VITASA | Nasibu Ramadhan vs Juma Choki | Dar Boxing Derby 29/06/2024

  Рет қаралды 89,779

Azam TV

Azam TV

26 күн бұрын

Knock Down raundi ya saba imempa ushindi wa pointi Juma Choki dhidi ya Nasibu Ramadhan katika pambano kuu (main card) la Usiku wa Vitasa Dar Boxing Derby kwenye viwanja vya Posta , Kijitonyama, Dar es Salaam.

Пікірлер: 132
@samunasary1449
@samunasary1449 24 күн бұрын
Pambano lilikuwa kali sana na tume enjoy,NASIBU NA JUMA CHOKI WOTE WA KALI ILA LAZIMA TUPATE namba 1 na 2,hatimaye JUMA CHOKI AMEKUWA CHAMPION👑👑 kitu ambacho binafsi kime nifurahisha sana JUMA CHOKI KUWA CHAMPION😂😂😂.Watangazaji wetu wa ngumi miyeyusho sana wana msifia NASIBU kila kitu kazi ya choki hawaioni sasa hao wote ni watanzania mnahalibu sana yani.
@GeorgeMihambo-mo4gx
@GeorgeMihambo-mo4gx 24 күн бұрын
Nimefurahi sana aisee
@andrewmmassy5204
@andrewmmassy5204 24 күн бұрын
Nanukuu"Ili uwe mkubwa lazima upigane na wakubwa"Samahani brother Ibrahim class you are next.
@quswaisizya7197
@quswaisizya7197 24 күн бұрын
Bila knockdown nasibu alikuwa ameshinda hili fight. Ila chok aliweza kum counter vizuri round ya saba
@allymagari
@allymagari 24 күн бұрын
Sasa ndo ishatokea kwahyo hajashinda
@user-gj5jx7fk4i
@user-gj5jx7fk4i 22 күн бұрын
Aupo sw ww nasibu kapigw ngumunyingi xan au mcho yko Hy oni vzur
@philipomapundaa6801
@philipomapundaa6801 24 күн бұрын
Daaaa awa wote nindugu zangu nawapenda sana choki nasibu najifunza kitu kwaho
@aaroneu07
@aaroneu07 24 күн бұрын
Nassib alipoteza umakini (concentration) akaanza kushangilia kabla ya mechi kuisha. Choki alikuwa na nidhamu ya mchezo na muda wote alizingatia game plan yake.
@samweljumanne-wo2pu
@samweljumanne-wo2pu 23 күн бұрын
Choki aliscore Sana hata ile knock down Choki hakutaka tu kumdhalilisha nasib maana alivyodondoshwa aliamka anayumba Kama kuku mwenyekideri
@jokha-rp5pu
@jokha-rp5pu 24 күн бұрын
ina maana nock down ina pont kubwa sna lakin tukiangalia round sote nasib aliscoo sana lakin wote ni mabondia wazur najivuna kuona vijana wetu wanapafom vizur nazani watafanya haya nje ya Tanzania pia inshallah mungu awasaidie kufka katika malengo yao
@abdallahkambangwa7215
@abdallahkambangwa7215 23 күн бұрын
kweli hii ni derb, maana ngumi zimechomoka balaa 💥💥💥💥
@user-ul6cs6kk7v
@user-ul6cs6kk7v 24 күн бұрын
Hapo siwezi kubashili wote wakali ❤
@JohnsonDickson-ry6hz
@JohnsonDickson-ry6hz 24 күн бұрын
Dah Lkn watangazaji Kama mngefurahi zaidi naseb angeshinda .. 😂😂😂 Kuna mmoja naseeb akipiga anasema safiii.. Mara nice... Ila knock down 😁😁😁
@barakayesaya5000
@barakayesaya5000 23 күн бұрын
Hii ni fighting bora kuliko hao wakina mwakinyo sijui twaha... Wanakumbatianakumbatiana tu, hawa wauni wanatupa mawe tu
@jumanneally3303
@jumanneally3303 23 күн бұрын
