Ving’ang’anizi Afrika: Hawa ni MARAIS waliopo MADARAKANI muda mrefu na hawana dalili za KUJIUZULU

  Рет қаралды 39,036

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

10 ай бұрын

Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti

Пікірлер: 172
@saxenaofficial4168
@saxenaofficial4168 10 ай бұрын
Yaaani sky unajua mungu akupe maisha malefu tu zawadi tosha kwangu sky ❤
@abelhilonga1095
@abelhilonga1095 10 ай бұрын
Mwana sns popote nilipo mimi ni wa kwanza kusikia leo
@iddimoshi8459
@iddimoshi8459 10 ай бұрын
Yap. Sio mbaya wakikaa muda mrefu uku wakileta maendeleo Mbaya ni pale wanapoanza kwenda tofauti
@abedymtore2707
@abedymtore2707 10 ай бұрын
Umetoa ADITHI Nzury sana bab lakn umeisaau CCM KWAN ndio ilio kaa sana madalakn
@happynesbaemuhappynes8813
@happynesbaemuhappynes8813 10 ай бұрын
😂😂😂
@maniamba.tz_
@maniamba.tz_ 10 ай бұрын
😂😂😂
@neemanyove9130
@neemanyove9130 10 ай бұрын
Kaongelea maraisi kukaa muda mrefu madarakani na sio chama kukaa muda mrefu elewa concept inasemaje
@fabicshofficial
@fabicshofficial 10 ай бұрын
Proud to be an sns fan
@brunoh_bx
@brunoh_bx 10 ай бұрын
Hapa kwetu ni chama ndo kinang'ang'ania madaraka na sio mtu😅
@shaurisaidi7470
@shaurisaidi7470 4 ай бұрын
Kweli aswaaa
@rwagasunzuibrahim8514
@rwagasunzuibrahim8514 Ай бұрын
Kwani huko kwenu ni chama kimoja tu Hio nimbinu nyingine huwezi kuelewa wewe Tanzania ninchi ya chama kimoja? Ao wengine sio wa Tanzania acheni ubinafsi
@benhamza5649
@benhamza5649 10 ай бұрын
Baki hapo madarakani Hadi kifo, sitojali ikiwa kama unaendesha inchi vizuri na Hakuna vita na amani inatawala
@issazalala4907
@issazalala4907 10 ай бұрын
Nilisha sema adui wa African ni mwa frica mwenyewe 😂
@shaurisaidi7470
@shaurisaidi7470 4 ай бұрын
Swadacta maneno mazima
@mustaphamatelefone-lc9pr
@mustaphamatelefone-lc9pr 10 ай бұрын
Asante sana 🙏 🙏🙏
@mweyoms5548
@mweyoms5548 10 ай бұрын
Tatizo sio wao.Tatizo ni wale wanaondelea kuatamia uwepo wao madarakani.
@rogerslwitiko3915
@rogerslwitiko3915 10 ай бұрын
Binadamu anabadilika kwa kadri umri unavyo kwenda hivyo Viongozi wanaokaa muda mrefu Madarakani ndiyo inapelekea Ukengeufu wa Kiongozi maana anakuwa amekizoea Cheo au Kiti cha Uongozi
@safiaabubakar1120
@safiaabubakar1120 10 ай бұрын
Haipo sawa
@jackhans7708
@jackhans7708 10 ай бұрын
Kati ya pic hizi za viongozi mimi niachie huo watatu waliopo chini,ujue inshu sio kukaa muda mwingi madarakani ni unauzalendo kiasi gani?angalia china,urusi,iran nk ,yani tatizo linakuja kuna baadhi ya waafrica bado wanaamini kuwa ulaya ndio kunakilakitu,uzushi,
@alibinali_
@alibinali_ 10 ай бұрын
Paka leo African ni kama hatuja pata Uhuru 😢
@allahisone6386
@allahisone6386 10 ай бұрын
Nikweliiiii kbsaaaaaa
@izamahmasaki4795
@izamahmasaki4795 10 ай бұрын
Lugha ya vinganganizi inakujaje !!!? kiongozi was kiafrika waliokuwa na msimamo was kupingana na sera za kimagharibi akisimama kupingana na sera za wazungu kuweka vibaraka mnawaita vinganganizi lugha za manyangau!! ninyi waandishi nanyi ni wachonganishi na baadhi yenu ni vibaraka was media za magharibi ,, acheni undumila kuwili , kwani mnaacha kuandika taarifa nyingi za uchafu was hao vibaraka wenzenu mnabaki kusndika umbra na udaku ,, samaki nyie wababaishaji tu kuweni waafrika halisi na mpambanie uafrika wenu.
