VITUKO VYA MASANJA KWENYE MAJI MAREFU KAZAMA MTONI!!
Пікірлер: 97
@jasonjastinmatandala30375 жыл бұрын
Hakika kufanikiwa kuna hutaji kupambana sana Bila kujali watu wanasema nini kikubwa Ni kuangia njia unazopita kama zinaweza kufikisha kwenye malengo I learned great thing
@manongaclassic11135 жыл бұрын
Shikamo Baba. Roho yako uliyonayo na upendo ulionao ndio leo vimenifanya nami nijisihi nimtu niliyekumbukwa na Bwana. Love Love Love Love
@abdonkanuti12255 жыл бұрын
Masanja ni mfano mzuri kwa vijana wengi waliofanikiwa na wanaotaka kufanikiwa, moja ya vitu ulivyofanikiwa sana ni UNYENYEKEVU na KUJISHUSHA, hongera sana.
@babadee47855 жыл бұрын
This guy is a genius. Hapa ndo mahala watu wanachezewa akili na shetani kuanza kuwasema vibaya wenzao kwamba wanauza unga lakini ukweli ni kwamba pesa anayoingiza kwa miezi 6 tu kupitia shamba ni sawa na kiinua mgongo cha bregadia mstaafu wa jwtz miaka aliyokaa jeshini hadi akazeekea huko
@lightm22255 жыл бұрын
Waonyeshe waone Kaka wakiona Magari makubwa oho ajiunga. Fanyeni kazi achenimbwebwe masanja anajituma. Ukirudi mjinikukukwamrija🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏barikiwasanaaaaaaaaaaaa
@salmamohamed36405 жыл бұрын
Hongera sana masanja umenihamasisha sana, nitakutafuta
@emiliussigalla76295 жыл бұрын
Masanja bratha unanikumbusha mbali Sana nimelima Sana mpunga nikiwa mbalari kikazi hapo estet proti za upande wa nyeregete mlango wa tatu B ,nilipiga Sana pesa kwa Sasa nimehamishiwa mkoa wa songwe kaka malima mahindi na alizeti,japo kua soko la mahindi Lina suasua,tupige kazi wazee waa kazi pesa ipo shamba.
@neemamabiki61645 жыл бұрын
Yani mabosi wote wangekuwa na upendo kwa wafanyakazi wao kiasi hiki bila kujali anapesa kiasi gani ingekuwa raha sana,hakika wewe ni kioo cha jamii mchungaji.
@freckfide7445 жыл бұрын
masanja anelewa maisha sana big up mtumishi bonge la mpambanaji
@georgemassebu20835 жыл бұрын
Na kimsingi haya ndiyo maisha ya muafrika halisi
@westonmtweve36125 жыл бұрын
Hatareeee sanaaa witisha mswam makeketula
@lulanjamd38865 жыл бұрын
Masanja amefanikiwa mnasema yuko freemason hamuoni juhidi zake katika kilimo??Hongera kaka Masanja kwa kujikita na kuweka juhudi zako katika kilimo Baba Mungu awe nawe.
@mayusahussain80455 жыл бұрын
mimi naona anajituma sana kupambana
@charlesmyamba85312 жыл бұрын
Masanja ujawahi jitenga na wtu mabosi wote wangekua na upendo uwo dah tungekua mbali
@stevenmaketa80515 жыл бұрын
Nashindwa ht namna ya kukusifia cozz una inspire watu saana masanja nakisingi Hays ndio maisha halisi ya mtanzania
@RealGiftLydia5 жыл бұрын
Najuwa unaombewa sana kila kukicha nami nasema tu kwamba Mungu akujalie afya tele maana wewe ni kielekezo tosha kwa kizazi cha sasa,una mtumikia Mungu Baba na bado shuguli za kimwili unapambana Bwana awe nawe daima kaka mtumishi
@milemo6045 жыл бұрын
Mungu hakubariki mana nimejifunza mengi kutoka kwako. Hahujali hu star.
@kingkasuku97035 жыл бұрын
Mungu azidi kukubariki
@amosdaudi97935 жыл бұрын
Hahahaha haina basata hiyo mzee baba unafaa kuingwa hadi kupumua (THE GREAT MASANJA )
@labanylabany28795 жыл бұрын
wew masanjaa sijui damu ysko ipojee
@barakachami82185 жыл бұрын
Utani utani lkn utavuna Kk maisha yachukulia Kama utani utafika tu akuna kukata tamaa bro mambo unayoyafanya mngine hataona ujinga hila mm najifunza kwako jinsi yakuyakabili maisha unafanya km ufanyi masanja big up brother
@alexchungu88235 жыл бұрын
Wew sio bishoo.. Safi sana..