mwakinyo kaingiaje kwenye kukumbatia ni mchezo wa twaha mwakinyo foot steps zinatembea na kujilinda na anacount fuatili ngumi
@barakayesaya5000
@barakayesaya5000 23 күн бұрын
@@jumanneally3303 sijamtaja pekeake, nimetaja mabondia wawili wanaofahamika kuwakilisha wengine. Na maana yangu ni kwamba kuna watu wanashawishi mtu afuatilie ngumi si wao tu. Hata yeye amesema hapo hakutegemea kuona watu wengi hivyo. Hatuwezi kuwapa kichwa watu wawili tu kilasiku
@fadhilisanga3679
@fadhilisanga3679 24 күн бұрын
Aibu sanaa michambuzi yote ilikuwa inamsifia mno naseeb
@Alexismadimo
@Alexismadimo 24 күн бұрын
Ni kawaida yao hawa ni team kiduku team class na timu kidunda,mfaume pia yan wakipigana hawa watu wenywe wanawasifia tu wapo upande wao
@Bakari-dr1if
@Bakari-dr1if 24 күн бұрын
Kweli kaka imepata aibu
@JamesReuben-gt8up
@JamesReuben-gt8up 23 күн бұрын
Haswaa yule wa wasafi George job alimponda sana chokii
@daudiraphaeli2928
@daudiraphaeli2928 23 күн бұрын
Kama si choki kumuangusha nasibu bas ao watangazaji ad majaji ushindi wange mpa nasibu wakati tangu pambano lina anza choki anachukua pwenti nyingi kila round
@JustineNyome-j1g
@JustineNyome-j1g 24 күн бұрын
Hiyo knockdown ni hatari, nadhani nasib alihis knockdown ya pili last round angereact ndo maana akaamua amalize pambano bila kujali kilichotokea. Akili kubwa kwa bondia... It was a clinical fight,🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@NelsonKayinga
@NelsonKayinga 24 күн бұрын
Nakukubali sana choki hujawahi kuniangusha
@SaidiMkome-qq7hy
@SaidiMkome-qq7hy 24 күн бұрын
Oya mwanangu choki💪🙌
@DennisFandi
@DennisFandi 21 күн бұрын
Choki ukiendelea kuwa na nidhamu hiyo hiyo utakujakuwa bondia mkubwa sana bro, na pia uko vizuri sana endelea kupenda kujifunza vitu vingi zaidi
@ismailsoud3634
@ismailsoud3634 23 күн бұрын
Choki alifanya vizuri, Ila Nasibu alikuwa mzuri sana. Nice ile knckdown tu . na sana uwanja ulikuwa unateleza kwa kiasi fulani.
@AshaMwamba
@AshaMwamba 24 күн бұрын
Mmemdhukumu nasibu
@biotic889
@biotic889 22 күн бұрын
Juma choki is too smart.binafsi na mpenda sana.Tumwoombee
@JamesReuben-gt8up
@JamesReuben-gt8up 23 күн бұрын
Juma choking anajuaa sanaa me ni moja ya fan wakee
@FatimaFati-pu4lb
@FatimaFati-pu4lb 24 күн бұрын
Nasibu alikua vizur Tu Ila kuanguka ndio kume mpa ushindi juma
@ShokiRamadhani-qq3ds
@ShokiRamadhani-qq3ds 24 күн бұрын
Choki best boxer up coming hongera yke sana kwa usugu alionesha mabondia wengine hawatamgusa,mkongwe shoo kaielewa ya dogo kaweza kumuonyesha
@user-rf7ib6rl2p
@user-rf7ib6rl2p 24 күн бұрын
Nimejikuta machozi yananitoka congratulation 👏👏juma choki
@user-sk2cr8pm1e
@user-sk2cr8pm1e 24 күн бұрын
yote kw yote nassibu n bondia mzur sana mkongwe anaesumbua kizaz kipya ongera broo👍👍👍
@JamesJoramu
@JamesJoramu 24 күн бұрын
mgumi kali sana sioo wa kina mandonga nikukumbatiana tuuuu apa ni ngumiii jiwe tuu mpakaa mwishoo🔥🔥🔥🔥
@giftprosper2355
@giftprosper2355 23 күн бұрын
Choki ni king off the ring siku zote habahatishi
@joelgeorge9985
@joelgeorge9985 24 күн бұрын
Nasibu talented sana, Choki aliotea tu, bado sana kwa jamaa
@rasakakaombwe
@rasakakaombwe 21 күн бұрын
Wazamini mmetengeneza pambano zuli sana🎉🎉🎉🎉
@mr.performance2533
@mr.performance2533 24 күн бұрын
Sijapata Kuona wakali wenye kila kitu kama hawa daah Kwa kweli nimeona boxing tamu sana
@dattyjeremiah5877
@dattyjeremiah5877 24 күн бұрын
Champion choki #26
@TomasIsdor
@TomasIsdor 24 күн бұрын
Nasibub kaigwa kwa raund moja
@MirajiMtumba
@MirajiMtumba 17 күн бұрын
Nakukubali chiki
@katambihamisi4130
@katambihamisi4130 19 күн бұрын
Nasibu kupoteza mechi hii nadhani wachambuzi watakuwa wameumia sana kuliko bondia mwenyewe, ila wote ni mashine
@silvanokepher6441
@silvanokepher6441 24 күн бұрын
Duuuuh hiii gem ni dangerous 🔥 🔥🔥🔥
@SelemaniKidundo
@SelemaniKidundo 24 күн бұрын
Woteniwazurisana❤❤❤❤
@user-dg9js4cb7e
@user-dg9js4cb7e 20 күн бұрын
Ameshinda sawa ila to me Nassibu Ramadhan atabaki kuwa the best
@getrudeegervas6694
@getrudeegervas6694 20 күн бұрын
Hata bila knockdown choki angeshinda acheni undezi
@greysonmandai132
@greysonmandai132 24 күн бұрын
huyu juma choki ni bondia mzuri sana kama atapata watu wakumfundisha vizuri atakuja kuwa nembo ya taifa .
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 24 күн бұрын
Umri umri
@greysonmandai132
@greysonmandai132 24 күн бұрын
@@GibsonNtamamilo sema umri ndio tatizo
@ASALABOY
@ASALABOY 23 күн бұрын
Awa jamaa wanavipaji sana🙏🙏
@MosesKilumile
@MosesKilumile 24 күн бұрын
Nasibu fundi zaidi ya choki ila Kwa Jana one mistake one goli Tunaomba rirudiwe chapu.
@DavisMajor-sb2oz
@DavisMajor-sb2oz 23 күн бұрын
Watangaziji mume mchambua nasibu au ngumi msiwe wasenge Kuna za mama zenu nasibu nasibu kapigwa sasa😊 11:22 😊
@user-ex7bh1np4t
@user-ex7bh1np4t 24 күн бұрын
Choki kiukweli anajua sana, Kila round alikuabors
@SiwaMudrick-ny3cc
@SiwaMudrick-ny3cc 23 күн бұрын
Bwanga,juma,ton, nimefurai sana
@msemakweli243
@msemakweli243 24 күн бұрын
Choki ndo King kwenye boxing 🇹🇿 kwa sasa
@AyubuMuhanga
@AyubuMuhanga 23 күн бұрын
Unaumwa mavi kweli yaan Choki ndio king kwenye boxing nchin,🇹🇿, 😂😂😂,, je uliwah kumfuatilia yule Mnyarukolo wa Iringa,, mweny kisauti nyembamba,, Wanamuita MAWE.. 🤣🤣🤣
@msemakweli243
@msemakweli243 23 күн бұрын
@@AyubuMuhanga wewe ni mpumbavu nadhani
@nas_2761
@nas_2761 24 күн бұрын
Huyo mchanganyaji picha wa Azam tv hayupo sawa
@hassankistaokazungu2707
@hassankistaokazungu2707 23 күн бұрын
hii ndio fight 🔥🔥🔥
@user-us6ee5dr8r
@user-us6ee5dr8r 18 күн бұрын
Sjafaham Sheria ya knock down ipoje, manake Naseeb amesco points nyingi nahis ile knockdown ndo tatizo.
@allykagawa
@allykagawa 22 күн бұрын
Choki anajua sana
@ndarnationsoundtz
@ndarnationsoundtz 21 күн бұрын
Nasibu ramadhani is the best 1 class 2 nasibu
@abelmwakipesile9868
@abelmwakipesile9868 24 күн бұрын
Ngumi nzuri
@SalumMkugwa-i9i
@SalumMkugwa-i9i 12 күн бұрын
Watangazaji mmemsifia bondia wenu lakini kapigwa
@InosentiSwai
@InosentiSwai 19 күн бұрын
Choki fundi xna akitoka kidunda anafuata choki mnyamaa🤜🤜🤜
@user-hy3en6vk5f
@user-hy3en6vk5f 24 күн бұрын
Hii fight naomba irudiwe
@user-sk2cr8pm1e
@user-sk2cr8pm1e 24 күн бұрын
dah wote wanangu na mmecheza vzur ila choki amestail ushind👑👑
@NkondokayaJoe
@NkondokayaJoe 24 күн бұрын
Nimegundua kuna wakati hata wachambuzi wa ngumi nao kama wale wanaochambua simba na yanga,mnazidisha mpenzi wa upande mmoja.
@FatimaFati-pu4lb
@FatimaFati-pu4lb 24 күн бұрын
Daaaa nasibu alikua anashinda
@user-ms1xg1fp4v
@user-ms1xg1fp4v 24 күн бұрын
Wanamichezo hupunguza sana umri lkn Naseeb kimichezo tayari ni mtu mzima.Nasibu tunaemjua asingeweza kupoteza kwa bondia aliecheza kwa kiwango kile.Yote kwa yote Nidhamu yake na Heshima inatulazimu tuendelee kumpenda nakusimama nae hata apigwe mara mia.
@gavethhans5242
@gavethhans5242 24 күн бұрын
Nawibu kapigwa ngumi nyingi sana
@user-dz7wq2ql3p
@user-dz7wq2ql3p 24 күн бұрын
Kaz kaz ni shidaaa
@EmmanuelEmmanuel-b5w
@EmmanuelEmmanuel-b5w 24 күн бұрын
Nasibu unajua Brooo
@shabanimkange3512
@shabanimkange3512 24 күн бұрын
Hawa jamaa wote washindi nimewakubali sana sio yule muimba taarabu wa Tanga😂😂😂
@AsiaNgoleka
@AsiaNgoleka 24 күн бұрын
Amezowea kuwakosowa wenzake haya ni mapinduzi anayoyaweza ni clace TU.
@ONEdreamfilmtz
@ONEdreamfilmtz 24 күн бұрын
Kiukweli nimeinjoi sana
@user-uq3dq7sr3l
@user-uq3dq7sr3l 24 күн бұрын
Bondia ukiendekeza sana chini kiwango chako lazima kishuke
@Clex-f5s
@Clex-f5s 24 күн бұрын
Kazi na umri🤓
@AugustinoMateru
@AugustinoMateru 24 күн бұрын
Yani wachambuz wapo kishabik siy kuchambua ngumi haipendez ila kikumbw kila mtu anaona kilichopo ulingon chok yup juuuuu
@shebanishebe7866
@shebanishebe7866 24 күн бұрын
Jamaa mko vzr
@abdulsintoro5797
@abdulsintoro5797 24 күн бұрын
Mwakinyo na Twaha bado sana kwa hawa jamaa
@saidyusuph-g3x
@saidyusuph-g3x 24 күн бұрын
Nilikuwa sijui kitakachootokea kwahii fight maana ni moto
@jumanneally3303
@jumanneally3303 23 күн бұрын
nyinyi wachambuzi waongo kazi msifia mtu mmoja mnabondia wenu mtu anachezea makonde amsemi kapigwa sasa
@halidimgonza5945
@halidimgonza5945 24 күн бұрын
nasibu bondia mzr ila UTOPOLO wamemtia nuksi kusema et watamshangilia na wapo upande wke ndo maana akapoteza 😂😂
@strongfighternal6512
@strongfighternal6512 23 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@SaidDilunga-q6e
@SaidDilunga-q6e 24 күн бұрын
Wote mabondia wazr izo ndio ngum
