ALI BONGO ONDIMBA: RAIS wa GABON aliyepinduliwa, ameitafuna nchi bila HURUMA, alianza BABA yake

  Рет қаралды 120,643

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti

Пікірлер: 219
@ndikumanaismail5419
@ndikumanaismail5419 Жыл бұрын
We so happy about new change in Africa we tired 😫 😩 about old generation we need new generation now
@Mbeyaconscious
@Mbeyaconscious Жыл бұрын
Kikubwa Mapinduzi Hayo Yasiwe Ni Uroho Wa Madaraka 🙏🏼🙏🏼
@georgerichard4902
@georgerichard4902 Жыл бұрын
Uwe unasikiliza kwanza unaelewa ndo uncomment
@IsaacParuz
@IsaacParuz Жыл бұрын
Proudly sns Asanteni sana sns Kwa kutujuza mambo ya msingi sana
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 Жыл бұрын
Mwenyezimungu atusamehe na atuepushe na Tamaa na kuwadhurumu watu,,mungu akikuteua kama kiongozi kuwa muadilifu mana Kuna kesho,,eeh mola tusamehe mazambi yetu sisi waja wako wadhaifu na utupe mwisho mwema sisi na vizazi vyetu innshaala
@Muda27
@Muda27 Жыл бұрын
Amen.
@FatumaMuya
@FatumaMuya Жыл бұрын
Amiin
@nasrinairi9556
@nasrinairi9556 Жыл бұрын
Hii Safi Sana. Pongezi kwa Maamuzi Hayo Kwa Niaba ya Wananchi Wanyonge kwenye Nchi Yao. ✊🔥
@redockbracard9455
@redockbracard9455 3 ай бұрын
We're so happy with our lovely new generation African leaders
@bish_daddiyao
@bish_daddiyao Жыл бұрын
Mungu Ikomboe Afrika🙌🏾❤️🇰🇪
@anosiata8242
@anosiata8242 Жыл бұрын
Mimi napenda nchi wanajeshi wanaojimbua. Safi sana wanajeshi Gabon.
@shubebunyesi542
@shubebunyesi542 Жыл бұрын
Ndugu pale Gabon hakuna mapinduzi ila kuna bifu ya kifamilia kwann kaka uanakula peke yako na cc tunataka kwaiyo apo hakuna mabadiliko yyte bali ni bifu za kifamilia kwamba upande flani unanufaika kuliko we jiulizie maransa anapiga kelele au marekani c unawaona wako kimyaa manake wao hawakuguswa wanaendelea kula so hakuna shida kwao c umeiona Niger usaransa kakataa kuondoka kisa haitambui serikali basi ya gaboni ataitambua coz haijagusa wala kutishia maslai yake sasa apo utasema mapinduzi au wanagombea ulaji ,, ndugu Sio kila mapinduzi lengo lake Uzalendo hapana kikundi kiomoja kinaona wenzao wanakulakeki ya taifa pekee so na cc tuingie tule lkn c kwaaajili ya maslai ya taifa wala wananchi cjui umenielewa
@kalebphilip3426
@kalebphilip3426 Жыл бұрын
Familia moja imeikula Gabon kwa miaka 55,hvyohvyo na ccm yetu imeitafuna nchi Ni vle wanabebwa tu na katba Ila utafka tu wakat wa Mungu maana malipo Ni hapahapa dunian
@allyhassan7169
@allyhassan7169 Жыл бұрын
Mwanajeshi wa kweli na mwanamapinduzi mzalendo hapa kwetu alikuwa hayati maqufuli bahati mbaya alikuwa jeshi la mtu mmoja aliyejitolea uhai wake kwa kuwatetea wanyonqe wa Tanzania kutoka raslimali zao tunaimani ukombozi wa Africa utaenea bara lote dhidi ya mabeberu na vibaraka wao wote
@Halfanhemedi-ec2cp
@Halfanhemedi-ec2cp Жыл бұрын
kamtetea nani kajitetea mwenyewe mi anayenitetea ni aliyeniumba tu
@rogerslwitiko3915
@rogerslwitiko3915 Жыл бұрын
​@@Halfanhemedi-ec2cpUpo sahihi Bro Wazalendo wa kweli walikuwa ni wakina Mwl.Nyerere, Thomas Sankara,Colonel Muammar Gadaffi,Kwame Nkrumah,Gamal Abdel Nasser,Patrice Lumumba na Ahmed Ben Bella wengine waliofuata ni Wachumia matumbo yao
@Halfanhemedi-ec2cp
@Halfanhemedi-ec2cp Жыл бұрын
watu wengine akili mchwa
@rogerslwitiko3915
@rogerslwitiko3915 Жыл бұрын
@@Halfanhemedi-ec2cp Hakika Mtaalamu
@lucasngalawa8826
@lucasngalawa8826 Жыл бұрын
Binafsi mimi magufuli kwangu ni shujaa❤❤❤❤
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 Жыл бұрын
Asante sana my brother from another mother
@Muda27
@Muda27 Жыл бұрын
Mioyo inaumia,tunasikitika,tunateseka ila Mungu anasikia kilio chetu..muda wa Mwenyezi Mungu ndio muda sahihi.
