No video

VIDEO: BABA LEVO Atoboa SIRI nyumba ya MWIJAKU/Sio yake/Kanyumba KEMBAMBA

  Рет қаралды 90,364

Rick Media

Rick Media

Күн бұрын

...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram www.instagram....
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------

Пікірлер: 157
@PrinceBonnyTz8
@PrinceBonnyTz8 8 ай бұрын
Hamjajua Hawa majamaa wanaakili Sana ni kuchezatyu na akili zetu😅😅 B Levo anajua Nyumba ya mwijaku
@uwimana6533
@uwimana6533 8 ай бұрын
Kabisa 😂😂😂
@jackmabirangacharles9398
@jackmabirangacharles9398 8 ай бұрын
Hahahaha 😆
@zainabwage4658
@zainabwage4658 8 ай бұрын
Ni kwer
@khalidballeth5957
@khalidballeth5957 8 ай бұрын
Ndio Teknik ya kupata kipato chao,,,hadi kuweza hata kujenga
@ElishaSolomoni-kc4zk
@ElishaSolomoni-kc4zk 8 ай бұрын
Wao wanajuana.
@ChristinaOnditi-el3xo
@ChristinaOnditi-el3xo 8 ай бұрын
He he heeeeee,nichekw.mie,nilikua nataka baba levo ucheme, chema zaidi broo bado ujachema😂😂😂😂. Nakupenda sana baba levo Kwa niaba ya Diamond 😂😂😂
@allybobsaith
@allybobsaith 8 ай бұрын
Kwa haraka haraka hio ni nyumba ya BABA LEVO mnakorogwa akili😂😂😂
@CarorinaJohn
@CarorinaJohn 8 ай бұрын
Binadamu kulizisha kaz sanaaa
@rerisamba
@rerisamba 8 ай бұрын
Hizo nyumba za juu mnaxipenda lakini ukizizoea zina kusinya inafika mahali kupanda stairs inachosha
@EmmmaTembo
@EmmmaTembo 8 ай бұрын
Hawa jamaa baba levo na Mwijaku ili kazi zao ziende vizuri lazma wapingane na siku wakikubaliana au wateteane lazma kazi zao zitapunguwa
@karloladislaus45
@karloladislaus45 8 ай бұрын
Hati sio issue kubwa. Nyumba yangu nimehamia 2016 hati ya kiwanja nimepata 2023
@donlinechanell4760
@donlinechanell4760 8 ай бұрын
Yaan uhamie 2016 af hati ya kiwanja 2023 😂😂 ulijenga kweny kiwanja ambacho hakina hati? Kilikua cha nan? Hat ya kiwanja na nyumba nitofauti em tuache
@user-eg1ts2fu9z
@user-eg1ts2fu9z 8 ай бұрын
Kweli peter msechu kiukweli ana nyumba
@oneplustv3862
@oneplustv3862 7 ай бұрын
😂😂😂 uyu jamaa bhana ety gorofa modo
@hamadmakame6040
@hamadmakame6040 8 ай бұрын
Jengeni nyumba akhera
@JUU-lw2je
@JUU-lw2je 6 ай бұрын
Baba levo umezakiwa na kipaji cha komedi kweli
@ISMAILNASHON-zh3sg
@ISMAILNASHON-zh3sg 8 ай бұрын
Hii nimeipenda kwa hawa jamaa,"" mtu anapokosoa kazi yako ndo vizuri maana anakufanya ujione bado hujafika
@user-to3uq1ct6d
@user-to3uq1ct6d 8 ай бұрын
Kwa milioni 125 nakubaliana na baba Levi
@husseinbakromar5865
@husseinbakromar5865 8 ай бұрын
huyu baba levo ni mkongoman sio mtz anavibali kama hana mpelekani congo
@zawadimpayo3839
@zawadimpayo3839 8 ай бұрын
Acha majungu baba revo
@user-jw2mo1oj6d
@user-jw2mo1oj6d 8 ай бұрын
Uyuu baba levooo atafiaaa mdomoo
@user-zb2mj5nd5g
@user-zb2mj5nd5g 8 ай бұрын
Baba Level mbona unajichanganya, mala nyumba siyo yake sasa unampongeza kwalipi🤣🤣🤣🤣
@alibachirofficial3939
@alibachirofficial3939 8 ай бұрын
Uwusiyo😂😂😂
@jaywellprince5369
