji katika ulimwengu wa roho nikutumikie sawasawa lakini katika kitengo cha wachawi nifanye mpiganaji.Nimeumia inatosha sasa nimechoka Hari hii haivumiliki kabisaaa Eeee Yesu hatuna msaada umebaki wewe pekee wa kutoa faraja kawafariji ndugu jamaa wa familia hii amen.
@faridithomas485920 күн бұрын
Maneno ya kichwa maji😂😂
@neemashuma430220 күн бұрын
Kiukweli nakubaliana na wewe huu ni UCHAWIIII jamani tuweni roho sana maana haya mambo ya kichawi kabisaa
@paschaziaignas698420 күн бұрын
Hata sio kifo cha kichawi atakua alkua kwel ana tatzo kwel
@annaTemu-wx2rc20 күн бұрын
Yaani wamemchukua msukule.kijana wa watu 😭😭
@ellytech975720 күн бұрын
Sasa hapo uchawi uko wapi?
@GraceLisasi20 күн бұрын
Mungu amempenda zaidi apumzike Marco ulituinjilisha sisi sote, kazi umeimaliza , imani umeilinda.lala pema,vema,amen
@Edith-rq3mm20 күн бұрын
Mung kampenda Zaid wap mengne sio mapenz ya mung kabisa
@YOSHUAESITONISWILLAH-he3dw19 күн бұрын
Poleni na msiba mungu awatie nguvu
@danielbushasha268718 күн бұрын
Poleni sana kwa kumpoteza Michael.Mungu awafariji na kuwapa nguvu za kustahimili kumpoteza kaka na mtumishi wa Mungu.
@AlphonceMasende20 күн бұрын
Poleni sana rafiki zangu ,nimeumia sana kwa rafiki yangu ila haya maisha si kitu,kitu cha maana sana kuliko vyote ni kujikabidhi kwa Muumba wetu kila wakati
@IliM-hf5ku19 күн бұрын
Watching from saudia aribia pole.sana.kwa.family.reast.in.peace.
@esaumoiseselias-gs4py20 күн бұрын
Poleni sana watu Mungu, Mungu aifaliji miyo yenu,poleni sana, Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi!
@bettymollel729919 күн бұрын
Poleni sana wana Zabron , BWANA YESU awafariji mwenyewe na kuwatia nguvu
@felistusmunyao389119 күн бұрын
I wish he was taken to nairobi hospital while in kenya. But God knows better. Rip man of God. Condolence to family
@RoseKimishabhalemi-oz9bn18 күн бұрын
Muhuuuuuu!!! Mimi niliwahi kuugua ugonjwa wa namna hiyo wandugu zanguni wachawi wameandikwa kwenye biblia mjihidhali katika kumjua Mungu wa kweli na kumtumia kihasahasa kwa Levo ya juu sana tukiangalia njia zetu ziwe zimenyoka hata hivyo mmshukuru Mungu mlikuwa mnakwisha wote
@jaeljepkoech866317 күн бұрын
Ushindwe
@evancejohn171314 күн бұрын
mungu awape nguvu
@RizikiMbembela-b6h13 күн бұрын
Nimekuelewa yamkini ingetokea ajar
@harrietwaweru976019 күн бұрын
God Himself will visit with you and be by your side..He promises....to be on our side in all seasons....It's not easy ,it's a journey..a process, may God carry you and your family, His dear wife and children ....as you come into terms with this reality.. Am so so touched..I love you zabron singers, you bless me and in all our functions one of your songs is always played..if not two. You are special and God knows why ...He owns our future....❤
@BienvenueBisimwa-rn9rn19 күн бұрын
Kazi ya Mungu haina makosa,pumzika kwa amani🇨🇩
@helenarhobi125020 күн бұрын
Poleni Sana wanazabron singer Mungu ampumzishe kwa amani Marco. Amina!
@TarayiaNasieku.G19 күн бұрын
Poleni sana sana sana.😢 Words to describe the pain from us who truly loved listening to his voice. May the Lord give you peace and comfort you. May the great singer continue singing in the celestial city up yonder. Poleni kabisa. 😢😢😢
@GambiKazungu20 күн бұрын
Poleni sana wapendwa ,haki mmepoteza mtu muhimu Sana,lakini MUNGU awatie nguvu nyote katika kipindi kigumu
@githaiga20220 күн бұрын
Poleni sana Kwa familia mungu awafariji
@RedseaOfficial15 күн бұрын
Duh! Pole I saana kwakumpoteza ndugu yetu maerco kipezi cha mumgu amueke mahalo Pema mile amin
@catemumbie984319 күн бұрын
Mungu aiweke roho yake pema peponi, poleni Kwa familia❤
@Selpha-b6t17 күн бұрын
Poleni sana Mungu awafariji familia yake pamoja na marafiki na Mungu ailaze roho yake mahali pema pake
@SAMWELMOHABE-g8q17 күн бұрын
Pole sana wanafamilia kwa kumpoteza ndg yen Mungu awatie nguvu kipindi hiki kigumu
@Millycheptanui381920 күн бұрын
Poleni sana kwa familia n majamaa Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi
@user-uv9ps3ow4s18 күн бұрын
Poleni sana Zabron singers mungu awatie moyo mzidi kuitenda kazi ya bwana
@petromakange266820 күн бұрын
Najua wakati mlio nao sasa,mungu awatie nguvu zabron singers,niko pamoja nanyi ktk majonzi haya.
