Рет қаралды 1,001
Baadhi ya wafanyakazi wa hoteli visiwani #Zanzibar wamemuomba Rais wa Zanzibar kuangalia uwezekano wa kuushauri mfuko wa hifadhi ya jamii ZSSF kuwapatia walau asilimia chache ya mafao yao ili wajikimu kimaisha baada ya hoteli nyingi kufungwa.
#AdhuhuriLive #AzamTVUpdates #AzamNews
Tazama Vodacom Premier League, taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► bit.ly/2wB6zmR
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz