HOTUBA KAMILI YA RAIS MAGUFULI AKIWA TARIME - 07/09/2018

  Рет қаралды 423,002

Azam TV

Azam TV

Күн бұрын

Ni kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika leo Septemba 7, 2018 kwenye Chuo cha Ualimu Tarime ikiwa ni sehemu ya ziara yake mkoani Mara.
Katika kuhitimisha ziara yake mkoa wa Mara, Rais Magufuli amehutubia mkutano wa hadhara Mjini Tarime na kuwahakikishia wananchi wa mji huo kuwa Serikali ya Awamu ya Tano itaendelea kuwahudumia wananchi bila kuwabagua.
Katika hotuba hii Rais Maguli ameeleza sababu ya kumuondoa kwenye nafasi yake Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Valentino Mlowola, amekemea vitendo vya rushwa na ubadhirifu ndani ya CCM, pia amemkaribisha CCM mbunge wa CHADEMA Ester Matiko.
Amesema kwamba kwa Tarime serikali imetenga shilingi Bilioni 14 kwa ajili ya mradi mkubwa wa maji, imeanza ujenzi wa barabara ya Tarime - Mugumu kwa kiwango cha lami, imetoa shilingi milioni 400 za ujenzi wa kituo cha afya, inatoa fedha za elimu bila malipo kila mwezi na inaendelea kusambaza umeme kwa vijiji vyote visivyo na umeme.
Rais Magufuli amezungumzia uwekezaji wa shamba la miwa na kiwanda cha sukari katika wilaya ya Tarime, na kueleza kuwa Serikali itafanya uchambuzi wa kina kabla ya kuridhia mradi huo huku akiwataka viongozi wa Mkoa na Wilaya kuondoa tofauti zao.
Kwa wilaya jirani ya Rorya Rais Magufuli amemuagiza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Selemani Jafo kutafuta fedha kiasi cha shilingi Bilioni 1.5 kwa ajili ya kujenga hospitali.

Пікірлер: 115
@stellakutta6513
@stellakutta6513 2 жыл бұрын
Loooo! Ni hasara na pengo sana kumpoteza kiongozi wetu mkubwa kama huyu. Maskini watanzania. Tutampata wapi tena. Mungu twakuomba iweke roho ya baba yetu Rais wa Tanzania. J.M. Amina.
@josephgervas8558
@josephgervas8558 2 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akupumuzishe mahali pema peponi amen
@stellakutta6513
@stellakutta6513 2 жыл бұрын
Yaani ni hasara. Tulipoteza kiongozi wa ajabu sana. Alikuwa ni kiongozi mwenye hekima, busara, maarifa, akili zuri za kuwaongoza Watanzania. Loooo! Ni pengo sana lisilozibika. Mungu iweke roho ya Tas wetu Marehemi
@christiankambuga9338
@christiankambuga9338 2 жыл бұрын
Tulikupenda sana mh JPM mungu akulaze pema
@samwelilaizer661
@samwelilaizer661 2 жыл бұрын
😭🇹🇿😭🇹🇿😭🇹🇿😭🇹🇿😭🇹🇿😭Hakika hayati Dr John pombe Magufuli Tutamkumbuka daima kipenzi chetu
@nendemakyambe5624
@nendemakyambe5624 6 жыл бұрын
naendelea kumwombea huyo Rais JPM Usiku na mchana, Mungu amjalie katika uongozi wake! Anafaa kuitwa Rais wa Afrika nzima!
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 2 жыл бұрын
Vp bado unaendelea kumuombea??
@nendemakyambe5624
@nendemakyambe5624 2 жыл бұрын
@@kassimrajabu7805 Inamaanisha kuwa wewe pia umo miongoni mwa walio shiriki Katika kifo chake! Kila mwenye mwili, atakufa tu!
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 2 жыл бұрын
@@nendemakyambe5624 unatafunwa nn?? Mimi Mungu??
@Crabtree1844
@Crabtree1844 2 жыл бұрын
Amen. Hatutapata mwingine kama yeye. Mungu alitupatia dume kweli; Jembe kutoka Chato.
@kennyrogers4734
@kennyrogers4734 2 жыл бұрын
@@kassimrajabu7805 😂😂
@machoguhameri7757
@machoguhameri7757 2 жыл бұрын
Mungu akukumbuke akumbuke sadaka yako uliotoa wakati wa uhai wako.akusamehe makosa yako.akupe Raha ya Milele.
