No video

Wakaazi wa Bomet waandamana, wamtaka Gavana Barchok kuwajibika

  Рет қаралды 35,667

Citizen TV Kenya

Citizen TV Kenya

Күн бұрын

Barabara ya Kisii kuelekea Narok ilifungwa kwa zaidi ya saa 3 na waandamanaji katika mji wa Bomet .vurugu zilishuhudiwa baada ya makundi mawili kurushiana mawe hali ambayo ilifanya wafanyabiashara wengi kufunga maduka yao.
Vijana hao wanalalamikia uongozi mbaya wa gavana wa kaunti hiyo Hillary Barchok

Пікірлер: 71
@yusufmwangichannel6692
@yusufmwangichannel6692 Ай бұрын
😅😅😅Makosa ni yenu mlichagua chama badala ya kiongozi, kama mngemchagua Issac Ruto sasa hivi Bomet ingekua imeendelea
@braimoabu
@braimoabu Ай бұрын
True
@t0n0k0
@t0n0k0 Ай бұрын
​@@braimoabuhaijali nani yuko, good governance is the goal. I wish the media could amplify that. Stop graft and account for previous stolen monies, if you did jiuzuru because it will be worse if still in office.
@user-bu5jp2cx7p
@user-bu5jp2cx7p Ай бұрын
Rift valley people should reject the wheelbarrow and its poverty - that is an alter of poverty reigning in that province
@Memnon-mh9vc
@Memnon-mh9vc Ай бұрын
Well said!
@MuthamaSabastian
@MuthamaSabastian Ай бұрын
Exactly I second you.
@Habiba-li5fb
@Habiba-li5fb Ай бұрын
Nh 5:10 ​@@Memnon-mh9vc
@robinsonmugume8132
@robinsonmugume8132 Ай бұрын
Ruto has created a strong oppsition for himself.
@robinsonmugume8132
@robinsonmugume8132 Ай бұрын
People like Fred Matiangi, Wamalwa should return to gov't immediately...
@afrakanaswahilitv5520
@afrakanaswahilitv5520 Ай бұрын
Matiang' Hapana.
@motivationalit
@motivationalit Ай бұрын
No cappage
@JohnKingondu-yn4zf
@JohnKingondu-yn4zf Ай бұрын
Poleni kwa hilo bt kuna jambo Mungu anataka tujue kama wakenya jambo la kwanza ni tumtengemee yeye na siyo kutengemea mwanadamu au mawazo yetu uongozi wate usiyo wa halali hautandumu juu utakuwa na mashida
@stephen-S7n
@stephen-S7n Ай бұрын
Uko sahihi kabis
@user-iy3jq7qk5x
@user-iy3jq7qk5x Ай бұрын
True, not any human or Jesus or any idol, just God ,the creator
@stephen-S7n
@stephen-S7n Ай бұрын
@@user-iy3jq7qk5x do you think Jesus is a mortal man like you? He is the express image of invisible God. Sijui Imani yako ni gani. He who the Son sets free is free indeed. For he said believe in God and also in me🫵🫵
@richardngetich318
@richardngetich318 Ай бұрын
absolutely
@johnsonokeyo545
@johnsonokeyo545 Ай бұрын
Watu wa Kisumu wamefika Bomet 😂...Was happy to be alive when Kenya got independence in 2024 courtesy of Jensi
@makeitright2486
@makeitright2486 Ай бұрын
Ruto must go 😅
@gladyschebet2910
@gladyschebet2910 Ай бұрын
Your own goons...in kericho we have our own problems
@joanchepngeno5379
@joanchepngeno5379 Ай бұрын
Barchok must go kabisa..
@HESBONLUKHUBI-hm2sp
@HESBONLUKHUBI-hm2sp Ай бұрын
That man in yellow, is a hero. It shows how the young people have woken from their sleep to let their politician know that we need good governance for our Motherland country. If we go this way Kenya will be a good example in the entire Africa
@user-hw4vv4zn5l
@user-hw4vv4zn5l Ай бұрын
Indeed, he's a hero, I love his energy, punda amechoka!
@babuuosama8752
@babuuosama8752 Ай бұрын
Swahili say's . SIKU YA KUFA NYANI MITI YOTE UTELEZA UDA ADMINISTRATION CRIMINALS NO WHERE TO HIDE IN COUNTYS AND NATIONAL .
@asminmakoha6889
@asminmakoha6889 Ай бұрын
Muliruka sana tukilia ambieni ruto nabado ampangwingwi
@richardngetich318
@richardngetich318 Ай бұрын
the word of God say, dont rejoys when you enemy is in cryticle condition.
@Stephen12.
@Stephen12. Ай бұрын
Nani ameleta" kunis" tena ?😂😂😂
@paulkikulesi1959
@paulkikulesi1959 Ай бұрын
Sioni maandamano hapo kabisa.mçhezo mtupu,eti barabara imefungwa
@mwafrikaogutu12
@mwafrikaogutu12 Ай бұрын
Ruto needs to dissolve everything we need to start fresh
@Nanopark1970
