KWA HABARI NA MATANGAZO TUPIGIE SASA 0753393036 CALL 0625466848 WHATSAPP
Пікірлер: 201
@masumbukomoussa9772 ай бұрын
Wanao subiri uchambuzi wa GB64 juu ya hili sakata gonga like hapa
@BilaliBilaliamri2 ай бұрын
Gb yule njaa tu hana lolote
@bryangeofrey9282 ай бұрын
Umeongea vizur mkuu,ww ni msomi kaka..safi
@MichaelMagawa-xn2ht2 ай бұрын
NYIE MLIKUA WAPI MPK HAYO MAMBO YAMEFIKA HUKUUUUU??
@bernardndemba22532 ай бұрын
Tunachogomba hapa ni maendeleo ya Team watu wanapoteza maisha Team haifanyi vizuri . unatuletee makaratasi . mataperi wakubwa
@user-nk9zc5il5v2 ай бұрын
very smarty man unadeserve kuwa kiongozi
@LorynNila2 ай бұрын
Umechambua ila amkutakiwa kusubiri sana miaka mitatu mfululizo tumechelewa sana
@monelayongola4192 ай бұрын
Hamna kitu hapo , kasema pumba tupu. Kama sajili zilikua mbovu na kuwa zinawapa hasara, Jeeeeee Ni Nani hua anasajiri ??. Angesema hapo kwanza . Ni MOO au Nani ??.
@davidsimbeye15482 ай бұрын
Nilikuwa naamini mashabiki wa Simba wote ni watu wenye uelewa mkubwa kumbe kuna wengine ni mashabiki maandazi. Yaani misimu yote mitatu kumbe Mo alikuwa anatoa hela halafu kila mwaka mnafanya usajili wa hovyo. Tena kaweka zaidi ya billion 20 mnatakiwa mtuambia hizo hela mmezipeleka wapi
@Mpezie2 ай бұрын
Kampuni ni yake ndio kwa kuwa hakuna hata boxer moja mmewahi kuweka. Na ndio maana mnaongelea hela za Mo sio zenu. Hamna hela sasa makelele ya nini......!?
@user-tb4gh1sm9k2 ай бұрын
MZEE KILOMONI YULE MZEE ALIYAONA YOTE HAYO NA AKATUASA MO DEWIJI SIO MUWEKEZAJI BALI NI MJANJA MJANJA TUU TUKAMTUKANA MZEE KILOMONI SANA LEO MNAMUONA MO DEWIJI ANAVYO BADILIKA
@josephmihayo62362 ай бұрын
Daaaaah, nimelia sana kumbe anadai Hela za mchicha, boxer na kandambili.
@user-pf6yw7vh1p2 ай бұрын
Wapenzi wa Yanga jifunzeni ktk hili na msifurahie hili sbb upande wenu ndio hatar zaid sbb upande wa muekezaji GSM na wanachama Hersi Said mtalijua hili mtakapokosa kombe mwaka mmoja tuu
@johnnymarenge90712 ай бұрын
Nahawa walikua wanapokeaje pesa bilamaelezo kwanini hakukua namaelezo kabla yakutumia pesa zake haiwezekani mupokee pesa bila maelezo huku mnasema kisheria hatakiwi kutoa pesa nje yaambayo anatakiwa kuweka kamamtaji pia mabango kwenye jezi anawekaje bila makubaliano yamakaratasi hatakama nimwekezaji nyiendio vichwa maji sahivi mnajifanya ooh sijui mo anatakahivi kwanini hamkohoji wakati anatoa pesa nyiemnapokea tu sasa mtalipatu
@godfreymbela85932 ай бұрын
❤
@benadethajohn26962 ай бұрын
point
@mkilwaabdul92302 ай бұрын
miaka yote walikuwa wapi mbona hawajujitokeza hadhalani wapuuzi hawa.
