Mvuvi anajielewa sana ..uwezo tunao na Nia tunayo good brother unatakiwa uingie kwenye kikosi Cha kutoa misaada kwenye matukio Kama hayo.
@janeulomi73984 жыл бұрын
Anastaili pongezi
@raziankwassa92214 жыл бұрын
Pongez nyingi kwa kweli,mwili umetolewa muda huku ameharibika vibaya mno
@ayeshal43954 жыл бұрын
Sn
@raziankwassa92214 жыл бұрын
Mungu ambariki sn,ameoolewa.muda huu,,tunazika tumbi hospital coz ameharibika sn
@ayeshal43954 жыл бұрын
@@raziankwassa9221 mungu a mueke mahli pema peponi
@leahsilau69834 жыл бұрын
Mungu awazidishie nguvu wavuvi hongereni sana 👏👏👏
@pericykiko61984 жыл бұрын
Mimi nawaomba ndugu zanguni tumpende Sana Mungu tuwe na muda wa Fellowship na Mungu wetu na kujikagua kila mara km tuko sawa na kabla ya Safari weka muda wa kuomba maana wapo watu sirini chakula chao kikubwa ni damu ko wakati mwingine wanatega mitego yao
@tabyhamisi77974 жыл бұрын
Hongeren wavuvi , mmejitahidi sana kadri muwezavyo mungu awapiganie
@lucasmhagama81664 жыл бұрын
Watu kama hawa ni kuwachukua kuwaingiza kwenye kukosi cha zimamoto na uhokoaji vitu vingine sio mpaka vyeti vya shuleni
@claudiangowi95854 жыл бұрын
Kweli kabisa, ufarasa kuna kijana alimuokoa mtoto kutoka ghorofani, akapewa na uraia pamoja na kazi kitengo cha uokoaji
@hassanichuma78334 жыл бұрын
nchii walifanyir kaz swalaa hilii
@fahamnitwahir92494 жыл бұрын
Hapa bongo watapeana kwa kujuana wenye ujuz km Hawa wanaachwa walioajiriwa wakija hpo watashangaa shangaa na huenda wngkuwa ni hao ht hao waliookolewa wangshindwa kuwaokoa
@johnsonjohn85904 жыл бұрын
Kabisa
@omaryrashird78794 жыл бұрын
Nimekuelew kwel kabsa kwa mawaz yak uko vzr
@noelbryson78404 жыл бұрын
Poleni sana ndugu zangu waokoaji, Mmejitahidi kwa kadiri ya uwezo wenu!!
@dbrothers45514 жыл бұрын
Hawa jamaaa wanastahili ajira kwenye jeshi letu la uwokoaji. Kazi nzuri sana.
@kekiplus1andonly4 жыл бұрын
Pole sana ndugu mliopatwa na ajali hiyo.
@irenemwakalinga43504 жыл бұрын
Dah thanks bro na wenzio kwa kuokoa watanzania wenzenu serikari ilitakiwa kuwapa kazi kabisaaaaa
@zaynabali61094 жыл бұрын
Poleni sana NA mungu awazidishieni imani.