@user-cy8el2pg6t
@user-cy8el2pg6t 20 күн бұрын
Bongo kuna wapiganaji wazuri
@FikiriMgonanze
@FikiriMgonanze 22 күн бұрын
Asante meja semunyu wewe unajuwa vilivyo bola tuweke mapambo kama haya kaka sio kama yale wengine .maneno kibao hapa kaka umetuwekea kilicho bola una stahili tuzo mkuu
@ndolimanaamani9106
@ndolimanaamani9106 24 күн бұрын
Hizi ndio ngumi sasa
@Ybsgibsondaniely
@Ybsgibsondaniely 24 күн бұрын
Yaan ukihesabu laung kalubia 5-6 chok kaongoza lichaya hata ya nokdawn nasibu kapigwa vizuri2
@SamwelMshana-x3l
@SamwelMshana-x3l 24 күн бұрын
Mabigwa wamekutana
@user-wq4us6nm8b
@user-wq4us6nm8b 24 күн бұрын
Uyuu mtangazaji ameumia san😢
@wazirisaid8326
@wazirisaid8326 24 күн бұрын
Nasibu amedhulumiwa na alistahili kushinda hili pambano kwa maana kila round inajitegemea na Nasib ameongoza round zote hata hiyo ya Saba Kama sio kuangushwa pia alikua anaongoa. Sasa vipi aliyeongoza round Saba apigwe na aliyeongoza round moja? Turudi nyuma kidogo, ktk mechi ya Kiduku na Dullah Mbabe. Kiduku aliangushwa round ya kwanza na akaongoza round zilizofuata na akawa bingwa!! Sasa hizi Sheria Ni tofauti au Ni maamuzi ya chuki?
@mdogosmart5875
@mdogosmart5875 22 күн бұрын
We muongo
@JovitusJames-gy4rk
@JovitusJames-gy4rk 23 күн бұрын
Jamn tuwapongez hao wote wanaume🎉🎉🎉🎉😅😅😅😅
@HabibaAzizi-l1b
@HabibaAzizi-l1b 17 күн бұрын
Watangazaji walikuwa wanamsifia naseeb tu bila kujali wote watanzania wenzao sasa aibu imewakuta kubabeki huyo naseeb kakalishea akune nazi 😏tatizo majigambo yakizidi lazima utoe boko
@jumanneally3303
@jumanneally3303 23 күн бұрын
wachambuzi waongo waongo chupli chupli amsemi ukweli nassib anapigwa panchi nyingi amsemi mna watu wenu
@user-wq4us6nm8b
@user-wq4us6nm8b 24 күн бұрын
Ujuu mtangazaji anatim yake apa😂😂
@user-ei9xd4qs7o
@user-ei9xd4qs7o 24 күн бұрын
Mabondia wa mologolo wajfunze ngumi apa kiukweli tu bila majungu, yan uwez kuacha kununua kifurush au bando
@clemenceleonard1089
@clemenceleonard1089 24 күн бұрын
Kilimponza Nasseb Alimdharau Mpinzani Wake Na Ilo Ndo Kosa Kubwa , Akapunguza Umaskini Wa Kujilinda
@odingamawe
@odingamawe 24 күн бұрын
Choki kiboko inabidi ucheze na class
@MoosaMzinga
@MoosaMzinga 24 күн бұрын
Class anaogopa
@Hope-ok9dy
@Hope-ok9dy 24 күн бұрын
Wewe class abari nyingine wewe
@yoramnhayo6099
@yoramnhayo6099 24 күн бұрын
Class afikii uwezo wa choki .pia choki akipata muekezaji wa pesa mzuri atasumbua sana ndani ya nchi mbaka majuu ana style kama Davis USA
@abdallahussi2978
@abdallahussi2978 24 күн бұрын
Hii game inahitaji revenge ya haraka mno ili choki athibitishe kama kweli ni mshindi isingekuwa ile knock down round ya saba nasibu alikuwa anaongoza kqa kila hali choki kabahatisha ili kusiwe na maneno pambano lirudiweapema tu.
