Angekuwe magufuli mngekuvywa maji leo mnajigalagaza na kodi zetu et
@maprosokelly2986 Жыл бұрын
Hapa kaz tu JPM Asante kamama hongera
@yawepetro2049 Жыл бұрын
Kabla ya magufuli haya yakupeana tuzo viongoz yalikuwaga hayapo viva jpm viva😭😭😭
@msellemseif3102 Жыл бұрын
Wewe ni Muongo mkubwa wewe. Jpm alitoa zaidi ya tuzo
@msellemseif3102 Жыл бұрын
Kwa kupandisha vyeo kwa anao wataka. Kupiga marufuku mikutano ya vyama vya siasa nk.
@aishaalbalushaishabalush8291 Жыл бұрын
@@msellemseif3102 sasa siasa inafaida gani tanzania hawana msaada wowote kwa raiya zaid yakujaza matumbo yao tu we corona ile halafu mnataka mikutano huku mlikua mnadai lock down sasa mikutano nani angekuja na lock down mlikua mnaihimiza mlitaka wanainchi wasio na uelewa waje muambukize corona
@abi-onlinetv4181 Жыл бұрын
We hata ukichambwa utasema utasema hujachambwa
@MikereMio Жыл бұрын
tena kila mwezi dah!
@PendoMwitewe-on3hj Жыл бұрын
Mama Samia hongera Sana kwa kukamilosha ikilu yetu .ambayo mliianzisha ujenzi mkiwa na jembe wetu jpm bila nyie naamini tusingeiona ikulu Kama hii .magu ni mfano kwenye taifa hili
@kefamwakipesile275 Жыл бұрын
Sema bila jpm
@kefamwakipesile275 Жыл бұрын
Sema bila jpm
@stevenkatani3047 Жыл бұрын
Mtoto wa jpm ingia kwene siasa bado 2naimani na ukoooo wenu
@issakwisamwasanjobe541 Жыл бұрын
Mama👍 kazi inaendeleaJpm pumzika kwa amani😭 hapa kazi TU😭
@florakweyunga4490 Жыл бұрын
HAPA KAZI TU......😭😭😭😭,TUMUACHIE MUNGU,TUNALIA MPAKA TUNAMKUFURU MUNGU.KAZI IENDELEE......🙏🙏,MUNGU AWABARIKI MUWE NA AFYA NJEMA YA ROHO NA MWILI.
@Worldunite Жыл бұрын
Hasa mama maria alistahili apelekewe alupokuwa amekaa
@joasitz9559 Жыл бұрын
Hongera mama yote heri. Tanzanians love you, endelea kuchapa kazi.
@barakambasile2651 Жыл бұрын
Jpm oyeeeeee
@florencemeza6540 Жыл бұрын
Mama yetu Mungu akulinde
@blandinamwarabu5025 Жыл бұрын
Matuzo tuzo hayo na wananchi muwape tuzo 😂
@valenakomba9218 Жыл бұрын
Lakini KIKWETE hasitahili kabisa. Katika hili.
@azizihfarijala5307 Жыл бұрын
kwa nn hakustahili ebu tuache fitna
@j.c.maxima816 Жыл бұрын
Kumbe mtoto wa Jiwe ni udongo?! He is shy & obese... Inatisha... Mungu tusaidie...
@aishaalbalushaishabalush8291 Жыл бұрын
nanidio maana alimuua magu ili abaki yeye asifiwe na kupewa tuzo za wizi wa mali za umma
@TamuzaKale Жыл бұрын
@@j.c.maxima816 Baada ya baba kufa, dogo kapanuka hadi kitambi kinashuka!
@gooleserviceyoutubescandar3450 Жыл бұрын
Alhamdulillah Taifa Makini Amiiin.
@sbboymkaliofficial9108 Жыл бұрын
Video inaganda ganda
@jumapiliissa4835 Жыл бұрын
Hongera sana mama
@erickchitumbi1308 Жыл бұрын
Safi samia kwa ubunifu wako
@angelavayinga914 Жыл бұрын
❤❤❤❤
@pro_the_dj Жыл бұрын
🔥🔥🔥
@petermakinda7919 Жыл бұрын
Kwann wasimpelekee hapohapo alipokaa
@lupamwakabenga1716 Жыл бұрын
Kweli kabisa😮
@barikomrisho7842 Жыл бұрын
Kikwete angeamuru wkt wa muda wake kuhamia Dodoma ndio ingemuhusu
@lindambilinyi6253 Жыл бұрын
Anajikosha tyu kenge hyu😅😅😅😅😅
@epifaniamilinga2848 Жыл бұрын
Kabisa.
@florencemeza6540 Жыл бұрын
Msoga type cijui wanajisikiaje usiyempenda katajwa
@shijandobehe4953 Жыл бұрын
Video mbaya umezingua ayo
@rahabnkya8276 Жыл бұрын
WEMA KAMWE HAUOZI, KUNA ALIYEONA MAGANDA NA NANI ALIKULA. MUNGU NI MWEMA SANA, VIONGOZI WETU WOTE NI WA KUHESHIMIWA VIZAZI NA VIZAZI.
@zabrongermanus-co1jj Жыл бұрын
Wema n akiba is isiyo na kikomo milele
@Ishickahroggohitttler Жыл бұрын
Tuzo za Marehemu???
@johnmbise8996 Жыл бұрын
Sauti
@huldamichael4445 Жыл бұрын
Ayo leo vipi sauti inakwamakwama
@tambajordan5595 Жыл бұрын
Kwan jamaa kabeba nini mbona tumboo😂
@aloycemwakatala2796 Жыл бұрын
Mkapa
@joycekaguo8476 Жыл бұрын
Mama magu kanenepa
@maulidimuhammed7851 Жыл бұрын
Magu alikuwa ni mkatili hata kwa famlia yake.kwani hujui hilo?
@audaxrwebangiraa9279 Жыл бұрын
angekua mkatili angempa umak Raise usiongee tu
@magneticofficialtz Жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/lWSqn3-LiKyNjaM Dah hii ni noma sana 😢😢😢
@esthermichael4653 Жыл бұрын
Sasa mchukuwa video ulikuwa huweki mitambo vizur ili