Mungu akuzidishie, busara, hekima, uvumilivu, lakini pia na ujasiri mkubwa. Binafsi sitapenda mheshimiwa Mwambukusi upotee mazima. Mungu akubariki sana..❤️🙏
@christinenyagiro66622 ай бұрын
Mwambukusi Mungu akubariki sana na elimu unayoitoa kwa sisi jamii imenijengea kujiamini kuwa mimi Mtanganyika sitakiwi kutishwa tishwa hapa Tanganyika tumebaki kutetemekea CCM ati sisi tunabaki kuitikia utumwa. Usiogope Tunakuaminia na tunakupenda sana
@hildandumbalo58272 ай бұрын
Mungu yuko nawe brother mzalendo wa kweli . Ubarikiwe sana
@fredimtaze99822 ай бұрын
🙏🙏Haina shida mzee wetu sisi tuko pamoja wewe hao machizi pigania haki za watu wanao oonewa mungu akubaliki
@usembiphonedar56322 ай бұрын
Kiongozi tunakuelewa sana na tunakuombea sana Mungu azidi kukutetea katika majukumu yako siku zote, Ameni
@user-bp7nb7yp2o2 ай бұрын
Big up kaka Mungu yupo pamoja nawe.ukweli mara nyingi hushinda.
@user-ex9gt9np8iАй бұрын
Nakupongeza Kaka yangu tukopamoja🙏
@ignacekiwale72812 ай бұрын
Dhahabu "HUPIMWA KWA MOTO"Nakupongeza sana Mhs: Adv.Mwabukusi...watetesi mpo wachache...Ubarikiwe sana
@amos8782 ай бұрын
This is my guy Mr mwabukusi I will stand with you sir mungu utuamshe sisi watanganyika kwa kweli barikiwa baba 👏👏👏
@mariaanthoniangowi93762 ай бұрын
Baba tipo pamoja, Mungu akiwa dereva wako moja kieleweke. Usiwaogope mafisadi hão wasiyo na haya
@joelmwaitege21212 ай бұрын
Amen. Ubarikiwe sana
@gowekogoweko58032 ай бұрын
TUNAZIDI KUKUOMBEA WAKILI MAHIRI SANA BWANA BONIFACE MWABUKUSI
@user-qk9iz5lt8q2 ай бұрын
HAYO TUME YASIKIA WOTE NA TUKO PAMOJA KAMA UKINYAMAZISHWA MAWE NA ARIDHI YA NCHI HII YATA SEMA NA KULIA NA MUNGU ATASIKIA NA KUJIBU
@sportsnewjs4330Ай бұрын
Mwabukusi' waliyo kupa onyo ni CCM na sio mawakili Na hatahivyo' unapewa onyo kwalipi baya ulilotenda'!? Mwabukusi ukosahihi kabisa kwakutetea Nchi yetu na raslimali za Nchi yetu Tanzanian
@gracyusoy9435Ай бұрын
Huyu jamaa huwa ananifurahisha sana ...ni miongoni mwa watanzania wachache sana wanaotupa tumaini kwamba Tanzania inaweza kupata viongozi wazuri....watu wa Busokelo msifanye makosa hakikisheni Mwabukusi anakwenda Bungeni 2025 halafu menine yatajulikana
@daudisalum95742 ай бұрын
Namkubali sana Wakili msomi mwabukusi tupo pamoja sana kaka
@WillyMhada-sn1et2 ай бұрын
Nakubali sana
@user-ze6lx9ng6s2 ай бұрын
Haya mafisadi wanataka wanganyika wote tuwe machawa, wa ufisadi wao,pongezi kwako wakili
@viktamassawe29252 ай бұрын
Barikiwa sana wakili msomi
@jacobmakono43992 ай бұрын
Professional misconduct!!..I like it!