@husseinhamiss6538
@husseinhamiss6538 2 жыл бұрын
Yumekumis sana baba jpm pumzika kwa amani mwanga wa milele ukuangazie
@edwardmagige874
@edwardmagige874 3 жыл бұрын
Duu! Alaaniwe kama kuna alie husika na kifo chako rais wetu. Nakuelewa sana
@noelbryson7840
@noelbryson7840 2 жыл бұрын
Alaaniwe pia aliyehusika na kifo cha Beni Sanane, Alphonce Mawazo, Azory Gwanda na wengine wengi, alaaniwe pia
@karimhgau9020
@karimhgau9020 2 жыл бұрын
Mungu akutangulie,kweli wewe ni chuma.tangulia BABA.Mungu atakulipia.
@captbilly87
@captbilly87 9 ай бұрын
Kiongozi Bora 👍
@alcoholdisque6400
@alcoholdisque6400 2 жыл бұрын
I never get enough of him. He went too soon🙏
@fatumammbaga8396
@fatumammbaga8396 2 жыл бұрын
L
@selemanmtaita9886
@selemanmtaita9886 2 жыл бұрын
Kk
@amourmunga8356
@amourmunga8356 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭tutayaishi mema yako huruma zako na upendo wako kitabu chako nikizurii sana pumzika baba tunakuombea
@azizahasan4420
@azizahasan4420 2 жыл бұрын
Mungu anatupenda
@gratianustindazesile7051
@gratianustindazesile7051 2 жыл бұрын
Good vision in a simple mind
@smootkizy_jr
@smootkizy_jr 2 жыл бұрын
Daah Rest in peace My President John,now mzee Tz ni nchi ya tozo, na kusifiana tuu pasi utelekezaji ,wale wote uliowateua washapigwa chini,nchi ishabiki chungu #Samia mwenyewe kila day Safari zisizoeleweka My President Rest in peace Baba Magufuli🕊
@mahmoudaziz6281
@mahmoudaziz6281 6 жыл бұрын
my best president
@mamamanka1310
@mamamanka1310 2 жыл бұрын
Tutazidi kukuombea make ulituweka Katika usawa lkn ulikufa kupitia wabaya wako Mungu atajbu
@christiankambuga9338
@christiankambuga9338 2 жыл бұрын
Tutakukumbuka king wetu JPM
@wamburachacha1248
@wamburachacha1248 6 жыл бұрын
vizuri saana Rais Magufuli kwa hotuba nzuri
@raphaelkailembo8679
@raphaelkailembo8679 2 жыл бұрын
Upumuzike kwa Amani na Mwanga wa milele ukwangazie ehee bwana!Apumzike kwa Amani...Amina
@bisekoc.k.jenjela7936
@bisekoc.k.jenjela7936 6 жыл бұрын
Safi sana.
@ndimamsuya9709
@ndimamsuya9709 2 жыл бұрын
Keep shinning wherever you are! Missing you Big Man ..
@jumakalukule5312
@jumakalukule5312 2 жыл бұрын
Aisee m/mungu akusamehe makosayako uliweza kwa kiasichako sizani kama tutapata atakae kulivu
@allymalega252
@allymalega252 2 жыл бұрын
Huyu ndo raisi wangu mwenye maamuzi na msimamo thabiti.
@karimhgau9020
@karimhgau9020 2 жыл бұрын
Nita kuku mbhuka sana rais wangu mwenye upendo wadhati uliyo tuonesha sisi watanzania tunakujua vizuri sana mungu akutangulie uko uliko tuta endelea kuku penda auta futika katka moyoni mwetu utabaki daima rais wangu mwenye upendo wadhati na bara la Africa mwenyezi Mungu na ombha utulinde na kila shari
@richardboaz-mashagospel2346
@richardboaz-mashagospel2346 2 жыл бұрын
The only hero of our time....baada ya mwalimu nyerere kiongozi pekee anayefuata ni huyu...hakuna mwingine. Mpaka leo Mungu ametupa viongozi hawa tu
@salehsports6372
@salehsports6372 6 жыл бұрын
Muheshimiwa alivyosema "Pendaneni, Shirikianeni Msibaguane" jozi limetaka kunitoka". Kila Muheshimiwa Rais akimtaja mkuu wa wilaya msaidizi wa Rais anamwangalia kwa jicho kali mkuu wa wilaya 💪👊, ila anaonekana mtu wa huruma kwa sababu ana tabasamu mara kwa mara.
@revocatussebastian2427
@revocatussebastian2427 2 жыл бұрын
Tangu ufariki matajiri wanacheza fauro# ile stendi yamabasi ya Mkoani ulioijenga mbezi Luis wameifanya kama check point wanapakilia abiria mjini nakushushia mjini# kituo kinapoteza mapato mengi...# tutakukumbuka baba# RIP J.P.M
@goddymduda3774
@goddymduda3774 2 жыл бұрын
Rest in peace Dr. JPM. Daima tutakukumbuka
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 2 жыл бұрын
Kweli my brother tunajua kitabu chako hakikua na muhuri wa nnje ya afrika.
@nicoluscanal5748
@nicoluscanal5748 2 жыл бұрын
Baba umefanya kazikubwa sana mwezimungu akupe pumziko lamilele
@saidimtame2320
@saidimtame2320 2 жыл бұрын
Mzee wangu me sisemi ninavyo umia moyo sema mungu ndio mjuaji sema dah mda mwengine watu wanausika na kumkimbilia mungu
@jamesngundateresia2600
@jamesngundateresia2600 6 жыл бұрын
JOMBAAA GOOD SANA
@alphahassani564
@alphahassani564 6 жыл бұрын
Napenda kuchua fursa hii kumpongeza Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mh. John Pombe Joseph Magufuri kwa utendaji wake thabiti ni mfano wa kuigwa kwa viongozi wengine wa kitaifa na kimataifa, Mungu akujalie maisha marefu yenye afya njema.
@jamesngundateresia2600
@jamesngundateresia2600 6 жыл бұрын
Kazi kazi MAGU
@JessicaRasigu-u8v
@JessicaRasigu-u8v 10 ай бұрын
Mungu wangu uishie mbinguni, hufai kuulinzwa maswali kwa ulichokifanya,ila kwa uyu Raisi wetu JPM,ungezuita iyo kifo asife araka jinsi walivyo muuwa huyu baba wetu kipenzi cha watanzania wanyonge 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭,naomba umsamehe makisa yake,ili umpokee kwa upendo,jinsi alivyo tupenda sisi wanawako, waafrica
@Iragibarune1.
@Iragibarune1. 2 жыл бұрын
😭😭😭 mungu amlazemahali pema peponi 💔💔💔💔
@serengetiglobalnet2575
@serengetiglobalnet2575 2 жыл бұрын
RIP JPM
@allyruchoro4542
@allyruchoro4542 2 жыл бұрын
Rais wangu mangufu nitakukumbuka Sana
@gracejohn8574
@gracejohn8574 2 жыл бұрын
Hongera
@ahmedh9882
@ahmedh9882 6 жыл бұрын
Hi mr president for real we’re in multi party in Tanzania but the opposition party ni mafisadi
@emanuelelphas3653
@emanuelelphas3653 2 жыл бұрын
rest in peace JPM
@mdtv2625
@mdtv2625 2 жыл бұрын
All the best our president forever
@olivierdratchu4480
@olivierdratchu4480 2 жыл бұрын
Nampenda Sana tanzania magufuli
@adildewji4322
@adildewji4322 2 жыл бұрын
May Allah rest his soul in eternal peace.. miss him.
@zubeirmuhammad3024
@zubeirmuhammad3024 2 жыл бұрын
Lllllllllllllllllllllll
@augustinerutamu6037
@augustinerutamu6037 2 жыл бұрын
@@zubeirmuhammad3024 l
@tanzaniteinzanzibar6655
@tanzaniteinzanzibar6655 2 жыл бұрын
Rip Magufuli
@rosetreffert6727
@rosetreffert6727 2 жыл бұрын
💔💔🙏🙏rip Magufuli atakumbukwa daima
@josephgervas8558
@josephgervas8558 2 жыл бұрын
Mh!😭😭😭😭
@sikudhanikuhanzibwa5524
@sikudhanikuhanzibwa5524 2 жыл бұрын
Dady r.i.p u' was direction of the nation loveeer
@sadikimsumba5335
@sadikimsumba5335 2 жыл бұрын
I real remember my best president
@josephgervas8558
@josephgervas8558 2 жыл бұрын
Jamani sisi watanzania tumemkosea nini mungu akatuondoshea huyu mtu mapena namna hiii, acha tulie tuuuu😭😭😭
@shinjejulius5817
@shinjejulius5817 2 жыл бұрын
Sawa
@pettermasika9120
@pettermasika9120 6 жыл бұрын
Rais anastahili kueshimiwa muno John pombe Magofuli kwa Moyo wake wa uzalalendo wa kulitetea Taifa Hili letu la Tanzania, Mimi binafisi Nakuwombea wewe na Prfs paramagamba Kabudi Waziri wako wa sheria munayo yanena, yapate kibali mbele ya Mwenyezi Mungu., Ukirudi nyuma uwe jiwe la chuvi nathubutu kusema Mwenyezi Mungu asiwasame ehe ninyi nyote Kama mtawadanganya Watanzania
@charlesthomas8463
@charlesthomas8463 2 жыл бұрын
rip
@edsonbakari4421
@edsonbakari4421 29 күн бұрын
😢😢❤
@mwarabulaizer5918
@mwarabulaizer5918 Жыл бұрын
Hivi niwaulize wezangu je JPM angekuwa hai mpaka leo hii inchii ingekuaje sasahivi?RLP mungu akupe mahala pema peponi nitakumbuka siku zote za maisha yangu ila siyo kwa mabaya bali kwa mazuri ulio tutendea sisi watanzania wote bila ubaguzi wa vyama rangi n.k 🙏🙏🙏 🙏
@stevenjackson4985
@stevenjackson4985 2 жыл бұрын
Mniache tu nilie😭😭
@hasani565
@hasani565 6 ай бұрын
😢😢
@shimbishimbishimbishimbi7037
@shimbishimbishimbishimbi7037 2 жыл бұрын
Pumuzika kwa amani baba sisi watanzania tutaederea kukumbuka popote uripo baba
@josephmakutano7067
@josephmakutano7067 2 жыл бұрын
Uliongea lakini matokeoyaka nimabaya kamwashetani m
@zuhurakimario8672
@zuhurakimario8672 2 жыл бұрын
Pumzika baba
@zuenahamoud1532
@zuenahamoud1532 2 жыл бұрын
We Miss you papaa
@machugukihongwe1861
@machugukihongwe1861 2 жыл бұрын
Hotuba inanikumbusha sana
@rogermiller165
@rogermiller165 2 жыл бұрын
Alitembea sana Chato akaiba na pesa. Watu wa Ulaya hawakuhitaji. Ni kwamba ulikuwa na shida na hukuweza kusafiri.
@mucci_AI
@mucci_AI 2 жыл бұрын
😂😂😂 daaah unajua mtu ukiwa humpens utafta sana weakness zake hata za kumpakazia
@MuhungaMasengo-og3vk
@MuhungaMasengo-og3vk 3 ай бұрын
Ata hotele yasugu ina sahili kuvunjwa kwa nini ?
@nurdinalhaji7139
@nurdinalhaji7139 Жыл бұрын
Eti leo hayupo na sion wakuziba pengo lake na wale wanataka kupambana kama yeye wanazimwa kwa hoja kuwa hawaipend demokrsia Mungu tusaidie tumpate mwngne anaefanana na huyu Uncle John..inauma ila hakuna namna pumzika kwa aman mkuu
@majutomajutokatundu9259
@majutomajutokatundu9259 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@loner_wolf
@loner_wolf 2 жыл бұрын
Hata mm sipendi ccm lkn kura zangu umepata kura zangu . rest in peace
@wizydeko1496
@wizydeko1496 2 жыл бұрын
Daaah ankoo
@chachaambrose620
@chachaambrose620 2 жыл бұрын
Rais wetu mama Samia tembelea Tarime tarafa ya ingwe kata ya nyamwaga Kijiji Cha komarera ujionee wanyonge hao wanavyo dhurumiwa ardhi yao mgodi wa Mara kasikazini ukiegemea serikali yako,hakika Kuna dhuruma kwa Wana nchi hao waokoe rais,pata taarifa kutoka kwa wananchi wenyewe sio kwa viongozi mikoa/wilaya/talafa/kata/Wala Kijiji uliza walengwa,
@bekaashbai1781
@bekaashbai1781 2 жыл бұрын
Tulikua na father k zenji kila basi muombeni 2
@raphaelkailembo8679
@raphaelkailembo8679 2 жыл бұрын
Tutakukumbuka Daima!
