MACHOZI YATAKUTOKA: HALI YA MAMA JANETH MAGUFULI NA WANAE, HAKIKA JPM AMEACHA SIMANZI...

  Рет қаралды 190,764

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Пікірлер: 85
@lydiakemuntookindo7254
@lydiakemuntookindo7254 3 жыл бұрын
Hugs mum mungu akufariji pamoja kutoka kenya pia tuna husuni sana
@shanifesto9037
@shanifesto9037 3 жыл бұрын
Pole sana mama Janeth ,,msiba huu ni mzito sana ,,dahh Ee mwenyezi mungu mpokee baba yetu,,inauma sana sana
@sulaymanwaziri4455
@sulaymanwaziri4455 3 жыл бұрын
Dah!!! bado akili yangu inashindwa kuukubali ukweli,, numia sana sana moyoni 😭😭😭😭😭
@ManuTV0
@ManuTV0 3 жыл бұрын
Pia mm
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 3 жыл бұрын
😢😥
@rosemarykiarie2996
@rosemarykiarie2996 3 жыл бұрын
Rambi rambi kutoka Kenya...Mama Janeth mwenyezi mungu akupe faraja kwa maana ndiye mume wa wajane, awe sehemu yako kwa kila jambo utakalo hitaji...Kumbuka kiapo kile ulichoapa"hadi kifo kitakapo watenganisha" mavumbini tulitoka mavumbini tutarudi. Mwanga wa milele aangaziwe apumzike kwa amani.Amina.
@nasrataji5752
@nasrataji5752 3 жыл бұрын
Pole sana mama Janeth hakika ni pigo kubwa sana kwako napia kwa watanzania kwa ujumla, Ni majonzi yasiokwisha 😭😭😭😭😭
@irenekathoni3014
@irenekathoni3014 3 жыл бұрын
It really hurting...I can't believe it...may you comfort us
@serianjamal8254
@serianjamal8254 3 жыл бұрын
Pole sana mamaangu Janeth nimeumia sana apumzike kwa amani babaetu mpendwa
@richielumamboofficial721
@richielumamboofficial721 3 жыл бұрын
Pole sana mama janet❤️🙏🏾🤞
@haroonchibwana6253
@haroonchibwana6253 3 жыл бұрын
Innalillah waina ilahi rajeeon. Go well son of the soil, son of Africa. Africa is proud of you.. We may not come from the same country, but we shared your vision. A great Leader you were, a proud African. I am not Tanzanian, but your love for the Africa continent spread all over Africa and beyond, You gave us hope, you gave the young politicians the reasons to join the political field. Your Leadership style, touched a lot of Africans. You believed in your people, you decided to die in the eyes of your own people. May GOD receive you well and May HE forgive your short comings. RIP John. We will forever remember you.
@pendopendo7427
@pendopendo7427 3 жыл бұрын
Pole sana mama yetu kipenzi😭😭😭😭
@nthukandunge9464
@nthukandunge9464 3 жыл бұрын
May the lord comfort you during this hard moment..poleni Sana watanzania
@mwash7777
@mwash7777 3 жыл бұрын
This are real hard times. Sorry for Tanzania for the loss of a great leader. Bt pls viongozi mask ni muhimu sana kwenye umati wakati huu. With all humility n respect
@richardmfinanga6222
@richardmfinanga6222 3 жыл бұрын
Pole sana mama Janeth
@estherwafula6932
@estherwafula6932 3 жыл бұрын
Pole sana mungu akutie nguvu kweli msiba mzito
@sabrinaiboma2444
@sabrinaiboma2444 3 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu mama yetu kwa kipindi hichi kigumu kwako ..najua una maumivu makali mpendwa...jeraha zito sana...kusahau kwako ni pagumu ila Mungu apate kukufariji AMEEN 🇹🇿🌏😭😭💪
@janethkilauli9851
@janethkilauli9851 3 жыл бұрын
Pole Sana mama kwa msiba huu nzito , mungu akupe nguvu faraja na uvumilivu ktk kpnd hk kigumu, hkika inauma Sana mungu akawe faraja
@husseinboru2936
@husseinboru2936 3 жыл бұрын
Poleni saana marejeo ni kwa MUNGU
@paulinalohay3413
@paulinalohay3413 3 жыл бұрын
Pole Sana mama yetu Janeth mungu akutia nguvu
@dedankinyanjui2185
@dedankinyanjui2185 3 жыл бұрын
This hurts terribly feels like you have lost your own dad...poleni sana ndugu zetu watanzania
@sskondopoleani9616
@sskondopoleani9616 3 жыл бұрын
Pole BiJanet Magufuli. Allah akufanyie wepesi.🙏🙏
@Josephabela308
@Josephabela308 3 жыл бұрын
Pole sana mama yetu na family na wa Tanzania wote wenye mapendo na inchi yao.
