WAMENIIBIA MIL 21MKUU WA MKOA AMESHIRIKI ||WANANIFUKUZA MAHAKAMANI || MKUU UMESIKIA NAKUJA UMEKIMBIA

  Рет қаралды 56,936

RAI TV

RAI TV

Күн бұрын

Пікірлер: 86
@JlmwinukaOnlineTv
@JlmwinukaOnlineTv 7 ай бұрын
Safi muheshimiwa
@japhethchristopher1952
@japhethchristopher1952 8 ай бұрын
CMD makonda mwenyezi mungu akupe maisha malefu
@AmijomaAmijoma
@AmijomaAmijoma 7 ай бұрын
Mh. Makonda, hongera sana kwa kazi na Mungu akulinde. Tunaomba uje na HUKU UKONGA KIPUNGUNI. WAZAZI WETU WAMECHOSHWA KUAHIDIWA MALIPO YA MAENEO YAO BILA MAFANIKIO. MIAKA YAPATA 45 HAKUNA KUENDELEZA MAENEO YAO NA WALIPEWA AMRI WASIFANYE CHOCHOTE NA WASUBIRIE MALIPO YAO. TUNAOMBA HAKI ITENDEKE WALIPWE FEDHA ZAO ILI WAONDOKE NA HAWALIPWI MHESHIMIWA. NJOO TU UTUKOMBOE BABA MAKONDA. ASANTE..
@feliciarfrancis2388
@feliciarfrancis2388 8 ай бұрын
Mungu akulinde The Horn P. Makonda
@niyomugabojohn8329
@niyomugabojohn8329 8 ай бұрын
Makonda amemeza roho ya Magufuri kabisa
@shebbyelphonce8514
@shebbyelphonce8514 7 ай бұрын
Brother may God be with you ❤
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 7 ай бұрын
Makonda nakupendaaa😭 mimi ni muhanga, nayajua maumivu ya kudhulumiwa ardhiiii😭
@uwezawamungumkuu.amaniafrika
@uwezawamungumkuu.amaniafrika 7 ай бұрын
Wao ndiyo chanzo kikubwa cha kukimbizwa. Wameshindwa kuwaheshimu Waume zao na ndoa zao. Haki imekua tatizo Paulo. Mungu mkuu aturehemu. Amen.
@hassanndabila8244
@hassanndabila8244 7 ай бұрын
Katiba tu inatosha kuliko kumsumbua mungu Kwa mambo tunayoweza wenyewe
@susananyasani6526
@susananyasani6526 7 ай бұрын
Safi Mheshimiwa Makonda wongozi mzuri kwa Wananchi na hasa wanyonge asante
@AlbertThadeo
@AlbertThadeo 8 ай бұрын
Wasomi ni wengi Kwa nini watumishi wanaichafua selikali fukuzeni wazembe wote kazini ajirini wengine
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 7 ай бұрын
Jamani watendaji wa Serikali kwa nini mnawaangusha viongozi wetu wa juu? Mhshmw mama Samia, tunauona utendaji wako, Mungu azidi kukulinda mamaaa😭 Makonda mwanangu, kiongozi wetu mkweli, njoo Arushaaa😭
@joshuamtindya8683
@joshuamtindya8683 7 ай бұрын
Tamaa
@MariamWiliam-z8k
@MariamWiliam-z8k 7 ай бұрын
Uyu makonda mungu yuko ndani yake
@willydugilo3258
@willydugilo3258 7 ай бұрын
Maandiko yanasema!! Haki ya mungu huinua taifa! Nayo amani furaha ya wengi!!
@ismaildavid6970
@ismaildavid6970 8 ай бұрын
wala sio viongozi shida ni ccm haina watu wa kuongoza nchi kuna wezi tu.
@MtuSafi
@MtuSafi 7 ай бұрын
sasa hapo umeongea nini?
@Yomiyomi6897
@Yomiyomi6897 8 ай бұрын
Hakuna haki. Dhuluma. Rushwa. Uonevu. Tanzania is a lawless society. Tumelaanika mnooo
@emakoresahili
@emakoresahili 8 ай бұрын
Yaan nchi hii watu wanaumia sana hadi ni aibu kwa nchi zingine.
@VeronicaMziray
@VeronicaMziray 8 ай бұрын
Yaani watu wana shida Kubwa sanaaa, fikiria kesi za mirathi miaka 10 jamani,
@chemli23
@chemli23 8 ай бұрын
Polisi wenye vyeo vikubwa wapi dar wanakula gud taim na watu wanateseka haya
@humphreymkony8915
@humphreymkony8915 8 ай бұрын
Hawa wakuu wa mikoa wanaotuhumiwa kuiba ni watu wa aina gani? Mhe Rais Samia tafadhali kuwa macho na hawa maRC. Hawakusaidii.
@stevewanga957
@stevewanga957 8 ай бұрын
ina maana Tz kuna ubaguzi sana
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 7 ай бұрын
Ni biashara gani unaifanya mama mpaka wanakuibia hela cash
@gladistaemanueliy6336
@gladistaemanueliy6336 6 ай бұрын
Mungu akulinde makonda rais wetu ajaye
@AbsalimMbwambo
@AbsalimMbwambo 8 ай бұрын
SANAA TUPU... HII NI KUWADHALILISHA WANANCHI KWASABABU HAKUNA SULUHISHO KWA LOLOTE ZAIDI YA WATU KUJIANIKA SHIDA ZAO.
@GraceofGodTelevision
@GraceofGodTelevision 7 ай бұрын
Tuthibitishie kwa kutuonyesha ulichodanganywa {huna jema}
@KassimKhalaid
@KassimKhalaid 8 ай бұрын
Uyu makonda ako kama baba makufuli akii uyu anafaa
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 7 ай бұрын
Makonda jamani unanichekesha kweli kweli
@uwezawamungumkuu.amaniafrika
@uwezawamungumkuu.amaniafrika 7 ай бұрын
Hizi mali za dunia zitatupeleka wapi?. Hawa watendaji wa serikali tatizo lao nini?. Kutatua matatzo ya watanzania nini kinawashinda?.
@FloridaAdelinus
@FloridaAdelinus 8 ай бұрын
MTOENI MBARIKIWA GEREZANI, MLIMFUNGA BILA HATIA, WENYE HATIA WAKO MITAANI WANAENDELEA KUDHULUMU WATU.
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 8 ай бұрын
Acha afie gerezan au aombe gereza lifunguke lenyewe watu wamefungwa maisha kwa makosa ya kusingiziwa itakuwa huyo anatukana mpk serikali afie huko tupate simulizi za kusimulia kwa watoto wetu badae
@fidelismwakanyamale6787
@fidelismwakanyamale6787 8 ай бұрын
Huyu mchungaji wenu ni fala acha.afie uko gerezanj. Tuna taka nchi itulie.tumechokaa Na habari za barikiwa
@thaddeojude7511
@thaddeojude7511 8 ай бұрын
Kama yeye kweli ni mbarikiwa na avunje gereza na atoke...Yeye kwa nn alijiingiza kwenye siasa akaacha kanisa..halafu wanasiasa wenyew aliokuwa anawatetea wapo wanaendelea kula bata huku mitaan badala ya kwenda kujiunga na kumtetea Mbarikiwa.Siasa na Dini haviendani.