@jaywellprince5369 8 ай бұрын
Anampongeza tu kua kashirikiana na mkewe ila anaamini mwenye hati miliki ni ya mkewe
@muhirefiston83
@muhirefiston83 8 ай бұрын
​@@jaywellprince5369 😂😂😂😂 wivu tupu kk Ako nao😅😅😅😅
@kalungamabrucki61
@kalungamabrucki61 8 ай бұрын
Hebu acheni kuongea madudu huku Marekani na canada watu wanaoishi magorofani ni maskini matajiri wanaishi kwenye Villa za chini uliza sisi wabeba box wote huku tunaishi magorofani sasa acheni ulimbukeni
@josephlorri431
@josephlorri431 8 ай бұрын
Umeongea ukweli... hata boss hakai seat ya mbele​@@kalungamabrucki61
@rukiyyarukiyya6317
@rukiyyarukiyya6317 8 ай бұрын
Baba leo kichwakogum😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@donkaloza6985
@donkaloza6985 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂et gorofa Modo😂
@cristaezekiel1036
@cristaezekiel1036 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂Ila babalevo
@nishawangaiwangai9765
@nishawangaiwangai9765 8 ай бұрын
Imagine babalevo aongea kaukweli pahali😂😂
@FadhiliMesha-pd2th
@FadhiliMesha-pd2th Ай бұрын
waha bwana utaafikili machizi
@user-zl8ls4dw6w
@user-zl8ls4dw6w 8 ай бұрын
Baba levo umeongea haki
@PHARIDUNASORO-oi7bs
@PHARIDUNASORO-oi7bs 8 ай бұрын
Dar kwer we chawa Tena chawa wakutokea kigoma wabwawe
@djmosikahayo
@djmosikahayo 8 ай бұрын
levo ❤😂🇨🇩
@user-el6mm4lh4m
@user-el6mm4lh4m 8 ай бұрын
hahahahaha baba levo mbwaaa ww we yko ikwapi bongo noma
@happynelson1136
@happynelson1136 8 ай бұрын
Hongera ya kinafiki umempatia kweli na nyumba sio yake atakuwa mke wake kajenga tena kwa mkopo, mwijaku hawezi hata kukopa benki sababu hana kazi maalum ya kuajiriwa na uchawa hauwezi kupata hela ya kujenga, watu majuu wana kazi mbili lakini hawana uwezo wa kujenga bongo
@user-wi2iu1yw7g
@user-wi2iu1yw7g 7 ай бұрын
Huna jipya fala were,ya kwako iko wapi?
@mwajemisalum8277
@mwajemisalum8277 8 ай бұрын
Baba levo wacha maneno fanya kweli na wewe
@joycemlay5762
@joycemlay5762 8 ай бұрын
Ety ana hipsi kubwa😂
@sarahwawuda5164
@sarahwawuda5164 8 ай бұрын
😂😂😂
@uwimanacitegetse9926
@uwimanacitegetse9926 8 ай бұрын
Umesema ukweli ningeshanga Kama nipesazawo bilamukopo but it’s OK☺️
@constanciapeter2497
@constanciapeter2497 8 ай бұрын
Nyumba ya mke wake.. huo ndio ukweli
@ZainabuIsmail-fm2ey
@ZainabuIsmail-fm2ey 7 ай бұрын
Ki ukweli ata mm nakua na wacwac yuko mtu nyuma ya mwinjku mtu mzito ataki ajulikane kama nyuma ni ya kwake anaogopa kutumbuliwa lakini kama nyumba ni ya kwake nampa hongera cna wala sio kinafki🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-rm6ph3sm5j
@user-rm6ph3sm5j 8 ай бұрын
hahaha hawa wanajuana...mimi wananifurahisha tu
@hanifamziray277
@hanifamziray277 8 ай бұрын
Nyieeeeee eti kisima😂😂😂😂
@user-il1kv9zv9j
@user-il1kv9zv9j 8 ай бұрын
Ukweli baba levo nyumba no modo
@beatricewmussa4049
@beatricewmussa4049 8 ай бұрын
Jitu zima wivu wa kitoto khaaa!