@kerryfrancis-ib7nj20 күн бұрын
May you find solace during this hard times in your family. Yote ni mipango ya Mungu. May his soul rest in eternal peace. Poleni sana wapendwa.
@CathelineSalula14 күн бұрын
Poleni sana mungu atawainua msivunjike moyo sis sote tunapita tu hakuna kitakacho dumu milele zaidi ya neno la mungu tu mungu awatie nguvu family nzima mungu ametowa na mungu ametwaa jina lake lihimidiwe Amna
@trizamburu116116 күн бұрын
Kenya twaumia pia.. poleni sana watu wa Tz na familia
@user-ru9sp9lr1f20 күн бұрын
May God comfort his family and his gospel singers ,watching from Saudi,but Am from kenya,Rest easy Marco😢
@mokijames995818 күн бұрын
From Kenya,I really sorry for the family and zabron at large,RIP to him..
@EneaIbrahim-z4j19 күн бұрын
Kuishi ni kristo na kufa ni faida mwenzetu ameimaliza kazi yake Mungu ailaze mahali pema peponi lakini sisi tuliobaki tumejiandaaje maana kiama kipo.kila mtu ajitafakari ataumalizaje mwendo .poleni kwa wanafamilia na jamaa wote waliohuzunishwa na msiba huu😢😢Mungu awafariji
@julithadiyay-lx2wb20 күн бұрын
Poleni sana wanafamilia wa zabron Mungu tu ndiye mfariji wenu Mungu aipokee Roho ya Marco Amina.
@DianaEdward-u1c19 күн бұрын
Poleni sana familia ya zablon mungu wa mbinguni akawe farajayenu wanadam wanamaneno ila mungu analo neno
@exctellaundry95938 күн бұрын
Mungu awape nguvu nduguzanguni. Marco apumzike palipo Wema😭😭😭😭🙏
@masiagamaribe844320 күн бұрын
Poleni sana watu wa mungu hakika tumeondokewa na mtu muhimu sana , pumzika kwa Amani brother.
@bernardmutembwa434410 күн бұрын
I'm devastated - from Zimbabwe
@gracenyaboke995913 күн бұрын
Pole sana sana familiar Kwa kupotesha young soul at this moment when his family needs him
@gislamushi-c1g20 күн бұрын
Sielewi machoz unafk km ,wakat mlishindwa kumuombea,mkaruusu ROHO ya maut imuondoe,kwani mlifikiri MUNGU awezi kuifanya opareshen hiyo inaumiza sana..
@sheysarahnjeno520720 күн бұрын
Polen sana wanafamilia wa zabron singers,,MUNGU Awe faraj kwenu..apumzike kwa aman marco
@jeannekaze56017 күн бұрын
Pole sana Zabron it was must to pray for him, they kill him with witchcraft. That’s why use heart and other things. I want Adventist church wake up and believing in pray, we’re in time, the prayers are very very important,because God is always present to help us 🙏
@HeaceNicholaus17 күн бұрын
Poleni sana familia ya zabron
@hellenobwogi47217 күн бұрын
Poleni sana 😭😭😭Marco amemaaliza mwendo ,my condolences to the family
@justinemark39320 күн бұрын
Polen sana watu wa Mungu...Wakati mwingine mnapaswa kuomba zaidi kuliko kwenda hospital kubwa...Mfano pale alipoambiwa an tatzo kubwa la moyo na wakt hakua nalo ilipaswa akatae kwenda kufanyiea upasuaj na asimame na Mungu...lkn ndio hivo kifo hakina kinga..😢
@sadikiissa775620 күн бұрын
Kifo hakikwepeki. Ndo maana anayeombewa atakufa siku ikifika, asiyeombewa atakufa,atakayetumia dawa atakufa, asiyetumia pia atakufa, anayesali atakufa na asiyesali ni hivyo hivyo. Cha muhimu ni kufanya jitihada zote ikiwemo za tiba huku mkimuomba Mungu amponye mgonjwa na kisha kumwachia yeye ktk Majibu atakayoamua.
