ASSLAMALAKUM WARAMATUALLAH WABARAKATU MY BROTHER KG FROM KENYA 🇰🇪 MOMBASA. I AM PROUD OF KENYA 🇰🇪 AND ALSO I AM PROUD OF PEOPLE OF TANZANIA 🇹🇿 MY ALLAH BLESSED OUR EAST AFRICA 🌍 COUNTRY AMEEN AMEEN AMEEN ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@fredrickmiano673320 күн бұрын
Mkenya hapa. Shida hapa nchini kenya ni kuwa viongozi wa nchi zingine ama representative wao wanakuja kutafuta adui zai huku nchini kenya. Hiyo nayo wakenya tumekataa na kama inamaanisha tutapata sifa mbaya kwasababu ya kupigania ukweli na haki za kila mtu hapa kenya....tutafanya hivo! Kaende kabisa!
@AMANiMAGOLO19 күн бұрын
Adui hatokangi mbali...na wa Tazania msitumie utekaji nyara kenya kuagusha uchumi wetu kwa kutuchafulia njina ili kwenu kuonekane kuzuri kenya ibaki kuwa mafi ..wa kenya kueni na jicho la tatu
@shabbymakapane18 күн бұрын
Sasa huyo Anae Sema Ametekwa Yoko Huko KENYA , Na Huku Tz Kakimbia kwa Ujinga wake, Msiilamu Tz Ongeeni na Huyo Mama Mumuondoe KENYA,
@DaianaMakangai20 күн бұрын
Muache Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 inamambo Yao inawasumbua watanzania waende kwao 😂😂 muache Kenya ikae n msipee Kenya mambo magumu
@lavoste00719 күн бұрын
Kama maria alijiteka nyara basi yule mganda pia alijiteka nyara na kujipeleka court ya Uganda... sindio????
@JosephLoy-k2g17 күн бұрын
Broo fikiria tu uache kufanya kazi zako, umsikilize mange kimambi, we are busy bana na maisha
@gracekagoma323119 күн бұрын
Chipande ,huyo dada siyo mtu wa harakati yeye ni shoga na Tz haitaki usenge.Ndiyo maana kakimbia .Ni usagaji .uliomleta huko .Hakuna kitu kama human rights Ni muongo sana.Maria Sarungi anaichafua Kenya na Tanzania kidunia Watalii watatukimbia😢😢
@surusuru199417 күн бұрын
😂😂wengene wanajiteka tz tuko bsy
@georgekabaka37719 күн бұрын
Nawasiwasi hajatekwa... May be wajomba zake walimchukua.... Wabongo wakikuteka hurudi
@georgekabaka37719 күн бұрын
I didnt know her before I tried to search her on tweeter.... Ukiwa unasoma tweet zake unaweza sema ni bint wa miaka 20 kumbe ni mama ea makamo kabisa....... 😮😮
@SabraAbuu-f5z20 күн бұрын
Ni kweli KG, Tanzania watu wasio julikana ndo huwa wanafanya kazi hiyo ya kuteka watu na kuwapoteza.sasa huyo mwenye alitekwa mchana kweupee uku aki recordiwa hayo ni maigizo tuu bhana 😂😂😂😂
@Salsabiil1220 күн бұрын
Tena sasa hiv watek nyara wamezid
@JACKLINEMUGALLA-c2q20 күн бұрын
Polisi wa kenya wameshindwa kulinda wakenya sasa unatarajia wawalinde watanzania
@samuelmuruthi388620 күн бұрын
Sitakulaumu, ila nitakwambia ongea na wakenya uelewe, hapa Kenya utamshtaki mwizi mwishowe utamlipa mwizi na ufungwe. Tafakari la babu.
@JoanithaKassim8 күн бұрын
Mmh weee Hao unao wanna happen ni wafanyakaxi wa Samia wamekuja kuzima Hilo soo
@HajiMgwami20 күн бұрын
Sisi tunawajua hao, wanajiteka na kuleta taharuki ili nchi ionekane haikaliki... huyo Maria ni muongo sana na tunajua nia yake ni nini kwa Serikali, huyo sio tu Mwaaharakati ni mpinzani wa serikali hakuna zaid ya KUJITEKA
@AMANiMAGOLO19 күн бұрын
Huyo ndio anatumiwa na serikali ya Tz kutuchuguza lakini anataka kutuonyesha kwamba yeye hayuko pamoja na inchi yake ..anatufanya fala
@mashakabundala995519 күн бұрын
Sisi wa sanii tumeamua kutokwenda kenya mpaka usalama uwe sawa khali sio nzuri kenya nyie mnakwenda muasisi we mzee jomo hakuwa matata kama nyinyi yoo
@SabraAbuu-f5z20 күн бұрын
Na kingine KG hao watu wasio julikana' kama kweli wange kuwa hawajuli kani ungepata walisha kamatwa,si unajua vile serikali iko na mkono refu😂😂😂😂😂😂😂
@PiusKimaro19 күн бұрын
Anawasiwasi na urais anajarib kutisha watu.wajumbe wa nec yetu macho,tuone kama mpo aslimia ngapi wanaunga mkono mzanzibar atawale tanganyika.alaf kwao watanganyika twende na pspot
@salimsibabu902720 күн бұрын
It seems you are supporting the government on what is doing. How can someone abduct himself /herself?. Pls have information before narrating the story.
