Mh. Makonda, hongera sana kwa kazi na Mungu akulinde. Tunaomba uje na HUKU UKONGA KIPUNGUNI. WAZAZI WETU WAMECHOSHWA KUAHIDIWA MALIPO YA MAENEO YAO BILA MAFANIKIO. MIAKA YAPATA 45 HAKUNA KUENDELEZA MAENEO YAO NA WALIPEWA AMRI WASIFANYE CHOCHOTE NA WASUBIRIE MALIPO YAO. TUNAOMBA HAKI ITENDEKE WALIPWE FEDHA ZAO ILI WAONDOKE NA HAWALIPWI MHESHIMIWA. NJOO TU UTUKOMBOE BABA MAKONDA. ASANTE..
@feliciarfrancis23888 ай бұрын
Mungu akulinde The Horn P. Makonda
@niyomugabojohn83298 ай бұрын
Makonda amemeza roho ya Magufuri kabisa
@shebbyelphonce85147 ай бұрын
Brother may God be with you ❤
@dorahmushi-we6ts7 ай бұрын
Makonda nakupendaaa😭 mimi ni muhanga, nayajua maumivu ya kudhulumiwa ardhiiii😭
@uwezawamungumkuu.amaniafrika7 ай бұрын
Wao ndiyo chanzo kikubwa cha kukimbizwa. Wameshindwa kuwaheshimu Waume zao na ndoa zao. Haki imekua tatizo Paulo. Mungu mkuu aturehemu. Amen.
@hassanndabila82447 ай бұрын
Katiba tu inatosha kuliko kumsumbua mungu Kwa mambo tunayoweza wenyewe
@susananyasani65267 ай бұрын
Safi Mheshimiwa Makonda wongozi mzuri kwa Wananchi na hasa wanyonge asante
@AlbertThadeo8 ай бұрын
Wasomi ni wengi Kwa nini watumishi wanaichafua selikali fukuzeni wazembe wote kazini ajirini wengine
@dorahmushi-we6ts7 ай бұрын
Jamani watendaji wa Serikali kwa nini mnawaangusha viongozi wetu wa juu? Mhshmw mama Samia, tunauona utendaji wako, Mungu azidi kukulinda mamaaa😭 Makonda mwanangu, kiongozi wetu mkweli, njoo Arushaaa😭
@joshuamtindya86837 ай бұрын
Tamaa
@MariamWiliam-z8k7 ай бұрын
Uyu makonda mungu yuko ndani yake
@willydugilo32587 ай бұрын
Maandiko yanasema!! Haki ya mungu huinua taifa! Nayo amani furaha ya wengi!!
@ismaildavid69708 ай бұрын
wala sio viongozi shida ni ccm haina watu wa kuongoza nchi kuna wezi tu.
@MtuSafi7 ай бұрын
sasa hapo umeongea nini?
@Yomiyomi68978 ай бұрын
Hakuna haki. Dhuluma. Rushwa. Uonevu. Tanzania is a lawless society. Tumelaanika mnooo
@emakoresahili8 ай бұрын
Yaan nchi hii watu wanaumia sana hadi ni aibu kwa nchi zingine.
@VeronicaMziray8 ай бұрын
Yaani watu wana shida Kubwa sanaaa, fikiria kesi za mirathi miaka 10 jamani,
@chemli238 ай бұрын
Polisi wenye vyeo vikubwa wapi dar wanakula gud taim na watu wanateseka haya
@humphreymkony89158 ай бұрын
Hawa wakuu wa mikoa wanaotuhumiwa kuiba ni watu wa aina gani? Mhe Rais Samia tafadhali kuwa macho na hawa maRC. Hawakusaidii.
@stevewanga9578 ай бұрын
ina maana Tz kuna ubaguzi sana
@blandinamwarabu50257 ай бұрын
Ni biashara gani unaifanya mama mpaka wanakuibia hela cash
@gladistaemanueliy63366 ай бұрын
Mungu akulinde makonda rais wetu ajaye
@AbsalimMbwambo8 ай бұрын
SANAA TUPU... HII NI KUWADHALILISHA WANANCHI KWASABABU HAKUNA SULUHISHO KWA LOLOTE ZAIDI YA WATU KUJIANIKA SHIDA ZAO.