@Nanopark1970 Ай бұрын
Accountability is important in public service, this notion of getting to power to 'eat' must stop
@gillygosh
@gillygosh Ай бұрын
Barchok must account for that lose and injuries .He must go Go And GO forever😮😡😡😡😡💪🤔🧐naskia vibaya sana county yangu inachafuliwa na mkora ka uyu akijifanya Gavana.
@afrakanaswahilitv5520
@afrakanaswahilitv5520 Ай бұрын
Mliruka mkojo na kukanyaga mavi.
@user-zx6pv6tt4n
@user-zx6pv6tt4n Ай бұрын
Hawa wamelibwa na mtu mmoja
@denniskoech7343
@denniskoech7343 Ай бұрын
Si wangechoma huyo barchok kabisa
@user-vr6fc5qm2i
@user-vr6fc5qm2i Ай бұрын
Safari hii viongozi wote mafisadi lazima wachiye uongozi. Waende wakatafute kazi zengine wa fanye bila ivyo watoona moto kila siku. Mpaka watajuwa wajuwi
@evalynechelangat358
@evalynechelangat358 Ай бұрын
Barchok mustigo 😅
@user-sn9yf2zd1n
@user-sn9yf2zd1n Ай бұрын
Issack kiplokop is the answer to bomet county
@ChefBillMkono
@ChefBillMkono Ай бұрын
"You Want GARBAGE 😂😂😂😂?
@derrickasanyo5087
@derrickasanyo5087 Ай бұрын
Suffering water😂😂😂😂
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 Ай бұрын
Pumbavu sana
@tristramproductions7252
@tristramproductions7252 Ай бұрын
Wakaanza vida😂😂
@apudokakajosh5086
@apudokakajosh5086 Ай бұрын
Protests devolved, no politician is safe. Siaya county, your pressure needs to creases😅
@derrickasanyo5087
@derrickasanyo5087 Ай бұрын
Woda
@MuthamaSabastian
@MuthamaSabastian Ай бұрын
Na hii county iko na shida ya kiswahili.....ni ka wako related na somali bahari yake.
@fahadthuo4511
@fahadthuo4511 Ай бұрын
Sio kuwajibika atoke
@gideonmuchina9242
@gideonmuchina9242 Ай бұрын
Wacheni aende tu
@callenmoraa5513
@callenmoraa5513 Ай бұрын
Wakaanza bida!!!!!😂😂😂
@naomynanjala6469
@naomynanjala6469 Ай бұрын
wa yelo uko na loya😢
@GedionORANGIR
@GedionORANGIR Ай бұрын
Apo ni poa
@KelvinKipsang-kt5ig
@KelvinKipsang-kt5ig Ай бұрын
😂no garbage
@mercymuthoni2940
@mercymuthoni2940 Ай бұрын
😂😂😂😂
@kentosh120
@kentosh120 Ай бұрын
Uhuru has payed those youth!
@namelessOG1
@namelessOG1 Ай бұрын
I hope ur being sarcastic
@meshackgambo
@meshackgambo Ай бұрын
Wewe ni mjinga
@alicekiloko-4972
@alicekiloko-4972 Ай бұрын
How do u know
@acekid5913
@acekid5913 Ай бұрын
Fuck you.....makende imeonza involving Uhuru on this.....we coming for U....matako ya panya weweee
@elizangige4956
@elizangige4956 Ай бұрын
Wewe una akili diot
@alfredorek5446
@alfredorek5446 Ай бұрын
Hawa wajaluo wamefika bomet?
@user-br5ei4kd6w
@user-br5ei4kd6w Ай бұрын
Wamefika kweli 😂😂😂😅
@meshackgambo
@meshackgambo Ай бұрын
Wewe ni shoga
@fredrickochola77
@fredrickochola77 Ай бұрын
Yes tumefika Bomet ,na tunaongea kikale..na mbona tusiandamane na hakuna maji for months hapa Bomet
@fredrickochola77
@fredrickochola77 Ай бұрын
Na wajaluo Leo hii Kuna wenye wanaitwa Cosmas Koech pia
@weneverknow135.
@weneverknow135. Ай бұрын
Hehee,huyo mtu Akwende kabisa
Running With Bigger And Bigger Feastables
00:17
MrBeast
Рет қаралды 139 МЛН
If Barbie came to life! 💝
00:37
Meow-some! Reacts
Рет қаралды 70 МЛН
OMG what happened??😳 filaretiki family✨ #social
01:00
Filaretiki
Рет қаралды 12 МЛН
Kind Waiter's Gesture to Homeless Boy #shorts
00:32
I migliori trucchetti di Fabiosa
Рет қаралды 12 МЛН
Wake wa Muthama na Junet wazuiwa kuwaona gerezani
2:50
NTV Kenya
Рет қаралды 69 М.
Dutch firm evades paying Ksh.62B in palm oil import deal
4:16
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 1,8 М.
Ong Bak | Final Fight Scene
11:16
Cinewatch
Рет қаралды 3 МЛН
Небо. Захват ССО главаря террористов.
11:45
Режиссер монтажа - Виталий Виноградов
Рет қаралды 11 МЛН
Mission Impossible: Ghost Protocol
7:53
Movie Clips
Рет қаралды 6 МЛН
Azkar Al Sabah  أذكار الصباح
21:49
Dua & Azkar
Рет қаралды 10 МЛН
Running With Bigger And Bigger Feastables
00:17
MrBeast
Рет қаралды 139 МЛН