@nappekiliakiliasalimu346
@nappekiliakiliasalimu346 8 ай бұрын
hawa wanajuwana naww 😅
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 8 ай бұрын
Umejileta mwenyewe baba Levo na domo lako kubwa la kimbea. Wewe la kwako liko wapi? Kazi kuhongwa gari na Mondi
@DeogratiusAndrew-zi7zv
@DeogratiusAndrew-zi7zv 8 ай бұрын
Kama umeona baba levo anajinusa makwapa yake nipe like yako
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele 7 ай бұрын
Gorofa 123m Jenga uone kama inatosha
@leecode6135
@leecode6135 8 ай бұрын
Hiyo inaitwa Tinny house ndio style ya siku hizi
@isayakihongile4921
@isayakihongile4921 8 ай бұрын
Hapo kwenye ngazi hujaongopa hata mimi nilishtuka hasa usalama kwa watoto
@user-ny3de2qq6r
@user-ny3de2qq6r 8 ай бұрын
Ni kweli
@JacksonJohn.
@JacksonJohn. 8 ай бұрын
😂😂baba levo. Foundation) slab) finishing milion 100 akil yenu kubwa xna nyie
@ephraimkabeya9648
@ephraimkabeya9648 8 ай бұрын
Kauli hizi vipi?! "...nyumba sio ya kwake...halafu tena ninafahamu gharama yake tangu wanatafuta mirunda, cement na mke wake...tena nampongeza amenyamazisha watu, mara akikosa marejesho benki itachukua halafu gharama halisi ni kadhaa...sasa lipi la kweli...?!.
@johnmichaellukindo21
@johnmichaellukindo21 8 ай бұрын
Wivu en!
@anitarafa
@anitarafa 8 ай бұрын
😊😊😊comments ndio zinabamba......i don't want pics i what problems 😂😂😂😂😂
@user-es7cw2zi3j
@user-es7cw2zi3j 7 ай бұрын
eti modo
@user-ho1ho2uk9n
@user-ho1ho2uk9n 8 ай бұрын
Mwambie huo mama
@lulu24peter24
@lulu24peter24 8 ай бұрын
Me nikichokion apo lazm nianguke hasa huko.juu swiming pool
@FadhiliMesha-pd2th
@FadhiliMesha-pd2th Ай бұрын
ukisikia kabila limbukeni ndio la mwijaku nawashabasana yaani anawakilisha kabira lake jinsi walivyo ukisikia ushamba ndio huo
@archbordygodfrey2614
@archbordygodfrey2614 8 ай бұрын
Nilichogundua baba level anapenda sana kuitaja namba 3😅😅😅😅
@newttechog75
@newttechog75 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂mmae
@user-gq9im9tu3d
@user-gq9im9tu3d 8 ай бұрын
Bab levo
@user-jb2zg5cp7j
@user-jb2zg5cp7j 8 ай бұрын
Kamali😂😂
@-KINKAU
@-KINKAU 8 ай бұрын
Acha roho mbayaaaa sio kila kitu Uwe unapiga Uwe unakubali hayaa tunasubiri ya kwako
@onesmomlinga2739
@onesmomlinga2739 8 ай бұрын
Wewe mbona hueleweki ila nmegundua ninyi mnaelewana
@user-bq8hj9ci5f
@user-bq8hj9ci5f 8 ай бұрын
Duuu wanaweze kuchez Naakir zawatu
@khadidjaabdi-hd8py
@khadidjaabdi-hd8py 8 ай бұрын
Huyu nae hasadii kwerii yeye yake iko wapii anaumia ndani kwa ndani unafurahisha watu ndani unamaumivuu utakipa kod mpak ukomee hat inahusu nin na mitandao
