Raisi ana akili za darasani hana maarfa ndiyo maana wana mugeuza wanavyo taka
@juliuszakayo67713 сағат бұрын
Tuaitaji chaadema kuutanga maandamano ya nchi nzima zianzie kila kitongoji TUONE haw polisi
@RamadhaniKitala-gx6wc3 сағат бұрын
Siku zote ya kuambiwa na changanya na nako ila rais inatakiwa achukue maoni ya wananchi ili tujenge taifa kuliko kuangali ya upande moja
@MsNajma-j7e3 сағат бұрын
Hi bado tutandamana tu ata kmya kmya police hawajui sheria wananchi wap wakaseme..uko bungeni wabunge wakitoa hoja turia anapnga sasa wananchi wap wakaseme
@juliuszakayo67713 сағат бұрын
Kidoogo naendelea kukiamini chombo chenu maana waandishi wengi sasahiv wa nchi yetu wanatia kinyaa ukisikia wakizisifia serikali na na maovu take utachoka, katiba imeeeka wazi kua Rai anakua na washauri wanaolipwa na Ila Sheria Ina sema pamomoja na ushauri wao pia Sheria hiohio Nina sema halamiki kuutumia huo ushauri anaweza shauriwa vizuri Ila anaweza kuuacha huo ushauri nakutumia akili yake huo ndio ubovu wa katiba na Sheria zetu,
@EllenWaigamaСағат бұрын
Na yeye ni mtazamo yake kama nyie mnavyotoa mitazamo yenu inayoegemea upande wa serikali pasipo kuchambua kwa hali halisia
@PROSPERMAZIGOСағат бұрын
Wasafi mnaanza kupoteza ethics ya chombo cha habari.
@KassimAlly-xp4dzСағат бұрын
Kwann
@emmanuelmwakyoma5746Сағат бұрын
Raisi kasema serikali yake Ina interegensia kubwa, na interegensia kubwa Ni bwana msiba bwana Yona wachalinze makonda na shehe mwaipopo, watu waio faa boblia inasema watu wazushi waongo wahaini wachochezi watu walio na moto wa kichawi kwenye nchi ili iungue, raisi akiwaamini hao nchi itateketea. Mie najifika kwenye handaki la Yesu
@philemonsnyanda9450Сағат бұрын
Wangekua na intalejensia wangejua mbowe kalala wapi😂
@ZaidAKissinza2 сағат бұрын
Hii ni redio ya comedy? Maana siielewi ndugu zangu
@philemonsnyanda9450Сағат бұрын
Saiv imeanza anza kujirekebisha kidogo zamani huwezi kutamani kusikiliza
@RamadhanAthuman-d4c4 сағат бұрын
Washauri hewa hao ipo day kitanuka tu
@RamadhaniKitala-gx6wc3 сағат бұрын
Wajina Bora angesikiliza ushauri wa wananchi kuliko hawa washauli wake
@wanainchitvrdc6705Сағат бұрын
Kumbe kakitenge haka jui hata kusoma kiingereza
@VIPSwahiliСағат бұрын
Psychology imemsumbua😂😂
@Queen-be1uf14 минут бұрын
Tanzania kila mmoja anajua, hakuna anaejua sheria wala haki. Ni sheria ya Baharini samaki mkubwa anamla mdogo. Wajinga ni wengi sana. Polisi hawajui kazi zao, wanajiona magwanda yao njaa ndo sheria. Nchi yenye dhulma. Kwani Raisi bwege? Hapimi anachoambiwa? Au ndo ktk hao wajinga wenyewe. Anaendeshwa ovyo na anakubali. Rais si muadilifu. Uongozi unatakiwa uwe muadilifu
@EllenWaigamaСағат бұрын
Na yeye ni mtazamo yake kama nyie mnavyotoa mitazamo yenu inayoegemea upande wa serikali pasipo kuchambua kwa hali halisia