@abuuaidh65002 ай бұрын
Nanyi mnataka muwe omba omba Ngojeni Aondoke huyo muone habari yake kuendesha timu si Maneno tu
@user-ex9xv4bl7u2 ай бұрын
Nimemwelewa sana jamaa
@michaeljames4032 ай бұрын
Mo always the hello. Kama mnaweza rudisheni pesa ama la, mpeni team yake kwani tayr amemeet conditions za kununuwa club yenu kwa thamani mliyoweka ya 40b
@RolethaRevelian2 ай бұрын
Kuna watu hum hawana nidham ukiwa huna chakuandika acha matusi Wakati hunalolote kisa Kuna na sim kubwa unakuwa kama huna akili . Hiki nikipindi Cha mpito Kila jambo linamwisho Simba itakuwa sawa Bayan na Man u hata wao wamepoa Simba siyo ajabu kutokea hayo ila malekebisho ya ni muhim saana kwenye usajili na management kwa ujumla.
@abdallahmesso77322 ай бұрын
Inauma kupokonywa Tonge tumieni busara muondoke Acheni habari zenu.aiwaelewi maana hiyo taarifa yenu mlipaswa kuitoa tabla ya hili sakata.kwa sasa mmechelewaaaa
@GibsonNtamamilo2 ай бұрын
Mimi namshauri MO aachane na Simba. Awarudishie timu yao ili watafute mdhamini mwingine au wachqngishane wenyewe wasajiri vizuri wachezaji wanaowataka wapambabe na Yanga ambayo GSM, Kikwete na Ridhiwani wanaishamini😂😂😂
@AfzalShah-gp5oj2 ай бұрын
Timu inachukuliwa na gsm Simba itakuwa tawi la yanga
@allygoodboytzsdoneintanzan39702 ай бұрын
kweli kaka
@user-pf6yw7vh1p2 ай бұрын
hasara zake Mo atalipwa na nani acheni ubabaifu Hamtaweza kuiendesha Simba na hata kama Mtapata muekezaji lkn atakua hana moyo kama Mo acheni ujinga yeye alitoa pesa bila kujali mchakato kumalizika au kutomalizika
@michaelamon24372 ай бұрын
Kwani kipindi chote hicho mlikuwa wapi msiseme ndio mnakuja kusema leo 😅😅 na transformation inakaribia kukamilika hivyo, maana tujiandae kuuza timu moja kwa mojaaa yaani au chagua namna kulipa deni ambalo hujakusudia kukopa 😅😅😅
@kakorejrboyz64472 ай бұрын
Kwani wewe Simba unanufaika na NN? Zaidi ya FURAHA BAADA ya MAKOMBE. NARUDIA HAWA JAMAA NDIO WANATUKWAMISHA NA SIO MO
@SaraJinalangu2 ай бұрын
Ila wazeee wa Simba waliliongea hili mapema Pamoja na mzee Kilomoni lkn mashabiki wakawaona njaa Leo Yale Yale Ya mbwa kumuita jibwa
@yustusmalende92632 ай бұрын
Safi sana huyo sasa ndio level ya eng hersi makolo huyu mtu msimuache hazina ya Taifa hii kumbe Watu mnao makolo toeni wazee mbaki na vijana hawa.
@moizjohnston38412 ай бұрын
Hii board ilipaswaa kutueleza wao walikua na mipango gani ambayo imekwamishwa na Mo?
@houmdmajid-ur9dp2 ай бұрын
Nyote nyny tokeni hatuwataki wanafki t siku zote izo mulikwa wapi mpka yanafkia hy team inapotea washenzi nyii tokeni acheni ngazi hatuwatkiii
@shabanihamisi1152 ай бұрын
Siwezi kutoa maoni yangu kwa sasa mpaka nisikie upande wa pili wa Mo mwenyewe. Kwani wakati anatoa hela na nyinyi mkipokea, kwanini hamkumhoji kuwa anawapa hela za nini?
@CareenJulias-iu7tf2 ай бұрын
Wewe Ni usichezee akili za watu, hapo hakuna mantiki yoyote ukilinganisha na Hali ya wakati uliopo sasa. Je, NYIE Kama wajumbe wa bodi mlichukua hatua gani kutoka nje na kuwaeleza Watanzania Hadi Hali inakuwa Kama hivi ilivyo? Kwani Mo. anakosa gani kutoa hiyo hela? Na hata Kama anaiomba Ni halali yake kosa liko kwenu. Basi mtuambie vyanzo vyenu vya kuiendesha club vilikuwa Ni vipi tofauti na hela ya Mo. NYIE wote Ni wapiga dili tu wazuri. Mwondoke bana Mnazidi kutuchafua tu. HAKUNA LOLOTE NYIE.
@user-mg1yl2rl8s2 ай бұрын
Sasa watu kama hawa wenye madini na nondo za kutosha ndo wawe wanaongea sasa yaani anaeleweka mpaka basi sio mashabiki mbumbumbu wale oya oyah kina gb sijuwi 4 yaani utumbo na uharo mtupu..utamkuta mishipa imemtoka kama anajisaidia mapera.....anapiga makelele hata anachoongea hakieleweki yaani kila akiongea yeye ni historia tuuu sijuwi nani kamfunga yupi mara Manara angekuwepo sijuwi ingekuaje mara viongozi wajiuzuru yaani kama wehu vile😏
@BakariHassani-wr4hj2 ай бұрын
Kabla mashabiki hasira hazijapanda mnatakiwa muondoke kabla hatujafanya maamuzi magumu sana nyie ndiyo mnao iharibu Simba 🦁 simuondoke mbona Ving,Ang,anizi mjue mnatupandisha hasira
@CareenJulias-iu7tf2 ай бұрын
Kamilisheni utaratibu wote wa kumkabidhi Mo. timu halafu ndo mtueleze makosa yake, Mo. hana baya lolote. NYIE wote Ni wakutoa wote.
@user-ex9xv4bl7u2 ай бұрын
Wanasimba wengi Mo anatwaminisha kuwa ni bora lkn msikilize vizur huyu jamaa ana point sana
@user-gr9wc7bc2m2 ай бұрын
Ana hela huyu unamsikiliza maskini we vipi
@chiefmajai93452 ай бұрын
Viongozi wa bodi mipango sahihi washabiki ushindi mo achukue timu mangungu naye mseveni bila mtutu hatoki
@user-ob8ez6kw6q2 ай бұрын
Namkumbuka hamisi kigwalala ujue lile jamaa ubongo wake zahabu nakumbuka aliposema mo hafai kua kiongozi wa mpira sababu yeye ndo chanzo cha migogoro watu wakapiga makelele Kigwangalla mamluki, leo yanawakuta miwani kama fundi saa
@mohammedhimba16472 ай бұрын
Huyu jamaaa Wanasimba mumuunge mkono Mo ni tapeli
@robertphilip3852 ай бұрын
Siyo tapeli tu Mo nijambazi
@kakorejrboyz64472 ай бұрын
ACHE KUJICHANGANYA .. HAWA JAMAA WAONGO WAMESHINDWA KAZI SAHIVI WANATAKA KUJIFANYA HAWAHUSIKI. MO AMEJITENGA NA SIMBA BAADA YA HAWA JAMAA KUMUKWAMISHA KWENYE UWEKEZAJI
@kakorejrboyz64472 ай бұрын
HEMBU JIFIKIRIE ANAYEIUWA SIMBA NI MO AU NIHAWAJAMAAA?.
@ChiefMsenya2 ай бұрын
Mbona jamaa kaongea vizuri Sana,mo anataka Ela alizotoa zote ndo ziwe mtaji,hivi hapo tunashindwa kuelewa nani ni tatizo
@BilaliBilaliamri2 ай бұрын
Uyu jamani watu wanampuiza ila ndo mtu alieweka wazi kuliko mjumbe yoyote .
