Wanafunzi 73 Kati ya 82 waliojeruhiwa na radi Bukombe waruhusiwa

  Рет қаралды 288

UTV Tanzania

UTV Tanzania

Күн бұрын

Wanafunzi 73 Kati ya 82 waliojeruhiwa na radi jana Januari 27, 2025 na kulazaa katika hospitali mbalimbali wilayani Bukombe - Geita wameruhusiwa kurejea nyumbani.
Kwa sasa majeruhi tisa (9) bado wanaendelea na matibabu katika hospitali ya St. Paul na hali zao zinaendelea kuimarika huku Mkuu wa mkoa huo, Martine Shigela ametembelea eneo la tukio, wazazi wa walioathiriwa kutoa pole kwa niaba ya serikali na kutoa maagizo ya tahadhari zinazopaswa kuchukuliwa.
#AzamTVUpdates
✍ Ester Sumira
Mhariri | John Mbalamwezi

Пікірлер: 1
@sarahemmanuel8115
@sarahemmanuel8115 11 күн бұрын
Mungu wangu
We Attempted The Impossible 😱
00:54
Topper Guild
Рет қаралды 56 МЛН
Cat mode and a glass of water #family #humor #fun
00:22
Kotiki_Z
Рет қаралды 42 МЛН
Don’t Choose The Wrong Box 😱
00:41
Topper Guild
Рет қаралды 62 МЛН
Mhasibu Mkuu wa Serikali nchini atangaza Neema kwa wastaafu kuhusu Pensheni.
11:58
Ndalini Media Solution Limited
Рет қаралды 4,7 М.
We Attempted The Impossible 😱
00:54
Topper Guild
Рет қаралды 56 МЛН