Knock Down raundi ya saba imempa ushindi wa pointi Juma Choki dhidi ya Nasibu Ramadhan katika pambano kuu (main card) la Usiku wa Vitasa Dar Boxing Derby kwenye viwanja vya Posta , Kijitonyama, Dar es Salaam.
Пікірлер: 132
@samunasary144924 күн бұрын
Pambano lilikuwa kali sana na tume enjoy,NASIBU NA JUMA CHOKI WOTE WA KALI ILA LAZIMA TUPATE namba 1 na 2,hatimaye JUMA CHOKI AMEKUWA CHAMPION👑👑 kitu ambacho binafsi kime nifurahisha sana JUMA CHOKI KUWA CHAMPION😂😂😂.Watangazaji wetu wa ngumi miyeyusho sana wana msifia NASIBU kila kitu kazi ya choki hawaioni sasa hao wote ni watanzania mnahalibu sana yani.
@GeorgeMihambo-mo4gx24 күн бұрын
Nimefurahi sana aisee
@andrewmmassy520424 күн бұрын
Nanukuu"Ili uwe mkubwa lazima upigane na wakubwa"Samahani brother Ibrahim class you are next.
@quswaisizya719724 күн бұрын
Bila knockdown nasibu alikuwa ameshinda hili fight. Ila chok aliweza kum counter vizuri round ya saba
@allymagari24 күн бұрын
Sasa ndo ishatokea kwahyo hajashinda
@user-gj5jx7fk4i22 күн бұрын
Aupo sw ww nasibu kapigw ngumunyingi xan au mcho yko Hy oni vzur
@philipomapundaa680124 күн бұрын
Daaaa awa wote nindugu zangu nawapenda sana choki nasibu najifunza kitu kwaho
@aaroneu0724 күн бұрын
Nassib alipoteza umakini (concentration) akaanza kushangilia kabla ya mechi kuisha. Choki alikuwa na nidhamu ya mchezo na muda wote alizingatia game plan yake.
@samweljumanne-wo2pu23 күн бұрын
Choki aliscore Sana hata ile knock down Choki hakutaka tu kumdhalilisha nasib maana alivyodondoshwa aliamka anayumba Kama kuku mwenyekideri
@jokha-rp5pu24 күн бұрын
ina maana nock down ina pont kubwa sna lakin tukiangalia round sote nasib aliscoo sana lakin wote ni mabondia wazur najivuna kuona vijana wetu wanapafom vizur nazani watafanya haya nje ya Tanzania pia inshallah mungu awasaidie kufka katika malengo yao
@abdallahkambangwa721523 күн бұрын
kweli hii ni derb, maana ngumi zimechomoka balaa 💥💥💥💥
@user-ul6cs6kk7v24 күн бұрын
Hapo siwezi kubashili wote wakali ❤
@JohnsonDickson-ry6hz24 күн бұрын
Dah Lkn watangazaji Kama mngefurahi zaidi naseb angeshinda .. 😂😂😂 Kuna mmoja naseeb akipiga anasema safiii.. Mara nice... Ila knock down 😁😁😁
@barakayesaya500023 күн бұрын
Hii ni fighting bora kuliko hao wakina mwakinyo sijui twaha... Wanakumbatianakumbatiana tu, hawa wauni wanatupa mawe tu
@jumanneally330323 күн бұрын
mwakinyo kaingiaje kwenye kukumbatia ni mchezo wa twaha mwakinyo foot steps zinatembea na kujilinda na anacount fuatili ngumi
@barakayesaya500023 күн бұрын
@@jumanneally3303 sijamtaja pekeake, nimetaja mabondia wawili wanaofahamika kuwakilisha wengine. Na maana yangu ni kwamba kuna watu wanashawishi mtu afuatilie ngumi si wao tu. Hata yeye amesema hapo hakutegemea kuona watu wengi hivyo. Hatuwezi kuwapa kichwa watu wawili tu kilasiku
@fadhilisanga367924 күн бұрын
Aibu sanaa michambuzi yote ilikuwa inamsifia mno naseeb
@Alexismadimo24 күн бұрын
Ni kawaida yao hawa ni team kiduku team class na timu kidunda,mfaume pia yan wakipigana hawa watu wenywe wanawasifia tu wapo upande wao
@Bakari-dr1if24 күн бұрын
Kweli kaka imepata aibu
@JamesReuben-gt8up23 күн бұрын
Haswaa yule wa wasafi George job alimponda sana chokii
@daudiraphaeli292823 күн бұрын
Kama si choki kumuangusha nasibu bas ao watangazaji ad majaji ushindi wange mpa nasibu wakati tangu pambano lina anza choki anachukua pwenti nyingi kila round
@JustineNyome-j1g24 күн бұрын
Hiyo knockdown ni hatari, nadhani nasib alihis knockdown ya pili last round angereact ndo maana akaamua amalize pambano bila kujali kilichotokea. Akili kubwa kwa bondia... It was a clinical fight,🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@NelsonKayinga24 күн бұрын
Nakukubali sana choki hujawahi kuniangusha
@SaidiMkome-qq7hy24 күн бұрын
Oya mwanangu choki💪🙌
@DennisFandi21 күн бұрын
Choki ukiendelea kuwa na nidhamu hiyo hiyo utakujakuwa bondia mkubwa sana bro, na pia uko vizuri sana endelea kupenda kujifunza vitu vingi zaidi
@ismailsoud363423 күн бұрын
Choki alifanya vizuri, Ila Nasibu alikuwa mzuri sana. Nice ile knckdown tu . na sana uwanja ulikuwa unateleza kwa kiasi fulani.