@lilianambokile6832
@lilianambokile6832 Жыл бұрын
Kabisa
@rogerslwitiko3915
@rogerslwitiko3915 Жыл бұрын
Wanajeshi wanaojua wajibu wao kwa nchi zao Mungu awaongoze na wao wasiwe km Watangulizi wao
@allymtunge5530
@allymtunge5530 Жыл бұрын
Asante kaka skay kwa makala nzur sns ninatuabalisha vizur
@jassonnelly3445
@jassonnelly3445 Жыл бұрын
Nchi yetu sis watu hawana mda wame umbea na udaku baasi kuwaza vitu vya msingi hakuna
@allymwilu8089
@allymwilu8089 Жыл бұрын
Kwakweli tunaangamia😂😂😂😂
@salimalaquimane3077
@salimalaquimane3077 Жыл бұрын
Jeshi Lina taka sale zao tu😅😅😅😅
@rogersiddy
@rogersiddy Жыл бұрын
​@@salimalaquimane3077ndo wanachokiona chamuhimu kuliko vyote lkn hili wanalofanya wenzao wala hawalioni kuwa lamuhimu zaidi ili kuwasaidia wananchi na kuisaidia nchi pia
@rahmahersi6584
@rahmahersi6584 Жыл бұрын
Asante kwa Historia....
@msangodiesel3132
@msangodiesel3132 Жыл бұрын
❤kwa brog yenu kwa uchambuzi mzuri na hasa jamaa namwelewa Sana ❤ djsma kupasua brog za umbea tupa kule mbelembele
@MrNoNonsenseYes
@MrNoNonsenseYes Жыл бұрын
Blogg*
@msangodiesel3132
@msangodiesel3132 Жыл бұрын
@@MrNoNonsenseYes sawa nimekuelewa
@emmanuelmwakibolwa735
@emmanuelmwakibolwa735 Жыл бұрын
Tamaa ni kitu kibaya sana. Fikiria mtu ungekwapua uchumi wote wa nchi. Ni maisha yepi hayo utakayoishi ambayo ni tofauti na maisha ya mwanadamu? Kumbuka sote tunakula, tunaugua, tunalala, tuanakufa. Kama ni chakula ni kile kile tu, kama ni wali ni ile ule, kama ni nyama ni ileile, kama mbuzi ni wale wale tu, kama ni kuku ni wale wale tu, tena wa kienyeji ni watamu zaidi, tena usipokula mboga mboga za majani unatafuta matatizo, je kuna wali wa dhahabu, kuna nyama ya tanzanite! Je, kuna pizza za almasi? Je, au ni sahani na vijiko vya dhahabu? Ndio tuite tunakula maisha??? Ni nini tukikila tunakuwa tofauti na wanadamu wengine?? Au tukisafiri sana Ulaya au America tunakuwa tofauti kivipi? Je, afya yetu itabadilika? Au hivyo tutakavyoviona huko vinatuongezea nini maishani? Au tukiwadhulumu wananchi na kuwaibia kwa ufisadi tunatofautiana vipi nao?? Je, kufa kwetu kutatofautiana? Je, hao hawatazikwa na kusahaulika kama wengine tu??? Je, kuiba