WALITAKA KUNIUA KUNITUPA KWENYE MAJI | NIMEENDA NCHI 15 KIBAHARIA

  Рет қаралды 24,253

Maximum Tv Online

Maximum Tv Online

2 жыл бұрын

SAD MOMENTS Ni Kipindi Kilichoandaliwa Maalumu na MAXIMUM TV Kwaajili Ya kugusa maisha ya watu wenye mazingira Magumu Ndani ya Tanzania
kwa Mfano
1 - WENYE MARADHI
2 = WALIOTELEKEZWA NA WATOTO
3 - UNYANYAPAAJI WA KIJINSIA
4 - UBAKAJI
5 - MATUKIO YA KIKATILI
6 - AJALI
7 - KUISHI MAZINGIRA MAGUMU
8 - WAZEE NA WATOTO
___________________________________________________________________________________
KWA HABARI ZA MATUKIO TUPIGIE
Mawasiliano : +255 6254 66848 ( Pia inapatikana na Whatsapp )
Pia Unawezaa kututembelea kwenye kurasa zetu za instagram , Facebook , Telegram
Usisahau Ku-SUBSCRIBE Channel yetu ya MAXIMUM TV Ili Kuwa wakwanza kutazama Matukio Mbali Mbali na Kwa ubora zaidi.

Пікірлер: 43
@anchortechnicx5014
@anchortechnicx5014 2 жыл бұрын
Yaaani Kuna maisha watu wanapitia mpaka unaona wewe umebalikiwa hata kama huna kitu
@josphatmwai1994
@josphatmwai1994 Жыл бұрын
Dan story nzuri sana nangoja ingine. Nairobi Kenya tupo
@Chemba67
@Chemba67 2 жыл бұрын
Maximum Tv .....kuna mshkaji kama mtapata muda mtafuteni ana simulizi nyingi mno za kibaharia ...........waweza nicheki
@saimonkazimotofootball4050
@saimonkazimotofootball4050 2 жыл бұрын
Baharia dani mwana kazimoto bagamoyo safi jeshi
@geofray0132
@geofray0132 2 жыл бұрын
Nilichokipenda kwa huyu jamaa, kila hatua anamtaja Mungu,
@josephjoseph8982
@josephjoseph8982 Жыл бұрын
Uandishi wa habari unakufaa sana mungu akupe maisha marefu
@petermboje5839
@petermboje5839 2 жыл бұрын
Mungu mkubwa uko sawa bro animpambaaji
@kulwarahmu5031
@kulwarahmu5031 Жыл бұрын
Mmmh nyie maisha Aya ya utafutaji achenii
@florencemlay9333
@florencemlay9333 Жыл бұрын
Usikate tamaa baharia, baharia hakati tamaa 😀😀😀
@charlesgeorge9549
@charlesgeorge9549 Жыл бұрын
Ugonjwa unaitwa burudani daaa mabaharia wanapamba sana Wana risk sana
@omarykaniki3194
@omarykaniki3194 Жыл бұрын
Wachina ni mbwa nawajuwa awampendi mtu mweusi na shangaa serikali ya bongo wanapenda sana wachina awana mpango
@omarykaniki3194
@omarykaniki3194 Жыл бұрын
Wambie hao waache ushamba mtu anakwenda kutafuta alafu unamuweka jela kwa nini kwa nini serikali ya tanzania ni yawashamba sana
@user-yp5mm2pg5s
@user-yp5mm2pg5s 2 жыл бұрын
Wa kwanz mkono Kwa mkono na broo Sky......✌️
@jaquelineirakoze758
@jaquelineirakoze758 2 жыл бұрын
Tunasubiri part 2
@boblatino3899
@boblatino3899 2 жыл бұрын
Ukiwa na Roho ya kibaharia uwezi kukata tamaa
@chidrashid3797
@chidrashid3797 Жыл бұрын
Kipind kizur vyema muwe na maik mbili itakua vyema zaid ktk mahojiano ili unaemuhoj bas anakua na ulivu mzur zaid
@thabithaji7182
@thabithaji7182 2 жыл бұрын
Blaza wee muomb namba zake nitumie namb zauyo muhuni
@AhmedAli-oq4km
@AhmedAli-oq4km Жыл бұрын
Braza kasema kweli serekali musitufunge tunaporegeshwa
@hildadaniel4786
@hildadaniel4786 2 жыл бұрын
Inshalaah utatusua tu
@LoveStory-ne2ee
@LoveStory-ne2ee 2 жыл бұрын
Pole Sana maisha aya
@HansMmojammoja
@HansMmojammoja Ай бұрын
❤❤❤ good opp travel
@hussenimohammedi2820
@hussenimohammedi2820 Жыл бұрын
Hatutaki story za barabarani sisi ma baharia
@kelvinmasika
@kelvinmasika 2 жыл бұрын
Mara ya kwanza kusikia neno mara ya kwanza mara nyingi hivi…
@ameenaameena1224
@ameenaameena1224 2 жыл бұрын
Watatu leo
@dadycool5743
@dadycool5743 Ай бұрын
Jamaa muongo uyu cape town to Kinshasa to olivetambo😅😅😅
@dadycool5743
@dadycool5743 Ай бұрын
Mmmh kama stor aina uharisia
@user-du5ny9xn4g
@user-du5ny9xn4g 2 ай бұрын
Hiv huyu jamaa ana mjua nyenga kweli🤣🤣🤣🤣
@miambayankeba1084
@miambayankeba1084 Жыл бұрын
Mimi natafuta Mke wa Tanga wewe unatafuta maisha kweli Dunia Kila mtu na dream yake
@user-yp5mm2pg5s
@user-yp5mm2pg5s 2 жыл бұрын
Milion 20 usingehangaika
@Derevamkongwe6864
@Derevamkongwe6864 2 жыл бұрын
Oya mtafute huyo jamaa upige nae story tena ziwe hata 10 anajua kujieleza sana
@talentstv3949
@talentstv3949 19 күн бұрын
Burudaniii
@beckooh
@beckooh 6 ай бұрын
Jamaa muongo ni kama amekaa maskan na mabaharia akawa ywaskiza story zao
@sheeggy2808
@sheeggy2808 2 жыл бұрын
tuna taka mwendelezo wa dan
@agnestanzania2426
@agnestanzania2426 2 жыл бұрын
Mgiriki akupe dollar 1000€ hapo hapo?? Hakuna kitu kama hicho niko ugiriki miaka 5 sasa nawajua vizuri sana...mgiriki ndo mzungu wa mwisho kwa ubahili😂
@ibrahdimpoz5820
@ibrahdimpoz5820 Жыл бұрын
Yasass
@kuvetamzazi8689
@kuvetamzazi8689 Жыл бұрын
Humjui Mreno wewe.
@ngangabaraka323
@ngangabaraka323 Жыл бұрын
Sorry agnes unaweza nisaidia number zako
@titochawe3739
@titochawe3739 Жыл бұрын
Ugiriki na uturuki ziko karibu
@titochawe3739
@titochawe3739 Жыл бұрын
Naweza kuja ugiriki kupitia visa ya uturuki
@beezydundobeezydundo1931
@beezydundobeezydundo1931 2 жыл бұрын
Oya sisi tunajua meli uyo anaongea sana muongo tu elijificha sehemu gani
@revocatuspaulo6716
@revocatuspaulo6716 Жыл бұрын
Makenge Kama nyie hamkosekani
@netlity5532
@netlity5532 2 жыл бұрын
Huyu jamaa Nina wasiwasi nae, nadhani ni Big Liar. Anatoa simulizi alizo simuliwa na wenzie na kujifanya yeye
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
00:29
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 10 МЛН
Spot The Fake Animal For $10,000
00:40
MrBeast
Рет қаралды 189 МЛН
CHEKI MAPISHI YA AISHA BUHETI WAKATI WA SHEREHE
1:58
Panga Sherehe
Рет қаралды 8 М.
wazamiaji South Africa based on true story beyond their daily life!
18:06
OutComE video assist TZ Rigging vehicles Africa
Рет қаралды 25 М.