@ferouzmasoud47414 жыл бұрын
Daaah! 😥 Poleni Sanaa sehemu hyo hatar Sana serikal yetu ijenge daraja kubwa
@tausingomeni25684 жыл бұрын
Dah, hata njaa imeisha😭😭dereva Allah akupe kauli thabit
@Obia-t9d5 ай бұрын
Duuh jaman hatari sana Mungu awarehemu hao hao walio tangulia mbele za Mungu, lakini piah wanao jitolea kutoa msaada kama huu bac ni wakuu wa juu hawana budi kuwaangalizia na wao nafac ili waendelee kutoa msaada zaidi Mungu aendelee kuwalinda 🙏🙌🤲👏
@bernardjenga37374 жыл бұрын
Nchi inahitaji watu kama hawa..Mungu akupe maisha brother
@wemakalamu35384 жыл бұрын
Hawa ndio wakupewa ajira kwa kweli wanaokula pesa za sarekali mda huo hawapo mmmmm majanga matupu mwenyeezi mungu atunusuru kwa kila hatua dua yarrab 🤲🤲🤲🤲
@fizybahaj95294 жыл бұрын
Mungu wangu tupe mwisho mwema yarab🙏🙏
@rostapatrick24194 жыл бұрын
Mungu awabariki sana hata kwa hao wawili🙏🙏
@francismwimbe67504 жыл бұрын
Yani nimepata majonzi moyoni. Ila huyu mtangazaji ameniacha hoi aisee. Mwenyezi Mungu amtie nguvu huyo mama na wafiwa wengine wote katika kipindi hichi kigumu. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Africa.
@raiye56214 жыл бұрын
SubhanaAllah Allah atawafanyia wepec kumuokoa na yeye maskin mtihni kwakweli
@jamilajamila45724 жыл бұрын
😭😭😭😭
@juliejaphet27004 жыл бұрын
Mtangazaji haupo professional mpe nafasi mtu ajieleze wacha haraka au unawahi stand🙄🙄🙄
@francismwimbe67504 жыл бұрын
Kweli..anawahi kuuliza hata bado hajamaliza kuongea jaman!
@neematesha56794 жыл бұрын
Anapaparika kama bisi
@salmirahally77944 жыл бұрын
Na mimi nimesema hivl hivo anaboa sana
@josephmbarouk96174 жыл бұрын
Ndo shida ya waandishi wa kibongo hawana utulivu kabisa
@waluohopaulo21164 жыл бұрын
Big up to those rescuers they deserve medals
@alfoncejohn21044 жыл бұрын
Poleni sana waokoaji wavuvi msaada wenu ni mkubwa sana. Mungu awabariki
@elizabethmwandu69374 жыл бұрын
Daaa jamani poleni sana ndg zetu kwa matatizo makubwa yaliyowakumba na pia poleni sana familia zote zilizowapoteza wapendwa wao ktk ajali hiyo Mungu wa mbinguni aendelee kuwatia nguvu ktk kipindi kigumu mlichonacho.
@annaanyango65104 жыл бұрын
Pole Sana Anna kutoka Kenyan
@nasramwalimu29004 жыл бұрын
Mi nikifikakaga hapo,roho mkononi,naomba mungu sana,
@greenafricatzorganization4 жыл бұрын
Hili daraja bado liko kizamani sana kwa karne hii hatupaswi kua na daraja la namna hii
Duu jamanii yanii ukishafikaa hapaa tuu unaombaa munguu mto wamii jamanii uwiih,Kuna ndugu yanguu alinusurikaa kifoo hapoo na mim nishashuhudiaa ajalii mbilii hapooo,tangaa nakupenda Sanaa ilaa hapoo tuu ni changamotoo
@gracetiampati21704 жыл бұрын
Thank you for the news. But You can do more to help the woman get help from the public. By giving us the lady's mobile phone for well wishers who want to help her can be able to reach her please. Do something to help Tanzania.
