#BREAKING

  Рет қаралды 210,784

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

Пікірлер: 140
@fintanmkesha1077
@fintanmkesha1077 Жыл бұрын
Afadhali maana tukisikia magufuri inatutia moyo Asante kwa taarifa
@philbertcelestin7057
@philbertcelestin7057 Жыл бұрын
Aliteuliwa na Rais Magufuli
@GilbertNhigula
@GilbertNhigula Жыл бұрын
Safi Sana Mh Rais Kuendelea kupanga Team ya Kuleta Maendeleo .
@EliasNgasu-np6wr
@EliasNgasu-np6wr Жыл бұрын
Sawa kabisa mama, tulilimis sana jina la Magufuli ktk kutamkwa kwa kifupi alsahauli ghafla.
@Mikeallyradjubu
@Mikeallyradjubu Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@helenarhobi1250
@helenarhobi1250 Жыл бұрын
Hongera sana binti wsa JPM kati ya wote nimefurahi uteuzi wako mpendwa.
@venitarugemalila9290
@venitarugemalila9290 Жыл бұрын
Hongera dada, hongereni wote kwa uteuzi, pongezi kwa Rais kwa uteuzi wakafanye kazii
@helenarhobi1250
@helenarhobi1250 Жыл бұрын
Hongera dada Rose John Magufuli, mtoto wa jembe letu. Mimi nakuombea utuzalie mjukuu anayefanana na babu yake Magufuli.
@kosherasengasu5093
@kosherasengasu5093 Жыл бұрын
Hongera mama Kwa kazi nzuri.Mlioteuliwa mkachape kazi.
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 Жыл бұрын
Asante Raisi. Najua teuzi ijayo na mimi nimo kujenga Taifa.🙏🙏🙏
@ChristinaKembe
@ChristinaKembe Жыл бұрын
Na Mimi pia
@marymanoni5536
@marymanoni5536 Жыл бұрын
Asisahaulike jose mahufuli
@ashangonyani7989
@ashangonyani7989 Жыл бұрын
Asante Mama! 🙏🙏🙏😭😭😭
@NeemaMtebeMtebe
@NeemaMtebeMtebe Жыл бұрын
Karibu rais wangu mwanza
@ABDULLAOALI
@ABDULLAOALI Жыл бұрын
Jaman" mcheza kwao hutunzwa" ❤
@JordanKilave
@JordanKilave Жыл бұрын
Binadamu wanataka waonwe huko walikojificha na digrii zao na sio wao wajibiidishe ili waonekane na kulilia teuzi,kila mtu atakula kulingana na urefu wa kamba yake,I ❤ MAMAA.
@athumanijumanne3765
@athumanijumanne3765 Жыл бұрын
Hivi uongozi lazima ufuate watu ambao wazee wao waliwahi kuwa viongozi
@ObediKinkusha-gq8fw
@ObediKinkusha-gq8fw Жыл бұрын
Mamlaka ni yako na kwa wakati MUDA UTAONGEA SISEMI LOLOTE
@FadhiliMwaitete-ls2li
@FadhiliMwaitete-ls2li Ай бұрын
Nchi hii inaridhishwa watu kiokoo hebu sikiliza hapo mtoto wa Magufuli kupewa ukatibu tawara kweli nchi hii ni upuuzi mtu ukugeuka huku ukoo wa Kikwete huku mama samia kule Magufuli ni ujinga hivi hii katiba. Mpya tunaipataje tuepukane na huu ujinga
@bundalaizina652
@bundalaizina652 Жыл бұрын
Asante mama kwa kweli tupo pamoja
@amadeusmdetele6206
@amadeusmdetele6206 Жыл бұрын
Hongera mama kwa kazi nzuri
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle Жыл бұрын
Huyu naye ni yule hatunywi sumu hatujinyongi ccm mbele Kwa mbele
@alexmzumbwe1328
@alexmzumbwe1328 Жыл бұрын
Nikisikia kuhusu magufuri nafurahi saana hapo kidogo nitapenda kazi yako
@oman8573
@oman8573 Жыл бұрын
Ni kweli kabisaa jaman kweli watoto wetu wamemaliza chuo muda mrefu hata hawaonekan kwel kabisaa inauma hatuna wakubwa walio juu
@naishiyemollel
@naishiyemollel Жыл бұрын
