#MADEBE_LIDAI #NABIIMSWAHILI HII NI FILAMU INAYOUSIANA NA MASUALA YA KUKEMEA WIZI PAMOJA NA TAMAA YA MALI KUPITIA KITEGA UCHUMI CHA KUMUOZA MTOTO WA KIKE
Пікірлер: 240
@zou74703 жыл бұрын
Tujuwane tulokuwa tume miss madebe🤗🤗🤗
@abdulhemedabdulhemed71103 жыл бұрын
Ukisikia kustakiwa ndio huku madebe haki usipo tupa hii part 2 na matusi tunakushitaki bila uoga wangapi wanasopot hilo wanipe like hapo
@mcheshcomedy58093 жыл бұрын
NIPENI likes ZA MTAALAMU WA SANAA TZ NA AFRICA MASHARIK
@mashauriwapwani3 жыл бұрын
Villaza..... Wakenya pitieni huku
@rahmamwalim90883 жыл бұрын
Kumbe upo??
@kijanahodari20803 жыл бұрын
Tupo sana
@safarisilas49993 жыл бұрын
VIP kiongozi
@abdallahshaibu88603 жыл бұрын
Unatisha madebe
@omanbarka20533 жыл бұрын
Leo wakwanza naiangalia live nikiwa omani ahsante madebe nikiangaliya move zako najifunza
@barakamtabwigwa17263 жыл бұрын
Unafanyeje huko kaka
@halifahemedi77763 жыл бұрын
Kama umemuona mwizi amevaa kanzu..gonga like
@nooragana96683 жыл бұрын
Safi sana madebe Hongera yko tunasubir mwendelzo tafadhali uko sawa Nakkubali
@mukaplatnumz23133 жыл бұрын
Daah! Hii muvie inamaana sana haswa kwa watu wenye kusaidiana, pole madebe kwakukabiliana namzigo usiyo kuhusu. Tusubiri part 2😢
@ladyyes43943 жыл бұрын
Mbona tayari. Part 2
@kanaanimpya23403 жыл бұрын
Unakuja juu sana kaka lakini wakati mwingine ni muhimu pia kuwasikiliza mashabiki wako wanataka nini. Filamu zako nzuri sana na zinafaa kutazamwa na kila rika lakini pia zinafundisha wakubwa kwa wadogo tatizo kubwa ninaloliona na wanalolipigia kelele watu wengi ni mwendelezo wa movie. Hakuna sababu ya kutunga story nyingin kama ya kwanza haijaisha ni bora upige mwanzo mwisho then uanzishe nyingine, hivi vipandevipande vinaboa sometime manake mpk utoe mwendelezo wake tayari mtu ashasahau story yenyew ilianzia wapi na aliishia wapi kwahiyo inakuwa inatoa utamu wa movie.
@janethkomba44852 жыл бұрын
🙏
@emmanuelpaul7646 Жыл бұрын
fact
@abdulhemedabdulhemed71103 жыл бұрын
Mm kazi yangu kuu kuangalia move za madebe nauhakika hua anatupa vile tunavyo vitaka ila hua yuatuumiza hatupi mpaka mwisho wangai wanamdai madebe wanipe like ....+254
@aminaissa85813 жыл бұрын
Nakukubali sana madebe aukoseagi kazi nzuli
@ladyyes43943 жыл бұрын
Japo nimechelewa naomba like za kichelewa njamani....huku tukisubiri matusi sehemu 6.sijuwi hitakuja lini😷
@jamilaingu79223 жыл бұрын
Mindio nimechelewa
@ladyyes43943 жыл бұрын
Karibu bado mapema
@jamilaingu79223 жыл бұрын
@@ladyyes4394 huwa napenda kiona live
@nancysanga46533 жыл бұрын
Hahaha 😁😁😁😁tayar imeshatoka sehemu ya6
@nancysanga46533 жыл бұрын
Ujaiona umechelewa wap
@aminasuleiman68673 жыл бұрын
Hongereni nyote no one like u madebe big up mwenye hajaangalia yuapitwa