@israelmwalukasa72952 ай бұрын
Hongera sana
@mariaanthoniangowi93762 ай бұрын
Kichaa ni were hayawani makubwa mnaoimeza nacho yeti. Namwimba Mungu azine Koo lako
@christinenyagiro66622 ай бұрын
Huyo anakuanbia kutathimini maneno ni wachawa tu kwa sababu hujatumia maneno yaliyo ya kutukana na yasiyo ya ustarabu. Je hawaoni yanayo fanywa na watawala wa CCM? KWA KWELI SISI WANAINCHI TUMEBAKI NA WEWE NA WACHACHE WANAO ONA WATANGANYIKA WATU. KEEP IT UP.
@user-my7fj6wn7yАй бұрын
Daud alimuangusha goliati na ww amni tuko nyuma yako my brother
@user-nm8ym6iq7n2 ай бұрын
Fanya mazoez bro, tunakutegemea sana
@IbrahimTabu-qh9il2 ай бұрын
Tunatakiwa tukubali lolote litutokee hatakama nikutoa uhai wetu. Sisi laia wavuja jasho ndiyo nguvu yahao wanao ongea ukweli. Siyo kusifia nakuwaombea mungu...
@jesaminzo2 ай бұрын
MUNGU ni mwenye haki, huwa siachi kukuombea mtumishi wa kweli wa BWANA.
@neliusgosbertbaguma86932 ай бұрын
Salute to
@anosiata82422 ай бұрын
Amini
@FESTOMBILINYI-mr2gr2 ай бұрын
Mungu akubariki sana, tunakuelewa sana Wakili Msomi
@wadeelegbogun30152 ай бұрын
Respect
@Mkemia..Kirigiti2 ай бұрын
Usijisahau sana bro, pamoja na kwamba unafanya harakati zako. Ila chunga sana baadhi ya maneno. Ni ushauri wangu kama mdogo wko. I STAND TO BE CORRECTED🤝
@SiphaheryJafarymsogoya2 ай бұрын
Sjajua kwani kakosea wapi ndugu yangu kama wewe unakubaliana na mifumo sawa ila ukweli usemwe jamaa kasema ukweli
@ezekielmusa13902 ай бұрын
🙏🙏
@user-so9fo5tv3j2 ай бұрын
Stand up with justice being witnesses for GOD. And then even if it is against your own people. (Quran 4:135)
@rasnchimbi2 ай бұрын
👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
Wakati magufuli kafuta mikutano na kubinya democracy akujitokeza alikuwa wapi kama siyo unafiki
@fidelischibukwe5432 ай бұрын
🙏🏾🙏🏾
@odoieriasmonga65912 ай бұрын
hao ni machawa achana nao piga kazi kamanda tupo pamoja
@user-ti8fn1wn1w2 ай бұрын
Tunakuamin wakili wetu wewe ndo msomi
@chalokalunde94292 ай бұрын
Tukikosa watu kama Mwabukusi, basi ujue Tanganyika nzima ni kusanyiko la Matahiira .
@MohamedIbrahim-bn1gz2 ай бұрын
Wewe ungekuwa mkweli ingekuwa vizuri sana lakini ubaya wako mengi unayoyasema si ya kweli kwahiyo jirekebishe
@Brunn-mh2bq2 ай бұрын
Yeah right! Jina lako linaotujuza unakoelekea. Ukweli ni Ukweli tu hauna kuupuliza kuupoza. Unatakiwa uwe jasiri au muoga. Unatakiwa uwe unatazama pande zote mbili kwa usawa. La sivyo wapoteza muda wako na kujiaibisha ndugu yangu. Mwambukusu yuko sawa na anasema kweli. Huo uwongo wake tujulishe basi nasi tujue. Usijifiche nyuma ya maneno ya jumla jumla eh bro😊
@allymusira2153Ай бұрын
Ana chuki tu alikuwa wapi wakati magufuli anawapiga pini kina lisu mpaka wakakimbia nchi
@christinenyagiro66622 ай бұрын
Watawala wa CCM wataenda wanako kwenda na matendo yao maovu yattangulia mbele watashangaa yote wanafanya yatawashuhudia mbele za Mungu ni watu Wabaya sana na wametufanya watumwa muda mrefu kiasi kwamba watanganyika hawajielewi mpaka wanafurahiwa na utumwa sasa kiasi kwamba ukiwauliza wanasema ee tusije tuasikika tukaleta. Nyerere mwenyewe angekuwa mwoga kiasi hicho Mpaka leo tungekuwa na Waingereza wakitutwala bado. Watu mfano wa Mwambukusi tunawaitaji ili watu wapate kujiamini tena Inchi kwetu Tanganyika. Ndiyo sababu wazika Tanganyika na sisi tunawachekea na kusema saw ati wanaogopa kuuwa kwani wao Mungu?
@sasha-ri7tf2 ай бұрын
KAA KARIBU NA MICROPHON USIKEKE PUMBAVU WEWE UMEZOWEA KUWAPOTOSHA WA TANZANIA " UKIENDELEA KUWAPOTOSHA WA TZ SHERIA HAIJAENDA LIKIZO" TUTADILI NA WEWE TUU HAKUNA NAMNA NYENGINE.
@nabimanyafesto50142 ай бұрын
Ivi wewe na yeye mpumbavu ni nani?
@Brunn-mh2bq2 ай бұрын
@@nabimanyafesto5014Nashangaa eti hamna namna "nyengine"😊 .Lione kwanza ya Mchambawima anataka kuhamishia kwa wasomi. Nyooo!!!
@user-ti8fn1wn1w2 ай бұрын
We shoga nin mavi wewe
@austorb.nyondo27082 ай бұрын
Nilijua shetani yuko kuzimu kumbe upo duniani? Acha ujinga jifunze kwa mwanasheria mwenye utu na mtetezi wa watz wetu.
@GodfreyOsward2 ай бұрын
Kuendelea kuwalinda wasipotoshwe kwa hoja dhaifu ni udhaifu pia. Wanakula na kushiba huwaona raia wengine ni nusu watu au waliumbwa na Mungu mdogo. Binadamu wote sawa tunaelewa kama wewe. Labda wale wachache waliodumaa. Wengi wetu tumijifunza kutumaini tu Ipo siku tutachazana fimbo kwa tabia ya kudharau. Anatupotosha sisi hatuna akili? Hûwa tunatafakari kila jambo ndugu kwa akima sana. Ni bora useme kakupotosha wewe. Utawala hautetewi kwa akili nyepesi kiasi hicho.
@mbikamtanganaki2 ай бұрын
Sauti ya mungu unajua wewe siungekuwa mchungaji njaa tu kiboko yenu makonda
@sindaslyvester10072 ай бұрын
Sauti ya MUNGU si lazima uwe mchungaji: Kuna wachungaji wachumia tumbo
@hamisimuhunzi79162 ай бұрын
nchi yetu haiongozwi kwa mujibu wa Sheria Tanzania is a banana republic
@user-nd4tq6nd8sАй бұрын
Tuko pamoja
@Lubango-gj3ud2 ай бұрын
Boniphas Mwabukusi , Musa uliyetumwa kuwakomboa wana wa israel(watanganyika) kutoka utumwani misiri(ccm) Viva walkili
@sylvestercameo62632 ай бұрын
Eeh! Watanganyika kutoka utumwani wapi....? Watu mnafikiria mbali!
@anosiata82422 ай бұрын
Nilikuwa nimekumiss Nondo zako Wakili Mwambukusi nilikuwa nafuatilia mitandao karimbia wiki moja hivi. Mungu mwema.
@kakawataifa67522 ай бұрын
Mungu anapenda watu wajasiri ,serikali inapenda wenye hofu je wewe mwenzangu utakuwa upande gani ?