@rajunrajun14294 жыл бұрын
Dah dunia tunapita mungu awarehemu marehem wote
@fatumaseleman98704 жыл бұрын
Poleni sana
@mrsliverpool42354 жыл бұрын
Mtangazaji unakera, c utulie asimulie kila kitu. Poleni ndugu kwa ajali hiyo
@enockadam85094 жыл бұрын
Kanikera sanaaa huyu mtangazaji, hatulii
@salimulaya41134 жыл бұрын
Dah nilidhani ni mimi tu anazingua
@mrsliverpool42354 жыл бұрын
@@enockadam8509 🤣😂😄😅unatamani hata kumskip ama kumuweka mute
@pericykiko61984 жыл бұрын
Kutokana na hali ilivyo yakusikitisha labda na yeye ka punic
@yassinhashim10464 жыл бұрын
Anafel parefuu mno anatakiwa asi interupt
@othumanlorenzo2604 жыл бұрын
Medal of honor kwa wavivu hawa
@shakirafakhad99794 жыл бұрын
Mungu amlaze roho ya mama na mtoto
@edinaakinyiapollo1504 жыл бұрын
kweli tanzani ni nchi yangu lakini bado iko nyuma sana kimaendeleo yaani siku nne bado hakuna winchi iliyofika kutoa roli duuu!!ni shida
@OmanOman-sm6dv4 жыл бұрын
Hili dalaja pia sio zuri serikali ifanye mpango watengeneze dalaja jamani pole wafiwa
@prophetessmsolo9814 жыл бұрын
Poleni sana jaman jumamos wakat tunapita hapo ni mafuta yalikua yametanda kwenye maji ...kiukwel inauma sana
@badrahassan75134 жыл бұрын
Serikari hii njia ni nyembamba tunaomba mtuongezee njia inaumiza sana
@salimharrasy70474 жыл бұрын
Tupoe kwa msiba. Mtangazaji pole pole. Unakosea unapodandia masimulizi.
@mwasoprince34594 жыл бұрын
Mpewe kazi kwenda zimamoto na uokoaji ili msaidie taifa ktk majanga.
@ramadhanwilbard46854 жыл бұрын
Serikali yetu inatakiwa kutengeneza upya hapo kona itolewa,daraja lipanuliwe na pembeni liwekewe vyuma vizito kwa maana kwamba hata gari ikijibamiza iziweze kudumbukia mtoni kwa uwezo wa Allah serikali yetu itatusadia kuondoa kelo hiyo
@ismailnamtuma18304 жыл бұрын
innalillaah wa inna ilaih raajiun. Ila tusijazane barabarani jaman kushuhudia majeruh,,ni vyema kuondoka,,wachache waendelee na uokoaji
@mariamfritsi97614 жыл бұрын
Kuna haja serikali iangalie,kujengwe daraja namba mbili ili magari yanayotoka upande wa chalinze yapite kushoto na yanayotoka segera yapite kulia iwe tofauti ya mpishano.
@dynachriss51263 жыл бұрын
Kwa ushauri tyuu sehemu zenye matukio kama haya siyo ya kusimama kushangaa kwa kujiachia lolote laweza kutokea lenye madhara zaidi😭
@anisetiswai47114 жыл бұрын
Dha poleni sana jaman mungu awe nanyi🙏
@ndamayapejr77254 жыл бұрын
Daaah msimuliaje a.k.a Mukoaji no moja yuko Vzurii
@goldenhearts21924 жыл бұрын
POLENI SANA ndugu zetu, serikali ifanyie kandarasi Hio Daraja kupanuliwe litafutiwe namnaa kuokowa ndugu zetu, (Mimi kutoka Saudia)
@joleenmasha4 жыл бұрын
Jamani jamani jamani Mama na mtoto wake 😭😭😭😭mbona imeniuma jamani
@jacksonjosephkungunde63374 жыл бұрын
Mtangazaji umefeli sana bro
@nasramwalimu29004 жыл бұрын
Kaka anajieleza viur mungu awasaidie,Tangu ijumaaa,yuko ndani ya maji!!!!!!
@aloyceiluminata36504 жыл бұрын
Huyu mtangazaji wa ayo TV..ni mbovu sijawahi kuona aisee..poleni ndugu
@hassanlubola4144 жыл бұрын
Polen sana ndg
@Ibrah2874 жыл бұрын
Naona Semi la Howo SinoTruck hapo kwenye ajali, Gari mbovu sana hizi, takataka za mchina...
@HASASON4 жыл бұрын
Ndio hizo za mradi wa maji arusha nini?
@Ibrah2874 жыл бұрын
Hapana, hilo naona lilikua na Route yake tu, Ila ni gari za hovyo sana tena bora hizo Howo kuna zile FAW ndio trash kuliko..
*Hio sio daraja tena kwa dunia hii ya magari mengi na makubwa makubwa ijengwe ya kisasa ya 2lines bila hivo kila cku msiba... poleni ndugu muliopata msiba wa ndugu zenu Allah awape subra wakati huu mgumu*
@zaitunmaarufu33714 жыл бұрын
Halafu watu wengine hawajielewi. Ss swali gani la kuuliza? Ushaambiwa wavuvi wanavua we unauliza wanavua nn? Uyo ndio Mwenyezi Mungu akipanga lake huwa. Inallillah wainailahi rajiun.
@mozasaid38694 жыл бұрын
Dah! Inasikitisha sana!
@salummpala41764 жыл бұрын
Kiswahil Kaz Sana
@janemaya84704 жыл бұрын
Jamani daaaah siku ikifika imefikaaa.
@awadhiismail31544 жыл бұрын
Hivi ukiwa unaenda mkoa gani ndio unapita huu mto hatar Sana
@nkumbimnyamwezi27284 жыл бұрын
Naijua hi seemu nikiwa naelekea dar nikifika wami bridge uwaga napiga dua sana nipite salama hi seemu sio mchezo mungu atawasaidia
@abdulkheri73224 жыл бұрын
Tupo wengi
@subiraboi93974 жыл бұрын
Subhana Allah
@dennischarles85244 жыл бұрын
barabara kubwa kama hii inahitaji double road ama sivyo ajali hazitaisha,magari makubwa yana stopping distance na sio kwamba brakes zime fail
@beatricesanga78564 жыл бұрын
Mmmmh kwahiyo waokoaji wanalipwa
@modestamavura82913 жыл бұрын
Jamani poleni wafiwa.
@twaariqahmad72494 жыл бұрын
Daraja halina nafasi ya kutosha na hata kingo zake si madhubuti Na huyo mvuvi anafaa kuwa katika kikosi cha uokoaji kwakweli
@ridhiwangdkhuuitki9043 жыл бұрын
Hivi hapa wami imeshindikana kabisa kutanua daraja ua
@allyzayumba76244 жыл бұрын
Kumbe mkanda wakati mwengine unaponza sana Hugo dereva alovaa mkanda kashindwa kujitetea kwa aababu ya mkanda wenzake wametoka halafu tunalazimishwa kufunga.mikanda mmh
@onlytecna94984 жыл бұрын
Ally Zayumba kuna ajali nyingiii sana watu wanakufagaa kisaaa mikandaa wanashindwa kujiokoaa muda mwingne mikanda inagoma kufungukaa
@davidcurtis85564 жыл бұрын
Mkanda unasaidia asilimia 70 hizo zilizobaki ni bahati mbaya sana, kama wewe unadrive kimbia speed 60 tu halafu funga breki kwa ghafla ukiwa umevaa mkanda baada ya hapo kimbia tena speed hizo hizo ukiwa hujafunga mkanda baada ya hapo kimbia speed 120 kwenye smooth corner ukiwa hujafunga mkanda baada ya hapo utapata bajibu maziri sana, mkanda unasiadia sana sana.
@richie25444 жыл бұрын
Lakin isikuzuie kuvaa mkanda unasaidia sana
@menalikechildren88364 жыл бұрын
Mm nahisi cku yake imefika hata acngelikuwa na mkanda ndo hapana budi
@hassanovajunior69724 жыл бұрын
Innalillah wainaillah rajiun 🙏
@vero574 жыл бұрын
POLENI SANA jamani
@noeljoseph76383 жыл бұрын
Wame hapana jamani huyo shetani aliye piga kambi hapo atuache anamaliza sana watu!!
@mudylivigha5214 жыл бұрын
Uyu achukuliwe na jeshi la zimamoto atafaa sana
@rabiuntouchable4 жыл бұрын
Lijengwe daraja kubwa hiyo sehemu imekaa vibaya sana!!
@vascostanleymbisse44774 жыл бұрын
Mtangazaji mbona unahoji huku unajibu mwenyewe....
@imaryvitandavizurisanaimar79204 жыл бұрын
Daaah
@nassornurdin12904 жыл бұрын
Kwahiyo wavuvi wasio somea uokoaji nibora zaidi kuliko walioajiriwa kwakazi yauokoaji.
@victorchampion15134 жыл бұрын
duuuh, mbali na kuepuka Corona bado yanatutokea haya!!!!
@siwajalikayanda19694 жыл бұрын
Naiomba serikali iliangalie hili daraja kwa mapana (ni jembamba pia si imara ukilinganisha na mto wenyewe)
@bennymochiwa48004 жыл бұрын
mwenyezi mungu atatufanyia WEPESI
@annachuma2474 жыл бұрын
Yesu wangu
@fririchikara4 жыл бұрын
Omyy so so heart breaking. Who else is a young KZbinr? Let’s keep the positive vibe and support each other❤️🥰
@successonlinetv26214 жыл бұрын
Millard ayo apa mtangazaji huna... Yani ana haraka kama yeye ndio anaehojiwa
@mwanaidimuhindi66714 жыл бұрын
Inasikitisha sana adisahii bado hajatolewa 😭
@csato94154 жыл бұрын
Kwa kweli inasikitisha sana hawa waokoaji wa kawaida tu wamefanya sehemu kubwa....je ina maana mpk sasa waokoaji wenye vifaa na wenye kazi hiyo (professional) hawana taarifa au hii habari ni ya wakati wa tukio.
@venstonvedasto4 жыл бұрын
Yaan😢😢😢😢
@loner_wolf4 жыл бұрын
Kwanini Hilo daraja libaki hivyo muda wote .... Hapo nafikir inatakiwa daraja kubwa Kama la kigamboni maana hata hiyo dawasco na kituo Cha polisi haviko sehemu salama panapotokea mafuriko eneo Hilo..... Serikali yetu inabidi ilione Hilo wakati huu .... Wabunge wote wa Tanga wanapita hapo wanaona , Nini tatzo mmeshindwa kujua Kama hapo hapako sawa ? Au mkipita huwa mmelala usingizi 😂😂😂😂
@samanthaali8734 жыл бұрын
Mtangaji mapepe kweli tulia ila hongereni yote mliossidia
@leverimlaki56674 жыл бұрын
Solution ni hili daraja kuongezwa ukubwa
@dechaggagirl16144 жыл бұрын
Jmn mungu ilinde tz yangu😱😱😭😭😭
@mohachibu00174 жыл бұрын
Duh mwandishi unaongea fastaa😳😳😳
@saleheabdalah72834 жыл бұрын
HV hamna mamba hapo poleni kwa yooote yasiwakute makubwa zaidi ya hayo
@subiraukindo9544 жыл бұрын
Serikari iliangalie hilo daraja wami, ni jembamba sana
@homeboybeyondtheborders49354 жыл бұрын
Kuna daraja jipya linajengwa pembeni labda likikamilika tunaweza kuepusha ajali mungu atatusaidia
@pericykiko61984 жыл бұрын
@@homeboybeyondtheborders4935 Amina itakua Jambo jema sana
@naomiandrewandrew76854 жыл бұрын
Na limeshachoka sana
@iffahbahet14994 жыл бұрын
Ajali inatokea popote hakuna wakupinga kauli ya muumba wetu sote
@nasriicarter45654 жыл бұрын
Dada yangu na mjomba angu pumzikeni kwa amani
@عليعسيري-س8ه5س4 жыл бұрын
Poleni sana jamani
@linnamlay36434 жыл бұрын
Daraja jipya limalizike tu maana wami inamaliza watu jamani