@Ernestlaiza
@Ernestlaiza 8 ай бұрын
​@@melanialeonard4031huna haya na aibu,
@faustinedeogratias4337
@faustinedeogratias4337 7 ай бұрын
​@@melanialeonard4031soma tena ulichokiandika
@EliaHiluka-ep3tp
@EliaHiluka-ep3tp 7 ай бұрын
Kaka Makonda ujue kwamba Mwenye haki akitawala tawala taifa hufurahi Bali mtu mwovu akitawala taifa huugua hivyo wanaotawala katika maeneo hayo inaonyesha sio wenye haki ndio maana haki za watu zinazodhulumiwa
@AmosJuma-l6l
@AmosJuma-l6l 7 ай бұрын
Njoo na mwanza
@asiamwanukuzi5085
@asiamwanukuzi5085 7 ай бұрын
Kaka makonda mungu aendelee kukulinda
@Itssutsuri
@Itssutsuri 7 ай бұрын
Mhhhhh kumbe watuKama hawa wapo ndomaana mafuriko hayaishi
@TulloMhombo
@TulloMhombo 8 ай бұрын
Ukweli huwezi kuupata hapa kikaoni. Mpaka afisa ardhi afike ofisini afuatilie nyaraka husika apate ukweli wa umiliki, tusikurupuke, kesi zitarudi upya
@alexanderkapinga700
@alexanderkapinga700 7 ай бұрын
Sasa wewe ambaye hujakurupuka mbona hujatatua mpaka aje Makonda sasa
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula 7 ай бұрын
Yawezekana polisi alijengq kwa kiwanja.chq huyo.mwanqmke.
@maryambarayan7599
@maryambarayan7599 7 ай бұрын
MAKONDE WAKONDESHE😂😂😂😂
@BonifaceHassan-j5m
@BonifaceHassan-j5m 8 ай бұрын
Wamesahau, enzi zetu,mambo yote, ni kwenda ofisi za CCM, turudi huko tena, vituo vya majamaa, hazina maana!
@Fundi12345
@Fundi12345 8 ай бұрын
Aende wapi mahakamani ndiko kesi za watu wengi wanafatilia mbaka wanakufa kesi bado zinasomwaga ujinga san wadogo wanaharibu san utawara wa nchi mana juuu huko anaon kira kitu saf kumbe huku mitaani ni tabu sana
@ezraochora8495
@ezraochora8495 7 ай бұрын
Makonda.acha.kuchezea.jina.la.mungu.bure.sema.tuondoe.ccm.sio.tumuombe.mu ngu.atendemiujiza..hapa.tatizo.ni.serekali.ya.ccm..nawewe.ni.ccm.makonda.acha sanaa
@JaphetyMichael
@JaphetyMichael 8 ай бұрын
Pigakazi dogo
@SunnaSaidi
@SunnaSaidi 7 ай бұрын
Sijui ulijuaje kama tunapitia mambo magum jamani.
@hujulathkashaija7901
@hujulathkashaija7901 7 ай бұрын
rai tv tupo pamoja
@Rai_online_tv
@Rai_online_tv 7 ай бұрын
Asnt Boss
@AlichunikiHashimu
@AlichunikiHashimu 7 ай бұрын
Fanyakazi makonda wanamchi tumekukubali
@Yomiyomi6897
@Yomiyomi6897 8 ай бұрын
Tanzania hujidai eti ina amani. Oneni madudu anayofumuliwa nayo Makonda. Hata kama eti hana mandate ya.mwisho, still inaonyesha how Hod-less Tanzania has become. Yana mwisho. Mungu atatuua woteee
@rashidchichalo7929
@rashidchichalo7929 8 ай бұрын
Duuuhhh hatarr
@amosisayi7540
@amosisayi7540 7 ай бұрын
Hakustahili apande kwenye adhabau hadi siku 7😊
@hamisimuhunzi7916
@hamisimuhunzi7916 8 ай бұрын
mama nenda mahakamani ndio huko haki inapatikana CCM sio mahakama
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 8 ай бұрын
Mahakamani kumejaa rushwa Bora hapa anaweza saidiwa
@hamisimuhunzi7916
@hamisimuhunzi7916 8 ай бұрын
@@twiseghekisilu8845 anapoteza muda wake bure CCM haina uwezo wa kubadili maamuzi ya mahakama
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 8 ай бұрын
Mahakama zinapigiwa simu
@ramadhankavisille7482
@ramadhankavisille7482 8 ай бұрын
Hajapata haki huko
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 8 ай бұрын
Ni jambo la hatari sana
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula 8 ай бұрын
Kila.marq kuibowa wewe tuu jinga sana wee dada
@yassinlumbe2678
@yassinlumbe2678 7 ай бұрын
Mama haelewi alipoenda kudai haki yake alipaswa apewe elimu
@radhiaally4872
@radhiaally4872 7 ай бұрын
Sisi wenzio tulisha sahau kama kuna vyombo vya kutoa haki tujuavyo kuna vibaka waliosoma na kuvaa suti
@mashauriobedi6290
@mashauriobedi6290 8 ай бұрын
Mahakama na jeshi la polisi ni mizigo isiyo na Faida,kazi ni Kula rushwa Kwa bodaboda.