@josephmantago2837
@josephmantago2837 10 ай бұрын
Unatawale binadamu wenye akili na maarifa kwa miaka 30 huo ni ushetani hkuna tofauti na ukoloni
@brunoh_bx
@brunoh_bx 10 ай бұрын
Kama lengo ni kupingana na mataifa ya magharibi basi wawe wanaweka mifumo ili kila kiongoz atakaeingia awe anafuata mfumo huo na sio kuongozwa na mtu mmoja yaan kama vile hakuna wengine wenye uwezo wa kuongoza
@rashidyusuphwewenimtotowam1761
@rashidyusuphwewenimtotowam1761 10 ай бұрын
Umevuta bange kwahiyo wakifa hakuna wa kuendesha nchi tena na nchi inakufa.
@rwagasunzuibrahim8514
@rwagasunzuibrahim8514 Ай бұрын
​@@josephmantago2837Tatizo nikuelewa tu CCM ya Tanzania ina miaka mingapi? Kwa mfumo wawo wanabadiliaha Mgombea lakini utawala ni ulele haujabadilika tu kwani chama ni kimoja? FPR inamfumo wake wao wanapendelea kuweka Mgombea Umoja hio sio tatizo kwa Chama .Chama kikishindwa katika uchaguzi .Chama kimetawala kitaweka Mfumo wao katika Chama chao acheni kuwa munaingia katika Katiba za watu Rekwbesheni kwanza ya CCM
@abelhilonga1095
@abelhilonga1095 10 ай бұрын
Faida ya kusubscrbu
@user-bq9jt9uj7q
@user-bq9jt9uj7q 10 ай бұрын
Safi bro upo vizuri
@danielmkama24
@danielmkama24 10 ай бұрын
Sasa bro kwa mfano #Magufuli angekaa madarakan miaka 40 shida ingekuwa wap? Mie nafkr kikubwa ni uongoz bora na maslah ya wananch bila kujali muda wa kukaa
@user-ym5ui3ov1m
@user-ym5ui3ov1m 10 ай бұрын
Pole sana Kwa uwezo wako wakufikiri
@danielmkama24
@danielmkama24 10 ай бұрын
@@user-ym5ui3ov1m Na ww endelea kupinga kila kitu na uwezo wko mdogo wa kutofautisha.
@katunzijasson5410
@katunzijasson5410 10 ай бұрын
Hahahhhh dah sikupingi ila baada y muda usingesema hvyo pia pengine...mwache mwamba apumzike kamaliza kazi tyr
@danielmkama24
@danielmkama24 10 ай бұрын
@@katunzijasson5410 oky ila kaz hakumalza
@katunzijasson5410
@katunzijasson5410 10 ай бұрын
@@danielmkama24 nikweli sababu watu hufa na ndoto zilizo hai xo hata yeye kuna vtu alitamani kutimiza.....ila muda unavyokwenda zaidi uwezo upungua xo angekaa muda mrefu usio na kikomo kma hao ingekuwa shida nyngne kwa taifa
@tonnyford5782
@tonnyford5782 10 ай бұрын
Paul kagame and kaguta museven ni viongoz Bora sana hata kama wazungu hawatak
@moseskulola6913
@moseskulola6913 10 ай бұрын
Nazupenda sana makala.zoko.