Mama hapo sawa kumteua mtoto wa makufukuli kazi iendelee mama yetu
@Elizabethmwanga-y5e
@Elizabethmwanga-y5e Жыл бұрын
Asante mama kwa mtoto wa magufuli
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle Жыл бұрын
Hakuna mtoto wa kiongozi yeyote ataachwa kuteuliwa nchii hii.Nyie msio watoto wa viongozi mtasubiri sana hii ndiyo Tanzania
@habibuluyangi2702
@habibuluyangi2702 Жыл бұрын
Yule mtoto wa kiume angepewa wizara mambo ya ndani au mambo ya nje
@masaimollel2525
@masaimollel2525 Жыл бұрын
Ipo siku Mungu atajibu maswali niyonayo kichwani,kila ninapoona yanayotokea, kitu najua Mungu ataacha tusijue
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 Жыл бұрын
Natamani nikuelewe sijui nimekuelewa
@kheribarushi2280
@kheribarushi2280 Жыл бұрын
Ameen mungu ni mwema.
@RoseMichael-oz7cy
@RoseMichael-oz7cy 2 ай бұрын
@@hidayaswai3119 ivo ivo uliivyomuelewa na mi nimemuelewa ivo ivo ok time will tell my dia
@vanessajames2192
@vanessajames2192 Жыл бұрын
Viva Magufuli
@omaribrahim1959
@omaribrahim1959 Жыл бұрын
Kwani hakuna watanzania wanaofaa mpaka watoto wa wakubwa waliotangulia
@froma3732
@froma3732 Жыл бұрын
Akichagiwa mtoto wangine ingekuwa nongwa lkn huyu ni sawa
@gladistaemanueliy6336
@gladistaemanueliy6336 Жыл бұрын
Mama asante kwa mtoto wa magufuli, ila yule kaka mkubwa jamani muone wasaidie familia
@sebastianmwantuge5597
@sebastianmwantuge5597 Жыл бұрын
Nchi ina wenyewe,machawa mtasubiri sana
@jescajulius8023
@jescajulius8023 Жыл бұрын
Yeah
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 Жыл бұрын
Ni KWELI hadi miaka 100 asipopatikana dikiteta.
@ABDULLAOALI
@ABDULLAOALI Жыл бұрын
Piga kz t mdg wang Mungu atakuona t mda ukifka
@GLORIASILVANUS-bq7zy
@GLORIASILVANUS-bq7zy Жыл бұрын
Nice
@Clement-px8eg
@Clement-px8eg Жыл бұрын
Choke.mbaya
@TeresiaMsuya
@TeresiaMsuya 9 ай бұрын
Kafanye kaz km baba jpm
@marysangula9974
@marysangula9974 Жыл бұрын
Bibilia inasema aliye nacho ataongezwa na maaikini hata kile kidogo alicho nacho atanyang, anywa. Acha wapeane nafasi za duniani na sisi mbinguni tutawatawala wataona cha moto maana tutatawala milele wao ni miaka 70 hadi 80 . Mungu anatimiza unabii wa siku za Mwisho
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle Жыл бұрын
AMENI 🙏
@honoratamafala6968
@honoratamafala6968 Жыл бұрын
Ajira hakuna. Jiajirini.
@jeremiahjustin7072
@jeremiahjustin7072 Жыл бұрын
someeni kilimo ufugaji na uvuvi mtatoboa ndio nyota zetu walalahoi hayo madegree ya kazi laini za uongozi waachieni wenyewe washua
@AIDANIKAHIMBI-ql6tn
@AIDANIKAHIMBI-ql6tn Жыл бұрын
Piga kazi Mama
@hamadsheni8997
@hamadsheni8997 Жыл бұрын
Ndo hivyo
@faridymkojera6144
@faridymkojera6144 Жыл бұрын
Eti anajikosha mmmh hivi Rais anawezaje kujikosha,ana shda gani mmh😂
@MujomaAzania
@MujomaAzania Жыл бұрын
Mama arijiraumu Sasa anarudi kwenye njia
@yahayanjarita1035
@yahayanjarita1035 Жыл бұрын
Dada hueleweki husemi nani alikua wapi kaenda wapi
@hatimmohamed4299
@hatimmohamed4299 Жыл бұрын
Serikali za kiafrika bana!!! Maajabu matupu.