@kundaellyimo7523
@kundaellyimo7523 2 жыл бұрын
Mama ujumbe umfikie kwenda ulaya sana sio kufanikiwa kwa nchi Tuna madini Chuma Milima Na park
@timothybosire5390
@timothybosire5390 2 жыл бұрын
R. I .P .YOU DID ALOT TO YOUR COUNTRY
@michaelshayo401
@michaelshayo401 2 жыл бұрын
Pumzika salama baba JPM
@anytime5685
@anytime5685 2 жыл бұрын
President president president real president
@stevenkisinda2904
@stevenkisinda2904 2 жыл бұрын
Hiki kichwa ni baraaa ila kuna vichwa vingine puuuu fikangafu kweli
@josephvenus3259
@josephvenus3259 2 жыл бұрын
Huyu ndio raisi tunaye mwitaji kwa sasa. Maana hatujui kwa sasa tunaongozwa kwa kuelekea wapi kimaendeleo
@jonasjaphetthomas6434
@jonasjaphetthomas6434 2 жыл бұрын
Maskin yamungu rais wangu jaman! Daah kiukweli tanzania imepoteza rasrimali ya taifa,huyu jamaa kama angeendelea kuish sijui tanzania ingefika wapi, kwa miaka mitano tu tanzania ikabadilika yote. Aiseeee basi bwana.
@titusosano3946
@titusosano3946 2 жыл бұрын
Hakika tulimpoteza Rais Mzalendo
@shijabusheshe3395
@shijabusheshe3395 2 жыл бұрын
Aiseeeee lilikuwa jembe
@fidelisduwe6028
@fidelisduwe6028 Жыл бұрын
Ash many
@edwinochieng2738
@edwinochieng2738 2 жыл бұрын
Edwin ochieng
@zaburonjoshua6987
@zaburonjoshua6987 2 жыл бұрын
Da mgugu msamehe babayetu pale alipokoseya lilaze lohoyake mahala pema
@raphaelmack9648
@raphaelmack9648 2 жыл бұрын
Mzee noma anakazia mpaka mtuanashindwa kuongea
@samwelmangi6870
@samwelmangi6870 2 жыл бұрын
Urusi
@yohana9273
@yohana9273 2 жыл бұрын
Tundulisu
@emmabroy1209
@emmabroy1209 2 жыл бұрын
Mala Mia nikamsikiliza hayati magufuri hata Kama hayupo Ila maneno yake yananipa faraja
@akilihabibu5326
@akilihabibu5326 2 жыл бұрын
BULIANI BABA YETU MUNGU AKULUNDE
@francismlulu3356
@francismlulu3356 2 жыл бұрын
Sizani Kama tutapata mwingine
@selemanmtaita9886
@selemanmtaita9886 2 жыл бұрын
M
@salumshehe9448
@salumshehe9448 2 жыл бұрын
Zuchu
@chitembokiyuga5916
@chitembokiyuga5916 2 жыл бұрын
Jpm bado anaishi kifikira ama kweli ni jembe
@lobartkulwa5050
@lobartkulwa5050 2 жыл бұрын
Urzik
@filbertisidory5873
@filbertisidory5873 2 жыл бұрын
L
@jonasjaphetthomas6434
@jonasjaphetthomas6434 2 жыл бұрын
Rais naowajua tz ni wawili tuu. Jk.Nyerere na JPM tuu. Wengine wote siwafaham sijui kwanin??!
@ShaibuAllex
@ShaibuAllex 6 ай бұрын
😢
@shaabanmasoud4827
@shaabanmasoud4827 2 жыл бұрын
Pumzika baba
HOTUBA KAMILI YA RAIS MAGUFULI AKIWA MUSOMA - 05/09/2018
1:08:30
My Daughter's Dumplings Are Filled With Coins #funny #cute #comedy
00:18
Funny daughter's daily life
Рет қаралды 18 МЛН
小天使和小丑太会演了!#小丑#天使#家庭#搞笑
00:25
家庭搞笑日记
Рет қаралды 43 МЛН
ДЕНЬ УЧИТЕЛЯ В ШКОЛЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 3,4 МЛН
The Joker wanted to stand at the front, but unexpectedly was beaten up by Officer Rabbit
00:12
HOTUBA YA MAGUFULI KWENYE MKUTANO NA WADAU WA MADINI      22/1/20199
1:12:14
KIPINDI MAALUM CHA RAIS DKT  MAGUFULI AKIWA CHATO MARCH 29,2016
52:42
Ikulu Tanzania
Рет қаралды 81 М.
Hotuba ya uzinduzi wa Bunge la 11 dodoma Nov 20,2015
1:38:02
Ikulu Tanzania
Рет қаралды 148 М.
My Daughter's Dumplings Are Filled With Coins #funny #cute #comedy
00:18
Funny daughter's daily life
Рет қаралды 18 МЛН