@EminathaKombotela
@EminathaKombotela 8 ай бұрын
Kuchangia tim gan
@merinakassembe118
@merinakassembe118 8 ай бұрын
Mnajuana nyinyi wenyewe
@ernestelias7889
@ernestelias7889 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 babalevo bwana awa jamaa waacheni2 wanajuana wenyewe
@akidakombo259
@akidakombo259 8 ай бұрын
We shoga mwenzio yupo kwake ww na mabinti zako chumba kimoja😂😂
@doreenmsafari2945
@doreenmsafari2945 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@kingkongchest-rv5rf
@kingkongchest-rv5rf 8 ай бұрын
Vizuri tunataka wasanii wabunifu kama hawa Tz
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 8 ай бұрын
Wasoma comment relax wanajuana hawa
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 8 ай бұрын
Wanajuana hawa
@user-eb3hf1lm9e
@user-eb3hf1lm9e 7 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅😅 jmn
@user-ff4zm3hk7b
@user-ff4zm3hk7b 8 ай бұрын
We nae mke wa diamond una matatizo....name jenga yako Acha ufala😅😅😅😅😅
@chrisantushokororo8450
@chrisantushokororo8450 8 ай бұрын
Hapo kwenye bafu umetudanganya mbona kaonesha bafu ni kubwa sana acha uwongo
@gladistaemanueliy6336
@gladistaemanueliy6336 6 ай бұрын
Mbona unatuchanganya mara cyo yake mara mke amepambana, ucha wivu
@user-rf7ni6tr2o
@user-rf7ni6tr2o 8 ай бұрын
Wewe ndio msemaa kwer wandish wengine mabubu awajui kuriza mashwari kwa mwijaku
@user-yh4ge7gc3o
@user-yh4ge7gc3o 8 ай бұрын
Ila baba levo na mwijaku wanajuana 😂😂😂😂
@emmanuelbernard9552
@emmanuelbernard9552 8 ай бұрын
Futa kwanza hiyo kauli,kwamba alisimamisha nchi kwa ajili ya uzinduzi wa nyumba.Hii nchi yetu kweli ukute ni chanel ya vituko mbinguni.
@Qs3557
@Qs3557 8 ай бұрын
Nyumba Kama ya sungura
@Ammarloliso
@Ammarloliso 8 ай бұрын
😂
@Tiffany340
@Tiffany340 8 ай бұрын
Nyumba kama ofisi za chama buana 🤣🤣🤣, ila apo kwa mondi abadilishe furniture zake kwanza tangu enzi za tanasha walipokuwa wapenzi abadilishe 😂😂
@estarsaidi9110
@estarsaidi9110 8 ай бұрын
😂😂😂
@othinielkamyola3697
@othinielkamyola3697 8 ай бұрын
😅😅😅😅😅 HIKI KICHWA
@stratega03
@stratega03 8 ай бұрын
jamaa domo kaya😂😂😂
@salamamamashenge5493
@salamamamashenge5493 8 ай бұрын
Ila Babalevo na Mwijaku nilikua nazani ni marafiki 😅na tena alikua anajipanguza nini 😂😂😂
@isayakihongile4921
@isayakihongile4921 8 ай бұрын
Ananusa pafyumi aliyojipulizia kwapani
@user-lq1yg9mk1i
@user-lq1yg9mk1i 8 ай бұрын
Pili anaishi maisha ya bongo kitasa anasema milioni kumi nane 18mil alafu wanakuja tena kusema kitasa Mara ya pili tena milioni nane point tano 8.5mil anadhani sisi wambumbavu tusio na akili au umakini.
@user-wy6tv5uq5c
@user-wy6tv5uq5c 8 ай бұрын
Acha wivu
@brunokassim4599
@brunokassim4599 8 ай бұрын
Acha unafiki onyesha ya kwako
@user-lq1yg9mk1i
@user-lq1yg9mk1i 8 ай бұрын
Mtu mwenye nyumba yake anajua Kila kifaa alichonunua ile si nyumba yake
@morjanoman5181
@morjanoman5181 8 ай бұрын
Apo kashaweza Tu iwenyembamba ila kapata
@HassanJaphari-rx7jy
@HassanJaphari-rx7jy 8 ай бұрын
😅😅😅 eti gorofa modo
@user-ch2it3qt5z
@user-ch2it3qt5z 8 ай бұрын
Machawa😂😂😂Kama kawaida Yao kupondeana
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 8 ай бұрын
Ni sehemu ya kazi yao, wanajuana wote na wanafanya kazi pamoja.
@husseinbakromar5865
@husseinbakromar5865 8 ай бұрын
wanaume huu ni umama badilikeni ndio maana mukaitwa wa bongo
@bekabakari7394
@bekabakari7394 8 ай бұрын
Namuana huyu jamaa Sijui haelewi kua kuna women glass And men’s glass anavaatu lakini sio shida Kwa sababu wabongo wengi hawaelewi ndio maana
@athumanmbululo3980
@athumanmbululo3980 8 ай бұрын
Wahuni hawa
@user-wu9zz1bm9h
@user-wu9zz1bm9h 8 ай бұрын
Wewe wewe unasema nyumba sio yake weweweee unasema unajua jinsi alivyokua ana hangaika na mirundi.nyumba ya mwijaku na amejitahdi sana Kwa levo yake.wacha b levo Domo wewe kawaida yako.haya mara unampongeza we miyeyusho
@shariffmcleja9533
@shariffmcleja9533 8 ай бұрын
Nyie waandishi ndio mafala mko na video za ile nyumba kama ni mbaya ndogo nzuri au kubwa lakini paka Babalevo atoi maoni yake kuihusu ndio mjue
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 8 ай бұрын
😂😂😂😂 eti Gorofa modo daah
@donlinechanell4760
@donlinechanell4760 8 ай бұрын
Hamna ghorofa ya billion pale 😂😂
@gazzomaster9462
@gazzomaster9462 8 ай бұрын
Aloo interview tuu inashika trend kwel machwa niwamooto
@bbanyikwa
@bbanyikwa 8 ай бұрын
Hahahahaaa😅😅😅😅😅99
@frowinmgimba8513
@frowinmgimba8513 8 ай бұрын
Huyo muandishi wa habari mdada huyo kwenye suala la nyuma sio yake anapenda umbeya anakazia
@edustudiotz3879
@edustudiotz3879 8 ай бұрын
Mh!
@madukaj.j.6999
@madukaj.j.6999 8 ай бұрын
Hawa wanajuana
@veronicamgeni9414
@veronicamgeni9414 8 ай бұрын
Msechu aliwaumiza
@salumabdallah2990
@salumabdallah2990 8 ай бұрын
Apo kwenye milioni 100 ndugu umedanganya watu na ni dhahiri wewe ni muongo😂😂😂😂
@yusuphyuda-jq1xy
@yusuphyuda-jq1xy 8 ай бұрын
Inawezekana
@yusuphyuda-jq1xy
@yusuphyuda-jq1xy 8 ай бұрын
100m unajenga gorofa
@salumabdallah2990
@salumabdallah2990 8 ай бұрын
@@yusuphyuda-jq1xy unahisi watu wote ni wajjnga au mimi kwenye ujenzi nishakaaa na naujua ujenzi
@mohamedbedui9486
@mohamedbedui9486 8 ай бұрын
Punguza kucheza kamari ujenge na ww
VUNJABEI Amjia JUU MWIJAKU kisa DIAMOND/Koma kunitajataja
10:01
Мы сделали гигантские сухарики!  #большаяеда
00:44
English or Spanish 🤣
00:16
GL Show
Рет қаралды 14 МЛН
АЗАРТНИК 4 |СЕЗОН 2 Серия
31:45
Inter Production
Рет қаралды 489 М.
INTERVIEW SHOW  BABA LEVO  at COCONUT fm ..ZMOTION
7:05
Zanzibar lifestyle
Рет қаралды 86 М.
Мы сделали гигантские сухарики!  #большаяеда
00:44