uchumi wa nchi nzima kumemsaidiaje kiafya??? Mbona mguu wake mmoja umeshakufa angali yu hai??? Pesa alizoiibia Gabon zimemsaidia nini?? Mbona anatetemeka na kuweweseka tu??? Pesa imemsaidia nini??? Mbona aliowaibia wananchi maskini wana afya zao wanadunda vizuri tu??? Fahari iko wapi?? Wananchi Aliowaibia na yeye, ni nani aliye nafuu??? Japo wengi wamelala njaa mara kadhaa, lakini tofauti yao na huyu rais ni nini kwa sasa??? Tumwogope Mungu! Mungu anapotupa nafasi za juu kama hizo ni ili tuwatumikie wananchi sio, tutumikie matumbo yetu!!!! Aibu huwa haiwagi mbali itawapata tu siku moja!! Hata wangeficha mabillioni ya dollar nje ya nchi, hawawezi kukwepa aibu na kifo. Siku ikifika wala hizo pesa hazitawasaidia kabisa. Aibu ya mwisho inakuwaga ni mbaya kuliko utukufu wao waliojipatia walipokuwa madaraka ni!! Tumwogope na kumheshimu Mungu!!!
@BrunoEmanuel-h1d
@BrunoEmanuel-h1d Жыл бұрын
Bro your the best story teller
@victormalelemba4324
@victormalelemba4324 Жыл бұрын
Mungu ibariki africa yajayo yanafurahisha kinachofuata nchi zote viongozi ambao ni mafisadi wapinduliwe
@esternjauzi6310
@esternjauzi6310 Жыл бұрын
Nakupendaga we kijana simulizi zako asante kwa taarifa nzuri
@thomsanga7956
@thomsanga7956 Жыл бұрын
Makala nzuri sana aisee 👏🏿👏🏿
@emanuelyigwira2511
@emanuelyigwira2511 Жыл бұрын
Bro wewe ukiweka sauti yako ktk simulizi Aise u sound so professional, sound track iko poa sana
@JumaSalum-r3g
@JumaSalum-r3g Жыл бұрын
Noma
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Жыл бұрын
Familia 1?? 1963 mpk 2023?🙌🙌🙌😩😌Lord have mercy 55 yrs???? Nyie noma aiseee
@Callkingb
@Callkingb Жыл бұрын
Kazi nzuri sky na mtayalishaji
@SaimonKazimoto-xt1zo
@SaimonKazimoto-xt1zo Жыл бұрын
Kweli kaka lakini kumbuka atujui anavo waalika malafiki zake kitatokea Nini ila namalizia Afrika bara tajiri sana ila imekua ni mladi mkubwa sana kwa wazungu wanafulai kuona tuna uwana waafrika wao wanatumia nafasi iyo kuiba Mali zetu sio sawa inauma sana mungu ibariki gaboni isitokee vita tuiombee gaboni
@khadijarashidy9304
@khadijarashidy9304 Жыл бұрын
Kwani sky hajawahi kupata tunzo ya mtangazaji bora wa TANZANIA jamani dah!
