Viongozi wa UDA wamkosoa Rais Ruto kwa kumtenga Aisha Jumwa kutoka kwa baraza jipya la mawaziri

  Рет қаралды 8,309

NTV Kenya

NTV Kenya

Күн бұрын

Huenda hatua ya Rais William Ruto kutomteua aliyekuwa waziri wa jinsia aisha jumwa, kwenye baraza lake jipya la mawaziri ikaathiri pakubwa umaarufu wa chama cha uda katika kaunti ya kilifi. baadhi ya wanachama wa uda huko Kilifi, sasa wanahisi kwamba ruto ameenda kinyume na matarajio yao ya jumwa kujumuishwa kikamilifu kwenye nafasi kuu za uongozi wa serikali ya kenya kwanza licha ya kuwa mstari wa mbele kupeperusha bendera ya uda kaunti hiyo. kama anavyotueleza mwanahabari wetu wa mombasa fatuma bugu , wamekiri kuwa hakuna uda Kilifi bila Aisha Jumwa katika baraza jipya la mawaziri .
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya

Пікірлер: 49
How to win a argument
9:28
ajaxkmr (ajaxkmr1986)
Рет қаралды 612 М.
pumpkins #shorts
00:39
Mr DegrEE
Рет қаралды 110 МЛН
Officer Rabbit is so bad. He made Luffy deaf. #funny #supersiblings #comedy
00:18
Funny superhero siblings
Рет қаралды 19 МЛН
НАШЛА ДЕНЬГИ🙀@VERONIKAborsch
00:38
МишАня
Рет қаралды 2,4 МЛН
Israeli Army Special Forces
1:00:36
Investigations et Enquêtes
Рет қаралды 593 М.
5 Signs Allah is Telling You to Walk Away Immediately! | ISLAM
18:07
ResilientDeen
Рет қаралды 196 М.
Rais Ruto azungumza kuhusu usalama nchini
4:10
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 6 М.
Backfired Gachagua traps
3:16
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 248 М.
Ruto's Cabinet survivors
4:11
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 44 М.
pumpkins #shorts
00:39
Mr DegrEE
Рет қаралды 110 МЛН