@AshaMwamba24 күн бұрын
Mmemdhukumu nasibu
@biotic88922 күн бұрын
Juma choki is too smart.binafsi na mpenda sana.Tumwoombee
@JamesReuben-gt8up23 күн бұрын
Juma choking anajuaa sanaa me ni moja ya fan wakee
@FatimaFati-pu4lb24 күн бұрын
Nasibu alikua vizur Tu Ila kuanguka ndio kume mpa ushindi juma
@ShokiRamadhani-qq3ds24 күн бұрын
Choki best boxer up coming hongera yke sana kwa usugu alionesha mabondia wengine hawatamgusa,mkongwe shoo kaielewa ya dogo kaweza kumuonyesha
yote kw yote nassibu n bondia mzur sana mkongwe anaesumbua kizaz kipya ongera broo👍👍👍
@JamesJoramu24 күн бұрын
mgumi kali sana sioo wa kina mandonga nikukumbatiana tuuuu apa ni ngumiii jiwe tuu mpakaa mwishoo🔥🔥🔥🔥
@giftprosper235523 күн бұрын
Choki ni king off the ring siku zote habahatishi
@joelgeorge998524 күн бұрын
Nasibu talented sana, Choki aliotea tu, bado sana kwa jamaa
@rasakakaombwe21 күн бұрын
Wazamini mmetengeneza pambano zuli sana🎉🎉🎉🎉
@mr.performance253324 күн бұрын
Sijapata Kuona wakali wenye kila kitu kama hawa daah Kwa kweli nimeona boxing tamu sana
@dattyjeremiah587724 күн бұрын
Champion choki #26
@TomasIsdor24 күн бұрын
Nasibub kaigwa kwa raund moja
@MirajiMtumba17 күн бұрын
Nakukubali chiki
@katambihamisi413019 күн бұрын
Nasibu kupoteza mechi hii nadhani wachambuzi watakuwa wameumia sana kuliko bondia mwenyewe, ila wote ni mashine
@silvanokepher644124 күн бұрын
Duuuuh hiii gem ni dangerous 🔥 🔥🔥🔥
@SelemaniKidundo24 күн бұрын
Woteniwazurisana❤❤❤❤
@user-dg9js4cb7e20 күн бұрын
Ameshinda sawa ila to me Nassibu Ramadhan atabaki kuwa the best
@getrudeegervas669420 күн бұрын
Hata bila knockdown choki angeshinda acheni undezi
@greysonmandai13224 күн бұрын
huyu juma choki ni bondia mzuri sana kama atapata watu wakumfundisha vizuri atakuja kuwa nembo ya taifa .
@GibsonNtamamilo24 күн бұрын
Umri umri
@greysonmandai13224 күн бұрын
@@GibsonNtamamilo sema umri ndio tatizo
@ASALABOY23 күн бұрын
Awa jamaa wanavipaji sana🙏🙏
@MosesKilumile24 күн бұрын
Nasibu fundi zaidi ya choki ila Kwa Jana one mistake one goli Tunaomba rirudiwe chapu.
@DavisMajor-sb2oz23 күн бұрын
Watangaziji mume mchambua nasibu au ngumi msiwe wasenge Kuna za mama zenu nasibu nasibu kapigwa sasa😊 11:22 😊
@user-ex7bh1np4t24 күн бұрын
Choki kiukweli anajua sana, Kila round alikuabors
@SiwaMudrick-ny3cc23 күн бұрын
Bwanga,juma,ton, nimefurai sana
@msemakweli24324 күн бұрын
Choki ndo King kwenye boxing 🇹🇿 kwa sasa
@AyubuMuhanga23 күн бұрын
Unaumwa mavi kweli yaan Choki ndio king kwenye boxing nchin,🇹🇿, 😂😂😂,, je uliwah kumfuatilia yule Mnyarukolo wa Iringa,, mweny kisauti nyembamba,, Wanamuita MAWE.. 🤣🤣🤣
@msemakweli24323 күн бұрын
@@AyubuMuhanga wewe ni mpumbavu nadhani
@nas_276124 күн бұрын
Huyo mchanganyaji picha wa Azam tv hayupo sawa
@hassankistaokazungu270723 күн бұрын
hii ndio fight 🔥🔥🔥
@user-us6ee5dr8r18 күн бұрын
Sjafaham Sheria ya knock down ipoje, manake Naseeb amesco points nyingi nahis ile knockdown ndo tatizo.
dah wote wanangu na mmecheza vzur ila choki amestail ushind👑👑
@NkondokayaJoe24 күн бұрын
Nimegundua kuna wakati hata wachambuzi wa ngumi nao kama wale wanaochambua simba na yanga,mnazidisha mpenzi wa upande mmoja.