@jotafungo4622
@jotafungo4622 10 ай бұрын
Niko na Wachina hapa wanasema hao ving'ang'anizi watoke
@meckcassius3983
@meckcassius3983 10 ай бұрын
Sio ving'ang'azi hakuna wa kuwaachia nchi
@adkajisi4536
@adkajisi4536 10 ай бұрын
Kwa kweli
@aftapat5365
@aftapat5365 10 ай бұрын
kwani akifa nchi itakufa
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 10 ай бұрын
Wanaishi peke Yao?
@zesootv6726
@zesootv6726 10 ай бұрын
Kwani broo sky tangu lini afrika ipo huru mbna mbona unawalaumu hao marais tuu wakat mbinu ya utawala wa afrika ni kama mutu mmoja anatawala muda mrefu basi kuna chama kinakuwa madarakani muda mrefu, Kwahyo broo sky naomba next time utulete nakala ya vyama vilivo uphold madaraka muda mrefu.
@user-bo1ew3xq6w
@user-bo1ew3xq6w 10 ай бұрын
Asanta sana mtangazaji wetu wa fuse tunafaidika sana.
@BigZhumbe
@BigZhumbe 10 ай бұрын
Fuse?
@haruniaisha5905
@haruniaisha5905 10 ай бұрын
Uyo sio yule wa fuse
@user-bo1ew3xq6w
@user-bo1ew3xq6w 10 ай бұрын
Okey.
@chikusangalala7759
@chikusangalala7759 10 ай бұрын
Vipi Tanzania,
@praisesamson8298
@praisesamson8298 10 ай бұрын
Kikwete kasahaulika na Ccm
@sad_Classic6
@sad_Classic6 10 ай бұрын
Proud of our Dad Paul Kagame🇷🇼
@mohammedmfamau43
@mohammedmfamau43 10 ай бұрын
If he is your dad no problem think the out of your family which are popular
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 10 ай бұрын
​@@mohammedmfamau43achana nae huyo Awe baba ake asiwe Mungu Yuko kazini ss anapita Kila Taifa
@ramadhanzakayo4232
@ramadhanzakayo4232 10 ай бұрын
Hawa viogozi hawawezi kufa na mali hata wafanyaje mungu yupo
@victorsanga2229
@victorsanga2229 10 ай бұрын
Ufaransa inaonekana ndiyo kinga ya marais ving'ag'anizi wa madaraka Africa.
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 10 ай бұрын
Hawa Yesu tunaomba wasimalize mwaka! Wafe tu
@mohammedmfamau43
@mohammedmfamau43 10 ай бұрын
Wazungu wamebadili zamani walikua wanampa mwafrica bunduki awasimamie wenziwe ikibidi hata kuwauwa huku wao wanachota mali .lkn ukoloni wa leo ndio hao wanavishwa suti huku wanapiga dili za kuuza rasilimali dhahabu na almasi wao wanapewa makaratasi ya kuprinti (fedha)tena kwa gharama finyu kabisa.
@ntibaali3865
@ntibaali3865 10 ай бұрын
Wote watatoka Allah ni mwenye uwezo
@barrynzeyimana6270
@barrynzeyimana6270 10 ай бұрын
Ubwenge sio Sanaa. Ubwenge ni Akili
@kingnass6410
@kingnass6410 10 ай бұрын
Tatizo si kukaa muda mrefu kwenye kiti tatizo maslahi ya mwananchi . Ukichukulia hivyo ufalme wa uengereza uondoke hawa wazungu wapo kuleta democracy Africa ila kwao hakuna hayo
@joesimba
@joesimba 10 ай бұрын
Ufalme wa uingereza ni constitutional monarchy, hawana mamlaka wale
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 10 ай бұрын
Unyonyaji kama bongo tu
@salvatoryelias3193
@salvatoryelias3193 10 ай бұрын
Mbona queen ekizabeth alitawala mpaka kufa kwake hii ipo vipi
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 10 ай бұрын
Kwani yule ni rais? Ule ni utawala wa kifalme tofauti na huu!
