Рет қаралды 421
Wizara ya mambo ya nje, kwa ushirikiano na vuguvugu la Afrika kwa haiti, iliandaa hafla maalum iliyopewa jina la "harmony for Haiti". hafla hiyo ilihudhuriwa na waziri mwandamizi ambaye pia ndiye waziri wa masuala ya nje Musalia Mudavadi, katibu katika wizara hiyo Korir Sing’oei, na wanadiplomasia mbalimbali kuanzia ma balozi wa Afrika na marekani, miongoni mwa watu wengine mashuhuri.
Wakisisitiza umuhimu wa ushirik wa vijana katika masuala ya kimataifa
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya