No video

Mangungu Awataja Wasaliti Wa Simba | Alikana Tawi la VIP

  Рет қаралды 65,239

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

Күн бұрын

Murtaza Mangungu kwenye Sports Xtra ya Clouds FM akijadili kinachoedelea ndani ya timu hiyo ikiwa ni baada ya tamko la muwekezaji Mo Dewji #sportsxtra

Пікірлер: 299
@righitkileo
@righitkileo 2 ай бұрын
Kiuunqana tu mmninqekuwa ndo huyu mzee Ninqejiuzulu mapema sana. Unaweza jiuzuu.kwa hwahima yako ukabakia mwanachama wa kawaida inqekuwa.safi saba
@mwasunga
@mwasunga 2 ай бұрын
Jaman ivi mnamuojije uyo atoke tu atumtaki
@rahplenyengerahplenyenge722
@rahplenyengerahplenyenge722 2 ай бұрын
Mangungu aondoke
@faidathomas836
@faidathomas836 2 ай бұрын
Acha mihemuko
@Nestorympika
@Nestorympika 2 ай бұрын
Wewe mangungu Toka bwanaa,, HATUKUTAKI
@williamreuben4866
@williamreuben4866 2 ай бұрын
Kwa nn haumtaki?
@vibetz9991
@vibetz9991 2 ай бұрын
Kawakosea nn uyu babu,, Kwan yeye ndo anasajili wachezaj?
@SurprisedFullMoon-gg9vu
@SurprisedFullMoon-gg9vu 2 ай бұрын
Alafu tumuwekee bibi yako awe mwenykitii???
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 ай бұрын
NYIE VIBARAKA WA MANGUNGU MNAFIRWA NYIE SHENZISTAN KABISA
@PaulMasolwa-ir4fp
@PaulMasolwa-ir4fp 2 ай бұрын
Unaweza kumpongeza mtu aliyefeli
@user-ps2om3fg8x
@user-ps2om3fg8x 2 ай бұрын
Mo alisema, yeye aliongoza miaka mitatu akaiona timu imesimama vizuri akaamua kuwakabidhi wewe na try again ikiwa na vikombe vyote, yaani kama ni biashara ilikuwa imeshasimama vizuri, mategemeo yake nyinyi mtaitoa pale alipoicha yeye na kiipeleka juuu zaidi, sasa mnatakiwa mjiulize biashara mliyoachiwa mnaikuza au mnaiua? Miaka 3 duka limebaki jeupe ata kipande Cha sabuni hakuna na timu imeshika nafasi ya tatu tuwaeleje? Tumia busara achia ngazi.
@user-yz6ds9hn9l
@user-yz6ds9hn9l 2 ай бұрын
Hao wote wanaosapoti kukupongea hao ni yanga yanga, tunachotaka mangungu ondoka tutakufanya vibaya, kama ni vita naive vita, mama samia hatutakuelewa kama usipoingili kati kutuondolelea mangungu,
@johnsonsabanya5860
@johnsonsabanya5860 2 ай бұрын
Kikweli Sina Imani na huyu mzee aache tu timu atupishe
@user-ex9xv4bl7u
@user-ex9xv4bl7u 2 ай бұрын
Mangungu toka acha siasa we mzee mshowe tutakutukana
@jamesmohamed4612
@jamesmohamed4612 2 ай бұрын
Mzee shida transformation mbna inakuwa haifikii mwisho
@madukaj.j.6999
@madukaj.j.6999 2 ай бұрын
Ngungu Boy tokaaaa
@rwegoshoramichael3144
@rwegoshoramichael3144 2 ай бұрын
Mzee wa hovyo sana
@user-tx1yb3my3m
@user-tx1yb3my3m 2 ай бұрын
Kwann hamkumuuliza alikuwa wapi mudawot mpaka aje saiv interview
@jumandaturu954
@jumandaturu954 2 ай бұрын
mim namkubali bwana mangungu for life
@abdallahmdiliko8088
@abdallahmdiliko8088 2 ай бұрын
Huyu mzee mpiga dili tu pale.. huyu mla pesa sanaaa za usajili
@BadruSaid-jz9xh
@BadruSaid-jz9xh 2 ай бұрын
Naenda mangungu hufai kabisaas
@user-bn8oy2qm7r
@user-bn8oy2qm7r 2 ай бұрын
Toka bwana nenda clab nyingine mbona inaingania Sana Simba babu toka
@emmasonanjawe9042
@emmasonanjawe9042 2 ай бұрын
Hatukutaki mzee acha maneno mengi
@johnsonsabanya5860
@johnsonsabanya5860 2 ай бұрын
Ondoka we mzeee
@user-qr4wv2cm7q
@user-qr4wv2cm7q 2 ай бұрын
Mangungu na triy gan hawa ni niwahuni sana
@erasmusleonidas6729
@erasmusleonidas6729 2 ай бұрын
Wahuni kabisa
@mathayojoseph5228
@mathayojoseph5228 2 ай бұрын
Magungu your best kuliko una vision sana mzee natamani ungekuwa Yanga but hawawezi kuhelewa KBs kwa sasa but watakuhelewa siku moja mo nikwasababu hana toa pesa kwa watu ndio maana unatakiwa usichoke hata kdg mzee wangu
@fatumasophu5855
@fatumasophu5855 2 ай бұрын
Tokaaaaaaaaaa
@bakarimhina6437
@bakarimhina6437 2 ай бұрын
Mangungu Uliikuta Simba Sports Club ikiwa na Heshima Zake KITAIFA na KIMATAIFA. Leo Mikononi Mwa Uongozi Wako Mbovu Sasa Hivi Simba Sports Club Imedodora KIUUNGWANA JIUUZULU Usijekuondoka kwa Aibuuuuu.
@S.Mwambapa
@S.Mwambapa 2 ай бұрын
We mangungu umetumwa nn😮
@willysonmaliatabu1815
@willysonmaliatabu1815 2 ай бұрын
Uondoke ky mangungu
@mack_vita_onyango8409
@mack_vita_onyango8409 2 ай бұрын
Wanachama wenye ushawishi wapo Daresalam ambao hawa ndio miziz ya wengine kwahiyo ukipedwa hapa mjini basi ndio umefanikiwa nchi nzima
@zeddybass6672
@zeddybass6672 2 ай бұрын
Mangungu now kaa nabibi tu nyumbani tuachie Simba yetu
@SandaliSaid
@SandaliSaid 2 ай бұрын
Mpuuzi tu mangungu
@BenMudy
@BenMudy 2 ай бұрын
Kwani kadi ndio ushabiki au ushabiki ni moyoni
@deniskaaya1117
@deniskaaya1117 2 ай бұрын
Huyu ni tapeli tu😂
@brunomchalla4439
@brunomchalla4439 2 ай бұрын
Acha woga Mangungu, itisha mkutano wa dharura wa wanachama ueleze matatizo ya club . Sio kukimbilia mahojiano na waandishi. Hujiamini . Club iko I C U tunamuhitaji MO Kuinusuru , utaratibu utafuata baadae.
@saidbakari2408
@saidbakari2408 2 ай бұрын
Mangungu atokeeeeeeeee
@RahimMahadi
@RahimMahadi 2 ай бұрын
Tuoneshe iyo kadi ya 93
@EbenezerReuben-jx5sg
@EbenezerReuben-jx5sg 2 ай бұрын
Ulikuwa wap mzee at kwenye mech huonekan
@fabiandanford3572
@fabiandanford3572 2 ай бұрын
Mangungu upo vzr piga Kazi apo shida ni mwekezaji ndio yupo kiupigaji tu toka lin muhimdi akaendesha tim
@yousirsports7482
@yousirsports7482 2 ай бұрын
Mangungu ni mwanasiasa na hata alivyochaguliwa kwa kumleta manzok ni siasa
@frankmwinuka6298
@frankmwinuka6298 2 ай бұрын
Mzee wa hovyo
@MathiasNicolaus-ff1hy
@MathiasNicolaus-ff1hy 2 ай бұрын
Hv we Mzee unang'ang'ania nn hv ,ingekuwa Bure ucngeng'ang'ania madaraka yaaani elewa kuwa watu hatukutaki Tena Mzee achia hyo nafac we mzeee
@ramadhaniharuna5441
@ramadhaniharuna5441 2 ай бұрын
Madrid ilishawahi kusajili wachezaji wote wazuri, miaka ya 2000 mpaka 2004.
@RahimHussein-oy5ks
@RahimHussein-oy5ks 2 ай бұрын
Hawa waondoke tu
@Alute-son2003
@Alute-son2003 2 ай бұрын
Shida sio kadi ya uanachama wa Simba tunasemea uhujumu
@user-tu8tl2lg4b
@user-tu8tl2lg4b 2 ай бұрын
Mangungu jiuzulu utaaibika Hali hii sio
@drankskhally7019
@drankskhally7019 2 ай бұрын
Tangu Simba umechukuwa mwenyekiti unatufelisha hakuna maendeleo yyt
@IssaAbdallah-rt2sh
@IssaAbdallah-rt2sh 2 ай бұрын
Hawezi kua sahihi Tim imeshindwa vikombe vyote ni sahihi yeye kuondoka hiyo ndio kawaida
@shukuruiddi82
@shukuruiddi82 2 ай бұрын
yaani huyu babu hajui chochote ni wazi anakaa tu ktk cheo chake anaulizwa wapi wanafanya kitu yeye anajibu venue au dah km ataendelea huyu tutasundana mangumi siku zijazo kwa kweli
@christopherjoseph9981
@christopherjoseph9981 2 ай бұрын
MANGUNGU tuna imani kubwa sana na ww
@faridaamenye8405
@faridaamenye8405 2 ай бұрын
Saana
@MussaHajikimwaga
@MussaHajikimwaga 2 ай бұрын
Mangungu jipange pamoja na wenzio tunataka simba.bora achana na wapiga kelele watanyamaza TU kinacholeta shida ni matokeo ya uwanjani hicho ndiyo tunachohitaji mashabiki
@Sidemkondo
@Sidemkondo 2 ай бұрын
Vip kuusu b.20
@nicolausmollel6212
@nicolausmollel6212 2 ай бұрын
Mangungu piga kazi achana na hao wambea na wanafiki
@profs.a5412
@profs.a5412 2 ай бұрын
Wewe banaaa ni Yangaa banaaa, acha kutuzugaaaaa banaa
@user-ui5xc6sb5m
@user-ui5xc6sb5m 2 ай бұрын
Mangungu yupo vizuri Sana piga kazi
@thiemmlelwa2455
@thiemmlelwa2455 2 ай бұрын
Ww Yanga
@NoelKiwike-wc8wh
@NoelKiwike-wc8wh 2 ай бұрын
Jamaa hadi.amekonda toka
@user-py3mz6xd2t
@user-py3mz6xd2t 2 ай бұрын
Wewe mzee nikiongozi unaona mupo sawa tulitengemea munaleta mabadiliko umekalia malubano naupiga dili
@ghoyelamhagama1504
@ghoyelamhagama1504 2 ай бұрын
Ngungu toka kwenye timu waachie wengine ulipo paongoza panatosha
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 2 ай бұрын
Mangungu usiondoke , yaani ww ndio mtu muhimu hapo
@worldwidemedia0410
@worldwidemedia0410 2 ай бұрын
😂😂😂😂Ila mangungu
@user-ki3gt6gy1l
@user-ki3gt6gy1l 2 ай бұрын
Mangungu kwa dhambi uliyo ifanyia Simba hutakuja kufa vibaya
@hafidhnzota2142
@hafidhnzota2142 2 ай бұрын
Yanga wote wame Crick
@user-uo9kk7kn9z
@user-uo9kk7kn9z 2 ай бұрын
Mangungu tokaaa hapo Simba hatukutakii
@mustaphawelder7022
@mustaphawelder7022 2 ай бұрын
Tena aondoke hatumtaki
@user-ie1jh2eu7b
@user-ie1jh2eu7b 2 ай бұрын
Mangungu tuachiye Tim yetu kwani Simba imekuzaa
@mafikrahamza-lm4yp
@mafikrahamza-lm4yp 2 ай бұрын
Hatuitaji siasa katika mpira,tuachie simba yetu,we ni kirusi,siasa kafanyie kwako.
@leonardlunguya7112
@leonardlunguya7112 2 ай бұрын
We Mangungu kwani huna kazi nyingine ya kufanya zaidi ya kuing'ang'ania nafasi ya uenyekiti wa Simba? Unachokitaka Hapo Simba ni kipi?
@Is-hakaRamadhani
@Is-hakaRamadhani 2 ай бұрын
Mangungu muongoo
@sethstiven3393
@sethstiven3393 2 ай бұрын
Hatukutaki Mangungu
@drankskhally7019
@drankskhally7019 2 ай бұрын
Unalazimisha nini hapo Simba kwann unatufelisha alafu unafaida gani hapo Simba tumekuchoka sana Mara unamleta mazoki
@user-vm9pw4el5d
@user-vm9pw4el5d 2 ай бұрын
huyo ni mamluki wa watu huyo ila atajuwa mwenyewe mungu yupo
@RashidMwasiposya-ck6py
@RashidMwasiposya-ck6py 2 ай бұрын
Liningaww toka
@petro8010
@petro8010 2 ай бұрын
Magungu uko sahihi mengine ni fitina tu. Piga kazi Boss wangu. Cha msingi kuwa makini tu na usajiri
@saidbakari2408
@saidbakari2408 2 ай бұрын
Tokeni na mangungu wenu
@fatumasophu5855
@fatumasophu5855 2 ай бұрын
Mangungu mangungu 😏😏😏😏hivi hiyo confidence unaitoa wapi we baba wewe kwani si utoke tuu shida Nini mwisho uje ufe kweli kisa simba tokaaaaa baba wewe hawakutaki
@user-fg1fn8wi1m
@user-fg1fn8wi1m 2 ай бұрын
Muajili ww afany Kaz kwako
@jamesmohamed4612
@jamesmohamed4612 2 ай бұрын
Upole huu wa mangungu ni kutokana na presha ya watu na jiulize mabadiliko kama hayaishi he hizo pesa za mwekezaji anaziweka kwa namna fan?
@FRESHNEWS171
@FRESHNEWS171 2 ай бұрын
Endelea kuamini mwanasiasa😅😂..uyo ni mwanasiasa mwaka 2010 alikua mbunge Muongo muongo
@bulengwamisiri5630
@bulengwamisiri5630 2 ай бұрын
Mangungu tuachie timu yetu mangungu
@petermilol2104
@petermilol2104 2 ай бұрын
Huyu Mhuni alileta Manzoki kwa ajili ya Kampeni
@user-td1yn9dt7p
@user-td1yn9dt7p 2 ай бұрын
Uyo atoke mjinga kwanza anafanyaja kazi na GSM
@godwinkasaizi882
@godwinkasaizi882 2 ай бұрын
Mangungu your very smart. Piga kazi
@erasmusleonidas6729
@erasmusleonidas6729 2 ай бұрын
Ndani ya miaka 3 amefanya kazi gani ili tuone usimart wake?
@SurprisedFullMoon-gg9vu
@SurprisedFullMoon-gg9vu 2 ай бұрын
Hatuangalii mabaya tu"nayey ana mazur mengi kayafanyaaa
@jumaomy-is1ez
@jumaomy-is1ez 2 ай бұрын
NI hivi "you are very smart"😢
@AliiMkobe-en7df
@AliiMkobe-en7df 2 ай бұрын
Utopolo mnamfurahia mtu wenu kazi mliyomtuma anaifanya kwa Uaminifu mkubwa lakini bahati nzuri tumeshtukaaaa.Atang'okaaa
@shadrackkibona7178
@shadrackkibona7178 2 ай бұрын
Mangungo aondoke tu
@user-no2ut7yd3e
@user-no2ut7yd3e 2 ай бұрын
Kujivisha umwenyekiti unafanya wanachama tukutoe Kwa nguvu.
@user-ki3gt6gy1l
@user-ki3gt6gy1l 2 ай бұрын
Wewe uli sitahili ukaongoze mashoga siyo Simba huna sura ya kuongoza
@samsonmwaipaja5231
@samsonmwaipaja5231 2 ай бұрын
mangungu bado yupo sana
@Ambwene
@Ambwene 2 ай бұрын
MIMI KAMA MWANA SIMBA NAKUKUBALI SAANA MANGUNGU, WATU WANAKULETEA UNAFIKI TUU KOMAA NAO BABA HAKUNA KUTOKA HAPO 😊😊😊😊
@nashirkamugisha9425
@nashirkamugisha9425 2 ай бұрын
Unazengua Wewe sio Simba 😂. Hakuna mwanasimba ana hamu na huyo mzee
@kasimuhamidu8467
@kasimuhamidu8467 2 ай бұрын
We Sema tu sisi atukutak
@allywaziri1343
@allywaziri1343 2 ай бұрын
Akina mzaramo siwasikii na wala siwaelewi au ndio walewale tusiwe mamluki natusiishi kwa ajili wa watu Tuwe Simba nguvu moja
@user-zf2kf3ik5z
@user-zf2kf3ik5z 2 ай бұрын
Yan ww hifai kwa nn unatutesa si utoke Yan wengi wanaumia kwa ajili yako si uachie ngazi ka we mzalendo kwel afu tuone wengine watafanya nn ukiendelea mwakani hata shirikisho hatuooni
@allywaziri1343
@allywaziri1343 2 ай бұрын
Mangungu huna jipya nini unangangania kunanini ndani ya simba ? Hutakiwi siutoke kama huna maslai? Ondoka hawakutaki
@abdull_hafidh
@abdull_hafidh 2 ай бұрын
Huyu mzee anaihujumu simba hatumtaki atoke tu
@SurprisedFullMoon-gg9vu
@SurprisedFullMoon-gg9vu 2 ай бұрын
Piga kazi baba"tunajua kuna watu wanatumwa"kwa maslah yaoooo"piga kaz babaaaaa
@Raphaelchacha-wo6xq
@Raphaelchacha-wo6xq 2 ай бұрын
Mangungu mxenge ww
@makamelila
@makamelila 2 ай бұрын
Hujamaa hana jioya aondoke tu kama wenziwe wanasimba hatumuamini kwanza kiingia hapo kwwnye uongoI kaingia kwa fedha kwamsikiyizo aondoke hatakiwi kuwepo hapo hana analoliganya
@user-lz1lj9qg8e