@ramajuma1071
@ramajuma1071 24 күн бұрын
Kabahatisha wapi wakati kampiga wote tumeona tuwe wakweli ngumi ni mchezo wa makosa choki katumia nafas aliyoipata haijulishi nasib alkua akiongoza kwa round nying
@hasheemabby2583
@hasheemabby2583 24 күн бұрын
Nasibu kashinda huu mchezo 100%
@AshaMwamba
@AshaMwamba 24 күн бұрын
Nasibu amejitahid
@SubiraBushiri
@SubiraBushiri 24 күн бұрын
Ila juma choki apewe maua yake
@williamshimba9371
@williamshimba9371 13 күн бұрын
Nasibu ni bonge la bondia
@BarakaKusalula
@BarakaKusalula 22 күн бұрын
Hakuna ngumi humu ni ubabaishaji tu
@getrudeegervas6694
@getrudeegervas6694 20 күн бұрын
Panda wewe Sasa ukatuonyeshe ngumi
@hajjymohamedy-qk4ow
@hajjymohamedy-qk4ow 24 күн бұрын
Borà apigwe kinamwaju wanyamaze kushangilia
@user-mm3nr8fv5o
@user-mm3nr8fv5o 24 күн бұрын
Ila juma choki ni mwakinyo wa pl kiukwl yn inxhort role modal wake ni mwakinyo
@user-cn8zp3ly7f
@user-cn8zp3ly7f 23 күн бұрын
we nawe usifananishe uchafu wako na choki xa mwakinyo anajuwa nn wakati kwa twaha anamhogopa bondia wako mzaaa changa za tanga hko
@mnanasuly2585
@mnanasuly2585 23 күн бұрын
Nasib ni kamzidi sana juma choki kwa kila kila kitu. Nasibu is more technical than juma na nasib ana hands speed kubwa kuliko juma na nasib ana counter nzuri zaidi kuliko juma. Nasib is more skilled than juma. Knockdown to nasib imekuja kibahati tu. From 1st to 6th round nasib dominated the fight. Huu ndio ukweli
@DennisFandi
@DennisFandi 21 күн бұрын
Kilichomfanya ashinde choki sio mjuaji lakini alikuwa hamuogopi, Nasibu anamzidi lakini yy aliweka mbele nizamu na juhudi kwenye anachokiamini
@getrudeegervas6694
@getrudeegervas6694 20 күн бұрын
Wewe nawe wale wale.....
@user-us6ee5dr8r
@user-us6ee5dr8r 18 күн бұрын
True!.. Naseeb Scored from Round 1 to 6 . He is Extra Technical, Speed and Accurate. Ni talented Boxer
@MoosaMzinga
@MoosaMzinga 24 күн бұрын
Round ya 6 ndio imekuponzaa Nasibu....uwezi kutoa bikra kama ulivyosema
@BrianKazaula-so3zf
@BrianKazaula-so3zf 24 күн бұрын
Hizi ndo ngumi sasa za kutufikisha tunapopataka kwenye boxing ya tz
@chayomgonja3131
@chayomgonja3131 24 күн бұрын
Juma choki kuanzia round ya tano alitulia na kupunguza miheuko ya mashabiki…pambano zuri.. huyo Nassib ana umri gani sijui?
@careemissa2502
@careemissa2502 24 күн бұрын
31naseeb choki 27 sikosei
@chayomgonja3131
@chayomgonja3131 23 күн бұрын
@@careemissa2502 ok
@mwaramially2651
@mwaramially2651 23 күн бұрын
Sasa Naseeb wamtaka Ibrahim class Kisha hao wa chini wanakushinda
@felixngaiza3078
@felixngaiza3078 24 күн бұрын
Nasib kashinda, mi sio mshabiki wa yoyote apo ila napenda boxing.
VITASA | Twaha Kiduku alivyomtwanga Dullah Mbabe - 20/08/2021
23:03
Gym belt !! 😂😂  @kauermtt
00:10
Tibo InShape
Рет қаралды 12 МЛН
Iron Chin ✅ Isaih made this look too easy
00:13
Power Slap
Рет қаралды 29 МЛН
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
DUKANI KWA MEKU
11:05
Joti TV
Рет қаралды 285 М.
Matteo Berrettini vs Gael Monfils in five-set thriller! | US Open 2019 Quarterfinal Full Match
3:55:35
Neymar Skills 🤩🇧🇷
0:52
RptimaoTV
Рет қаралды 2,9 МЛН
What is your favorite soccer player?
0:18
Jay cok
Рет қаралды 3,5 МЛН
Players with Their Kids
0:31
LA15I
Рет қаралды 16 МЛН
금메달 기다리는 육상에 진심인 소녀 허들 100미터 챔피언 ㄷㄷ
0:11
SPORTS FULL 스포츠 풀
Рет қаралды 11 МЛН