@elifasimwigema1327
@elifasimwigema1327 7 ай бұрын
Makonda we we mbona kama unanikumbusha magufuli weweeeee! Ah!
@alexanderkapinga700
@alexanderkapinga700 7 ай бұрын
Alafu anatokea Punguani anaitwa mwanasheria mkuu yuko dar anasema eti aunde mahakana nyingine
@BozaDizamile-u1d
@BozaDizamile-u1d 7 ай бұрын
MAKONNDA NCHI HII WEZI NA MATAPELI WAKO CCM NA CCM NDIO CHANZO CHA MATATOZO YOTE UNACHOFANYA WW NI KOMEDY BABU
@rispersum3235
@rispersum3235 7 ай бұрын
Mambo nimazito
@joelsaganya4077
@joelsaganya4077 8 ай бұрын
Maharaja zetu zero kabisa
@LibanleylaMuhidin
@LibanleylaMuhidin 8 ай бұрын
Wewe mwanaume unamaking😂 faces au na wewe ndo wale wale 😂😂😂😂
@WebyNgogo-nj3fx
@WebyNgogo-nj3fx 8 ай бұрын
Haki itainua taifa letu:
@DieuIlanga
@DieuIlanga 7 ай бұрын
🇺🇲
@caashamacalini3887
@caashamacalini3887 8 ай бұрын
Hiyo ndio ccm kazi kuonewa wananchi alafu wanataka kula tu kazi hizi alitakiwa Raisi anafanya kama magufuli ama mawaziri lakini hawajiwezi hata kidogo sasa hii ni aibu kwa ccm makonda anafichua mambo mengi watu hawasikilizwi huko polis na mahakamani ni hovyo watu hawatendi haki
@stevenmarunda4353
@stevenmarunda4353 7 ай бұрын
Makonda kama unaongea kutoka moyon Mungu akulinde binafisi uwaga siamin kiongozi yeyote wakitanzania kwenye idara yeyote
@MatronaThomas-wz5si
@MatronaThomas-wz5si 7 ай бұрын
Makonda. Piga mwingi
@johnjoel5012
@johnjoel5012 7 ай бұрын
Mahakama imeozaaa
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 7 ай бұрын
Askari huoni aibu?unamchuna mmama wa wa2,unatafuta laana na huyo dog uloowa,acha dhuluma.
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 7 ай бұрын
Usanii mtupu mwisho wa maji tope
@EliudMtamanyirwa-v3p
@EliudMtamanyirwa-v3p 7 ай бұрын
Rais 2030 baada ya mama.pinga wakucheke.
@mosesmnyantope9534
@mosesmnyantope9534 7 ай бұрын
M
Миллионер | 1 - серия
34:31
Million Show
Рет қаралды 2,3 МЛН
Кәсіпқой бокс | Жәнібек Әлімханұлы - Андрей Михайлович
48:57
哈莉奎因怎么变骷髅了#小丑 #shorts
00:19
好人小丑
Рет қаралды 56 МЛН
Mwanzo Mwisho Jinsi Hotuba ya Lissu Ilivyolitikisa Jiji la Arusha
49:01
Их чуть не выгнали из квартиры!
0:30
Интересные факты
Рет қаралды 929 М.
Кто тут самый-самый?
0:36
НеМаЛой
Рет қаралды 6 МЛН
Best Aura Moments..☠️
0:32
GoodBoyShaggy
Рет қаралды 20 МЛН