Pole sana kaka kila mmoja huwa na historia ya maisha kwaiyo umri wako bdo mdgo pambana nyumbni mambo yatakaa sawa tu kalibu katka kilimo
@goodlucktemu31495 жыл бұрын
Kama umemkubali mpambanaji uyu gusa like acha chuki.
@bopatzbopatz54195 жыл бұрын
Ammnueli mnyama
@mudysadiki61465 жыл бұрын
Da pole sana kaka kwa maisha magum ulio pitia mungu bado ataendelea kukulinda ila kua makini sana
@paulothadeo97305 жыл бұрын
Nije
@bekabakari95954 жыл бұрын
Goodluck Temu
@muktartz73145 жыл бұрын
Leo naomba like ya Millaedayo #milladayo
@apostlejackpraise21165 жыл бұрын
Me mkenya ila sipendi watanzania wengine wanavyo mkosowa huyu dogo kwa kizungu anachoma I kiongea, mbona wazungu wakiboronga kiswahili hamuwacheki, acheni unafiki bana... Kaka usijali tunajifunza kutokana na makosa yetu
@veronicamkali62835 жыл бұрын
jack praise uko sahihi
@mwadangalamwanjelile54695 жыл бұрын
@Mwajuma Kilobwa m
@khadijasaid54614 жыл бұрын
Hata hao wanao kosoa pia awajui 😂😂😂 ni Kweli wa tz tunatupia hiyo sana 😈
what about WaMaasai.. wana hereni ni tatizo?,, also, i it a problem , why people dissing him, stp judging a book by a cover, kila mtu atabeba mzigo wako, he is smart kid, i feel him, ni soldier huyu mchini namheshim sana, annikumbushia nililala miaka MITATu homeless, NJE, chini ya mdaraja, nilikuwaga ombaomba, kwa miaka mitatatu, nikachekwa sana, iliniuma sana, KABLA SIJAANZA KUFANIKISHA MALENGO YANGU NA WENGI WALINING'ONGA SANA , jah amenibless,
@apostlejackpraise21165 жыл бұрын
True man....
@masawemushi75154 жыл бұрын
Lv daban
@yascoguidezanzibar5 жыл бұрын
sema mshkaji anaju kujieezea kinoma bless kk we fighter kak
@mwanalikhamis98754 жыл бұрын
basi tusimtanie mungu unavaa herini
@DrSanai5 жыл бұрын
Ambao tumebahatika kuishi nje, tunaelewa uhalisia. Vijana wenzangu tuthamini kwetu, tubaki nyumbani tupambane nyumbani, tupajenge nyumbani, tupapende nyumbani, inawezekana sana kufanikiwa nyumbani....maisha nje ni gharama sana
@fatumazuber75135 жыл бұрын
JUMA SELEMANI SANAI kweli broo
@africanboyamani86405 жыл бұрын
Nakubari
@palokuthereza25555 жыл бұрын
Very true tena nchi za watu ngumu sana
@omarymansuri24065 жыл бұрын
Kweli kabisa Kaka J Me Mwenyewe Nipo Durban now
@ilovejesus93035 жыл бұрын
True kabisa from USA
@emmanuelchizenga15725 жыл бұрын
Tupendane watz na tumepende home kwetu maisha maagum kokote kikubwa ni tupambane tu popote waungana
@alphaleahibrahim89045 жыл бұрын
jamaaa tayari anadegrii ya maisha , high confedence 9c
@johnsonpaul28835 жыл бұрын
Ungemchikua huyo kijana beni anafahaa kuwa mtangazaji anasauti ya utangazaji na swaga za utangazaji pia anafaa kuwa reporter
@luciangeorge46425 жыл бұрын
kabisa jamaa anasauti ya utangazaji kabisaaaa
@mdachiog52115 жыл бұрын
Kabisa anafaa
@saumuhassan63654 жыл бұрын
Exactly my dear
@yussufmoha3 жыл бұрын
Reporter na utangazaji n komoja
@geophreymwakasyuka38255 жыл бұрын
Nimewai kuwa huko Durban to jburg, southafrica unatakiwa kuwa fighter kweli, pia unatakiwa kuwa mpiganaji toka day one.