@musaathumani15453 жыл бұрын
Hiii move ya mdaaa sana tupee mwendelezoo wake
@akimanasalim90633 жыл бұрын
Ongera saana Kaka kazi nzuri saana Ila sio uchelewe kutupatia sehem inayo fwata🙏
@rockxiadacaptain65593 жыл бұрын
Madebe movie zako ni kali sana Ila cku ukitoa movie na Gabo itapendeza mnoooo
@mariamahmad17163 жыл бұрын
Madebe allahubarik wajua kutufurahisha
@salehalmujaini76333 жыл бұрын
Wakusoma comment tujuane
@ladyyes43943 жыл бұрын
Tuko wengi 😂
@johnfagens2933 жыл бұрын
Nipo
@jamilaingu79223 жыл бұрын
Ndio mimi hapa
@rahmaomar96463 жыл бұрын
✌✌✌
@safiasalat38773 жыл бұрын
Hhhh
@jumakandy20752 жыл бұрын
Classic movie madebe nakukubali bro big up kazi nzuri
@egoistdelikertz66073 жыл бұрын
Hongera kwa kaz nzuri unayo ifanya kaka
@sirnyongesa74553 жыл бұрын
Daah, hii nayo kali mkuu, imenisisimua hisia sana. Huyu jamaa wa kipekee kwenye sanaa. Mola azidi kukurehemu Bw. Madebe.
@chamastorch3 жыл бұрын
Anazingua huyu jamaaakwa mwendelezo
@sirnyongesa74553 жыл бұрын
@@chamastorch tena sana, wa kipekee tena sana
@omarikingo6173 жыл бұрын
Tatizo lako lipo kwenye mwendelezo unachelewa sana kutuma mpaka movie tunasahau tuliiishia wap Tuma kitu weka kitu hapo hapo
@danielmkama243 жыл бұрын
Ndiomaana zinauzwa kaka! Kwaiyo ni vizur ukamchangia
@zuheorsalim77593 жыл бұрын
Ebana hiii ni noma kweli bint afie chumbani kwako allah atuepushe na hiii kitu hapo ni jela tu
Movie Kali Sana MY KING BROTHER .@JOHN MARCELLO 🎬📧
@cetus78853 жыл бұрын
Madebe dah uko vizuri sana aisee big up sana kaka
@fatumasalumu90862 жыл бұрын
Kazi nzuri sana
@asmatabdallah13683 жыл бұрын
Na kukubali sana jembe langu
@r.kassimtoutautre34323 жыл бұрын
Kitu bomba 🇧🇮Who lives 🇹🇷
@bwankakaseif55003 жыл бұрын
upo uturuki sehemu gani kwani ht mm nipo instabul
@r.kassimtoutautre34323 жыл бұрын
@@bwankakaseif5500 piyalepaşa W kwan uko Sehemu gani ??
@Atb3003 жыл бұрын
Niliwahi kuangalia bongo movie story IPO ivi ivi😀😀wabongo bahn cjui tunafeli wapi Ila nakukubali bro 👍
@salhatphidelis88843 жыл бұрын
Kweli tena alikuwepo na riyama ally ndio Alikuwa dada mtu wa marehemu
@stephenstephen55863 жыл бұрын
Madebe una feli sana malizaga movie
@safarisilas49993 жыл бұрын
Madevu kutoka Mombasani hii film iko majuu
@allymazige9853 жыл бұрын
Amazing dialogue, Madebe una deserve Crown
@vicentpaul58143 жыл бұрын
Nakubali hii Kali kinoma
@othmanraphael75173 жыл бұрын
Love you madebe
@Mwl_Swalo3 жыл бұрын
Mkuu tunaomba utukumbukemo na sisi wafuasi wa series ya Matusi
@ashiraally5273 жыл бұрын
Ile mbona ishaisha
@Mwl_Swalo3 жыл бұрын
@@ashiraally527 imeishia episode ya ngapi
@aishamsangi9833 жыл бұрын
@@Mwl_Swalo ya 5
@Mwl_Swalo3 жыл бұрын
Anhaa sawa sikujua
@Thebking3 жыл бұрын
series nzuri saaana.
