Nimefurahi sana kuwaona wote wapo wazima wa afya. Yaani walotangulia mbele ya haki si wengi kama nilivyodhani. Sauti zao kama zamani. Nimeamini kipaji hakizeeki
@frankjonas59412 жыл бұрын
Nammwona man x hapo.... Big movements.. We still listen to yr music brothers
George George! Good to see OG together, I wish to be there
@peninashungu66332 жыл бұрын
Nilitamani Sana hii hikitu, Jaman Hao ndo walikuwa wanamziki, nyie noma sana
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Safi sana bila kuwa sahau wakali kwanza 💕
@abdulrahmanhassan92542 жыл бұрын
Kweli kabisa njoeni muwafundishe kizazi kipya kuwa unaweza hit bila kuimba matusi
@sabrinamustafa85542 жыл бұрын
Ohh my God!!!😊😊😊 This is huge👏👏👏
@frankmsigwa1532 жыл бұрын
Yani ttzo la Bongo baada ya kujenga fikra njema wao wanaanza vijembe vijembe hupelekewa msipoklewe vile mnavoaamini ila kikbwa ni kushow love kwote
@hilalmohd89412 жыл бұрын
very good mawazo makubwa sana
@francissimbangulu80482 жыл бұрын
Ushauri wangu ningependa tamasha hili walifanyie uwanja wa mkapa mana tutakuwa wengi sana
@ibraimoissiaca60582 жыл бұрын
Nimeikumbuka Ngoma ya nay wamepanda wameshuka
@salomewandya72572 жыл бұрын
Squezer🔥🔥🔥🔥
@nellymatalanga50332 жыл бұрын
You did good music time yenu no doubt about it bt you need to acknowledge pia time ime change and you guys need to keep up with the game or else...... mtabaki kulalamika
@jabalimikechi77502 жыл бұрын
Umenena vema broo
@nellymatalanga50332 жыл бұрын
@@jabalimikechi7750 They can still do it sio lazma amapiano etc but thy can do it. I grew up listening to Mr. blue since akiwa 16year old still touring malindi, msa na bado ako game tangu wimbo wa maria with Alikiba,mapozi nawe, tabasamu,to date aki imba collabo na Kiba tena -mboga,with Aslay,baba kyla,jux ,bright,wengi tu mmmh 🙄 so Hawa waache kuwa wazembe aki. #mtazamowangutu
@nellymatalanga50332 жыл бұрын
@Humai_d8 it's ok kushuka kupeana nafasi but still do something side hustle hivi, sio kuteta Prf.J ni mbunge ,he still produces music once in a while,Mwana FA, AY does part time music n biz ,deals ,even funny ommy was sick for a while but bcz he's a brand amejitahidi amerudi game .if one can not keep up with the pace just do something else but sio kuishi kulalamika eti new artist don't call them for gigs. Why would someone call you fr gigs while your brand is low , nasio makosa kufanya kitu tofauti . Thy had platforms they still have the power to hv those platform ni wao wajitume tu. Ona kina mobeto after fame kuzaa na Diamond alitumia hiyo Kiki like a stepping stone kupanda she couldn't sing bt anajaribu, brand Zina mpa deals,bongo movie etc just to stay relevant
@peninashungu66332 жыл бұрын
Mmezeeka jaman mpaka atari
@kikundahassani81492 жыл бұрын
asantenisana nasitunawa misi sana
@salomeraymond20512 жыл бұрын
kwahy mzk wa asahv matus? ii itakuw vit ss kizaz Ch muzk w ss n zaman 🙄🙄uku ni kutafuta pakutokea khaa! game imechange imben new hips z kizaz kpy bhn kaz zen zilikuw nzul shida time anyway big up💪
@marcelpaulbiste52682 жыл бұрын
Sura personal
@yangma24042 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏🤸🤸🤸
@jonassilveter24152 жыл бұрын
Dah yani wamechoka kweli
@jacksongidion51702 жыл бұрын
Wamechoka had huluma
@sevystaronedancer17852 жыл бұрын
Ntakuwepo na mimi
@benezethbwikizo31582 жыл бұрын
Gud idea
@salomewandya72572 жыл бұрын
Duh hii si ya kukosa
@prettynayally21772 жыл бұрын
Leo ndo nimeamini wasanii wa zamani walikuwq walitawaliwa na unga na bangi
@roi25542 жыл бұрын
Tatizo waliona South Africa ni sehem ya maana
@prettynayally21772 жыл бұрын
@@roi2554 🤣🤣
@hamisially84632 жыл бұрын
Big up
@peninashungu66332 жыл бұрын
Bia zinazeeka
@rashidbendera31102 жыл бұрын
Kilakitu mama tu
@eunicethoya60212 жыл бұрын
Nmemjua bwana Misosi 2 hapo
@eliasmwanawima11292 жыл бұрын
Inapendeza
@xmaramoja3622 жыл бұрын
Hawa kuwaita wakongwe ni kuwakosea heshima, Jina liwafaalo ni Wasanii waliopotea. prof j ni mpya? Alikiba ni mpya? mr blue ni mpya? Dully ni mpya? Wapo wengi tu wazamani bado wanabamba Hawa ni wale waliopotea, mtu kama pnc et wazamani jaman ebu waitwe tu jina lao maana walishindwa kukaza kwenye game wakapotezana sasa wanaishi kuwalalamikia vijana walioshika hatamu.
@adamhamisi26382 жыл бұрын
Wapi sir nature?😳
@sakayonsakihunga34962 жыл бұрын
Nawaunga mkono kwa sapot yoyote karibuni mikoani
@dullahtechtz34222 жыл бұрын
Nakubali
@funsimple_ke30342 жыл бұрын
Kizazi
@fj83172 жыл бұрын
wapige shoo ila wasilete yale mambo mikono juu twende kulia kushoto piga kelele
@binaljabirmshihirzanzibar83692 жыл бұрын
Yeah bro 😂😂😂😂😂😂😂
@meshakinelisoni11762 жыл бұрын
.ivi wanataka nn ..kama wako fiti siwatoe maiti Singi yakusato
@leoniapaulo77522 жыл бұрын
Saafiii…
@stevewanga9572 жыл бұрын
Yaani kuna ngoma za kitambo nimeskia zimenigusa...yaani ngoma wakati huo zilikua za maana...hamna cha matusi
@wilsonjaphet55472 жыл бұрын
😂😂😂 yatakuwa dhahabu Kweli
@teddymatisha67812 жыл бұрын
🔥
@khadijambuya7942 жыл бұрын
😄😄😄😄KWELI WA ZAMANI SURA ZIMEWAKOMAA HATARI POLENI SNA 😄😄😄 Lakini mmesikia kma siku hzi tuna simba tembo chui yni muwe makini tyuu mjini jua kali 😄😄😄
@jacksongidion51702 жыл бұрын
4
@rjb312 жыл бұрын
💚📌💚
@mussajackson7832 жыл бұрын
Niliwazaga hii kitu uchumi ukanikwanisha
@King_Of_Everything2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
@emmylyaruu53852 жыл бұрын
Yupo wapi zombi wa mob just
@mudriqhamidu8712 жыл бұрын
Duniani kote mziki umegawanyika, upo wa matusi na wa kufundisha, na kukosoa, ss wacheni kupiga madongo , kuwa mziki mayusi, huyo munaempiga madongo ndio aliyefanya mziki kuwa na thamani na kuwa,na pesa ambapo nyie mulishindwa mukawa munalipwa show 500,0000/= yy mziki matusi alilipinga hilo na kuji9ngoza wacheni choyo cha kijinga 🙏✌