@NgassaSupila
@NgassaSupila Жыл бұрын
Najuwa atakuja kugeukwa tu,awe makini
@JoyceKinyunyu
@JoyceKinyunyu Жыл бұрын
Mambo yasiwemengi kaziiendelee
@jeffhard5773
@jeffhard5773 Жыл бұрын
Kwa utawala huu wa mabeberu na mapepari tutafika tumechoka eeh mungu ione tanzania ione Africa kwa jicho lako la huruma Ameen!!
@millowamilonga
@millowamilonga Жыл бұрын
Hama nchi kama umechoka unafikiri nani atakusikiliza poyoyo kama wewe?
@jeffhard5773
@jeffhard5773 Жыл бұрын
@@millowamilonga mbwa kachoka wee rudia kusoma tena ulicho andika mmoja kati ya mapoyoyo ni wewe uliesema unafikiri Nani atakusikiliza poyoyo Kama wewe na ndio poyoyo la kwanza wewe ulie nifatilia Kisha ukanijibu paka jeusiiiii ulie zoea vya kunyongwa hiv vya kuchinjwa huviwezi pita kushoto!!
@salamasaidi6620
@salamasaidi6620 Жыл бұрын
Duh c kwa kuchambana huko😆😆😆😆😆
@jeffhard5773
@jeffhard5773 Жыл бұрын
@@salamasaidi6620 Ndio bi salama haiwezekani eti vinyago tuvichonge wenyewe harafu vianze kututisha tena!!
@millowamilonga
@millowamilonga Жыл бұрын
@@jeffhard5773 wewe ni mpuuzi katika wapuuzi huna jipya. Na sijui kama sio shoga mpevu ulieota funza mkunduni kudadadeki. Narudia tena wewe ni poyoyo shoga nani akusikilize? Kwanza usikilizwe kuhusu nini, chunga na kauli zako za kichoko wewe ni sawa na nguruwe pori tu.
@mbelwajeremiahpaschal390
@mbelwajeremiahpaschal390 Жыл бұрын
Mtetezi wa Maskini ,na Anayegawa Haki Sawa siku zote ni Mungu Tu Wenginee kujuana undugulization ni mwingi sana Ila Tusikate Tamaa Mungu ni wetu Sote kikubwa Uvumilivu
@naishiyemollel
@naishiyemollel Жыл бұрын
🎉🎉❤
@raphaelheinzy1287
@raphaelheinzy1287 Жыл бұрын
CCM mbele kwa mbele,hapo kuna umhimu wa kuwasomesha watoto wa Wanyonge kweli kwa mwendo huu uchaguzi hautakuwa huru viongozi wanatetea afya zao "ni mtazamo tu"
@mbelwajeremiahpaschal390
@mbelwajeremiahpaschal390 Жыл бұрын
Shida bro kujuana kumekuwa kwingi sana Maskini tunabaki kuwa Maskini wanasiana wanaendelea kuwa wanasiasa
@saidipara4134
@saidipara4134 Жыл бұрын
Mama happen ndipo tunapo aminia kale kausemi kako kila mtu anakula Kwa..........
@geophreymushenyera6704
@geophreymushenyera6704 Жыл бұрын
mmmh
@aminaomary5567
@aminaomary5567 Жыл бұрын
Hivi nyie watu Rais Samia ajikoshe niini?asipowachagua watoto wa bar mnasema anapendelea kwao anajaza Uzazibar jaman jaman.Ebu Rais wangu endelea kupiga kazi.Walimwengu hawana jema hata kidogo.
