Ni raundi ya saba katika main card ya Dar Boxing Derby, Nasibu Ramadhan akichezea knock down kutoka kwa Juma Choki. Mshindi wa pambano baada ya raundi nane alikuwa ni Juma Choki.
Пікірлер: 7
@mohamedabdalla53023 ай бұрын
Juma Ramadhan Choki Huyu Mtoto Anajua Sana 🔥🔥🔥
@MwazoaMwazoa3 ай бұрын
Nasibu ameonyesha kiwango cha juu sana ktk hii fight.Lkn Daby zina mambo mengi.Tume Enjoy Boxing ktk hii fight
@FelixMatiabo-cn9qm3 ай бұрын
2024🎉🎉
@allyflavour3 ай бұрын
Mama lamama namkubali san chok ila asije akajisahau san