@rubensamson86812 ай бұрын
Sasa Hawa ndio waliokuwa wanaikwamisha Simba japo wapo sahihi ila hii vita ya wenyewe kwa wenyewe ndio tatizo kubwa ndani ya Simba haikuwa mbovu kama inavyozungumza
@marokazungu31652 ай бұрын
Sis tunataka ushindi
@Frolianagabito30002 ай бұрын
Nyie walala hoi njaa zinawasumbua😅😅
@novartusmushi65722 ай бұрын
Usajili mlikuwa mnapata wapi ela za kusajili
@musalucas34902 ай бұрын
Tutoleeni ujinga wenu mbona mwanzo mlikuwa mnamsifia MO saivi mmekuja nahoja za hovyo mtuachie timu
@user-gr9wc7bc2m2 ай бұрын
Wameminywa sehemu ya mapato wanasimba hawa ndo walikuwa wanaikwamisha simba
@OmarMwamlongo2 ай бұрын
Ww mm nakuina mpuuzi tu unaleta usaliti kwenye leongo lenye tijaa
@AbduAlly-bt2vi2 ай бұрын
Huyu jamaa anaupeo sana anakifaam anachokizungumza elimu muhimu sana
@frankmwinuka34132 ай бұрын
Sasa miaka yote hii mmeshindwa kukamilisha mabadiliko, Yanga wemekuja nyuma wamekamilisha mnafanya nini? Kipindi hiki ni kipindi cha usajiri. Ilikuwa ni muda mzuri wa kujipanga kwa msimu ujao. Timu ikifanya vibaya sijui kama mtabaki
@andreamwaikena95882 ай бұрын
Sasa nyie wa asilimia 51 miaka minne yote mmetoa bilioni ngapi au ni kelele hii timu muachieni mo
@kakorejrboyz64472 ай бұрын
YANI HAWA JAMAA NI WAJINGA SANA
@mckobatz58612 ай бұрын
Halafu kajamaa kanafanana na Ali kamwe kiaina kwenye uongeaji
@monifrank3472 ай бұрын
Ukimuona mtu anakuja na makaratasi ujue huyo kanjanja 😂
@emanuelkilinga91962 ай бұрын
Cpa msomi, usimamie simba nakuelewa vizuri
@williamreuben48662 ай бұрын
Shida sio uelewa,shida wangapi wanamuelewa
@OmaryJuma-ss1ks2 ай бұрын
Namwelewa vizuri ila walikuwa wapi kwenye maslahi ya Simba yetu mpaka inayumba hivyo Kwa ajili ya MO,tunanyasika sana
@user-rg4vd9fu8s2 ай бұрын
Kinachotakiwa nyinyi nikuiacha Simba na sio porojo mo katoa bilion3 mmemsajili nani? Mmekula hela y usajili sas inawatokea puan kenge maji
@simonzelote59982 ай бұрын
Mimi naona Kama Ni hivi mo try again mangungu waachie timu Hali ya Simba mpaka hapo Ni mbaya na inaonyesha mo Hana uchungu na club
@aliceniyungeko22792 ай бұрын
Mooh nitapeli nawashukuru kuona mumesima kiume mungayataja kwa mihemko team ingesambaratika hata nafasi ya 3 usingekuwepo wajinga wasio elewa hao waswahili fujo tu mitaani wanachama wanamuakopa Moo ndio maana hawamusemi naye ndio chanzo yote tisa kumi wanachama cangieni team aceni maneno
@jamesmartin70262 ай бұрын
Mbona hamumuulizi huyo muwekezaji tapeli alikuwa wapi mnawauliza hawa wajumbe tu
@egbertruhasha68412 ай бұрын
Huyu jamaa mnaweza msimwelewe ila kuna point ktk Yale anayoyaongea
@ezzepuritykamwene21212 ай бұрын
Kupitia hizi clip hta wachezaji wazuri hawawezi kukubali kuja kuchezea tim yenye karba hii,hapa tunazd kuiua simba
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg2 ай бұрын
Shida ni matokeo mabaya. Wangekuwa vizuri tusingeyasikia
@sarahmathias35182 ай бұрын
Huyu jamaa analeta siasa kwenye simba.alikuwa wp kubwabwaja hv!!!????
@user-qo6qv6mc5p2 ай бұрын
Motapel yuko kibiashara zaid
@geofreymongi54032 ай бұрын
Siyo tapeli ila anacheza kwenye eneo lake wanachama ndio hawajitambui
@mwitajohn48822 ай бұрын
Kumbe mo mjanja,alijua kuna wajanja humo ndo maana akatoka inje ya nchi,hayo yote mbona haukuyasema kabla ya kujisuru
nafikili mo anashida sana lakin mlikuwa wapi kuzungumza aya mapema mpaka mgogolo utokee ndo mseme
@silvanuskisinza43032 ай бұрын
Unahitaji kuwa mjinga kuwa mjumbe wa body nyie wote wahuni tu. Mnapaswa kujiuzuru kwanza kwani mmefeli kuisaidia timu.
@AbeidyMashamba2 ай бұрын
Wew nawe nitapeli kingwangala alisema aliyaona haya wew ulikuwa wapi nawew nimpgaji umekosa chajuu tu ndo maana umetoka kutuaminisha hatukuamini
@user-tg7vq3ty8p2 ай бұрын
CPA KATAFUTE KAZI USIKALIE KULABILALABILA WENYE TIMU HAWAKUTAKI
@nshaijatedy55122 ай бұрын
Nyote mmeusika kuiumza Tim mnaongea haya kwakua mmeambiwa mjiuzuri mtoke mlizokula zinawatosha, mgekua waungwana mgeongea kipnd Tim inafanya vibaya mdaule tungekua mnauchung na Tim ila mmeona upepo umebadilka mnaaza kuongea hayo mlikua wap
@bedomgwalupogo26522 ай бұрын
Wabongo sisi ni tukuwa wabinafsi bila kujali maslahi ya jumla.... wajumbe bila kujali mafanikio ya timu, tunajali maslahi ya timu yenu
@omaryh.mohamed44802 ай бұрын
YANGA BINGWA TENA NA TENA NA TENA, MUHINDI NA MPIRA WAPI NA WAPI, . ?
@user-tg7vq3ty8p2 ай бұрын
CPA MBONA HUSEMI NI NANI ALIWAKASIMISHA HUO UONGOZI WA HIYO BODI. SASA WENYE HISA 51,000 (WANACHAMA) KWENYE HIYO KAMPUNI HAWAWATAKENI.MUONDOKE. HIVI CPA ANAKOSAGA KAZI NCHI HII?
@ObedMoreli-qt3bj2 ай бұрын
Mlikua wap siku zote mpaka tim inafanya vibaya acheni maneno yenu ya kihuni hayo
@user-xr2rp2vx4g2 ай бұрын
Aisee kuna sheeda Unyamani,embu wekeni mambo sawa
@silvanuskisinza43032 ай бұрын
Wewe ni msomi mjinga leo ndo unakuja kuzungumza mlikuwa wapi wakati wote huo. Elimu yako haisaidii timu.
@patrickkilongo32142 ай бұрын
Moo alisema Kuna watu wanao chelewesha mchakato na ipo siku atawataja 😂😂,,,, sasa wamejitokeza ndio hawa wana 😂😂
@user-gr9wc7bc2m2 ай бұрын
Wamedanganywa ndo waanguke vizuri nipo palee
@BakariHamisi-ke6zv2 ай бұрын
Kwani siku zote mlikua wapi
@GavyoleJonas2 ай бұрын
Mbona huongelei hela zinazotolewa na nyie wa upande wa wanachama ni kiasi gani? Na zimeisaidiaje club? Acheni ujinga wa kutengeneza migogoro kwenye club,muda wote mlikuwaga wapi? Mlipoambiwa mjihuzulu ndo mnasema muonekane wa maana acheni,
@modestussanga76102 ай бұрын
All days kwanini hamkusema ,na kama mliona hamfiki makubaliano watu wenye busara mngeachia ngazi mapema kulinda professional zenu
@lucasshirima28802 ай бұрын
Huyu Masoud jeuri kaitoa wapi hana hata hofu....khaaaa...