@zainabwage4658
@zainabwage4658 Жыл бұрын
Anastahir kwer ipo sk atapata tu
@libetztanzania-kiswahilina2845
@libetztanzania-kiswahilina2845 Жыл бұрын
Kwani Bongo familia Kama za BONGO OMARI MBONA ZIPO NDO ZINATAFUNA KEKI YA TAIFA.KILA MMOJA ATAKULA KWA UREFU WA KAMBA YAKE😢😢😢😢
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@libetztanzania-kiswahilina2845
@libetztanzania-kiswahilina2845 Жыл бұрын
@@christinewomanoffaith5479 BABA RAIS MSTAAFU, MAMA MBUNGE , MTOTO MBINGE NA WAZIRI SASA KUNA TOFAUTI GANI HAWA WATANZANIA NA FAMILIA YA MSEVENI AU KAGAME 🤣🤣Tanzania mnawafaham mpaka wakww
@jacobmlumbe6653
@jacobmlumbe6653 Жыл бұрын
Bro una jua sana
@mwamudaniel7912
@mwamudaniel7912 Жыл бұрын
Message well sent
@tizzyboy7745
@tizzyboy7745 Жыл бұрын
Obrigado por esta vídeo brw
@jeffyasin2977
@jeffyasin2977 Жыл бұрын
Sometimes najiuliza sana hivi watu hawaridhiki mbona ukiwa unakula vzr unafamilia unaweza kula utakacho na kwenda popote inatosha sio lazima uwe na mabillion peke yako dah maisha yenyewe haya ya kupita tu mbona me nashangaa sana kwa kweli asee sijawahi kuelewa watu wanatamaa gani kwenye haya maisha
@davidmarik4633
@davidmarik4633 Жыл бұрын
Binadamu aridhiki ata apewe nni tumeumbiwa Tamaa nikurudishe nyuma kilocho waponza Adam na Eva ni Tamaa kwahyo ata uwe bilione wa namna gani Bado tuu autaridhika
@lalesmhina5090
@lalesmhina5090 Жыл бұрын
​@@davidmarik4633uhakika
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Жыл бұрын
Aisee haina tofauti na uganda,looo🙌🙌
@yayananajota5838
@yayananajota5838 Жыл бұрын
Pls God make thing happen in est Africa, in Indian Ocean pls pls🙏🏽🙏🏽🙏🏽🌊
@shabiruponera4323
@shabiruponera4323 Жыл бұрын
Uganda munakwama wapi😂😂
@ThomasMaico-wm4or
@ThomasMaico-wm4or Жыл бұрын
Asanteee sana sns mnatoe elimu ya bure 🙏🙏
@hamoudcreator6343
@hamoudcreator6343 Жыл бұрын
Asingepinduliwa, NAAMINI hizi makala za Leo, tusingezipata🥴🥴
@RamazaniMulongeca
@RamazaniMulongeca Жыл бұрын
Ahsante sana #Sky Na #360... we are together 😊
@georgeoketch9027
@georgeoketch9027 Жыл бұрын
The Same should b e done in Kenya
@LevisMk
@LevisMk Жыл бұрын
Yaani mi nasema je nchi zetu nyingi za afrika zinaita kufanyiwa hivyo,maana marais wengi wa afrika wamejifanya miungu watu kutaka kutawala milele tena kwa matumizi mabaya ya madaraka kwakutujali raia wanaowaweka madaraka,mi naona mapinduzi yaanedelee tu labda wengin akili zinaweza kuwasogea
@aminishebwana8660
@aminishebwana8660 Жыл бұрын
Simulizi nzuri kuliko Dj sma.
@mdl6463
@mdl6463 Жыл бұрын
Tatizo africa nzima na mimi nikiwemo ni wapumbafu sana Kuna familia zinajifanya kama hawakukopeshwa school fees na serikali wanapata hela wasahau walikotoka usengerema kabisa upo 😅😅😅😅
@renatusrevocatus3895
@renatusrevocatus3895 Жыл бұрын
😄😄😄😄😄😄
@isaacgwams8080
@isaacgwams8080 Жыл бұрын
Kaka tunashukuru sana kwa habari hii,
@ShabanHamis-s6h
@ShabanHamis-s6h 2 ай бұрын
Yuko wapi sasa fanya ufanyavyo Ila mungu anakusubiri
@Bama959
@Bama959 Жыл бұрын
Bro Sky tunataka makala ya utawala wa kikwete nayo pia maana hata yeye ni kama huyu mamba Bongo.