@Burner_Acc5 жыл бұрын
Kwa huo muonekano lazima awe mtuhumiwa sehemu yoyote. Hata kwenye daladala mtu akipoteza simu lazima waanze nae
@allymtz43485 жыл бұрын
Hahahahaa
@kulwajoel24655 жыл бұрын
anasema uongo watanzania wengi walishakuwa waarifu south africa
@elinahdaudi81955 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@richardcharles52105 жыл бұрын
Hahahahahahah
@romeoromeo41255 жыл бұрын
Umeona eeeeh
@mnyakitz20075 жыл бұрын
Millard ni fundi wakuuliza maswali cjui kwann wengine wanaletaga ucheshi kwenye interview...
@mpondamedia24164 жыл бұрын
U
@happyeliya1715 жыл бұрын
Hivi wa bongo huwa hamuwezago kucoment bila kutukana ?sa mnamtukana nn simaisha yake kilabinadam anamaisha yake huwez kumchagulia kha
@zenaotman57345 жыл бұрын
this is tanzania
@bockernyarusahi36555 жыл бұрын
Wengi ni Watoto kiakili, kwa hiyo ni kuwazoea tu, Mtu anatukana hata hajasafiri nje ya Wilaya au Mkoa aushiyo,huo ni undina.
@malalezengo44055 жыл бұрын
Maisha Dada sio kila MTU. Ana chagua kunamengine kawaida kukosolewa ndio njia ya kuwekana sawa
@jacquelineadrian11124 жыл бұрын
@@malalezengo4405 kymtukana mtu ndo kumkosoa
@stanleymlowe82305 жыл бұрын
bora mchizi alienda kutafta life wengi wanao toa comment za kumkejeli ni ambao bado wako home tu wanakula kwa baba na hawana ramani za maana . hata mchizi haku succed ni bora ali try. tattoos na hereni sio dili kukazania kuzidisi
@fainnamvungi43645 жыл бұрын
Wa2 wakiona m2 katoka akafanikiwa wanamfagilia na kutaman lkn hawajui vip kapitia na pia wakiona m2 kajaribu akakosa wanamkejel ...kikubwa kila m2 anatafuta tonge lake bas m2 ujifunze kupitia mwenzio
@godlistenshayo11445 жыл бұрын
Stanley Mlowe sure mzee me alichonifurahisha ni kwamba amesema zilichukuliwa damu,kucha, na mkojo zikaenda kupimwa lakin hakukutwa labda hata anatumia ngada km tulivozoea watanzania wengi wakienda SA wanakuwa watumiaji wa ngada au wafanya biashara...lakin huyo mwana pamoja na muonekano wake huo watu wanadiss lakin inaonesha hajawah hata kutumia ngada
@narlonabuu46655 жыл бұрын
True nigga hustle hard
@abrahmaniomar98585 жыл бұрын
Boss tattoos usoni utampa kazi bongo?
@rockyvlogs22145 жыл бұрын
Sure bro
@Derevamkongwe68645 жыл бұрын
Yani hakuna sehemu tamu kama Tanzania mana hata usipokuwa na pesa unanenepa
@subiramussa14285 жыл бұрын
Ha ha ha
@edinamangu96375 жыл бұрын
we ni bangi 2
@dullyninja61375 жыл бұрын
Tembea ujionee kuma wewe
@haythamomary68845 жыл бұрын
Tanzania njaa tu kaka haina kuficha
@dominicmtopwa28865 жыл бұрын
Exactly
@husseinmunga95915 жыл бұрын
kama we ni mkenya 👇🏿
@manjaruujr82555 жыл бұрын
asa nyie mnaosema kuna vitu anaficha si mkaadisie
@fainnamvungi43645 жыл бұрын
😂😂😂😂
@manjaruujr82555 жыл бұрын
@@fainnamvungi4364 si wabongo tunazinguaga kinoma sa kumbe mnajua muadie nyie sasa vyote msifiche
@fainnamvungi43645 жыл бұрын
@@manjaruujr8255 we acha 2
@richardyusuphmsongolomakat20495 жыл бұрын
Wa Tz ni wajuaji sana mamaeee
@manjaruujr82555 жыл бұрын
@@richardyusuphmsongolomakat2049 kinoma ani sijui tunaferigi wapi
@hundamaniamania8725 жыл бұрын
Duuuh Wesgate cort no 09 From john foster dahhhh hyo kitambo sana Pamoja mwamba🤙
@ismailkatala47925 жыл бұрын
I think before judging his appearance......kuna kitu cha kujifunza kwenye story ya huyu bro na lengo la hii interview ni kutoa lesson kwa Jamii hasa vijana.....But naona wengi naona tunajikita kukosoa mwonekano na grammar......Maneno ya busara unaweza kuyapata hata kwenye mdomo unaonuka.....!
@AIPusle5 жыл бұрын
Ni kweli bro
@jacksonchimomo5545 жыл бұрын
Ismail Katala Achana nao hawana Akili wajinga Sana
@bahatijuma1445 жыл бұрын
peter adriano MN
@amanimanase57944 жыл бұрын
Daaah real broo
@allybeka84015 жыл бұрын
hawa ndo vijan ninaopendaga yaan upambambaji wa maisha napenda san story
@ramadhanyusuph76333 жыл бұрын
Vipimo hivyo vije Tanzanian maana uonevu uondoke
@mosesambrose57095 жыл бұрын
Hyuu jmaa ni school mate wangu jamn dooo jamaa huyu Dar.
@pendosammy59845 жыл бұрын
kweli
@Nacy_katoto5 жыл бұрын
Oya uyu Sio Ben wa Wailes secondary kwel naic km Ndo uyu iv
@martinaantipas67904 жыл бұрын
Ndio Ben mwenyewe uyo inasikitisha sana
@mwanaidisalehe33893 жыл бұрын
Mwenyewe namjua sana uyu kaka halikuwa anapita sana keko mabembeani
@abduladhimually35425 жыл бұрын
Alyesikia jonas bagi kama mimi agonge like twende zetu😂😆
@babyelephant50985 жыл бұрын
abduladhimu ally tulipekwa kituo cha Sentelo ( central ). Ukikutwa Guiliti ( guiltily) hahaha
@bjzee19815 жыл бұрын
Ndio kinacho watambulisha. Pengine hata anaulizwa ajitee ana baki kusema mi no Tanzania mi No sif.
@fredmsigwa40475 жыл бұрын
Hahahaaaa!!!!Jonas bag
@yvonnepeter34875 жыл бұрын
😃😃😃😃😃😃
@zullaicamatola34315 жыл бұрын
😂😂😂😂
@loner_wolf5 жыл бұрын
Lindela deportation center . Unanikumbusha mbali lkn stori yko ngumu as if unatengeneza isidingo kichwani
@ruuh51493 жыл бұрын
Nataman kwl kuishi nje kutaft pesa kihalali
@malitomalito3 ай бұрын
Huyu muongo mimi niko South afrika
@muduboy7265 жыл бұрын
Waeleze mzee naona comment zingine za chuki ata airport hawajafika
@godfreymollel69035 жыл бұрын
Wabongo masnitch sana.Msela yuko fresh tu.
@muduboy7265 жыл бұрын
@@godfreymollel6903 kabisa bro mi si mbongo but they hate him for no reason
@saudatamiry19665 жыл бұрын
😂😂
@mweusimweupe4844 жыл бұрын
Kwani alitumwa ndio akome mbwa huyo
@Bensonfrank255 жыл бұрын
Millard Ayo Hongera Sana, Keep Inspiring.
@theresiakaruhanga11695 жыл бұрын
kijana huyu yuko honesty sioni kwanini kumtukana. ila watu wengine matunzo ni jadi yao🤔🤔🚞
@asiliyakechuma43195 жыл бұрын
Dah huyu dogo nilikua nae centroo wakat tunaachiwa mm nikajikataa Botswana mpaka xaxa nipo nimekwama hapa sina wazo LA kurudi TZ nafikilia Brazilian ndio akili yangu inawaza huko sirudi nyuma mbele kwa mbele liwalo na liwe
@charlzzesonconsciousness66855 жыл бұрын
Nisubirie tusepe wote
@hightechofficial2555 жыл бұрын
@@charlzzesonconsciousness6685 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@jumaomary34855 жыл бұрын
asiliyake Chuma! Never look back go go
@jemakhalifa68075 жыл бұрын
hahaaaaaaa
@asiaseif72295 жыл бұрын
@@charlzzesonconsciousness6685 😀😀😀😀😀😀
@saifmohamed11355 жыл бұрын
mirad mtoto choko alicho kwambia vyote uongo dogo ajakuwepo kwenye kesi ya kubaka uyo dogo na south amekimbia kazurumu ela ya wana kibaharia ana kessy uyo dogo nichek ntakuoa istoria yake uyo dogo tume mpokea wenyewe south sema ana tamaa aya wezi +27 83372 3032
@veronicabuba83124 жыл бұрын
saif mohamed tobaaa aaaaa
@veronicabuba83124 жыл бұрын
saif mohamed ndoo maana muonekano wake hovyooo
@hamisijmussa69835 жыл бұрын
South Pale mashoga wengi sana .. Wa TZ tunaoenda kule ndo malijali lazma kiwake mzee
@faridaiddi1043 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@hamisijmussa69833 жыл бұрын
@@faridaiddi104 😁😁
@nattytroymzii45073 жыл бұрын
piga moyo konde kaka...maisha safari tu kzbin.info/www/bejne/bWeci5iVr7OMn5I SUBSCRIBE
@andikimanasebadonavine94905 жыл бұрын
Jama huu ako na confidence na kulingan vyenye nimemuelewa akisema ni kweli south Africa wanaroho chafu sana kwa wa Africa wenzao wajinga sana nawachikia
@samniza17633 жыл бұрын
Ni vizuri sana kupata exposure ili utambue mafanikio ni popote, bila kutoka huwezi kuziona opportunities zilizopo nyumbani. Tulio nje ya nchi tunaona opportunities kibao baada ya kuishi nje muda mrefu.
@chriskingnampoto32145 жыл бұрын
Millard ningeipata hio rozari ingekua fresh sana
@hassanigustavo38565 жыл бұрын
Km hujapita masha Fulani hujakomaa
@universalcliptv48715 жыл бұрын
Watanzania wame fungwa sauzi wapo wengi......ukweli ukweli wengi wana ishi maisha ya ujambazi na jinai.......habari izo zina fichwa kwa familia zao uko tanzania!
@amirsham33525 жыл бұрын
wewe uyawezi ndyo maana unaogopa kiwanja
@priscaandrew5545 жыл бұрын
Kweli best,mm nna mfano halisi
@Taifadigital5 жыл бұрын
@@priscaandrew554 unaweza kutupa mawasiliano kwa ajiri ya kufanya mahojiano nao
@mwandumazaoidrossa17025 жыл бұрын
m
@romeoromeo41255 жыл бұрын
@@Taifadigital Acha kufanya udalali katika channel ya watu, uwo sio uwandishi mzur!!
@meedaafarai96775 жыл бұрын
Pole kaka. Maisha mitihani. Umefika nyumbani. Mshukuru mungu.
@adillhabib20065 жыл бұрын
MEEDAA FARAI mitihan kaitafuta mtu anae tafuta haishi kama mjinga hvo huo ni upuuz waish kwa kuiga wahuni
Kofia ime egeshwa kisela sana Millard... Si unajua bana!!
@raheemamkambha60135 жыл бұрын
Swaga🤣🤣🤣
@hollymore49045 жыл бұрын
@@raheemamkambha6013 hahahaa...noma sna mama
@nyamarungujr78345 жыл бұрын
@@hollymore4904 anamuhoji msela lazima awe kisele ili apate details
@Basagamp45 жыл бұрын
Nina Mifano Miingi ya Dizaini hii ya watu na watu wangu. Ukienda Nchi za Wenzetu na ukipata Chance ya Kufanikiwa ktk utafutaji unafanikiwa kweeli kweeli na ukifeli unapoteza Maziima kabisa A to Z. Ukirudi Bongo inabaki stori kuwa nishahaso saana Mpaka Ng'ambo. Baada ya hapo unagongea Jero kwa Wana. #EeeeMUNGU tujaalie ktk utafutaji
@geophreymwakasyuka38255 жыл бұрын
Kweli kabisa bigerup.
@Basagamp45 жыл бұрын
Geophrey Mwakasyuka Vijana tupunguze saana Tamaa
@Basagamp45 жыл бұрын
KINGCHARZ TV Namba yangu naweza kupa,sasa inategemea wao wahusika watakubali hayo Mahojiano?
@Taifadigital5 жыл бұрын
@@Basagamp4 nipe wala usijal Tutajuwa Namba ya kufanya
@Taifadigital5 жыл бұрын
@@Basagamp4 nipe namba tutajuwa Tunafanyeje
@ashab25375 жыл бұрын
Na vijana wengi wanaoingia south Africa ni wengi mno wachuuzi wa madawa ya kulevya, Na wao kwa wao wana tabia ya kuchomeana
@januaryjoseph43835 жыл бұрын
I was there by that day I escape though emergence door Mungu ni mkubwa
Uyooo shooga tena choko mmoja ana hata maajabu kuma 2 anachalazia waun freesh mmoja uyoo namjuwa alishawahi kubanduliwa kisa kamuibia muhun we2 wa maskan kama taslim ya pesa elfu 20 rand akaja Pretoria uku ndipo alipokamatwa na kufanyiwa vibaya sehem za za siri
@masuseleman9785 жыл бұрын
Ukienda kichwa mkuki lazima udunde. Jipange ukitaka Safari. Sio ushakula bange zako .eti ooh mi nasafiri . Safari tu ..mi nawashauri tu kama unatala Safari jipange hakuna linalo shindikana.
@albeleenalberto1585 жыл бұрын
Mnakosoa kiingereza yake mbona wazungu wakikosea kiswahili hawachekan
@ndulamwakitalima75053 жыл бұрын
Walinishika kwa miezi Tisa alafu wakaniachia bila ya kesi walikua wanafanya uchumguzi miezi Tisa Pretoria
@adillhabib20065 жыл бұрын
mimi nimeishi zaid ya miaka 4 lkn mnajiweka kihunu
@ronylauwo61755 жыл бұрын
hao jamaa nilikutana nao westgate court wakiwa wamekuja kuskiza kesi yao mi nilikaa Siku tatu mahabusu nikatoka
@pendosammy59845 жыл бұрын
pole
@ronylauwo61755 жыл бұрын
usijali sis mambo mengine yakupita tu
@veronicabuba83124 жыл бұрын
pole ilikuaje naww
@saumuhassan63654 жыл бұрын
Subhannallah, mtihani kwakweli, maisha ni safar ndefu mmmmh! Pole sana kaka, ila umeniudhi kuweka matatoo usoni, mtu akikuona tu, atakufikiria ni jambazi kweli.
@ruuh51493 жыл бұрын
Mambo naomba nitaft 0683924441
@RichardMlaguzi Жыл бұрын
Sasa ilo hereni kama shangingi ndio nini huyo msela Mavi ona alivyojichora usoni hao ndio wanaotupakazia mpaka tunaonekana wote tuliopo huku wahuni bora abaki huko wanatuchoresha huku
@mimaakenirram14055 жыл бұрын
arafu wakaka wa tmk wengi wanapenda kwenda South Africa
@OmanOman-hr6cb5 жыл бұрын
True
@dativaherman92355 жыл бұрын
Hahahaha umeona eh labda kwakuwa ni karibu na njia ya kusini
@christinachacky79555 жыл бұрын
mimaake nirram nawakaka wa kinondoni wengi mashoga
@mimaakenirram14055 жыл бұрын
Christina Chacky tmk kwetu akuna kulemba
@Pedeshee015 жыл бұрын
TMK umewin kwetu uswahilini huwezi amini wanaishi mkachaa maskini,Home sweet home napazimia mimi kiwanja nikafuate nini?,kwetu nyumbani maharagwe ni bora kuliko nyama anayapikaga mama,mimi nayapenda sanaa!hapa hapa ndiyo nyumbani,mjomba hassani washa koroboi humu ndani mbu wamezidi.
@saidaramadhan23353 жыл бұрын
Ivi kwanini wazungu wakija africa wanaishi vizuri sana tena kwa uhuru lakini watzd wakienda nnje misukosuko kibao?
@shaloboy38615 жыл бұрын
Sema kweli kilichokutokea jela hadi kuvishwa kipuli
@zainabukhalifa39675 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂hiyo ni siri
@pamelangowi44875 жыл бұрын
Shalo boy we nawe kuma kwel
@aminaalvin32014 жыл бұрын
Huyu kaelezea ila akujuwa masikini kisa yule dada mzimbabwe alikuwa anafanya kazi bar then huyo mshikaji mbongo akamnunua huyo dada alivofika naye magetoni wakayafanya yao alivomaliza mshikaji akakataa kumlipa pesa yake na yule dada alikuwa mjamzito so akaondoka analia ndo akaend kushtaki kuwa wamembaka so police alivofika uku magetoni wabongo walikuwa kumi na moja ndo wakasombwa wote masikini
@sakinayusuf50725 жыл бұрын
Alafu kama anatumia sembe huyu kaka yani dah
@mrsochu-hv7bm4 жыл бұрын
Jamani south Africa kuzur achen tu ma hom Boy wakimbilie Kule mi nimekaa miez miwili Johannesburg ni pazur hatare
@hamismohamed35415 жыл бұрын
Ebwana milard eee ulishawahi kua askari kitengo nini maa hayo maswali angekua jamaa mtuhumiwa angejipeleka ngome mwenyewe
@tindijunior51074 жыл бұрын
Uyo muongo na hizo tattoo kaja nazo kakaa maabusu tu haja fungwa Mimi na ishi Johannesburg na nimekaa nae maabusu mpaka mahakani hajafungwa
@wahidashabaz59825 жыл бұрын
ok kaka karibu nyumbani tuuze machungwa ila kama huna mawe iyo heleni vua
@mwandumazaoidrossa17025 жыл бұрын
😂😂
@romeoromeo41255 жыл бұрын
Aache tu iyo coz anaweza pata mume
@najma32685 жыл бұрын
Wahida Shabaz 😂😂😂hareni aiweke kabatini asubiri akirud South Africa ndo ataenda kuivaa 🏃♀️
@wahidashabaz59825 жыл бұрын
.
@wahidashabaz59825 жыл бұрын
Najma 3 eiwaa maana watu wakiahaingia katika nchi za watu huwa hutaka makuu ila wakija huku ni uozo mm alikuj kaka 1 kitoka south akawa et anataka kunioa ila nilimshangaa sn maan karud na heren tu sikion alf kitu kidog utasikia msemo wao et wsp niga ndo nini 😁😊nikamkimbiza uozo huo wa nini stori zake tu nilikuwa na madem wa kizungu 😃😃
@myself41285 жыл бұрын
Jela.mwaka mzima as a suspect? Yaani hujawa mfungwa unawekwa mahabusu mwaka mmoja? Niliamini kuwa south wana teknolojia mwanamke aliyebakwa alitoa ushahidi gani? Na ubalozi wa Tz huko ulikuwa unajua au??? Kwanini msiwasiliane na Embassy????sababu kuna dna evidence na doctor's report mtu aliyebakwa angeonekana,it doesnt make sense
@bahatially30424 жыл бұрын
May be you need to listen to the interview, he talked about DNA test and other tests like urine, nails etc , and he explained that what delayed them was the complainant left to her country Zimbabwe that led them stranded in the jail.
@raheemamkambha60135 жыл бұрын
Baada ya miaka 40 wazee wote bongo watakuwa na tattoo na kutoga masikio🙆♂️ Mungu nakukabidhi uzao wangu🙏
@babalois72405 жыл бұрын
Raheema Mkambha hahaaaaaaa
@matthewjohn51085 жыл бұрын
Rehema nitabaki mim ucjali tutajenga familia nzul.
@raheemamkambha60135 жыл бұрын
@@matthewjohn5108 😆😆😆
@ommycryz76705 жыл бұрын
Pole xanaa kalibu tz
@ommyathumani72645 жыл бұрын
Hahahahha
@yonamichael96133 жыл бұрын
Kwani kila mnoja ananjia ya kutafuta maishani make ndo upambambanaji
@thomasmaphior795 жыл бұрын
Don't worry bro mey be you like president Mandela life is not easy suffer hakuna shida isiokuwa na solution be happy brazee
@JeremiahCharles-vi5so17 күн бұрын
Mpambanaj anafia vitani sarute sana baharia ila huku South Africa kuishi Kuna hitaji akili nyingi sana pasikie kwa kuhadithiwa nomaaaah
@muharamijuma41485 жыл бұрын
pole hom boe hizo nichangamoto tu za maisha one day yes
@Simangwa6 ай бұрын
nakubali sn mwamba mnao mtukana mwamba mna feli mbona mnaogopa hata kupanga hata chupa cha 20 hongera ndugu 2 be continual
@fadhilplatnumz62095 жыл бұрын
Huaga cici Watanzania Nchi ZaNje tunanyanyaswa saana" Nawashangaa Polis wakwetu Tz hawanaga Ishu nawageni wakat wapo wazurula tu Kkoo hapo
@agaaah66975 жыл бұрын
Kweli kabisa
@myself41285 жыл бұрын
Njaaa, tatizo la hawa askari hata elimu juu ya haki za wazawa hawana,wamepitia mafunzo ya kupiga na kuonea raia nakutumia bunduki tuu
@danneismail54425 жыл бұрын
Mbona mimi mkenya +254 niliingia TZ na pande za moshi nikiwa temporary passport nikashikwa na kuacha kila kitu changu geust na kuridishwa na lungalunga
@danilopato84725 жыл бұрын
polisi wa tz njaa tupu wapo
@TravelTheWorld00005 жыл бұрын
ukiwa mkenya tz utatimuliwa mbio sana
@margarethpolepole74383 жыл бұрын
Huko alifuata nini na kuacha shule na watoto wengi wa temeke wailes wengi wao ni watundu na vibaka sana
@htx18735 жыл бұрын
Kwa sura hiyo atanyang’anywaje Msosi. Kwa Mfano ?
@godfreyramsay64633 жыл бұрын
Kamanda pore ira huyo uriemtaja anaitwa isiaka namjua nimesoma nae
@tashwakotaii36325 жыл бұрын
Daaad damu yangu karibu keko ndio home wanao tupo ben
@mdzainb37224 жыл бұрын
Punguzeni ujana ina kavaa hereni jamani uuuuwi wakati mwingine mivae vizuri maana mnajulikana wahuni na wakati sio wahuni
@limicornel80895 жыл бұрын
Namjua jaman kweli maisha yanabadilika hadi sikio katoboa na tattoo km zote
@shankharboyka76243 жыл бұрын
Me namjua sana huyu tmk mwenzangu
@bahatikengese36033 жыл бұрын
ayo huwa anajuwa kuwa hoji vizuri safi sana yan ww tz ndi mtangazaji bora mm huwa naona
@alimohammedali49255 жыл бұрын
Ben Kiwale Pritchard street & mooi jengo hilo niliwahi kuishi 2002, nijengo linalomilikiwa na jamaa mmoja anaitwa NASA ni mrangirangi, ni kweli jengo hilo kuna waTZ wengi wanaishi na ni City Center.
@albertopereira10565 жыл бұрын
Salute Mm nimekaa Deviliers and Quartz street Nakubali
@albertopereira10565 жыл бұрын
Nimekaa miaka minane
@AdamMtaki-rb3hb5 ай бұрын
Mmh jamaa kwa jinsi alivyo mahali popote uyamuhisi siyo raia mwema
@Nacy_katoto5 жыл бұрын
Daaaah Cdhan km utakua sio ww Ben wa keko Magereza,,, nakumbuka Pale Wailes secondary school mwisho kukuona home boy ila pambana ndo changamoto za maisha ayo....Daaaah Respect Boyi
@saedrashed28965 жыл бұрын
Nacy Avelin katoto .. avelin laurian
@jjboy51573 жыл бұрын
😂😂😂😂sisi bado tupo huku tunasavaiv
@aloycekiwia86135 жыл бұрын
Dah..! Ingawa hakufanikiwa kuwa Movie Star.... Angalau amejifunza KIZULU na KIDHUNGU.