@mugiarnezaariela8277
@mugiarnezaariela8277 3 жыл бұрын
Poleni Mama mwenyenzi mungu atakulinda😭
@angelkimaro923
@angelkimaro923 3 жыл бұрын
Sitaki kuamini jaman uwiiiii naumia mpka nashindwa kufanya kila kitu nilikua nampenda sana Rais wangu Magufuli nenda baba ukatuandalie makao
@abelmchenga50
@abelmchenga50 3 жыл бұрын
Pole sana mama etu mungu akupenguvu Pomoja na uvumilivu tuko pamoja nawe taifa zima limeumia sana rais wetu acha tumshukuru mungu
@benitasebuhoro4904
@benitasebuhoro4904 3 жыл бұрын
Pole mama yetu Mungu akutie nguvu sirahisi kupokea nakuzowea lakini tunayo Imani kwamba baba yetu amekwenda kupumzika Mungu amulaze pamoja nawatakatifu
@fardamatungulu7576
@fardamatungulu7576 3 жыл бұрын
pole MAMA mungu akutie nguvu kipindi hiki kigumu
@hadijahblessed2630
@hadijahblessed2630 3 жыл бұрын
😥😪😥😪😥😪😥😪
@kalumbugideon4159
@kalumbugideon4159 3 жыл бұрын
Mama Pole Sana.... MUNGU akupiganie Sana....
@esterkawogo5064
@esterkawogo5064 3 жыл бұрын
Pole sanaaaa mama mpendwa wa baba yetu.tuzidi kumwombea apumzike kwa amani .nivigumi kuamini.daa mora weee tusaidie.
@dorinaochieng1141
@dorinaochieng1141 3 жыл бұрын
Pole Sana mamaang
@neemamtega737
@neemamtega737 3 жыл бұрын
Mungu akupe faraja kwa kipindi hiki cha simanzi mama janeth
@MrJojofreight
@MrJojofreight 3 жыл бұрын
Be comforted mama Janet Magufuli
@rezegerezege691
@rezegerezege691 3 жыл бұрын
Mama yangu pole sana hakika😭😭😭😭😭😭😭😭
@priscacharlescharles9014
@priscacharlescharles9014 3 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu mama 😭😭😭😭😭😭😭
@robertigohe9338
@robertigohe9338 3 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni akutie nguvu mama yetu Janet Magufuli na awe faraja ktk maisha yako yote
@kigosigo7020
@kigosigo7020 3 жыл бұрын
Pole mama
@flossykelly5037
@flossykelly5037 3 жыл бұрын
Mungu atutie nguvu kwa wakati huu mgumu😭😭😭😭
@sarahsarah4919
@sarahsarah4919 3 жыл бұрын
Pole Sana mama janeti magufuli
@catherinekakusa8157
@catherinekakusa8157 3 жыл бұрын
Pole Sana kwana family 😭😭😭😭🙏mungu amitiye nguvu
@hadijamagufuli2661
@hadijamagufuli2661 3 жыл бұрын
Siku zote nasema mchawi Ana afadhari kuliko mnafiki, mnafiki ni mtu mmbaya Sana, Anaweza kuwachonganisha mkauwana nandiomana nasema mnafiki nizaid ya mchawi,, mungu nifundishe kunyamaza halafu makucha ya unafiki huwa ningumu kufichika loh nikimtizama delila akimfariji mama janeti na mambo anayoyafanya na kumchafua magufuli ndio najifunza kitu, ila awali ya yote barikiwa sana we bibi ila kila nafsi itaonja mauti, mauti ni mlango ambao kila mtu ataupita hivyo basi wenzetu wa Kisha tangulia mbele za haki tuwaombee duwa na kumuomba mungu awasamehe walipokosea ili nasisi tu Kisha ondoka katika hi Dunia tupate kuombewa na tunao wacha huku nyuma
@amourmtungo6941
@amourmtungo6941 3 жыл бұрын
Poleni wafiwa. Sote ni majani tu na kila jani lina siku yake ya kudondoka😥
@christinarobert3054
@christinarobert3054 3 жыл бұрын
Pole san mam yetu janeth mungu akutie nguv
@bintimohamed2646
@bintimohamed2646 3 жыл бұрын
Pole Pole sana sana Mama Magufuli. May he soul Rest In Peace We are going to miss you so much daddy Clean heart and was (. HORE) 🙏🏽🙏🏽😭😭😭😌🇹🇿🇰🇪😭😭😭💔💔
@sengabebe8560
@sengabebe8560 3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭
@ahmedabdullahi625
@ahmedabdullahi625 3 жыл бұрын
Poleni sana
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 3 жыл бұрын
Haya maumivu sijui yatatuisha lini watanzanzania jamani! Mungu ingilia Kati baba hatuwezi wenyewe.