@user-zs5jj2xw5s
@user-zs5jj2xw5s 10 ай бұрын
16:40
@dorkasmsuya362
@dorkasmsuya362 10 ай бұрын
congo wanapenda kujichubua adi rais wao😄
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 10 ай бұрын
😂😂hii ni congo ipi?
@babafaida9719
@babafaida9719 10 ай бұрын
Hamjawahi kimuita mfalme wa uingereza au saudia kua ni king'ang'anizi kwanini hawa wakwetu ( AFRIKA) tena wakwetu wanapigiwa kura
@allthings1302
@allthings1302 10 ай бұрын
Naona Ufaransa inalink na hizo nchi zote
@deusntobi6682
@deusntobi6682 2 ай бұрын
Kaka hii uje uifanye kwa kizungu naamini itasikilizwa zaidi hata huko kwingineko.
@bakarinassoro5513
@bakarinassoro5513 10 ай бұрын
Mnapenda kuwadhalau waafrika mnashindwa kuazungumzia wazungu waliokaa madarakan mda mrefu waafrka tunamatatzo sana tena nmadkteta kweli
@selestinfrancis5904
@selestinfrancis5904 10 ай бұрын
Wapo,walikuwepo na watakuwepo wengine tuu
@shebemakey2349
@shebemakey2349 10 ай бұрын
Kagame na huyo museveni hao hata wakiongoza miaka buku
@user-dh7pt4bc4t
@user-dh7pt4bc4t 10 ай бұрын
ninapenda makala zenu sms
@ramadhanzakayo4232
@ramadhanzakayo4232 10 ай бұрын
Kuna mwegini Kenya anakuja hivi karibuni
@shabiruponera4323
@shabiruponera4323 10 ай бұрын
Hata western countries wapo ambo hawaachii ofisi
@joesimba
@joesimba 10 ай бұрын
Kama nani?
@shabiruponera4323
@shabiruponera4323 10 ай бұрын
Belarus,Hungary and many more
@johngerald4677
@johngerald4677 10 ай бұрын
Kazi kusingizia marekani
@matalo0551
@matalo0551 10 ай бұрын
Please badili title, mana kuwa madarakani Muda mrefu sio jambo baya, ubaya nikuwa na viongozi mapapeti ambao hawana uzalendo, please zungumzia nchi zilizowahi ingia mikataba fake ya kihaini na sio Marais hawa pendwa
@kunyaobelela4062
@kunyaobelela4062 10 ай бұрын
Kweli waafrika hatujapata ukombozi wa kifikra,,, nyie simulizi na sauti why can't you discuss your continent in a positive way? Ushawahi kusikia watu wa magharibi wanajadili nchi zao in a negative way? Sasa ving'ang'anizi then what, gujatoa pendekezo lolote hao unaowaita ving'ang'anizi wafanyweje... Tafteni vitu vinavyoleta manufaa kwa Africa ndivyo mlipoti kwavyo. Preach African unity ningekupa kongole
@shaameshaame9721
@shaameshaame9721 10 ай бұрын
wapinduliwe tu!!!
@nabugobafakhruddin794
@nabugobafakhruddin794 10 ай бұрын
Mbona ujamtaja nyerere bro
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 10 ай бұрын
👊✌👍.
@MsatiOne
@MsatiOne 18 күн бұрын
Nipo makini kuwasikiliza
@francismadoshi8529
@francismadoshi8529 10 ай бұрын
There is an exception to your point of view as far as Rwanda is concerned, P. Kagame took over after stopping a genocide in 1994. The massacre perpetrators are still hiding in the forests of the DRC, what do you say P. Kagame should do when the enemy hasn't laid down his weapon and is hiding in the next country just around the corner?
