Duuh.freedom of speech inaminywa.uchawa kila mahali
@Yussuph-r2c9 ай бұрын
Kweli kabisa mh Hashim viongozi wa ccm walioshika dola hawako sirious hapo ni kupoteza muds tu, ,,,unaona wakiambiwa ukweli wanakunyanganya MIKE , ,DAA TAIFA HILI MPAKA KATIKA MJADALA WA KITAIFA WANAKUKATIZA KAMA UKO BUNGENI CHAWA KAINGILIA KATI, ,,HATARI, ,HONGERA MH HASHIM yaani umetupa RAHA RAHA KWELI
@yussuphsaleh7679 ай бұрын
Sasa kwani hapo ni bungeni munamkatisha ,muacheni atowe mchango wake mpaka amalize ,,inaonesha kweli hii nchi si ya vyama vingi ,,AIBU HONGERA MH HASHIM HONGERA CHADEMA ,WATANZANIA TUKO PAMOJA NA NYINYI
Migogoro ya kisiasa znz huchangiwa Sana na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa wapinzani kwa kuungana na ccm katika kuibamiza znz, Hamutaki kabisakabisa kuiona znz inakuwa huru kimamlaka
@userwalterreal9 ай бұрын
Hahahahahahaha iinchi nyie ndo mme mvuruga huyo
@yusufkambale28259 ай бұрын
Jamani vyama jitahidini kuwaelimisha wanachama wenu angalau kuwa na Awareness nini maana ya sisa ikisha wawe nakujengewa uwezo kujua nini mjadala.hii hali inatia aibu!!
@saulmwalubunju10769 ай бұрын
Mkiona wananchi wenu wanabeza mijadala yenu au hoja za wabunge mjue Kuna walakini ndani ya mioyo yenu Bora kuvaa maginia kuliko suti zenye walakini
@luganomwaigomole74419 ай бұрын
IT'S PROPAGANDA..MACHAWAAAA HAWAWEZI KUKUBALI.
@ommarallyhamad74359 ай бұрын
Viongozi wenye asili ya Tanganyika sio wakweli kila inapohusu znz kudai haki yao ya mamlaka kamili ya kujitawala Ndio unaona unaafiki hutokea × kwa × kila baada ya chaguzi kuu za znz Uongozi huu vyama vya siasa hauna tija yoyote kwa maslahi ya demokrasia ya watu wa znz Watanganyika acheni nyuso 2
@saadune9 ай бұрын
Bungeni taarifa hutolewa kwa mzungumzaji siyo meza kuu au spika, na mbunge aweza kuikubali au la , hapa mbona mambo ni shaghala baghala tuu ??$$!!??!!
@abdalahgunda13199 ай бұрын
Propaganda of ccm cover opposition plan buy time but is not what Tanzania population want
@gowekogoweko58039 ай бұрын
HASHIM 😢😢😢😢😢😢
@saadune9 ай бұрын
8:24 8:24 8:24 8:24
@ChristianMkumbo-ix2ke9 ай бұрын
Anachosema ni ukweli mtupu hizo kamati spend money for nothing