@FatimaFati-pu4lb24 күн бұрын
Daaaa nasibu alikua anashinda
@user-ms1xg1fp4v24 күн бұрын
Wanamichezo hupunguza sana umri lkn Naseeb kimichezo tayari ni mtu mzima.Nasibu tunaemjua asingeweza kupoteza kwa bondia aliecheza kwa kiwango kile.Yote kwa yote Nidhamu yake na Heshima inatulazimu tuendelee kumpenda nakusimama nae hata apigwe mara mia.
@gavethhans524224 күн бұрын
Nawibu kapigwa ngumi nyingi sana
@user-dz7wq2ql3p24 күн бұрын
Kaz kaz ni shidaaa
@EmmanuelEmmanuel-b5w24 күн бұрын
Nasibu unajua Brooo
@shabanimkange351224 күн бұрын
Hawa jamaa wote washindi nimewakubali sana sio yule muimba taarabu wa Tanga😂😂😂
@AsiaNgoleka24 күн бұрын
Amezowea kuwakosowa wenzake haya ni mapinduzi anayoyaweza ni clace TU.
@ONEdreamfilmtz24 күн бұрын
Kiukweli nimeinjoi sana
@user-uq3dq7sr3l24 күн бұрын
Bondia ukiendekeza sana chini kiwango chako lazima kishuke
@Clex-f5s24 күн бұрын
Kazi na umri🤓
@AugustinoMateru24 күн бұрын
Yani wachambuz wapo kishabik siy kuchambua ngumi haipendez ila kikumbw kila mtu anaona kilichopo ulingon chok yup juuuuu
@shebanishebe786624 күн бұрын
Jamaa mko vzr
@abdulsintoro579724 күн бұрын
Mwakinyo na Twaha bado sana kwa hawa jamaa
@saidyusuph-g3x24 күн бұрын
Nilikuwa sijui kitakachootokea kwahii fight maana ni moto
@jumanneally330323 күн бұрын
nyinyi wachambuzi waongo kazi msifia mtu mmoja mnabondia wenu mtu anachezea makonde amsemi kapigwa sasa
@halidimgonza594524 күн бұрын
nasibu bondia mzr ila UTOPOLO wamemtia nuksi kusema et watamshangilia na wapo upande wke ndo maana akapoteza 😂😂
@strongfighternal651223 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@SaidDilunga-q6e24 күн бұрын
Wote mabondia wazr izo ndio ngum
@user-cy8el2pg6t20 күн бұрын
Bongo kuna wapiganaji wazuri
@FikiriMgonanze22 күн бұрын
Asante meja semunyu wewe unajuwa vilivyo bola tuweke mapambo kama haya kaka sio kama yale wengine .maneno kibao hapa kaka umetuwekea kilicho bola una stahili tuzo mkuu
@ndolimanaamani910624 күн бұрын
Hizi ndio ngumi sasa
@Ybsgibsondaniely24 күн бұрын
Yaan ukihesabu laung kalubia 5-6 chok kaongoza lichaya hata ya nokdawn nasibu kapigwa vizuri2
@SamwelMshana-x3l24 күн бұрын
Mabigwa wamekutana
@user-wq4us6nm8b24 күн бұрын
Uyuu mtangazaji ameumia san😢
@wazirisaid832624 күн бұрын
Nasibu amedhulumiwa na alistahili kushinda hili pambano kwa maana kila round inajitegemea na Nasib ameongoza round zote hata hiyo ya Saba Kama sio kuangushwa pia alikua anaongoa. Sasa vipi aliyeongoza round Saba apigwe na aliyeongoza round moja? Turudi nyuma kidogo, ktk mechi ya Kiduku na Dullah Mbabe. Kiduku aliangushwa round ya kwanza na akaongoza round zilizofuata na akawa bingwa!! Sasa hizi Sheria Ni tofauti au Ni maamuzi ya chuki?