@victormteule233318 күн бұрын
Rambaramba zangu kwa family ya mwimbaji mwezangu poleni sana kwa huu wakati mugumu but yote tumushukuru Mungu tusiruhusu shetani kuona machozi yetu
@EnockMathias-e1b15 күн бұрын
Poleni sana
@EsterJames-ui2os20 күн бұрын
poleni sana wapendwa Mungu awafariji tuko pamoja ktikà kristo lkn kifo chake kinatufundisha sana tufanye kazi ya Mungu tungali hai
@AzinaJuma-w5m8 күн бұрын
Polen sana wana zabron singers kwa mpoteza mwenzenu hakika ni penguin kubwa kwel
@rahmasuleiman933420 күн бұрын
Poleni saaana familia Allah awafanyie wepesi sisi ni wa Molla na kwake tutarejea… kitambo kidogo tu tutakutana ng’ambo pale
@chemamlambo306720 күн бұрын
Poleni sana
@pmgpmg771720 күн бұрын
That is Angina pectoris. So sad . Mwenyezi mungu aiweke roho yake pema palipo na wema in Jesus mighty name Amen. Pole Sana familia kwa msiba na mupate faraja kutoka kwa yeye alietuumba
@MaserukajosephMutebutsi18 күн бұрын
Pole sana nawapa pôle Zabron Joseph Nilikuwa n'a mupenda sana alikuwa Muimbaji muzuri sana
@user-mb5wg9qm8k20 күн бұрын
Poleni sana-Marco tumemjua Kwa uimbaje wake wa nyimbo za injili hapa kenya-Yeye atakumbukwa na wote waja Mola awafariji Sana Zabron,Tunawapenda Sana but poleni kabisa,May the he soul rest in peace
@josephinejulius543718 күн бұрын
Pole sana darling I really feel the way you feel...mungu awape nguvu..may his soul rest in internal peace ✌
@TOMNYEREZA20 күн бұрын
Poleni sana zabron singers, jamani hakupata hata nafasi ya kuombewa na wachungaji jamani? Kama hayakuwa mapenzi ya MUNGU angepona naamini, lakini basi, kwa kweli ina uma sana MUNGU awape faraja ya moyo Amina
@JustolinOmundi17 күн бұрын
Poleni sana kwa familia na ulimwengu wote 😢😢😢
@JustolinOmundi17 күн бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢
@user-lu6vj9sv7j15 күн бұрын
Mungu ampokee kwa kazi yake alio ifanya akiwa hai😢😢😢😢
@MsAisha-w4o15 күн бұрын
Jamani poleni sana mngu awatie NGUVU kwa kipindi hiki kigumu...na mngu amueke sehemu inayostahiki🙏😢
@weneafrika30814 күн бұрын
Drc twasema pole sana kwa msani wetu
@Gachly18 күн бұрын
So sad 😢 and my condolences to Zebron Singers and family of late and pray God to give them all comfort and strength during this time of mourning. God rest his soul in eternal glory and peace 🙏🏼😭!
@PaulMoranga-yu5pp21 сағат бұрын
Kitu ya kwanza naamini Mungu yupo na ni mwaaminifu.kitu ya pili setani ni mjancha .kitu ya tatu wachawi wapo.lakini hili la Marco si la kawaida.hii kifo sio ya kaiwaida wapendwa wa sabron singers.
@falycoangie410120 күн бұрын
So sad, my best choir may God give you comfort. Kaka may your soul rest in peace.
@alicemuliro24613 күн бұрын
Poleni sana. Mungu wa amani awafariji.
@erickmbilinyi280220 күн бұрын
Jamani Daaaa kakaangu poleni sana wanandugu
@malkiawagiza132720 күн бұрын
Poleni kwa wafiwa. Bwana ametoa Bwana ametwaa. Jina lake lihimidiwe.
@LukasmasaselaLukasmasasela20 күн бұрын
Poleni sana ndugu na jama na malafiki tunapita duniyani poleni sana ndugu zangu na mungu amulaze salama tunuombee kwa mungu dungu yetu
@annanangu183216 күн бұрын
Polen sana ndugu zangu wote tupo safarini 😭😭
@esthermbiuki700318 күн бұрын
Inauma kumpoteza Marco,😭😭😭😭Mungu awapee nguvu wakati huu mgumu🙏🙏
@richardmwandanji6520 күн бұрын
Poleni sana Wana familia mwachieni Mungu awezakua nafuraha ya milele maana kufa kwetu ni faida kuishi ni kristo Mungu awape ujasili pasina kumkosea tujifunze kupitia safali ya ndugu huyu
@pascalynesyombua596020 күн бұрын
Poleni sana .May God strengthen and comfort you in this trying moment
@pendorobert355219 күн бұрын
Poleni sana mmenikumbusha wale wasabato wanyarwanda waliopataga ajali 😢😢😢yote kwa yote MUNGU hutwaa vilivyo vyake kazi ya MUNGU haina makosa🙏
@JamesMwero-y6v19 күн бұрын
Aki poleni sna wapendwa kwa kupoteza kijana mshupavu wa nyimbo za kumtukuza mungu
@harrietkamando158717 күн бұрын
Alijengea familia yake,may God strengthen them and his family
@ladisthadeo157320 күн бұрын
Poleni sana . Mwenyezi Mungu Amrehemu Michael .
@calebmakokha19 күн бұрын
Kifo cha kusikitisha jana alikua mzima Leo unaambiwa kafa ni uchungu sana😭😭😭.Ndugu mark amepigana vita vyake salama vita umemaliza pumzika kwa Amani🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@eunicemwende574820 күн бұрын
May the Lord comfort the entire family. My deepest condolences to the family , Zabron soldiers of Christ, nchi ya TZ and the body of Christ.
@ajurotruphy633820 күн бұрын
My most profound, deepest condolences to this family
@godlistenmangowi932820 күн бұрын
Poleni sanaa Kwa Msiba. Kipekee nimeguswa pia. Poleni sana Mungu awatangulie katika Msiba huu.
@barmenbarmen291718 күн бұрын
Pokeeni rambirambi zetu za pole kutoka Kenya kwa janga la kifo. Ni habari ya kusikitisha sana lakini zaidi ya yote, Yesu aliyemwabudu ni mfariji mwema siku zote. Jitieni moyo wapenda. Mungu yupo.
@djfbikenya269518 күн бұрын
His voice Will always remains blessings to many .rip
@user-xz1bg5jw1e20 күн бұрын
someone to tell me plz about zabron singers,,are they brothers and sisters becoz they look similar
@immaimmanuelmcdoublei376017 күн бұрын
Yeah
@user-ft4bo4qt8m20 күн бұрын
Poleni sana,Mungu awafariji wakati huu ngumu zaidi
@YohanaMwakaje19 күн бұрын
Wapendwa tujisndae na safari yakwenda mbinguni mungu ndiye anaye jua kesho yetu na sibinadam sote tuna pita mungu awe pamoja nanyi polen sana
@basilymwakasege873920 күн бұрын
R.I.P marco zabron..mbele yako nyuma yetu!
@moseswanyonyi614418 күн бұрын
Poleni sana.... Mungu wa umilale awatie nguvu.
@user-qf3vb8ch6o17 күн бұрын
Mungu awe mfariji katika kipindi hiki kigumu,wengi tumeguswa na sote njia ni moja hakika,hakuna roho ambayo haitaonja Umauti.
@Isomba-fd6oq17 күн бұрын
Poleni sana jamani mungu awatie nguvu poleni sana
@IsraelFrance11 күн бұрын
Polen sana familia na zabron singer
@JackobKyaro-zi7uj20 күн бұрын
Poleni katika kipindi hiki kigumu. Kisicho zoeleka mwenyezi mungu awatie nguvu ndugu jamaa na marafiki
@AgnessKikaja20 күн бұрын
Mung u awe pamoja Na family yake
@GideonWafula-o1z12 күн бұрын
Poleni hak , it pain alot, RIP
@robbyman621320 күн бұрын
Rip 😢😢😮,, Mungu Ampumzishe Kwa Amani 👏👏👏
@PaulineNyamoita-ee1et16 күн бұрын
Pole sana zabron singers.
@SadaHassle20 күн бұрын
😭😭😭😭😭😭 mungu awatie nguvu ndugu zangu
@user-ik5pw9ju8h20 күн бұрын
Poleni sana watu wa Mungu,Yesu akawe faraja kwenu
@VeroKabano16 күн бұрын
Jamani polen sana yote ni mipango ya mungu
@bluezdifenda678518 күн бұрын
Poleni sana,mola awajaze nguvu wakati huu wa majonzi🙏
@TubetMgore20 күн бұрын
Polen sana wana familia wa zabron singers😭😭
@jonahkhayota24312 күн бұрын
Aki ni change mungu awape nguvu
@MalitiniLubeni14 күн бұрын
Mungu awatie nguvu jamani poleni
@simonkirwa360219 күн бұрын
Poleni sana Mungu awafariji familia nzima
@user-mt1uc6ed8g16 күн бұрын
😢😢😢😢😢ebu niwaulize zabron singers ni family ama pole sana so sad
@bridgetsiakanego85348 күн бұрын
May his soul rest in peace until we meet again 😭😭😭😭💔💔
@floramark87513 күн бұрын
Polen sana,,imeniumaa
@raymondbahati762616 күн бұрын
Sisi wote iyo njia yetu,amemaliza safari yake, Mungu afariji family