@user-tx3dh3de5o
@user-tx3dh3de5o 10 ай бұрын
Kagame didnt stop Genocide, he is the one who started genocide and killed milions of peoples, until now.
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 10 ай бұрын
​@@user-tx3dh3de5ohawezi kukuelewa!
@mubarakahussein9950
@mubarakahussein9950 10 ай бұрын
Africa bwana 💔
@celifpower4993
@celifpower4993 10 ай бұрын
Duuhh Frank bundala apa umeyakanyaga kwahii makala sababu wana sns wengi siku hizi wanafata sera za china na Russie na hizo nchii sera zao hazi mkatazi raisi kukaa madarakani mda mrefu
@sports007tv4
@sports007tv4 10 ай бұрын
Sky ila Gadafi usimtaje pamoja na hao wapuuz wengine
@user-ce6um4ty4i
@user-ce6um4ty4i 10 ай бұрын
Usiisahau ccm
@mohammedal7864
@mohammedal7864 10 ай бұрын
Mbona nyerere hujamtaja yy alitawala miaka michache eti 😂😂
@Hb_OnlineTv
@Hb_OnlineTv 10 ай бұрын
Mbona kila raisi amepigwa picha na raisi wa ufaransa AFRIKA 😂😂😂😂😂
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 10 ай бұрын
sioni tatizo lolote kama Kiongozi anaendelea kutawala lakini analeta maendeleo, suala sio kubadili uongozi , issue ni maendeleo, Kiongozi akiwa mzuri au chama kikiwa kizuri kuachia Nchi ni ujinga, Urais sio sehem ya majaribio, nawaunga mkono Viongozi wote wanaoleta maendeleo na kung'ang'ania madaraka hata kama kuiba kura
@techpoty
@techpoty 10 ай бұрын
"Ata kama kaiba kura" Bro jaribu kuwa serious kidogo
@LwaulaTshisekedi-to6nn
@LwaulaTshisekedi-to6nn 10 ай бұрын
Mobutu seseko alitakiwa ku wekwa kwenye oroza iyo ,miaka 32
@gibsdeveloperscompany7062
@gibsdeveloperscompany7062 10 ай бұрын
kati ya hao uliowataja ccm ndo nambamoja yao acha kutupumbaza sky
@shubebunyesi542
@shubebunyesi542 10 ай бұрын
Kama Raisi yuko madaraka ata akikaa Mika mia kama wananchi wanamaendeleo inatosha kuwa kiongozi wa milele shida ni kwamba unakaa madarakani Mika mingi maisha magumu kila uchwao apo ndio shida inapoanza japo binadamu hawana shukurani gadafi walimuua kisa uchu wamadaraka walitaka na wao waonje uongozi lkn hakuwa na shida ya maisha
@alimuhamed1830
@alimuhamed1830 10 ай бұрын
Sio tatizo kukaa mudamrefu tatizo nimaeneleyo wengine wanakaa kwamudamrefu kwamanfaa yaowenyewe nasio wanaowaongoza
@saxenaofficial4168
@saxenaofficial4168 10 ай бұрын
Sky unajua mpaka unakera
@honestmsigwa920
@honestmsigwa920 10 ай бұрын
Inatakiwa uongelee na vyamavya siasa vilivyokaa muda mrefu madarakani barani Afrika ili tujue vyema.