@HajiMgwami20 күн бұрын
WEWE JILIZE KAMA ALITEKWA KWELI KWANINI WALIO RECORD WALIKUWEPO KABLA YA ILE GARI YA WATEKAJI KUFIKA? KWANINI BUSS LILIKUA TAYARI KUZUIA NOAH SIMTEKE NA IKAMTEKE....
@Gasto1-r7k15 күн бұрын
Nyinyi wakenya fanyeni yenu sisi msituingiiye na hiyo BBC ni yenu nyinyi
@thehustlerafrica18 күн бұрын
Tanzanian they don't have time with politicians mzee.Every one is busy searching money brother not like Kenyans
@fredrickmiano673320 күн бұрын
Enyewe ignorance is bliss😅
@DennisMonari-ru3xp20 күн бұрын
Chipande unawajua wanasiasa vizuri kweli?
@Gasto1-r7k15 күн бұрын
Kwanza Mimi sijuwi nini ukoraa
@catecate9020 күн бұрын
❤❤❤❤❤
@Awaasha-cn6bx20 күн бұрын
Alietekwa anakuwa vile alijiteka tu alafu anajiachia mwenyewe alietekwa anakuwa vile loh wanataka kuichafua tu serikali yetu ya Tz
@andeyo119 күн бұрын
Kenya si kama TZ, mwanaichii wa Kenya walipiga makelele kwa mitandao ya kijamii paka mabalonzi wa Merikani na Azimio ya ulaya hapo Nairobi wakapigia Mama Samia na Ruto simu, ikabidi wakakoma
@Gasto1-r7k15 күн бұрын
Hiyo luhaa yenu huko kenya ukora
@PasserbyMan-ju8ky19 күн бұрын
Kwenye siasa ukweli ni muhanga wa kwanza.
@paulkyalo-p1i19 күн бұрын
mwinjaku hahaaa uko kila mahali ata kwa modi
@harrisonmbinji945915 күн бұрын
Nyinyi ni kondoo hamna akili mmekaliwa na shosho
@LucyWambui-qr1pw20 күн бұрын
Hapo nimungu2 atuhurumie manake ukweli niyeye to anaejua
@HansChuma19 күн бұрын
😂😂😂 kaka wewe hujui Watanzania acha nikwambie kitu sisi watanzania hua hatuna habar na wanasiasa Watanzania tupo mbio na kutafuta hela sio kwaupuuzi wakishenzi nikweli tanzania ukitekwa umetekwa kweli sio kama upuuzi puuzi wakijinga jinga wa wanasiasa....
@AbuuAli-nf4fb20 күн бұрын
Huyo mwanamke hakutekwa na watanzania alitekwa na wakenya analaumu mama samia bure
@andeyo119 күн бұрын
Wakenya walimuteka nyara huyo mwanaharakati kwa nia gani. shida na harakati yake ni serikari ya TZ
@AMANiMAGOLO19 күн бұрын
@@andeyo1kabisa,manake MTU ndio anajuanga adui zake wenyewe ....aha! Hata wasituharibie inchi yetu...
@AMANiMAGOLO19 күн бұрын
Juu yeye hajui kutofautisha kiswahili Cha Kenya na Tanzania au? Nyie nanyi msitubebe ufala...msitumie abduction inayoendelea Kenya, kama weakness yetu kutuagushia uchumi wa inchi yetu ala! si mkae kwenu muache kutekwa .au mnamtumia huyo Mariam kutuchuguza kupeleka Tanzania mambo ya kwetu ? Tanzania mumezidi
@BavarianBlackGirl-vd2go20 күн бұрын
Please leave kenyans alone we have a problem with Ruto and not with Tanzanians all politiciansa are the but all men or women
@fredrickmiano673320 күн бұрын
All they would have done is handle their dirty work in their jurisdiction. Hii story haingekuwa imefika mahali imefika.
@surusuru199417 күн бұрын
Kabisa bor umelitabuwa
@emmakicham466420 күн бұрын
Aty kenya itajiharibia jina🤣🤣🤣🤣🤣🤣watalii si activist bro😂😂😂ma rais wa inchi zingine waache kutumia kenya for their dirty work period🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@fredrickmiano673320 күн бұрын
Hapo kweli kabisa!! Hiyo tu ndio twaomba
@andeyo119 күн бұрын
Rais wakenya ni pepo chafu, anataka Waaharakati wa kenya wakose inchii jirani yenye inaweza kuwakaribisha
@twahakabajemi971619 күн бұрын
Alipoachiwa kwa nini hacienda police?
@Davistoto194920 күн бұрын
Wewe achana na story za tz hao huwa wabishi kwa kila kitu serikali ya kaongo imeoza
@HansChuma19 күн бұрын
We don't care....tz mchaka mchaka
@AishaAisha-q7y20 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@SHABANOKELLO20 күн бұрын
How about the abduction of Dr kiza plz plz plz stop 🤐
@denniskarito899419 күн бұрын
Stop spreading propaganga. Watoto wako pia wataumia bro .corruption lazima iishe