@GraceofGodTelevision7 ай бұрын
Tuthibitishie kwa kutuonyesha ulichodanganywa {huna jema}
@KassimKhalaid8 ай бұрын
Uyu makonda ako kama baba makufuli akii uyu anafaa
@blandinamwarabu50257 ай бұрын
Makonda jamani unanichekesha kweli kweli
@uwezawamungumkuu.amaniafrika7 ай бұрын
Hizi mali za dunia zitatupeleka wapi?. Hawa watendaji wa serikali tatizo lao nini?. Kutatua matatzo ya watanzania nini kinawashinda?.
@FloridaAdelinus8 ай бұрын
MTOENI MBARIKIWA GEREZANI, MLIMFUNGA BILA HATIA, WENYE HATIA WAKO MITAANI WANAENDELEA KUDHULUMU WATU.
@melanialeonard40318 ай бұрын
Acha afie gerezan au aombe gereza lifunguke lenyewe watu wamefungwa maisha kwa makosa ya kusingiziwa itakuwa huyo anatukana mpk serikali afie huko tupate simulizi za kusimulia kwa watoto wetu badae
@fidelismwakanyamale67878 ай бұрын
Huyu mchungaji wenu ni fala acha.afie uko gerezanj. Tuna taka nchi itulie.tumechokaa Na habari za barikiwa
@thaddeojude75118 ай бұрын
Kama yeye kweli ni mbarikiwa na avunje gereza na atoke...Yeye kwa nn alijiingiza kwenye siasa akaacha kanisa..halafu wanasiasa wenyew aliokuwa anawatetea wapo wanaendelea kula bata huku mitaan badala ya kwenda kujiunga na kumtetea Mbarikiwa.Siasa na Dini haviendani.
@Ernestlaiza8 ай бұрын
@@melanialeonard4031huna haya na aibu,
@faustinedeogratias43377 ай бұрын
@@melanialeonard4031soma tena ulichokiandika
@EliaHiluka-ep3tp7 ай бұрын
Kaka Makonda ujue kwamba Mwenye haki akitawala tawala taifa hufurahi Bali mtu mwovu akitawala taifa huugua hivyo wanaotawala katika maeneo hayo inaonyesha sio wenye haki ndio maana haki za watu zinazodhulumiwa
@AmosJuma-l6l7 ай бұрын
Njoo na mwanza
@asiamwanukuzi50857 ай бұрын
Kaka makonda mungu aendelee kukulinda
@Itssutsuri7 ай бұрын
Mhhhhh kumbe watuKama hawa wapo ndomaana mafuriko hayaishi
Sasa wewe ambaye hujakurupuka mbona hujatatua mpaka aje Makonda sasa
@RenaldaZeramula7 ай бұрын
Yawezekana polisi alijengq kwa kiwanja.chq huyo.mwanqmke.
@maryambarayan75997 ай бұрын
MAKONDE WAKONDESHE😂😂😂😂
@BonifaceHassan-j5m8 ай бұрын
Wamesahau, enzi zetu,mambo yote, ni kwenda ofisi za CCM, turudi huko tena, vituo vya majamaa, hazina maana!
@Fundi123458 ай бұрын
Aende wapi mahakamani ndiko kesi za watu wengi wanafatilia mbaka wanakufa kesi bado zinasomwaga ujinga san wadogo wanaharibu san utawara wa nchi mana juuu huko anaon kira kitu saf kumbe huku mitaani ni tabu sana
@ezraochora84957 ай бұрын
Makonda.acha.kuchezea.jina.la.mungu.bure.sema.tuondoe.ccm.sio.tumuombe.mu ngu.atendemiujiza..hapa.tatizo.ni.serekali.ya.ccm..nawewe.ni.ccm.makonda.acha sanaa
@JaphetyMichael8 ай бұрын
Pigakazi dogo
@SunnaSaidi7 ай бұрын
Sijui ulijuaje kama tunapitia mambo magum jamani.