@sarahkitindi34203 жыл бұрын
Masanja
@samsonisaack8334 жыл бұрын
Saluti kwako
@asmahanyally32254 жыл бұрын
Masanja nimekuelea sana natamani kuja kupanda mpunga jamani
@swahilitheafricantongue70415 жыл бұрын
Hapo mwanawane sina cha kuongeza, zaid ya saluteeee
@jonasemanueli61895 жыл бұрын
Hongera masanja hujawahi kujifanya kuwa star
@festomlowegypsum82145 жыл бұрын
Amina mtumishi wamungu
@stanysirmteule67895 жыл бұрын
Ubongooo wakooo nimeukubaliii
@m.amanitv85345 жыл бұрын
Jamani nimejifunza kupitia huyu Kijana kiukweli Ubongo wako uko vizuri
@danielxhamba25315 жыл бұрын
nakukubali kinoma mwanangu salute sana
@eleciathesametome73045 жыл бұрын
nampendaga sana masanja,,,,Mungu azidi kukulinda...
@hadijaabdallah58795 жыл бұрын
Hahahahaa hatari unanikumbusha mbali masanja
@ashuramamaashuraaachekuvaa77985 жыл бұрын
Adi raha mnachenza na boss wenu sio ma boss wengine babu washakuja na magali yao wew tena anakuona kama mavo wakati ndio unaemlimia shamba lake
@mcjoshuatanzania3525 жыл бұрын
Bro we ni noma unaondoka lini huko nije tusalimiane
@awaziernest80005 жыл бұрын
Watu na kujichanganya kwao bhana
@leonarddeus58975 жыл бұрын
God blees u
@radhiasalum71565 жыл бұрын
Masanja nakukubali huna maisha ya bishoo kaka.
@victorluvanga49715 жыл бұрын
Nice bro
@nobimgaya53595 жыл бұрын
Nakukubali sana bro......
@mgallason...56865 жыл бұрын
this is real GOOD time and enjoyable🤑🤑🤑🤑
@barnabastanford35005 жыл бұрын
We noma sanaaaaaa
@emgotailoring5 жыл бұрын
Safi sana.
@m.mmarckus62985 жыл бұрын
Boss gani mwenye pesa zake anaweza kuyafanya haya jamani,hakuna tusidanganyane Masanja sijui nikufananishe nanani sijamuona.ubarikiwe sana wengine wakifanikiwa wanajifanya maisha yazamani km haya hawajapitia
@isakaally2985 жыл бұрын
I LOVE YOU MORE MY BROTHER.
@emiliussigalla76295 жыл бұрын
Ilikua mwaka 2013 nilikutana na ww pale RUJEWA pindi sijahamieshwa kikazi ulikua dukani kwa keny, hadiwea ulikua ukisalimiana na mama keny nilikusalimu na ukanijibu freshi niliitaji nipige stori na ww ila ulikua fasta Sana ila takutafuta tuyajenge.
@dicksonmpululu18005 жыл бұрын
Duuuh! Kwel we in mtu wawatu!!!
@pelusiemanueli69264 жыл бұрын
Upo vzuli San masanja
@afandebrighttz28875 жыл бұрын
hahahahaa saaaafi sana shamba shambani
@ADTZ-wk9rt5 жыл бұрын
masanja we ni noma
@theleo38995 жыл бұрын
Hahaaaaaaa masanja kumbusha mbal sana mm apo
@uncledavitv64815 жыл бұрын
hahahaha mkandamizaji hiv unajijua kwamba wewe ni fala 😂😂😂😂 ...some joking
@suzanaaloyce85084 жыл бұрын
uncledAvi Tv ufala wake ni nini
@Crownvalz5 жыл бұрын
Beach kidimbwi...