@mirajintandu9787
@mirajintandu9787 Жыл бұрын
Yaani kweli huwez ridhisha kila mtu.. yaani rais yeye apige kaz tu
@tulisamwel41
@tulisamwel41 Жыл бұрын
Mama yupo vizuri. Wasiompenda wana wivu tu. Huwezi kumridhisha kila mtu ila mama amejitahidi sana.Kazi iendelee.
@mohammedbaraka9230
@mohammedbaraka9230 Жыл бұрын
Binaadamu hawana jema kabisa...
@TeophilBuilding
@TeophilBuilding Жыл бұрын
Wore mnaotetea serikal hii mnafirwa mikundu Kuma la mama zenu hadharani
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 Жыл бұрын
Binadamu shikamooni hamna jema jamani
@jumannealmas7945
@jumannealmas7945 Жыл бұрын
Mama piga kazi, wanaosema waseme
@darasahuru6819
@darasahuru6819 Жыл бұрын
Huyu mtoto wa Mugufuli sio aliyekuwa serikalini tangu enzi za mzee wake? Kama ndiye ni kahamishwa tu, sio kuteuliwa.
@ibel4lf
@ibel4lf Жыл бұрын
KABAKIZWA HAPOHAPO
@danielmartinKiondo-dq4jz
@danielmartinKiondo-dq4jz Жыл бұрын
Hapa wametajwa walioteuliwa na kuhamishwa hivyo sikiliza vizuri huyu hapa kateuliwa sio kuhamishwa
@helenarhobi1250
@helenarhobi1250 Жыл бұрын
Hehehe! Wewe naye, eti watoto wa viongozi. Sasa utamteua mtu aliye na CV ya kunywea uji jamani uteuzi ni CV. Someni ama somesheni watoto acheni manung'uniko ya kipumbavu ng'ombe nyie!
@NenolaMUNGUniuzima
@NenolaMUNGUniuzima Жыл бұрын
🦀🦀
@bonnyngowo7567
@bonnyngowo7567 Жыл бұрын
Hii nchi ina wenyewe tangu Afro-Shiraz ilipojiunga na TANU na kuzaliwa CCM 1977.Nani anabisha?😂😂😂😂
@lupamwakabenga1716
@lupamwakabenga1716 Жыл бұрын
Ila kweli mweeeee😮
@ibel4lf
@ibel4lf Жыл бұрын
Huyo Dada kabakishwa kwenye kazi yake alikuwepo kabla ya Samia kuwa raisi
@MsAggie5
@MsAggie5 Жыл бұрын
Alikuwa nani na wapi kabla ya teuzi hii ni mtoto wa magufuli huyu marehemu au jina tu
@ibel4lf
@ibel4lf Жыл бұрын
@@MsAggie5alikuwa Das Moro mjini toka enzi za Baba yake na ni mtoto wa kumzaa kabisa wa the late Magufuli ni mtoto wake wa Tatu jina lake la kinyumbani anaitwa Mbalu
@MsAggie5
@MsAggie5 Жыл бұрын
@@ibel4lf asante kwa unijuza 🙏
@liannsambu7264
@liannsambu7264 Жыл бұрын
Kwani kipya Nini hapo ,
@mlyambisipaul8399
@mlyambisipaul8399 Жыл бұрын
At least
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 Жыл бұрын
Na juzi muhishimiwa mkyu wa mkoa amelisibitisha hilo jambo la watu kuonewa naomba umzidishia madaraka mkuu wa mkoa naona anatufaa na katoa ahadi atafatilia suala la unyanyasaji madereva na kuwabambuka makosa kampuni hiyo makao makuu yake temeke sudani na muomba mkuu wa mkoa afuatilie kwa karibu jambo hili na dhuluma ya wazi inayofanywa na kampuni hiyo inomilikiwa na watu sio wakweli
@ndogoroedson199
@ndogoroedson199 Жыл бұрын
Wamejazana watoto wa vigogo tu cjui wa kwetu watapata lini kazi! Huu ni uteuzi wa kiholela Sana.