@user-lz1lj9qg8e 2 ай бұрын
Yaan kiongozi unatakiwa kuonyesha dira yake ipi sio kushutumu watu nikuficha mapungufu na madhaifu
@sethstiven3393
@sethstiven3393 2 ай бұрын
Akili yako imechoka Mzee achia vijana wapambane
@mwajabuYusuph
@mwajabuYusuph 2 ай бұрын
Mangungu piga kaziiii sisi wana chama wa Tanzania tuko pamoja usitishwe na mapimbiii piga kazi sisi serikali na wanachama tuko pampja na mooo ukiondoka simba itashuka daraja 😢😢😢😢😢😢
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 ай бұрын
ATOKE TUONE KAMA SIMBA ITASHUKA DARAJA
@UNKNOWN-np7qp
@UNKNOWN-np7qp 2 ай бұрын
Nyinyi mbwa ndio mnaokula pamoja
@SurprisedFullMoon-gg9vu
@SurprisedFullMoon-gg9vu 2 ай бұрын
Mangungu piga kaziiiii"huyoo anae jiita cjui docta moo ni chawa na anatumwaaa
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 ай бұрын
KAMA WEWE ULIVYO TUMWA
@jeromemmary9192
@jeromemmary9192 2 ай бұрын
Mangungu anajibu maswali kisiasa tuu
@user-md7sd3hk6l
@user-md7sd3hk6l 2 ай бұрын
kumbe yupo uyu ali kuwa wapi uyu toka apa
@danielelikana2615
@danielelikana2615 2 ай бұрын
Kama watu wengi hawakutaki si uondoke tu mzee?? Unang'ang'ania kuna nini mzee??..uachie ngazi ukakae na wajukuu wako huko kijijini!
@drankskhally7019
@drankskhally7019 2 ай бұрын
Nikisikia hata sauti nakereka kabisa
@mosesmajogoro863
@mosesmajogoro863 2 ай бұрын
Mangungu unakitu usitoke mpaka wakuue....hahahaaaa
@user-tg7vq3ty8p
@user-tg7vq3ty8p 2 ай бұрын
Mbona waandishi mnamuuliza maswali ya kumpamba huyo mtu?
@FracsisiSiwale
@FracsisiSiwale 2 ай бұрын
Magugu acha ujinga kwanini ukatarie kiti
@azizajamary576
@azizajamary576 2 ай бұрын
Kwani ngunguz huna kwenu
@bakaribakari167
@bakaribakari167 2 ай бұрын
Toka mbona mnang'ang'ania yapo maisha dhidi ya hapo
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 2 ай бұрын
Huyo dogo anayehoji kichwa ni Buyu kweli kweli hajui chochote amekuja na vitu vya kukariri. Arudi shule huku kwetu Kigoma tuna madarasa ya MEMKWA😂😂😂
@khadijayusuph5815
@khadijayusuph5815 2 ай бұрын
Wewe achana na kadi usitagulize kadi kadi yako ni yamchogo ondoka
@user-hn8cb4tf5h
@user-hn8cb4tf5h 2 ай бұрын
Tuachie Tim yetu
@EsterMendrad-gr3rg
@EsterMendrad-gr3rg 2 ай бұрын
A
@evansdecaprio8196
@evansdecaprio8196 2 ай бұрын
Mangungu Yuko smart sana aisee sikujua hilo
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 ай бұрын
HANA LOLOTE MWIZI HUYO
7 Days Stranded In A Cave
17:59
MrBeast
Рет қаралды 93 МЛН
WHO CAN RUN FASTER?
00:23
Zhong
Рет қаралды 45 МЛН
Underwater Challenge 😱
00:37
Topper Guild
Рет қаралды 24 МЛН
LIVE: POWER BREAKFAST YA CLOUDS FM
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 46
NDOA YA RINGO NI VITUKO, UTACHEKA UFE
21:49
Wasafi Media
Рет қаралды 47 М.
7 Days Stranded In A Cave
17:59
MrBeast
Рет қаралды 93 МЛН