@hujulathkashaija79017 ай бұрын
rai tv tupo pamoja
@Rai_online_tv7 ай бұрын
Asnt Boss
@AlichunikiHashimu7 ай бұрын
Fanyakazi makonda wanamchi tumekukubali
@Yomiyomi68978 ай бұрын
Tanzania hujidai eti ina amani. Oneni madudu anayofumuliwa nayo Makonda. Hata kama eti hana mandate ya.mwisho, still inaonyesha how Hod-less Tanzania has become. Yana mwisho. Mungu atatuua woteee
@rashidchichalo79298 ай бұрын
Duuuhhh hatarr
@amosisayi75407 ай бұрын
Hakustahili apande kwenye adhabau hadi siku 7😊
@hamisimuhunzi79168 ай бұрын
mama nenda mahakamani ndio huko haki inapatikana CCM sio mahakama
@twiseghekisilu88458 ай бұрын
Mahakamani kumejaa rushwa Bora hapa anaweza saidiwa
@hamisimuhunzi79168 ай бұрын
@@twiseghekisilu8845 anapoteza muda wake bure CCM haina uwezo wa kubadili maamuzi ya mahakama
@adelinelyaruu30368 ай бұрын
Mahakama zinapigiwa simu
@ramadhankavisille74828 ай бұрын
Hajapata haki huko
@GodfreyOsward8 ай бұрын
Ni jambo la hatari sana
@RenaldaZeramula8 ай бұрын
Kila.marq kuibowa wewe tuu jinga sana wee dada
@yassinlumbe26787 ай бұрын
Mama haelewi alipoenda kudai haki yake alipaswa apewe elimu
@radhiaally48727 ай бұрын
Sisi wenzio tulisha sahau kama kuna vyombo vya kutoa haki tujuavyo kuna vibaka waliosoma na kuvaa suti
@mashauriobedi62908 ай бұрын
Mahakama na jeshi la polisi ni mizigo isiyo na Faida,kazi ni Kula rushwa Kwa bodaboda.
@elifasimwigema13277 ай бұрын
Makonda we we mbona kama unanikumbusha magufuli weweeeee! Ah!
@alexanderkapinga7007 ай бұрын
Alafu anatokea Punguani anaitwa mwanasheria mkuu yuko dar anasema eti aunde mahakana nyingine
@BozaDizamile-u1d7 ай бұрын
MAKONNDA NCHI HII WEZI NA MATAPELI WAKO CCM NA CCM NDIO CHANZO CHA MATATOZO YOTE UNACHOFANYA WW NI KOMEDY BABU
@rispersum32357 ай бұрын
Mambo nimazito
@joelsaganya40778 ай бұрын
Maharaja zetu zero kabisa
@LibanleylaMuhidin8 ай бұрын
Wewe mwanaume unamaking😂 faces au na wewe ndo wale wale 😂😂😂😂
@WebyNgogo-nj3fx8 ай бұрын
Haki itainua taifa letu:
@DieuIlanga7 ай бұрын
🇺🇲
@caashamacalini38878 ай бұрын
Hiyo ndio ccm kazi kuonewa wananchi alafu wanataka kula tu kazi hizi alitakiwa Raisi anafanya kama magufuli ama mawaziri lakini hawajiwezi hata kidogo sasa hii ni aibu kwa ccm makonda anafichua mambo mengi watu hawasikilizwi huko polis na mahakamani ni hovyo watu hawatendi haki
@stevenmarunda43537 ай бұрын
Makonda kama unaongea kutoka moyon Mungu akulinde binafisi uwaga siamin kiongozi yeyote wakitanzania kwenye idara yeyote
@MatronaThomas-wz5si7 ай бұрын
Makonda. Piga mwingi
@johnjoel50127 ай бұрын
Mahakama imeozaaa
@yukundapeter82007 ай бұрын
Askari huoni aibu?unamchuna mmama wa wa2,unatafuta laana na huyo dog uloowa,acha dhuluma.