@MusaOgwoko2 ай бұрын
Hawatakuweza jeova hameshakuweka katika mioyo ya watu hachana na matumbo ya tamaa Kuna siku tu yatanyauka si kitambo
@juliuskitaluka12062 ай бұрын
Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana
@MusaOgwoko2 ай бұрын
Wewe na makonda na lisu mko sawa kuwa viongozi wa juuuu
@YusufSwaibu2 ай бұрын
Ulitete ubinafisaji bandari I lengo kutetea wapigaji ww uko kimasilahi Kwa wapigaji
@lupakisyoassa15792 ай бұрын
Uoga ni dhambi kubwa, maana hata sauti ya Mungu akitaka kufanya jambo juu ya mtu wake alituma Malaika usiogope.
@user-so9fo5tv3j2 ай бұрын
Stay blessed lawyer Boniface Mwabukusu.
@exaverysimon10642 ай бұрын
HAKINA ANAE KATAA KUKOSOLEA ILA INATEGEMEANA UNAMKOSOA KWA NJIA GAN UKIKOSIA KWA KUTUKANA HATUNA ATAKAE KUKALIA KIMYA KO REKEBISHA UONGEAJ WAKO
@usembiphonedar56322 ай бұрын
Mwizi anaitwa Mwizi! Jambazi anaitwa jambazi! Fisadi anaitwa Fisadi! Mchawi anaitwa mchawi! Chawa ni chawa tu! Je wewe unataka akosoe vipi! Awaiteje hao watu! Wanufaika wa huu mfumo kandamizi wa mafisadi hawawezi kumkubali wala kumwelewa Mwabukusi! Tunataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi!
@rehemaanyisile62052 ай бұрын
How
@aliyageorge67942 ай бұрын
Welldone wakili mwabukusi. ✌️👏🙏
@SundaySteven-bz4yq2 ай бұрын
wanaojua makosa ya inchi hii wasomi wakiwemo wanasheria wa kujitegemea ndio wanaotetea wanainchi sisi watanzania tuko na nyie musichoke maana wanasheria serikali ni ccm ndio maana hata mabaya ya viongozi wao wanayabariki
@MusyangiMatoti2 ай бұрын
Kauli ilijazwa kwa jazba kubwa mno, maneno Yako vema, mawakili wenzako mbona wapo mbali kwa jambo hili?
@maranduleshira37272 ай бұрын
Malcom X.
@user-de8ly6ck8x2 ай бұрын
Verified sentences I missed u
@user-ur3rx3eu9f2 ай бұрын
Pambana tupo nyuma yako
@user-lw3tg3yg5b2 ай бұрын
Damu ya Yesu ikufunike na kukukinga nahila zao hawa wasio na haya wala soni Mungu akubariki na kukulinda ndugu yangu
@yordanyona12342 ай бұрын
Smart guy ..lazima ujue gharama ya nafasi yako.. Kazi ya wakili Ni ya Mungu Ukikosea utahukumiwa na Mungu Lazima mtende haki na kusimamia haki
@user-ox4fv4cf5l2 ай бұрын
ALAFU BAADHI YA WADAU KUKUPA SIFA ZISIZOFAA PIA WANAPITILIZA...WEWE HUWEZI KUWA SAUTI YA MUNGU NI BINADAMU WA KAWAIDA HUO NI UPUUZI TU
@exaverysimon10642 ай бұрын
HATUPING KAZ YAKO ILA NA WEW UMEONESHA MADHAI KIBAO KWENYE KUONGEA NA KUTUKANA VIONGOZ WETU HUNA HAJA YA KUTUKANA VIONGOZ WAKOSOE KWA HESHIMA
@jovinjoseph12472 ай бұрын
Mwizi ni Mwizi tu
@rehemaanyisile62052 ай бұрын
Hakuna kupaka mafuta kwamgongo wachupa
@austorb.nyondo27082 ай бұрын
Nafikrii ukiibiwa au mwanao kubaka nafikiri mbakaji utamuomba mzungumze kwa heshima maana mbakaji kwako anastahili heshima kuliko dhambi ya ubakaji aliotenda
