Bora kufuta vyama vingi wabaki na ccm yao kuliko haya mambo katiba haifuatwi 4R ziko wapi
@saumuabdallah1982 сағат бұрын
ukion serikali inatumia nguvu nyng dhidi ya maandamano bac ujue serikali hio ina walakini...📌📌📌 maandamano sio ki2 cha kuekea kigugumizi ikiwa ww ni msafi🤙🤙🤙🤞🤞🤞
@AdamCheze26 минут бұрын
Japo ni jambo seriuos lakin jinsi mnavyolizungumzia linachekesha sana
@mwanetu5 сағат бұрын
"wewe umeanza kuandamana kwenye ndege" 😂😂😂😂😂
@EmmanuelNyinyigwa-m1o4 сағат бұрын
Mnaitukana serikali. Leo kwenye maandamano hatuwaoni mbowe na familia Yake ndo wameandamana wengi walijificha kumbe Mnao jiita makamanda mlikuwa wapi. Bavicha NI kenge tena Yani mbwa wakubwa
@RamadhaniKitala-gx6wc6 сағат бұрын
Kwahy mnyika mandamano kayafanyia kanisani😂😂
@GabrielSky645 сағат бұрын
Watu 3 Mnyika, Lissu. Mbowe tu kodi zetu zimetumika hivyo tena maaandamano ya amani haya ndio siku watangaze maaandamano ya shari sindio watamaliza kibubu cha taifa😂😂
@leokamil62843 сағат бұрын
😂😂
@Afsa-z2v6 сағат бұрын
Yes itikaff
@patrickngumbi27663 сағат бұрын
Intellijensi ya maafisa inatufundisha nn?!!! Imefaulu kiasi gani km Mbowe kaibukia eneo la tukio bila kuonekana?!!! Ni kweli amevishinda hivyo vichwa vyote kubain alipokuw?!!!! TAFAKARI!!!