🔘JE, NA WEWE UNA HABARI? 🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402), 🔘WhatsApp (+255 767 400402) 🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com 🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com
Пікірлер: 7
@YonahMwamwaja19 күн бұрын
MIMI NAOMBA NAMBA YASIMU YA MADELEKA ILI TUPATEHA KI KWENYE SHERIA NAMPENDA SANA. WAKILI WANGU.
@MusaOgwokoАй бұрын
Kweli mafisadi wametulia masikini shida
@makejamaduhu7618Ай бұрын
Hamna lolote njaa tu zote hizo. Ninyi mlijuaje kuwa wanaumwa? Ila nchi hii duuu
@makejamaduhu7618Ай бұрын
Wakili unajambo lako. Umaarufu unatufanya kuonekana kwa viongozi. Usikie aibu wewe au nawe una hisa hapo kwa hao madada poa? Kumbe nawe una lako.
@RamaKimbeu-tw4poАй бұрын
Wakiri HUKO UNAPOTEZA kwema ukahaba ACHA upumbavu
@jeanmusamba8448Ай бұрын
ukahaba hahahahha wanawake wa tz wanapenda hela za wanaume sana so kujiuza ndo solution ya ugumu wa maisha?any way wacha nikae kimya,
@michaelbachubira7197Ай бұрын
Napita jamani 😅 wanakamatwa kwa kujiuza je wanumuzi wamekamatwa? Make kama akuna wanumuzi wauzaji awawezi kupeleka byashara apo vipi?