MUNGU wa mbinguni mkono wako ukawe juu ya iyo mahama na majaji katika kuamua katika kila jambo likawe sawa na haki
@JamesKanyenda-y9y Жыл бұрын
Makamanda wa minguni hao.jesus ndo jemedari ya kikos Kila kitu kitakuwa sawa tu.MUNGU Bado yupo pamoja na watanzania
@menshitunze Жыл бұрын
hakika.
@jestonelazaro6543 Жыл бұрын
God stand our side
@lilianvitus2488 Жыл бұрын
Mungu wetu mwema tunakuomba sana haki ikatendeke juu ya hukumu hii. Wala asijiinue yeyote ktk kupotosha ukweli wa jambo hili
@NgambilabalinziBaliguluk-os3ln Жыл бұрын
MUNGU usie lala kasimame mwenyewe pia waongoze majaji wetu wakatende haki
@abuuazhar3738 Жыл бұрын
Naona mmeamua kumchukua na Huyo alie vaa kanzu ili tuone kwamba hakuna Udini hapo. Pumbaav kabisa
@NgambilabalinziBaliguluk-os3ln Жыл бұрын
Aliwazaro mjinga Ndo litakalomkuta
@menshitunze Жыл бұрын
Haki Ina wewe MUNGU uliyeumba umba mbingu na nchi, waaibishe, maana njia zako hazichunguziki. WANANCHI tunaimani ya USHINDI.
@veronicawilson4263 Жыл бұрын
Machozi yananitoka ya furaha naona vile Mungu anaenda kutenda Mambo yakutisha haki na kweli inaenda kusimama maana Mungu wetu ni mtenda haki na anapata haki anachukia uovu
@magrethsengati2564 Жыл бұрын
Yesu awatangulie lazima wananchi tushinde na zaidi ya kushinda
@petermassawe-x5q Жыл бұрын
kes ya watanzania leo tuwe makini ukweli usipindishwe mungu tuaidie
@mwanagwakyala3213 Жыл бұрын
Nawaaminia wakuu wa kitengo na wapambanaji wa Taifa