@khaliddesire00843 жыл бұрын
Sure Madebe👍
@mariammussa45933 жыл бұрын
Nzuriii xana ❤️❤️❤️😘😘
@mashawarioba53883 жыл бұрын
Upo vizuri kaka napenda kazi yako......🙏🙏🙏
@mikyfosikama87523 жыл бұрын
Move nzuri sana nangalia nikiwa saudi.arabia
@aziboyleonard4343 жыл бұрын
Big up Sana hii ni more than pain Isikie tyuu usiombe ikakukuta mzeee
@kilungule3 жыл бұрын
Bwana harakisha nyingine mkuu mambo ni fire
@aminasaid76573 жыл бұрын
Hyo nyimbo ni moto
@PH107352 жыл бұрын
Of course madebe unajua brother 🙏🙏
@hamisirajabu88723 жыл бұрын
Hii song iliyoimbwa humu ndani nzuri sanaa
@supaboytz27293 жыл бұрын
Daaahh Yaan Huwaga Nawaza Sana Unapoandaa Filamu Zako Unatumia Muda Gani Kukamilisha..!! Maana Unatumia Akili Nyingi Sana..
@asmatabdallah13683 жыл бұрын
Kama ume muona mwizi ame vaa kanzu gonga like 🤣🤣🤣
@rahmaomar96463 жыл бұрын
😂😂😂😂
@prosperkonokono57163 жыл бұрын
Madebe unnaanza kukwama. Mwizi anavaa kanzu
@pendomacha33553 жыл бұрын
Mwenelezo madebe ufanye mapema bro ni nzuri inafunza mie misaad kumpea mtu no
@georgethomy12123 жыл бұрын
Keep it up broe,
@travellerjohn11692 жыл бұрын
Big up sana kwa movie nzuri kaka madebe like zake please wazee💯💯💯💯
@gracesikalion94863 жыл бұрын
duh pole sana madebe
@jamilaingu79223 жыл бұрын
Villaza yaelekea kuwa moto ,lkn tamthilia za madebe zaishia namba 5 mlijue ilo wadau ,anayenikubal naomba like yake 👍
@zahariasongolo93622 жыл бұрын
Bonge moja la idea mzee baba
@mtitagirloriginal68903 жыл бұрын
Hii nyumba aliyopanga lidai pambe🤗🤗 ipo changalamu
@bertinaafonsorapaz83453 жыл бұрын
😂😂😂😂😂ila waaatuuu
@ramadhanimrina39683 жыл бұрын
Upo vizur ww mkali madebe
@rahmaomar96463 жыл бұрын
nimeipenda sana tena sana ila sjui mwisho itakuaje
@ozagreatestvideoever9433 жыл бұрын
Filamu Nzuri Ila kosa la kwanza nililoliona ni huyo dada wakati ameingia ndani anakuelezea hali ya nje kosa alilofanya ni kumuangalia camera Man
@resas_nation2103 жыл бұрын
10:45 naombeni munisaidie jina la huyo msanii n nyimbo
@kaliuaonlinetv51663 жыл бұрын
Nice movie
@kasigwaiddy90453 жыл бұрын
Nice bro
@yasminali61953 жыл бұрын
Nakubali movies za bwana madebe kwa kweli elimu tosha
@boscoyagga51993 жыл бұрын
Madebe ww number 1 Tanzania
@3kings633 жыл бұрын
Nime penda hii cheni Dada wa marehemu ni danga tena jirani+dereva baba wa mtoto Kaka wa mwalifu ni anaye dai
@brain_ujazo3 жыл бұрын
Nomaa sana hapooo
@abubakarsalim15053 жыл бұрын
Binge la jicho mzee madebe
@cheiknamouna20583 жыл бұрын
Madebe kiboko unalala ndani na MTU anakufia hiyo kesi utaipeleka wapi ndugu yangu sijui wacha🏃🏃 nikufuatilie Zaidi
@samsonbaruani8652 жыл бұрын
is good god bless you
@hajielmi75183 жыл бұрын
Matusi imefikia wapi
@twalhamkanya81163 жыл бұрын
Imeshaisha kitambo
@ramadhanimrina39683 жыл бұрын
Ndo kwanza ipo bandarini
@mcheshcomedy58093 жыл бұрын
@@ramadhanimrina3968 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@Collinscj3 жыл бұрын
Madebe Lidai mtaalamu wa sanaa Afrika.
@suleim505Ай бұрын
KWA TZ TEAM MADEBE IKI VIZURI ZAIDI ILA 👉 INATUUDHI KUKOSA MWENDELEZO...
@emmanueldrawerhq75263 жыл бұрын
Hussein Machozi uko wapi huku mambo yamejirudia. Njoo utupe mbinu ulifanya vipi kile kipindi asee!
@prosperkonokono57163 жыл бұрын
Umetisha
@ghostyoooh3273 жыл бұрын
We noma
@anitanahimana21153 жыл бұрын
Madebe punguzeni muzic nimukubwa sana jamani 👂🙏
@shabanisaidi62943 жыл бұрын
Wimbo unaitwaje jaman
@abokeasukulu76083 жыл бұрын
😯😝😝😀😀😀😀sasa hapo itakuwa aje jamani naona bwana madebe macho kodo nyuma kwa nyuma😀😀😀 jamani niatari sana mazee ilakwautaratibu bado tunasubiria seem ya pili 2 sawasawa
@magrethmaganga19833 жыл бұрын
Bro madebe upo vzr xn bc tunaomba muendelezo wa matusi jmn
@fatumaomar25423 жыл бұрын
Matusi umekatisha umetuletea hii nayo sijui vipi km tutaletewa mpk iiishe mwisho au ni ayo ayo.....
@brain_ujazo3 жыл бұрын
Matusi IPO hadi namba 5 imeisha vizuri tu
@suleimanjembe34932 жыл бұрын
Wonderful 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@issamchocho46233 жыл бұрын
Good work
@geewara63853 жыл бұрын
Oyaaaa hili ni bonge moja LA msala 😂😂😂😂
@nderindichu87543 жыл бұрын
Wa kwanza kutoka kenya +254
@anitanahimana21153 жыл бұрын
Nzuri sana kabisa
@kasigwaiddy90453 жыл бұрын
Dah ! Usiombe ikukute hii hali
@yotehapatv77053 жыл бұрын
Acha BROOO Atari sana
@musakanyundo21273 жыл бұрын
Duuuu unaweza kuhisi umemkosea mungu kias kwamba huna thaman dunian nixhda
@user-vs4oi6oc3m7 ай бұрын
fidodido ni bonge la komediani anajua sana
@salimsaleh64233 жыл бұрын
P tunasubir muendelez
@congofizi25K3 жыл бұрын
Nice
@amlanniamimuafricatz57453 жыл бұрын
kwastairi hiii bongo movie yakwako2 bira kupingwa kaka
@mussahsaidy373 жыл бұрын
Madebe wewe ni fundi sana, kazi nzur
@othmanshaib90893 жыл бұрын
Mzee baba madebe lidai wanao haututendei haki matusi wapi sasa imeishia
@mcheshcomedy58093 жыл бұрын
Kitambo Sana ndugu!!
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Huyudada kuongea hajui jamani siujibu mtu kistaraabu haya kafia geto🤣🤣dada mtu huyo koma namajibu yako🤣🤣🤣🤣🤣Hussein machoxi kasema hahaha ila madebe anaakili vilaza nao wako mdomo wazi kama papa wanaosubiria vywakula kwenye meli
@shidasamson14352 жыл бұрын
Noma
@charlssimon2283 жыл бұрын
Iko pow
@mariamshaban75552 жыл бұрын
Mwendelezo napataje
@munirachangawa27763 жыл бұрын
Wah hii movie Kali.ndio inaanza lkn motooo
@ernestbigirindavyi30163 жыл бұрын
Snema ni nzur na ina mafunzo sem tu imeisha vibaya
@khdigahk42463 жыл бұрын
Kabla cjamaliza nianze na 😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@babakey53953 жыл бұрын
Madebe is unstoppable
@abubakarsuleman19833 жыл бұрын
mukifukuzana musikimbilie mjumbani mwetu kimbilieni police tusitafutiane misala kama hii,