@radhiasalum71565 жыл бұрын
Dodoki daaa unakumbusha mbali sana😂😂😂
@fejam92235 жыл бұрын
Raha sana haya mambo
@faidhamyovela1795 жыл бұрын
Nguo ndio dodoki😂😂😂😂😂
@salomemwalukasa91845 жыл бұрын
yan masanja hapo safiiiiii
@frankdeus69515 жыл бұрын
Yaaan hapo umenikumbusha mbal brother
@mimilenge95485 жыл бұрын
Vizuri sana masanja
@abubakarikisuju53744 жыл бұрын
Massaja umenikumbusha kondoa sehem moja inaitwa kisese"kwenye mashamba ya mpunga tulikuwa tunaogelea hivyohivyo
@veronicambunda55165 жыл бұрын
dodoki 😂😂😂😂😂😂😂nakumbuka mbali sana
@jonijojoss91815 жыл бұрын
Mtu ulinikuta allkila chake mseme anaringa
@briannyiti2085 жыл бұрын
Najiona Mimi kabisa nikiwa kijijini🤣🤣🤣
@Bonwyatt5 жыл бұрын
Learning only
@zainabukhalifa39675 жыл бұрын
🤣🤣😋🤣🤣🤣🤣🤣🤣 noma sana
@dieumercibarrack65395 жыл бұрын
Kwa kweli sijawai kumwona mutu mishi mwenyeupendo kama masanja kwa watumishi wa kubwa ambao ni shagaona
@gambonmgaya12865 жыл бұрын
Hahaa
@matildamsekele62214 жыл бұрын
hivi hakuna maswindi?
@nkwabitz2335 жыл бұрын
emanuelllllll mgayaaaa
@gambonmgaya12865 жыл бұрын
MASANJA POST UNAVUA KAMBARE UTATRENDI UMCHOME MPAKA UNAVYOMLA NA UGALI;
@halimatanzani85875 жыл бұрын
Hahahahahaha wewe ninoma nawapenda wote
@nabiimdogotv86865 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@yassirally39335 жыл бұрын
Unahela umefnikiwa nakupendea hunaga zarau unacheza na jamaa kama ucheza tu yani hujali mazingira hakuna ubossi
@elinhotitus89385 жыл бұрын
Wapi hapo ubaruku au mtoni
@elishaworkout61165 жыл бұрын
umenifrahisha San kaka
@frolaerick30545 жыл бұрын
Hahahahah eti shati dodoki
@amosruta23085 жыл бұрын
Dahaaa apo umekunywa vikombe vingapi
@st.juniorsilwimba96915 жыл бұрын
hahahahah masanja Sikuwezi
@ellymakongo6565 жыл бұрын
😂 nlkua Miongoni mwa wabishi wa kusubscribe kwenye hii account yako lkn kwa hii video clip umenikamata asee... Nimejikuta nasubscribe ...this Africa hw we do
@aminasalim83675 жыл бұрын
Oyaa wee kiboko mwanawane
@aminajuma69245 жыл бұрын
Unavituko masanja adi raha
@Pastorlenhardkyamba5 жыл бұрын
moto moto moto NAKUPENDA KAKA
@saidasimba99795 жыл бұрын
Kichocho sasa apo
@sahiltvontheline55605 жыл бұрын
Huogopi mamba
@emanuelmasele82135 жыл бұрын
Kaka masanja E.kama utaion post hii naomba mawaxliano ako via madukathegreat@gmail.com au Nmekuwa nikikutafta kwa muda mrefu sana pacpo mafanikio. Barikiwa
@evamyotamyota88305 жыл бұрын
hahahahahaa
@hamidajuma78045 жыл бұрын
hakika wewe ni mfano wa kuigwa Nwana wane
@florabaruti80325 жыл бұрын
hayo maji hayatembei mtaugua kichocho
@marypaul74555 жыл бұрын
Kchocho mjn tu ahahaa wanao jfanya wao ndo wanajua usafi kumbe hamna lolote watu wanalindwa na Mungu tu
@faidhamyovela1795 жыл бұрын
😂😂😂😂
@mohameddamka9225 жыл бұрын
sijui nisubscribe?
@rebecaedson86645 жыл бұрын
😀😀😀😀
@getrudaadrian85585 жыл бұрын
Barikiwa , hongera sn huna ht ubishoo wengine hpo ht chini asingegusa kwenye gari ananyoshea vidore tu pesa imejaa tena mfukoni na zarau juu hata vijana hao angewaona maskini tu hawa, kumbe ajui bila ya hao kazi haiendi na wao wana umuhimu, daaa Masanja Mungu azidi kukuinua zaidi ya hapo, nasi tunaiga mfano wko kk
@تكراانزانيا5 жыл бұрын
Daaah natamani kuhamia huko
@wardamohamed56535 жыл бұрын
Unanikukumbusha Tanzania yang sana wew masanja nimemiss sana iyo Kaz 😂😂😂😂😂💗👌👍