@user-zu8ou2oe4c2 ай бұрын
Ww ni sauti ya mungu kama hutojali no yako ya cm muheshimiwa pls
@MohamedIbrahim-bn1gz2 ай бұрын
Hamna lolote huyu mpotezaji watu
@jimonmwakalebela94702 ай бұрын
Gombea ubunge ccm
@khamismakame2 ай бұрын
Huyu Kichaaa afutiwe usajili Hana adabu wa code of conduct Anachnganya uwakili na Siasa Futa certification yake akalime Mahindi
@rehemaanyisile62052 ай бұрын
Pumbavu kalime wewee,bwege mkubwa
@Brunn-mh2bq2 ай бұрын
Punguani weye umeishia la pili unataka nawe uonekane mtu😊
@user-sl8bu3we1m2 ай бұрын
Pumbavu msukule wewe
@GodfreyOsward2 ай бұрын
Tunaweza kushugulikiana sisi kwa sisi, ila nyuma ya pazia umaskini unatushukia wote.magonjwa yanayotibika yanatumaliza, vifo vya ajali vinatumaliza, rasilimali zinaporwa, ujenzi wa barabara kandarasi wanagenga wageni! Rushwa,wizi, uzembe CAG kila mwaka anatuonyesha.unatumia nguvu kubwa kushugulikiana? Haya nayo maendeleo? Au ni woga wa mtu aliye panda mgongoni mwa siba? Anaogopa kushika? Dhana kushugulikiana ni kikwazo cha maendeleo yetu. Uadui kila mahari utadhani tutaishi milele. Ajabu tunakomoana Kwa hasara ya uzao wetu wenyewe.
@frankremishoy57782 ай бұрын
Msukule kabisa.kwanza kazi ya uwakili ni mtetea mtu yeyote aliye onewa hata kama siyo mahakamani
@user-ox4fv4cf5l2 ай бұрын
Unapambana kukosoa mapungufu ya baadhi ya mambo LKN KASORO YAKO ni namna ya KUWASILISHA ndipo unakosa hekma na BUSARA na MWISHO WA SIKU HATA hayo unayoyasema yanaonekana ni UTUMBO Kwa baadhi ya watu
@nabimanyafesto50142 ай бұрын
Hekima ipi ?? Watu wengine ni kwasabb hata wivu wa Mungu hamuujui. Hizo ni hekima za wizi mnazo zitaka anyway.
@IbrahimTabu-qh9il2 ай бұрын
Mtu yeyote akikosea anambiwatu hata kutukanwa sawatu haijalishi ninani.
@djumakadege6592 ай бұрын
Mheshimiwa Mwabukusi ! Tunakuomba UMSHUKURU MwenyeziMungu. Hakuna anaekutisha wenzio wanakupenda ndiyo maana wamekusii ukae kimya. Kama kashindwa Jaji Mkuu Nyalali !wewe ni nani ? kama Jaji kissanga , Jaji Samatta hawa wote ni weledi wa sheria ! wewe nani ? Tunakuomba nenda jimboni kagombee ubunge au urais ili ukapiganie hayo unayoyataka. wameshindwa manguli wa sheria itakuwa hawa wa Leo. Matatizo ya nchi hii yslianza pale waasisi wa uhuru walipoenguliwa kwa dhulma wengi wao walikuwa waislam ndiyo maana dhambi ile inatafuna nchi mpaka na kesho. dhulma mwisho mbaya. wazee wetu walitafuta uhuru ili watu wote tupate haki lakini matokeo yake wakabaguliwa baada ya uhuru kupatikana . msimtafute mchawi ! wachawi wanajulikana hao ndiyo wametufikisha hapa. Mheshimiwa usilaumu tulipo angukia ukasahau tulipo jikwaa. Aksante