@timothymoshi5800
@timothymoshi5800 Жыл бұрын
Wewe aliyekudanganya uwe hohehahe Ni nani ?? Acha maneno ya hovyo.
@masanjamkama8068
@masanjamkama8068 Жыл бұрын
Ni mwendo wa kulipana fadhila dadeq
@aronmtui597
@aronmtui597 Жыл бұрын
Maisha yanaendelea tu
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 Жыл бұрын
Ahh ok
@kitaruokiria5768
@kitaruokiria5768 Жыл бұрын
Huyu jesca alipata 0 sio huyu jaman
@Jumacharlesmadale2958
@Jumacharlesmadale2958 Жыл бұрын
huna akili kwani aliyeteuliwa ni Jesca Sasa wewe unamjua Jesca tu ndo mtoto wa JPM yaa
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 Жыл бұрын
Ndo kateuliwa Sasa kunywa sumu!!!
@yonamsemo6634
@yonamsemo6634 Жыл бұрын
Alirudia mtihani atapata division 2.
@ibel4lf
@ibel4lf Жыл бұрын
Huyu ni Dada wa Jesca usikariri
@ikokijuma-zv7wd
@ikokijuma-zv7wd Жыл бұрын
Daaa wanazngua
@franktangeki9342
@franktangeki9342 Жыл бұрын
kama haujulikani hautoramba kitu sasa hivi.Utazeeka na degree masta zako za chuo kikuu kwenu.
@yasminjuma9146
@yasminjuma9146 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@mafurumatijo8803
@mafurumatijo8803 Жыл бұрын
Aliye nacho ataongezewa hata biblia inasema.
@mastermwakyembe1093
@mastermwakyembe1093 Жыл бұрын
Sasa ndiyo tujue ukiwa mlala hoi NI mlala hoi tu kitakachosaidia ni uchaguzi tu
@MjaluoManason-we2fm
@MjaluoManason-we2fm Жыл бұрын
Uko sahihi ndugu yangu
@zuwenaabdallah7748
@zuwenaabdallah7748 Жыл бұрын
Asante mama kwa kumteua mtoto wa Jembe letu Mungu akubariki
@ibel4lf
@ibel4lf Жыл бұрын
@@zuwenaabdallah7748alikuwa Das wa Moro toka enzi za baba yake ila tumshukuru kwa kumbakiza hapohapo
@shamsaelbeity8250
@shamsaelbeity8250 Жыл бұрын
Mtu hata kama hajasoma anapewa nafasi huyu mama jamani
@karimkassam571
@karimkassam571 Жыл бұрын
Mfano ....NI elimu gani ....embu fafanua
@jescajulius8023
@jescajulius8023 Жыл бұрын
Siku hizi elim siyo issue je una connection?
@jabirharubu-dt2or
@jabirharubu-dt2or Жыл бұрын
Mbona alikuwepo tangu muda tu morogoro
@ibel4lf
@ibel4lf Жыл бұрын
Eh ndio alikuwepo na alikuwa wilaya hiyohiyo
@husseinmkanga7794
@husseinmkanga7794 Жыл бұрын
Sio huyo tu asilimia 90 ya hao walioteuliwa leo ni watoto wa viongozi. Yasome vizuri hayo majina.
@victoriamaige2862
@victoriamaige2862 Жыл бұрын
Hizi nafasi ni maalumu kwa wao tu na familia zao inauma sana
@ramsonhudson4013
@ramsonhudson4013 Жыл бұрын
Ukifanya kazi kwa bidii na kupambana na maisha yako hutaumia ndugu yangu pamban keep up usifatilie sana ya watu
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 Жыл бұрын
​@@ramsonhudson4013 Anayo HAKI ya kutumia nchi ni yetu, pesa ni zetu sote lkn walao ni wachache. Hata kama ninacho nifanyacho, inaiza.