@azizibaraka5114
@azizibaraka5114 10 ай бұрын
Mbona aushangai markia kutawala mpaka umauti ulipo mkuta
@abrahmanabdallah8479
@abrahmanabdallah8479 10 ай бұрын
🇴🇲
@shurayabiira458
@shurayabiira458 10 ай бұрын
I wish Kagame was the president of my country Uganda
@chidiomari.65
@chidiomari.65 10 ай бұрын
🇫🇮🇫🇮🤝
@sponsor7882
@sponsor7882 10 ай бұрын
Ndio tatizo ya waafrika
@ElogbneyoBreezy-yz4vq
@ElogbneyoBreezy-yz4vq 10 ай бұрын
Pierre nkurunziza nae alika kidogo
@zulfahussein6784
@zulfahussein6784 10 ай бұрын
Subutu alikaa mda wakutosha kachukuwa miula miwili yote
@NOORMOHAMED-sg9lo
@NOORMOHAMED-sg9lo 10 ай бұрын
Tangaza kujikomboa kumalizia kazi ya wakoloni na maadui Sio kuongea uchu wa kutaka uongozi Uliowataja wengine wapo vizuri sana kushika nchi na heshima yake Mbona hauhimizi kuungana kwa umoja wetu na urusi???? Upuuzi
@dandara008
@dandara008 10 ай бұрын
1.malaka hii iko biased !!! sio vinga’nga’nizi mfumo wa democracy ni mfumo wa ki capitalism African baada ya kua liberated ilikua katika mfumo wa socialism mfumo ambao 🇷🇺 na 🇨🇳 bado wanautumia adi leo hii capitalism ni mfumo ambao una divide people sio sawa na socialism angalia mfano china na russia ni ngumu izi inchi kupata civil wars/ au machafuko ya ndani kutokana na mfumo unaotumika kuongoza nchi ko . 2. sema faida na hasara za mifumo hii ni tofauti tuangalie faida ya socialism katika misingi ya kiuchumi mfano BRICS ni mfumo wa kifedha utakao husisha inchi nying tofauti na dollar mfumo ambao unatak dolla pekee itumike kwenye miamala ya kimataifa ila pia ukija kwenye democracy mfumo wa ki capitalism una faida kutokana na reputation ambayo imejishikiza lakin socialism haina mvuto kwa sababu ya dictatorship reputation. ila mfumo ni mfumo
@danielmkama24
@danielmkama24 10 ай бұрын
Ulikuw na haja ya kuelezea zaid maana ulikoishia ni kama umehama mada husika
@francismadoshi8529
@francismadoshi8529 10 ай бұрын
Hebu jiulize, Kagame akitoka na migogoro na fujo alizozima Rwanda, uchafu utazuka tena maana maadui wa Watusi wote walikimbilia Congo na mpaka sasa ndiyo wanaanzisha migogoro mara kwa mara kule DRC. Kagame abaki hapo tu mpaka uwepo uwezo wa kukaa na amaani hapo Rwanda!
@muuminikidunda9214
@muuminikidunda9214 10 ай бұрын
Mtazamo wangu sioni tatizo raisi kukaa muda mrefu kama analeta maendeleo.Mbona China, uingereza ufalume, urusi na zipo nchi nyingi kwa mfano hata hayati Gadafi Ali leta maendeleo Libya kwa kukaa muda mrefu
@izamahmasaki4795
@izamahmasaki4795 10 ай бұрын
Good
@izamahmasaki4795
@izamahmasaki4795 10 ай бұрын
Tatizo no waandishi wetu ndyo vibaraka , wanajali Hela kutoa habari na siyo taaluma zao
@geraldyona5597
@geraldyona5597 10 ай бұрын
​@@izamahmasaki4795kwamba Fred Bundala amepewa ela mbn vngne viko wazi hataa uwe mzuri vp huwez kukaa madarakani kwa zaid miakaa 30 hmn kitu kma hichoo... A good dance know what a time to leave the stage
@allywilson4155
@allywilson4155 10 ай бұрын
Wote hao wanatakiwa kupinduliwa na wana jeshi vijana…
@jiwekichwa2857
@jiwekichwa2857 10 ай бұрын
Please tuandalia list ya vyama vya kisasa vilivyo kaa madarakani kwa mda-mferu barani Africa.