@ahmuhally4430
@ahmuhally4430 Жыл бұрын
Mambo hayo azungumzie Mtangazaji wa Nchi nyingine ila yeye atafunguliwa mashtaka
@zainabwage4658
@zainabwage4658 Жыл бұрын
Umtakii mema sky 😂😂😂
@khadijazungu8627
@khadijazungu8627 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 labda azifanye kisha azitume kwa mtu wa nchi nyengine aichambuwe tena huyo mtu awe msiri wake hivi hivi watamuuwa paleeeee
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 Жыл бұрын
Haswaa maana lilikuwa jizi kweli kweli hilo jamaa
@BonnyMwajombe-iu7hb
@BonnyMwajombe-iu7hb Жыл бұрын
​@@salmaalimusa6809 salma Acha hila hata wewe upate urais utakwiba tu ,
@lindidistrictcouncilchanne2671
@lindidistrictcouncilchanne2671 Жыл бұрын
Napendeleza Mr Bundala nakala hizi kuziita nyuzi 360
@LevisMk
@LevisMk Жыл бұрын
Hongera kwa wanafanya mapinduzi safi sana
@Gody360
@Gody360 Жыл бұрын
Wapigaji wote wapigwe chini
@pmctv787
@pmctv787 Жыл бұрын
Bundala we ni noma
@tatujuma8781
@tatujuma8781 Жыл бұрын
Toeni izo takataka uku afrika
@MuliraRobert-h5d
@MuliraRobert-h5d Жыл бұрын
Good history!!
@sponsor7882
@sponsor7882 Жыл бұрын
bado uganda na rwanda
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Жыл бұрын
Kwakweli Nao wajanja Wameweka watt wao kwenye wizara za ulinzi ,ila ipo siku
@hassangaddafi2347
@hassangaddafi2347 Жыл бұрын
Viva Putin viva African ❤❤ Kitawaramba wote fibaraka Viva African 🇷🇺🇷🇺🇷🇺💪🇰🇪🇰🇪
@MrNoNonsenseYes
@MrNoNonsenseYes Жыл бұрын
Vibaraka*
@monicahovda5890
@monicahovda5890 Жыл бұрын
Yaani Africa imejaa vibaraka SiO Viongozi Bali ni vibaraka na masrahi Yao. Hata Tanzania Bongo wapo Vibaraka Bara lote hili
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Жыл бұрын
Kenya afadhali, Uganda je?
@jotafungo4622
@jotafungo4622 Жыл бұрын
Safi sana wajeda
@yohanalemaiyan3076
@yohanalemaiyan3076 Жыл бұрын
Absolute power corrupt absolutely!...mchenzi bila ubongo!...!
@moseskulola6913
@moseskulola6913 Жыл бұрын
Nakukubali sana makala zako ..uzidi kututiha raha
@ericknyalusi2579
@ericknyalusi2579 Жыл бұрын
Much appreciated bro for good Documentary
@AndrewPaul-wy6qq
@AndrewPaul-wy6qq Жыл бұрын
Babukubwa sky💪✊
@vidomwape7768
@vidomwape7768 Жыл бұрын
Ndio saut sasa.❤
@Abelyjohn-b5l
@Abelyjohn-b5l Жыл бұрын
Jeshi letu la Tanzania limezubaa sana, ndiyo maana wengine Wana mavitambi mpaka raisi wao anawashangaa
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 Жыл бұрын
Dah! Ingekuwa Dunia Inadumu tungeshakufa masikini sote.
@mohamedismail2662
@mohamedismail2662 Жыл бұрын
Makala nzuri sana
@musaakida9951
@musaakida9951 Жыл бұрын
Bado bongo 😢😢
@moxasaidi3398
@moxasaidi3398 Жыл бұрын
Hata tanzania miaka 63 sasa ipo na chama kimoja kinachoendeshwa na muengereza rasilimali zote zipo chini yao kabla kupata uhuru tanzania mpaka leo hii tumefunga nao mkataba
@KhalifaMkali
@KhalifaMkali Жыл бұрын
Bundara unajua saana sio kama yule chalii wa fuse.... 😃😃😃😃 Big up brooh
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 3 ай бұрын
Jana niliskusa mahojiano Na TBC huna baya kk
@luckymsomba4818
@luckymsomba4818 Жыл бұрын
ifike kipindi nchi ziwe zinaendeshwa na makamanda sio hawa kuku wa kisasa waliokalia ikulu.yaan rais hawezi hata kujitetea mwenyewe halafu eti ndio amri jeshi mkuu.mfalme inabidi ajue kuipigania nchi yake
@jumaothman5019
@jumaothman5019 Жыл бұрын
Tuma hiyo link ya pandora makala
@samuelkimaniwanjiru3343
@samuelkimaniwanjiru3343 Жыл бұрын
Huyu na Uhuru Kenyatta Ni same
@vidomwape7768
@vidomwape7768 Жыл бұрын
Sns muwe mnasoma comment zetu basi yule jamaa ambae anaita Dj hatumuelew kitaan kwetu imekuwa gumzo saut yake hatujaipenda,
@peninacharles9757
@peninacharles9757 Жыл бұрын
Sky ♥️♥️❤️
@silvanuskisinza4303
@silvanuskisinza4303 Жыл бұрын
Hakuna jipya unalojaribu kutuambia hapa nikiongozi gani wa Africa unaweza kumtofautisha na huyu bwana? Huo ndo mfumo wa watawala wa Africa. Angalia uganda zimbabwe kongo zote. Cameroon angola etc. Hakuna jipya hapo.