@OmanOman-hr6cb5 жыл бұрын
😀😀😀
@binahmedjuma86815 жыл бұрын
Hivi ni nani ameturoga watanzania? Mafanikio sio lazima uende nchi za watu then mwanaume mambo ya kuiga hayapendezi, unaanzia kutoboa sikio, kuvaa hereni unaishia kugawa tako. Alright then karibu nyumbani hapa kazi tu
@2pacdaud295 жыл бұрын
Cool bro unalijua life kaka Godbless yoh ma men
@masabodjuma22633 жыл бұрын
Ayo..tv unajuwa kuoji kipaj unacho sana
@MrSokwe5 жыл бұрын
Kawaida hata kama mlionekana hamna hatia kwenye hiyo kesi ya ubakaji, polisi walitakiwa wawakabidhi kwa idara ya uhamiaji kwasababu mlikuwa mnakaa bila vibali na sio kuwaachia huru.
@sanifumedia96145 жыл бұрын
Story ya kizushi za uhakika bonyeza link hi kzbin.info/www/bejne/eoucf6mqlMybbtU
Story ya kizushi za uhakika bonyeza link hi kzbin.info/www/bejne/eoucf6mqlMybbtU
@nurudovino2885 жыл бұрын
Poleni sana ila mungu mwema pia mlikuwa mnakula vizuri sihaba
@mathossecuritycompanyltd63065 жыл бұрын
Nuru Dovino
@tandastan26983 жыл бұрын
Asante
@herysomebrown84714 жыл бұрын
Dah mwanangu umenikumbusha mbali kichizi court no 09 dah pagumu pale ila tupambane mzee izooo lezoo mkuluu one day yes yatima atacheka mwanaguu lindela sio poa mzee
@chibudenga89775 жыл бұрын
M nimekaa Durban almost3yrs ukiwa smart unapiga mishe zako bila tabu sema mwana anatoa siri za jandoni
@Glorydavid2485 жыл бұрын
Hizo hazina shida na kama kuna kosa wamelifanya Kama kuruhusu simu basi baada ya video hii wakiiyona wataacha
@chibudenga89775 жыл бұрын
@@Glorydavid248 yah
@malitomalito3 ай бұрын
Kweli mwanangu
@Sidik-d7e Жыл бұрын
WAY TZ PEOPLE GOING TO SOUTH 🇿🇦 AFRICA NO LIFE WHY U PEOPLE WASTED UR TIME TRUST GOD PRAYES SALAH 5 TIMES A DAY UR ALLAH WILL LISTEN UR DUA BUT DONT SAY UR COUNTRY IN TZ NO JOB BECAUSE U DONT HAVE FAITH WITH UR GOD IF U HAVE FAITH UR GOD ONE DAY U WILL WIN UR DREAM INSHALLAH TRUST UR LOAD OR UR ALLAH WILL YOU WILL WIN UR GOAL INSHALLAH AMEEN AMEEN AMEEN ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SOUTH 🇿🇦 AFRICA THAT IS NOT UR COUNTRY COUNTRY TRUST UR FAITH U WILL WIN AMEEN AMEEN AMEEN 😢😢😢😢😢😢😢😢
@romeoromeo41255 жыл бұрын
Wewe lazima uzulumiwe, yaan unapoelekea hujui thaman ya pesa yake. Sasa unaanzaje safari wakati taarifa za muhim kama iyo haujui?
@bernadotteralexander69695 жыл бұрын
Ukiwa unasafiri kwenda nchi njenyengine ukitoka na ela ya kwenu unaijuwa thamani ya ela yako ukifika kwenye ubadilishaji kama hujuw thamani ya kule lazima wakupige vinginevyo umpate abiria wa nchi ile akikuchunuku ndio atakusaidia kukueleza vinginevyo kuzulumiwa kawaida usipende kulaumu ss tulio wai kusafir lazima ukutane na ayo mambo
@gracerichard85935 жыл бұрын
Mimi nataka nataka nataka kwenda America yeaaaah
@yusraibrahim82185 жыл бұрын
Eee jaman Raazz wangu pore kwayalio kukuta ktk safali yako😂😂
@rewmfingwa78285 жыл бұрын
Asante muuupenzi
@askaounga64563 жыл бұрын
Sasa huyu anaka mkora,
@zakaliabuxh76755 жыл бұрын
Nakubali hustrel za mshikaji gud bro
@rahimstarling36793 жыл бұрын
mbona anatxha kama jambazi uyo
@saramwaipopo85165 жыл бұрын
Sio kufungwa naww unaambiwa mahabusu bado umekazana ulipofungwa..