@salummhina7378
@salummhina7378 Жыл бұрын
Watoto wa wakulima waliosoma kwa mikopo mtasubiri sana
@salummhina7378
@salummhina7378 Жыл бұрын
Mtoto WA Nyerere. RC Mwinyi. RAIS WA ZNZ Mikwete. Waziri Magufuli Nk
@MsAggie5
@MsAggie5 Жыл бұрын
@@salummhina7378na mkwe wake Mama humuoni? Motto wa Karume anapiga kelele huko Zanzibar sijui wamemkosea nini 😂
@usariver
@usariver Жыл бұрын
Mama mm sio kada wa chama chochote na sina ndugu yangu yeyote tasisi za serikali wala tasisi binafsi na nina elimu, uzoefu, ujuzi means sina nafasi serikalini? hata DAS kah ama kweli
@renatusblandes1131
@renatusblandes1131 Жыл бұрын
Kwahiyo unaomba kazi wasafi😂
@AdamFundikira-kk5oj
@AdamFundikira-kk5oj Жыл бұрын
​@@renatusblandes1131 labda
@didasseveline9013
@didasseveline9013 Жыл бұрын
Kalime!
@oman8573
@oman8573 Жыл бұрын
Jaman mama tunakuomba aangalia na watoto wetu bas mama angu muangaliy mwanan rashid h mduma nakuomba mama yangu kipenz
@MsAggie5
@MsAggie5 Жыл бұрын
Mama atasoma hizi commente? 😂😂😂😂! Hata Diamond hana muda nazo itakuwa mama 😢
@SwaiSaid-ho1rs
@SwaiSaid-ho1rs Жыл бұрын
Kama huna mtu mkubwa huko juu hata ukiwa na elimu kazi bule
@jescajulius8023
@jescajulius8023 Жыл бұрын
Bure kabsa
@saidasimba9979
@saidasimba9979 Жыл бұрын
Hata hatuhitaji wajikoshe kwa hilo
@yusuphusaimoni4182
@yusuphusaimoni4182 Жыл бұрын
Mama Asante kwa kukumbuka familia ya jembe letu J P M hakika mama unafaa tunakushukuru sanaaaa
@wekezauchumi7440
@wekezauchumi7440 Жыл бұрын
We said hujielew fala wew
@saidasimba9979
@saidasimba9979 Жыл бұрын
@@wekezauchumi7440 haha wewe ndio hujielew ise na hujui kwanini bongo hatutoboi, yaani kufanya kitu kwa ajir ya kulidhisha watu so ishu maana mwishu wa siku watu wanahitaji kazi mengine mbwembwe tu
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 Жыл бұрын
Msisahau wilaya ya temeke watoweni wote wanashirikiana na kamponi ya yono kukamata magari na kuwachukulia pesa madereva wakati pakingi hakuna magari mengi wanawadhulumu watu huu nimradi wao haiwezekani umkamate mtu hata gari inapohatibika dunia nzima hakuna sharia hii nakuomba muhishimiwa raisi uwatoe wilaya yatemeke
@sss3s867
@sss3s867 Жыл бұрын
AISEE KWA HIO HII NCHI NI YA WATU FULANI HIVI. HALAFU MNAKUJA KUTONYONYA MAZIWA MPAKA MTINDI MNATUWACHA KUWA NA MATATIZO KIBAO. NINYI MNAKULA TU RAHA ZENU
@callicevallice7383
@callicevallice7383 Жыл бұрын
Is this really suppose to be a news..??
AUAWA KWA KUCHINJWA SHINGONI, KICHWA HAKIPO, MASHUHUDA WAELEZA
6:02
БАБУШКА ШАРИТ #shorts
0:16
Паша Осадчий
Рет қаралды 4,1 МЛН
Война Семей - ВСЕ СЕРИИ, 1 сезон (серии 1-20)
7:40:31
Семейные Сериалы
Рет қаралды 1,6 МЛН
GIANT Gummy Worm #shorts
0:42
Mr DegrEE
Рет қаралды 152 МЛН
«Жат бауыр» телехикаясы І 30 - бөлім | Соңғы бөлім
52:59
Qazaqstan TV / Қазақстан Ұлттық Арнасы
Рет қаралды 340 М.
БАБУШКА ШАРИТ #shorts
0:16
Паша Осадчий
Рет қаралды 4,1 МЛН