@karimambosanga42902 ай бұрын
Ajabu sana mtu mwenye heshima yake kama MO anaendesha mambo kijanja jana halafu hii mpaka lini?
@user-yz6ds9hn9l2 ай бұрын
Wewe cp itakupata aibu umesoma sana, unakubali vipi kulubuniwa na msenge injini kufirwa mpaka unachanganyikiwa, hatukutaki hatukutaki wewe na machawa wenzako ukimaliza kubwabwaja ondoka ondoka
@dicksondkaganga12902 ай бұрын
Very smart!
@gaudencehaule73982 ай бұрын
Swali la kujiuzila hawa wajumbe sku zote walikua wapi?? Kwann walikua kmya MO Sawa amekua anatoa pesa, wao wamechangia nn?? Upande wa wanachama na mashabk hadi leo tumechangia nini
@patricklaiton89392 ай бұрын
MAMA SAMIA MTEUE HUYU JAMAA ANAFAFAA KUWA KATIBU MKUU
@joachimkalungwana86542 ай бұрын
Kwani ndio hao wa board mlikuwa wapi timu imevurundà ndio mnajitokeza kusema
@user-gr9wc7bc2m2 ай бұрын
Ondokoni wanachama hahataki simba siyo ya kufungwa na timu yoyote hapa tz goli 5 hakuna hili
@AmaniKasekwa-uw8hp2 ай бұрын
Nyinyi ni wahuni hatuwa taki acha siasa nyinyi ndio muna ihalibu kilabu mulikuwa wapi muda wote tokeni nyinyi mko hapo kwajili ya masilai
@joelmichael97522 ай бұрын
Waandishi ni wachonganishi tu,mmetumwa au?
@CharlesAlly-jp1ms2 ай бұрын
Kwa nini hiyo mikataba isiandikwe kwa kiswahili wanachama wengi siyo wasomi ndiyo maana wanaburuzwa hawana wanachoelewa
@janefadhili83842 ай бұрын
Huyu jamaa mbona alipokuwa ktk madaraka hakuwa anayasema haya watu wanalalamika walikuwa kimya sasa wameona mo kawaondoa wanaleta majungu na unafiki hapa wanataka tuwasikilize na kuwaonga mkono hilo jambo haliwezekani ondokeni ninyi ndiyo mlisababisha tufungwa tano (5) natumeshuka mpaka nafasi yatatu (3) halafu mnataka tumchukie Mo? kwanini msiwajibike bila ya kelele?mkumbuke yeye ndiye aliye waweka halafu mkamlia hela mnatuletea wachezaji madunduka tunapata aibu ondokeni na unafiki wenu Mo miaka minne (4) tumechukuwa mfululizo Mo ametuwezesha kujilikana Afrika leo simba ni ya Tano kimataifa, na wewe Try Again achiya ngazi sisi hatukuamini tena kwani hujui kusimamia umeshindwa msituharibie simba yetu waachieni wengine wanaoweza na wewe kingwangwala tunajua ugomvi wana na chuki zako kwa muwekezaji tulia tuachie simba yetu
@joachimkalungwana86542 ай бұрын
Wanafiki tokeni wote mlikuwa wapi
@omarymtotela37512 ай бұрын
Ujielewi
@MaguguStore2 ай бұрын
Yaaan simba mnaenda kuiyanika kwa watu na kibali cha kwenda kwenye media kutoa mikataba ya simba mmepata wapi?
@rigobertdimoso66372 ай бұрын
Tafuteni kazi nyingine..nyie hatuwataki
@JundikiFoodproduction2 ай бұрын
kwani wakati mnapokea pesa hamkujua hizo habari hizo kuwa kuna muda mtabanwa
@alexmwandagane98582 ай бұрын
Mo mpigaji tu apo ikiwezekana atoke,namangungu anakaz gan apo
@simoncmatanda51352 ай бұрын
? Wanafiki hawa , wanatoka leo walikuwa wapi mwanzoni,,,
@angellomarcel56772 ай бұрын
Mo ni TAJIRI lakini ni TAPELI tusipokuwa Makini ataichukua Simba Mazima
@karimally87162 ай бұрын
Mlikuwa wapi mpaka leo
@silvanuskisinza43032 ай бұрын
Nyie wote wapumbavu mnaona mnakalibia kutumbuliwa ndo mnajitokeza na hoja zenu hizo mlikuwa wapi kuhoji mapema. Ondokeni kwanza. Walafi nyie.
@jamesmartin70262 ай бұрын
Anachosema huyu bwana yuko sahihi. Ni sawa na mtu awe anakusaidia halafu baadae anakugeuka, anakwambia zile pesa nilizokupa sasa nataka yawe malipo ya kununua nyumba yako! 😂
@user-nz5fm9gz8d2 ай бұрын
Acheni aweke Hela jihudhuruni mnang'ang'ania kwann?hayo mnayaweka tu mbwa nyie,
@HassanomariEmanuelАй бұрын
Ww Malaya watafuta bwana mkundu unawasha bloo alaf Kam co shoga bahat
@mkubwakasim14702 ай бұрын
Ni kufuatilia maoni ya washabiki wengi hapa kama hawaelewi anacho ongea huyu
@fatumasaid5582 ай бұрын
Jaman kutafutwe mtu apewe hizo bilion 20 mo atuachie timu kila siku kunatokea jambo jipya
@juliusmsegu33472 ай бұрын
Cha kwanza hawa wote waondoke sababu wameifelisha simba kwa misimu mitatu mfululizo uje uongozi mwingine watakaokua na uwezo wa kushughulika na matatizo ya muwekezaji mapema zaidi ii kuepusha hasara na fedhea ya team kushuka viwango vya mpira na hivo kushusha hadhi ya kibiashara ya club. Wangekua ni viongozi bora wasingesubiri mpaka misimu mitatu team imepuyanga ndio wanakuja na lawama za kipumbavu. Ni wajinga pekee ndio wataona huy jamaa ana akili lakini kwa mtu makino utagundua kua hapo hayupo kwaajili ya simba bali anatetea nafasi yake ya uoungozi baaada ya kelele nyingi za kua viongozi wajiuzulu. Hata kama team ingekua haina mgongano wa kimamslahi kati ya muwekezaj na team lakini kwa kitendo tu cha kuporomoka kwa ubora kw a miaka mitatu viongozi wote walitakiwa kuwajibika kwa kujiuzuru nafasi zao kwa kushindwa kuiongoza club viizuri katika misimu mitatu mfululizo.
@salummakadi3112 ай бұрын
Mlikuwa wapi muda wore hayo msiyaseme?kwakuwa mmeambiwa mjiuzulu Hanna uwezo wa kuongoza Simba nyie ni wajaza tumbo mnammaliza no kwa tamaa zenu achieni ngazi beans wapi wenye uwezo kuliko wewe Kama kweli uliyaona hayo toka mwaka juzi ilipo Anza kukosa ubigwa na makombe mwengine achieni ngazi walaji nyie
@silvanuskisinza43032 ай бұрын
Simba hatuna imani na bodi hii ni mamluki. Mjiuzuru kwanza.
@user-ex9xv4bl7u2 ай бұрын
Mo ni tapeli sasa matangazo yake pale yalikuwa yanafanya nn kama alikuwa hajaweka mtaji