@mdogosmart587522 күн бұрын
We muongo
@JovitusJames-gy4rk23 күн бұрын
Jamn tuwapongez hao wote wanaume🎉🎉🎉🎉😅😅😅😅
@HabibaAzizi-l1b17 күн бұрын
Watangazaji walikuwa wanamsifia naseeb tu bila kujali wote watanzania wenzao sasa aibu imewakuta kubabeki huyo naseeb kakalishea akune nazi 😏tatizo majigambo yakizidi lazima utoe boko
@jumanneally330323 күн бұрын
wachambuzi waongo waongo chupli chupli amsemi ukweli nassib anapigwa panchi nyingi amsemi mna watu wenu
@user-wq4us6nm8b24 күн бұрын
Ujuu mtangazaji anatim yake apa😂😂
@user-ei9xd4qs7o24 күн бұрын
Mabondia wa mologolo wajfunze ngumi apa kiukweli tu bila majungu, yan uwez kuacha kununua kifurush au bando
@clemenceleonard108924 күн бұрын
Kilimponza Nasseb Alimdharau Mpinzani Wake Na Ilo Ndo Kosa Kubwa , Akapunguza Umaskini Wa Kujilinda
@odingamawe24 күн бұрын
Choki kiboko inabidi ucheze na class
@MoosaMzinga24 күн бұрын
Class anaogopa
@Hope-ok9dy24 күн бұрын
Wewe class abari nyingine wewe
@yoramnhayo609924 күн бұрын
Class afikii uwezo wa choki .pia choki akipata muekezaji wa pesa mzuri atasumbua sana ndani ya nchi mbaka majuu ana style kama Davis USA
@abdallahussi297824 күн бұрын
Hii game inahitaji revenge ya haraka mno ili choki athibitishe kama kweli ni mshindi isingekuwa ile knock down round ya saba nasibu alikuwa anaongoza kqa kila hali choki kabahatisha ili kusiwe na maneno pambano lirudiweapema tu.
@ramajuma107124 күн бұрын
Kabahatisha wapi wakati kampiga wote tumeona tuwe wakweli ngumi ni mchezo wa makosa choki katumia nafas aliyoipata haijulishi nasib alkua akiongoza kwa round nying
@hasheemabby258324 күн бұрын
Nasibu kashinda huu mchezo 100%
@AshaMwamba24 күн бұрын
Nasibu amejitahid
@SubiraBushiri24 күн бұрын
Ila juma choki apewe maua yake
@williamshimba937113 күн бұрын
Nasibu ni bonge la bondia
@BarakaKusalula22 күн бұрын
Hakuna ngumi humu ni ubabaishaji tu
@getrudeegervas669420 күн бұрын
Panda wewe Sasa ukatuonyeshe ngumi
@hajjymohamedy-qk4ow24 күн бұрын
Borà apigwe kinamwaju wanyamaze kushangilia
@user-mm3nr8fv5o24 күн бұрын
Ila juma choki ni mwakinyo wa pl kiukwl yn inxhort role modal wake ni mwakinyo
@user-cn8zp3ly7f23 күн бұрын
we nawe usifananishe uchafu wako na choki xa mwakinyo anajuwa nn wakati kwa twaha anamhogopa bondia wako mzaaa changa za tanga hko
@mnanasuly258523 күн бұрын
Nasib ni kamzidi sana juma choki kwa kila kila kitu. Nasibu is more technical than juma na nasib ana hands speed kubwa kuliko juma na nasib ana counter nzuri zaidi kuliko juma. Nasib is more skilled than juma. Knockdown to nasib imekuja kibahati tu. From 1st to 6th round nasib dominated the fight. Huu ndio ukweli
@DennisFandi21 күн бұрын
Kilichomfanya ashinde choki sio mjuaji lakini alikuwa hamuogopi, Nasibu anamzidi lakini yy aliweka mbele nizamu na juhudi kwenye anachokiamini
@getrudeegervas669420 күн бұрын
Wewe nawe wale wale.....
@user-us6ee5dr8r18 күн бұрын
True!.. Naseeb Scored from Round 1 to 6 . He is Extra Technical, Speed and Accurate. Ni talented Boxer
@MoosaMzinga24 күн бұрын
Round ya 6 ndio imekuponzaa Nasibu....uwezi kutoa bikra kama ulivyosema
@BrianKazaula-so3zf24 күн бұрын
Hizi ndo ngumi sasa za kutufikisha tunapopataka kwenye boxing ya tz
@chayomgonja313124 күн бұрын
Juma choki kuanzia round ya tano alitulia na kupunguza miheuko ya mashabiki…pambano zuri.. huyo Nassib ana umri gani sijui?
@careemissa250224 күн бұрын
31naseeb choki 27 sikosei
@chayomgonja313123 күн бұрын
@@careemissa2502 ok
@mwaramially265123 күн бұрын
Sasa Naseeb wamtaka Ibrahim class Kisha hao wa chini wanakushinda
@felixngaiza307824 күн бұрын
Nasib kashinda, mi sio mshabiki wa yoyote apo ila napenda boxing.