-- #Maisha #Mbanga #Kumbukumbuzinazoishi Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com #Dar24 #Dar24Media
Пікірлер: 61
@jumabillo45213 жыл бұрын
Alhamdulillah sifa zote ziende kwa Allah mola wa viumbe, mrudie allah shekhe ally simama kiiman fanya ibada za usiku, mungu atakusaidia amiin
@ruwaidaal-ismaily90993 жыл бұрын
Allah akupe hitaji la moyo wako😍Ally
@mwanasaid49943 жыл бұрын
Pole Sana kaka wanasema hujafa ujaumbika
@sakinamarjebi22063 жыл бұрын
Pole sana kk kwa mitihani yote uliyo pitia m.mungu atakufanyia wepesi yote ayo m.mungu ndie mpangaji wa yote ayo uyo anae kukejeli akumbuke kuwa mungu niwetu sote alie mpa yy ndio aloekunyima ww😢
@otiliahaule51803 жыл бұрын
Nikweli my atamimi inaniuma sana watu ambao wanao wanyanyapaa walemavu😢
@mashakiabdulrahman33733 жыл бұрын
Mashallah mashallah Allah qareem ☺️
@evamringo23313 жыл бұрын
Pole sana Ally .. kaombewe kwa jina la Yesu utapona tu ...
@faizaboubacar50643 жыл бұрын
Pole Sana Ally
@noeljosee83843 жыл бұрын
Matangazaji anajitahidi sana...thumbs up, Pole zimfikie Ally...Mungu wetu ni mwema.
@alphakidadula82502 жыл бұрын
ui
@alphakidadula82502 жыл бұрын
up uut
@alphakidadula82502 жыл бұрын
UuUuuUt7
@alphakidadula82502 жыл бұрын
UUuU
@alphakidadula82502 жыл бұрын
Uuuu YUuuU
@jayjay43132 жыл бұрын
Da. Nimenjoy na nimefurahi. Kweli nyie wote ni waandishi kamili. Hii interview ni kiwango cha juu mno. Mungu awabariki. Somo limefika. Ila kaka anavituko sana, ntu powa sana kibabe zaidi.👑🙌🙌👍🏽
@khayraa73743 жыл бұрын
Alhamdulila... nothing is impossible under the sun ✊🏾❤️
@lirastanley3903 жыл бұрын
Amen
@gharibislam15862 жыл бұрын
Swadakta
@yushuaissa4673 жыл бұрын
Blind people have a very high level of sensitivity than people with eyes. Their other senses are very hightened.
@mjige90882 жыл бұрын
Wonderfull man - kijana huyu ni shupavu na jasiri i wish him all the best mashaallah
@aminatanzanya74752 жыл бұрын
Mungu yupo ipo siku atakup hitaj lako Ally 🙌🙏
@aisharamadhani1948 Жыл бұрын
Hujafa hujaumbika shekhe mola akupe umri mrefu wenye baraka nimempenda huyo kaka yuko very smart tujifunze kutowabagua walemavu
@babawatoto43123 жыл бұрын
Hongera sana mtangazi wa kipindi hichi kwa juhudi yako ya kuijuza Jamii kwa udaku wako ambao sio wandishi wengi wanafanya juhudi ya kuwatafuta wanajamii ambao wamepitia changamoto mbalimbali za maisha ambayo sie wanajamii wengine tujue na tujifunze kutokana waliopitia wao. Endelea weye ni mtu muhimu sana.
@gharibislam15862 жыл бұрын
Allah atakufanyia wepesi inshallah,wacha na mambo ya waganga, ALLAH ameleta Qur'an ndio dawa na shifa
@otiliahaule51803 жыл бұрын
Aisee Kaka ali nimempenda bure nahongr ndugu mtangazaji kwa kz njema
@surujajwie47683 жыл бұрын
Pole san kaka Allah akusimamiye
@sixbertmichael78993 жыл бұрын
nafuatilia vyema kutoka rockcity nakupata ....Mbaga dar 24
Dar 24 media .....kuna mshkaji kama mtapata muda mtafuteni ana simulizi nyingi mno za kibaharia ...........waweza nicheki
@kasimally5651 Жыл бұрын
Jina la mwanangu kipenzi mungu amjalie amen
@deusdedithkitaly83372 жыл бұрын
Pole Sana kaka ally piga kazi
@jumakalukule53123 жыл бұрын
Usikate tamaa kunasikum/mungu atakusaidia pole sana ndugu
@deusdedithkitaly83372 жыл бұрын
Aisee unajielezea vizuri Sana
@user-nr1bf7iu8z3 жыл бұрын
Shukran mungu akupe nguvu naafia
@fatmaalnabhani36093 жыл бұрын
Mungu awahifadhi na hali yenu irudi kama mwanzo, Na ukitokelewa na maradhi yasiofahamika waganga watakavyo wadaganya!!! Kiasi kuwakufurisha tu. Yarabbi salama.
@ayshasaid1547 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@godfreygeraldmtamani9958 Жыл бұрын
Mbona story haikuendelea alipoishia pat 1 na yani pat 2 mtangazaji unaongea vitu ambavyo ata sio mwendelezo Na mbona uyo jamaa wa pili ujamuhoji aendelee alipoishia baada ya kumuacha mwenzake nini kiliendelea??? Mtangazaji umearibu hii stor 😢
@tozzaalexandar49052 жыл бұрын
Atarii mungu awafanyie wepesi
@rahiminamsangi85583 жыл бұрын
Big up ally jamani andika namba yako nikucheki ni siku nyingi toka msasani msalimie maulid nimewamis sana
@janethdavid4577 Жыл бұрын
Ali jamn....😭pole san
@tranchescoanthony25093 жыл бұрын
MUNGU MKUBWA,,,Jali kila mtu tusibaguane mana majira na nyakati za MUNGU zipo maalumu kwa ajili yetu.
@abiboseleman16493 жыл бұрын
Hahaha ally umenchekesha sana eti we jamaa mbaya sana kama cabayser
@vivicagreco7767 Жыл бұрын
Huyo anauwezo WA kupona haraka sana
@pauldaney9503 жыл бұрын
Pole kak
@vivicagreco7767 Жыл бұрын
Ukiwa na tatizo,,, na ukaliweka kichwan mwako kuwa it's over haliwezekani,,, ATA ukiombewa na viboko ni ngumu kupokea ,,, especial nyie watu hamuamini YESU KRISTO
@dawhiteschola88473 жыл бұрын
Ally pole nitafte maana haya macho yatapona
@asmamohamedidi5853 жыл бұрын
Ikisha mtu anasema hamna pesa
@valenakomba92182 жыл бұрын
Huyo bado hajazinduka huyoo, si unasikia uongeaji wake anavyochanganya Madawa?
@yushuaissa4673 жыл бұрын
These paranomal stories are VERY common in your region. The PROBABILITY of a photographic evidence should be VERY high. But, all the years, there is none. I hope you understand my doubts.
@jayjay43132 жыл бұрын
Kumbe unaelewa kiswahili, sisi waswahili bwana mzee.
@simbabbq4427 Жыл бұрын
Kumanina kipofu muuwaji hatapona na mwisho motoni
@marygaspar64293 жыл бұрын
TB Joshua anaweza
@jeskapeter65533 жыл бұрын
Mungu Ndiyo anaweza siyo bwana joshua iman potofu
@marygaspar64293 жыл бұрын
@@jeskapeter6553 ni kweli lakini Mungu anatusaidia kupitia wapakwa mafuta wake! tangu zama za kale! na ndiyo maana kwenye Biblia aliwatumia mitume manabii na makuhani , waponye wabatize wafundishe na kadhalka na kadhalka!
@jameskasela30463 жыл бұрын
Kweli nakumbuka old moshi hiyo.shengena 24
@lovenessrobert98152 жыл бұрын
Huyo TB joshua ndo MUNGU kwann mnaangamia kwa kukosa maarifa pole sana