Рет қаралды 840
Wahariri wa Vyombo vya habari wameelezea kufurahishwa na maendeleo ya miradi mbalimbali inayotekelezwa na Wizara ya Kilimo ikilenga kutoa fursa ya ajira kwa vijana katika kukuza Sekta ya Kilimo nchini.
Wakizungumza mara baada ya kutembelea miradi hiyo tarehe 28 Machi 2024, Wahariri hao wameipongeza Serikali kwa utekelezaji wa miradi yenye tija na kuwasihi wananchi kutumia miradi hiyo ipasavyo ili waweze kunufaika kiuchumi.
..............................................................................................................
#01trending #tanzania #umwagiliaji #kilimo #kilimobiashara #kilimochaumwagiliaji #MAKALA #story #storybook #ikulumawasiliano #DktSamiaSuluhuHassan #Rais #agriculture #agranews #agranewstoday #agricultural #agronomia #agroecologie #agriculturelife #agriculturalmachinery #kilimoufugaji #agrieconomy #kilimo #trendingtanzania #ikuluzanzibar #ikulutanzania #ikulu #ccm #ccmtz #chamachamapinduzi #agrfilms #agrf2023 #cnbctv #cnbcnews #kbcchannel1 @TBC_Online @ikulutanzania255 @globaltv_online @kilimotv1730 @millardayoTZA @uhondotv5210 @WatchTanzania @Channeltenonline @CLOUDSMEDIA @chamachamapinduzi-official2767 @CNBC @CNN @bbcswahili7924