@herbertygeofrey2724
@herbertygeofrey2724 Жыл бұрын
Akaimbe muziki si alikuwa msanii uyo alii bongo
@zainabwage4658
@zainabwage4658 Жыл бұрын
Tena amapiano zitamtoa tu 😂😂😂
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Жыл бұрын
Eti hajui mtt wake wa kiume alipo wala mkewe! Wamwachie na familia yake akafie mvele huko Apigwe exile apelekwe nchi nyingine! Hizo mali huko ufaransa zipigwe bei pesa irudishwe Gabon
@allymwilu8089
@allymwilu8089 Жыл бұрын
Mmbwa kabisa hawa piga risasi za kichwa wote wakajibie kuzimu huko😂😂😂
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 Жыл бұрын
Babaake mnigeria bongo sio baba yake mzazi
@RobertUledi
@RobertUledi Жыл бұрын
Natamani ingekuwa Tanzania 🇹🇿 ningefurahii sanaa sio kwa maisha hayaa
@sebastianmwantuge5597
@sebastianmwantuge5597 Жыл бұрын
Tanzania labda Wananchi tufanye hivyo lakini kwa mfano wa Gabon, Burkina Faso,Niger usitegemee uchawa umetawala
@tatujuma8781
@tatujuma8781 Жыл бұрын
Mmhh si heri kwenu..njoo kenya uone maxingaombwe
@anordgerison8639
@anordgerison8639 Жыл бұрын
Tatizo la BONGO hupenda kufuatilia matatizo ya watu wengine sawa alikuwa fisadi "Mbona nyie kwenu kwenye nchi yenu ufisadi n mkubwa na hamjawahi kutolea makala 😂😂, ESCROW EPA etc , na kila siku Mama Ana lalamika na Wala hamumsaidii kuibua hizo kashifa 😂😂😂😂😂😂😂 Aya bana n maoni yangu
@victaboy7273
@victaboy7273 Жыл бұрын
Fact
@djoe8266
@djoe8266 Жыл бұрын
Wapo watu wanazungumzia hii serikal uwoni kinacho watokea
@anordgerison8639
@anordgerison8639 Жыл бұрын
@@djoe8266 ndio hapo Sasa ... Kama mmeshindwa kuzungumzia UFISADI na RUSHWA kwenye nchi yenu kaeni kimya kuzungumzia UFISADI na RUSHWA kwenye nchi za wengine b🙄🙄🙄
@khadijarashidy9304
@khadijarashidy9304 Жыл бұрын
Mnaotaka atoe makala ya nchini kwetu ili afungiwe au muacheni sky
@joshuajereman7510
@joshuajereman7510 Жыл бұрын
Tanzania siyo huru
@AishaSalaga-rv7sb
@AishaSalaga-rv7sb Жыл бұрын
Where is dj Sam kuja hapa Bundara is at work,,,,u need to learn from him
@lilianjeremia1024
@lilianjeremia1024 Жыл бұрын
Yaan waafrica n huongozi jmn dah bdo museven
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Жыл бұрын
Mshenzi sn
@MalamshaSaid
@MalamshaSaid Жыл бұрын
Nakupata mkuu
@leoncebenjamin8107
@leoncebenjamin8107 Жыл бұрын
Kama hapa bongo
@nestor384
@nestor384 Жыл бұрын
Ilipaswa kufanyika A/Mashariki pia tuna viongozi waajabu sana Wananchi tunalazimishwa mkataba wa DP World ilhali tumeshaukataa!!
@johnphilipo6760
@johnphilipo6760 Жыл бұрын
Hii story ita-hadithiwa tena mwaka flan kuhusu Tz (nipo nimekaa pale)
@makenaOG
@makenaOG Жыл бұрын
Endelea kukaa lakini ujue haitakuja tokea
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 Жыл бұрын
​@@makenaOG😂tulivo waoga akaaaa
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Жыл бұрын
Bila kusahau Uganda
@mussakiziyzi408
@mussakiziyzi408 Жыл бұрын
Ana asili ya Bonqo nin ?
@mwajumabinwa604
@mwajumabinwa604 Жыл бұрын
huu nihukoo waajabu 😩😱😱
@rogersiddy
@rogersiddy Жыл бұрын
Sio GABONI TU hii hali ya kukatwa mawasiliano siku ya matokeo ya uchaguzi hata kwetu ilitokea 2015 ili waibe vzr kula watangaze matokeo yao ya uwongo
@ndikumanaismail5419
@ndikumanaismail5419 Жыл бұрын
He must be arrested Ali bongo Gabon 🇬🇦 is not kingdom no or Africa is not kingdom one family must be finish all the country we saying never never never the must put all family in side jail
@hallin9561
@hallin9561 Жыл бұрын
wanajeshi wetu wapo bize kuwakamata watu waliovaa magwanda ya jeshi
@monicahovda5890
@monicahovda5890 Жыл бұрын
😅😅😅😅😅. Wana uyaga uyaga Mwingi Yaani wamejawa na usingizi wa ujinga. Stupid,dum. Kwani Mabadiliko ya Nchi Jeshi linausika kuweka nchi kwenye mustakabali wa Taifa bila kumwaga Damu æ. Pindi pale Wananchi hawajalidhia uongozi
@sekiondowarema1786
@sekiondowarema1786 Жыл бұрын
SNS, ni wachambuzi mubashara..Hongereni ila hizi habari c za Gabon pekee ni kila taifa la Afrika linatamani ivo.....😀
@albertinamichael6123
@albertinamichael6123 Жыл бұрын
Kama ilivyo Tanzania kwa sasa baada ya Nyerere.
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Жыл бұрын
👊✌️👍.
@AshaHillal
@AshaHillal Жыл бұрын
Kwa hiyo huko kwasasa wote huko nimatajiri?
@charlessikoi1657
@charlessikoi1657 Жыл бұрын
@givenmalatu4146
@givenmalatu4146 Жыл бұрын
Hivi kwann mnajua madhaifu ya mshikaji baada ya kupinduliwa
@hamzamussa7081
@hamzamussa7081 Жыл бұрын
Kuna makala kibao za zamani youtuber kadhaa walishafanya kumuhusu
@mtindikoja8837
@mtindikoja8837 Жыл бұрын
Gaboni nifamilia yabongo, huku Tanzania no familia ya CCM hakuna tofauti sana nahuko gabon
@salimthedon
@salimthedon Жыл бұрын
Kaka Sky!
@EkyochiLobange
@EkyochiLobange Жыл бұрын
Viongozi kama hawa atuwataki Africa Tunawachaguwa alafu wanatusahau wanakula na mabeberu kwanza nikuwasukajelatu
@josephvenus3259
@josephvenus3259 Жыл бұрын
Bado bongo tunayahitaji hayo mapinduzi tu 😠😠😠
@salmamzashi3609
@salmamzashi3609 Жыл бұрын
We pambn na Hali yko
How do Cats Eat Watermelon? 🍉
00:21
One More
Рет қаралды 12 МЛН
小路飞嫁祸姐姐搞破坏 #路飞#海贼王
00:45
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 18 МЛН
Sustainability & ESG Careers: Trends & Opportunities | Ellen Weinreb
21:01
Collective Responsibility
Рет қаралды 12 М.