@robertigohe9338
@robertigohe9338 3 жыл бұрын
Hata katikati ya giza nene katika familia na taifa,Mungu yupo
@ibrahimrajab1702
@ibrahimrajab1702 3 жыл бұрын
Pole mamaetu
@wivinaschalion9795
@wivinaschalion9795 3 жыл бұрын
Dah mama wawatu anatamani ingekuwa ni ndoto akiamka amkute Mungu akutie nguvu mama viatu vyako nivizito siwezi kuvaa
@benjaminkimaro8348
@benjaminkimaro8348 3 жыл бұрын
Dah😭😭🇹🇿🇹🇿
@annastaziadaniel2308
@annastaziadaniel2308 3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭
@ibrahimrajab1702
@ibrahimrajab1702 3 жыл бұрын
Innalillah wainailaih rajiwn
@cidewashington670
@cidewashington670 3 жыл бұрын
Ina lillah waina illah rajiun
@nusratbintabdullah5713
@nusratbintabdullah5713 3 жыл бұрын
Soo sorry my his soul rest internal peace 😭😭😭😭🇺🇬
@zainabumbondei8635
@zainabumbondei8635 3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭
@mathiaszakaria7052
@mathiaszakaria7052 3 жыл бұрын
Inahuzunisha Sana kwakweli😪
@nassibuhaule3450
@nassibuhaule3450 3 жыл бұрын
Pore Sana janethi kwakupoterewa na jembe ra family
@zandinesualne767
@zandinesualne767 3 жыл бұрын
Zandine
@zandinesualne767
@zandinesualne767 3 жыл бұрын
Zandine. Sualn
@mwainehajji8202
@mwainehajji8202 3 жыл бұрын
Pole sn mama etu najuw vp maumivu unayo yapat man na mm nishafiliw na mumu
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 3 жыл бұрын
Nani kaona mlinzi wa anko bado anamlinda mama J lakini ningependa zaidi wavae tu barakoa jamani kwa huu muda
@alhamudyalhamudy2015
@alhamudyalhamudy2015 3 жыл бұрын
Kuna baadhi ya masheh wanasema nidhambi muislam kumuombea duwa mkrost sasa hapavip hebu tuekeni sawa
@minzaikekashololo5862
@minzaikekashololo5862 3 жыл бұрын
Nimekusikitiatu kaka dah
@dintazdintaz7311
@dintazdintaz7311 3 жыл бұрын
Huyo ni kiongoz wa nchi nzma na nchi haina dini rasmi ndo maana unaona kwamba hata magu alikua anaingia amsikitin ki2 ambacho hata sisi wakristu hatutak
@yahayab4u614
@yahayab4u614 3 жыл бұрын
Iyo dua inaishia umo ndani
@husseinboru2936
@husseinboru2936 3 жыл бұрын
Kila mmoja na amali yake tumwachie Mungu
@nuruelmada9570
@nuruelmada9570 3 жыл бұрын
Kwakua Waislam ndo wana Mungu, Si ndio!!!?
@humoudmohammad3125
@humoudmohammad3125 3 жыл бұрын
.
@angelkimaro923
@angelkimaro923 3 жыл бұрын
Sitaki kuamini jaman uwiiiii naumia mpka nashindwa kufanya kila kitu nilikua nampenda sana Rais wangu Magufuli nenda baba ukatuandalie makao
@robertigohe9338
@robertigohe9338 3 жыл бұрын
Hata katikati ya giza nene katika familia na taifa,Mungu yupo
@rezegerezege691
@rezegerezege691 3 жыл бұрын
Mama yangu pole sana hakika😭😭😭😭😭😭😭😭
@paulolaurent805
@paulolaurent805 3 жыл бұрын
Pole mama
@zandinesualne767
@zandinesualne767 3 жыл бұрын
Zandine
@zandinesualne767
@zandinesualne767 3 жыл бұрын
Zandine. Sualn
@zandinesualne767
@zandinesualne767 3 жыл бұрын
Zandine. Sualn
Shughuli nzima ya maziko ya hayati Magufuli
50:37
Azam TV
Рет қаралды 615 М.
ВЛОГ ДИАНА В ТУРЦИИ
1:31:22
Lady Diana VLOG
Рет қаралды 1,2 МЛН
БАБУШКА ШАРИТ #shorts
0:16
Паша Осадчий
Рет қаралды 4,1 МЛН
Young Lionel Messi Was Actually INSANE
14:20
VSP7 FOOTBALL
Рет қаралды 450 М.
DAKTARI AELEZA UGONJWA ULIOMUUA RAIS MAGUFULI, AUCHAMBUA KWA UNDANI....
4:10