@mukhtar805
@mukhtar805 10 ай бұрын
😂😂😂
@junioroloo5752
@junioroloo5752 10 ай бұрын
😂😂ccm
@husseinkazungu5101
@husseinkazungu5101 10 ай бұрын
Hawa pia watakwenda mda ukifika
@maase2023
@maase2023 10 ай бұрын
Ss ww mwandishi ushauri ni upi wapinduliwe au
@limitexitonlyinthemind6579
@limitexitonlyinthemind6579 10 ай бұрын
🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼❤
@ramosfally2318
@ramosfally2318 10 ай бұрын
kwani congo ziko ngapi? noamba kujuwa jamani.drc ya shisheked ndio ipi?
@orym4447
@orym4447 10 ай бұрын
Sky jaribu kujua historia za nchi na nchi. Ubabe wa Tanzania kupitia ccm hujawahi tokea Africa. Hiyo report ya kizungu kuwachochea waafrica. Mbona China raisi wao ni wa Milele! Acheni kusoma report za wazungu
@ramadhanibahati2829
@ramadhanibahati2829 10 ай бұрын
Kwani kutawala muda mrefu ndiyo udikteta? China wana rais wa kudumu, lakini inatawala dunia Uongozi bora ndilo Jambo la msingi
@FurahaEliya-df5fo
@FurahaEliya-df5fo 10 ай бұрын
Congo ina Marais wangapi?
@user-rg5sg1xz8p
@user-rg5sg1xz8p 10 ай бұрын
Ina takiwa nawao watie maji maaaan mfano wamesha uona kwa mwanaume traore
@SM-fu1yv
@SM-fu1yv 10 ай бұрын
Na huwa hawachoki
@himidiwekabuje8402
@himidiwekabuje8402 10 ай бұрын
😅😊😊
@user-kt1si2jn3o
@user-kt1si2jn3o 10 ай бұрын
Kitawaramba
@baloziubalozini5074
@baloziubalozini5074 10 ай бұрын
Mu7 atakuja kupinduliwa miaka si MINGI
@jumasaleiman
@jumasaleiman 10 ай бұрын
Bundala ukubali tizama nchi yako piya tanzania ccm wanaumiza watu sana wanabadili raiss tuu ccm ila chama ndio hichohicho ccm imeiyumiza sana zanzibar na wa watu wa zanzibar utizame hilo saivii wameyanza kuiyumiza tanganyika
@shurayabiira458
@shurayabiira458 10 ай бұрын
Museveni 😂😂😂
@petrojacob3509
@petrojacob3509 10 ай бұрын
JPM Alikuwa mzalendo
@hassangaddafi2347
@hassangaddafi2347 10 ай бұрын
Viva Putin viva African ❤❤ 🔥🔥🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺💪💪💪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@AristidesJustin-ik7lc
@AristidesJustin-ik7lc 10 ай бұрын
Tuangazie pia vyama g'ang'anizi
@hastatz
@hastatz 10 ай бұрын
Kwetu ccm imegoma kung'oka
@FurahaEliya-df5fo
@FurahaEliya-df5fo 10 ай бұрын
Hivi wazungu walishindwa kusubiri MAGUFULI amalize miaka 10 tu.
@haruniaisha5905
@haruniaisha5905 10 ай бұрын
Kwanini usiongelee nchi yako
Mama vs Son vs Daddy 😭🤣
00:13
DADDYSON SHOW
Рет қаралды 39 МЛН
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 9 МЛН
БАБУШКИН КОМПОТ В СОЛО
00:23
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 16 МЛН
Iron Chin ✅ Isaih made this look too easy
00:13
Power Slap
Рет қаралды 35 МЛН
Wafahamu Nyoka 4 Hatari na wenye sumu kali zaidi wapatikanao Tanzania
14:21
Lava Lava - Tuachane ( Official Music Video )
4:05
Lava Lava
Рет қаралды 23 МЛН
Netanyahu's Speech | News on The 700 Club - July 25, 2024
17:56
WATCH: Trump speaks at Turning Point USA event summit | LiveNOW from FOX
58:18
Mama vs Son vs Daddy 😭🤣
00:13
DADDYSON SHOW
Рет қаралды 39 МЛН